SABABU 10 KUFELI KWA MAANDAMANO YA CHADEMA,WAZARAMO,VIJANA WA DAR,DAR MAISHA TU NI MAANDAMANO TOSHA Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...
Пікірлер: 81
@abdulkawingaabdulrahman-sc82842 сағат бұрын
Wazaramo ni wasomi wa hali ya juu sana na wanafanya maamuzi ya kufanya jambo kwa kutafakari mwisho wa jambo na sio wakurupukaji wa mambo.
@nakalikyumile32342 сағат бұрын
Wasomi au legelege,😁😁😁😁😁
@uwesusinde9976Сағат бұрын
@@nakalikyumile3234ni wasomi na niwenye kujitambua
@elishajilungu105527 секунд бұрын
Hata kwenye panya load hawakurupuki wao nikupigwa mabapa nakukimbia kwenda kutafakari🤣🤣🤣🤣
@abdulkawingaabdulrahman-sc8284Сағат бұрын
Uhuru wa Tanzania umeletwa na Wazaramo na Amani ya Tanzania mpaka leo hii ipo chini ya usimamizi wa wazaramo. Fuatilia historia ya Bibi Titi; Sheikh Dossa Azizi; Sheikh Abdul waheed Sykes na wengineo
@halimamasai22342 сағат бұрын
Umechambua vizuri sana Hongera kaka
@ibrahimgwasma12233 сағат бұрын
Achana na mambo yako ya ukabila ,ulitaka wazaramo waandamane ,mbona wew hukuandamana
@HaryPoter-zw7vrСағат бұрын
SAWA kabisa
@HaryPoter-zw7vrСағат бұрын
SAWA kabisa
@CheerfulDrumKit-du7qkСағат бұрын
Mhu muengeze shenzi kabisa
@dominicksangu89342 сағат бұрын
Kama wazalamo wakoivo unavo sema wataendelea kusindikiza wenzao kwenye mafanikio
@nurumohammed1310Сағат бұрын
Wazaramo ndioo wenye inchi yaoo hao wengine wotee wakuja tu na mzaramo mstaarabu hunaga shida na wala hanga'nganii madaraka mzaramo karidhika na umasikini wake
@BarakaSimon-xy9mp2 сағат бұрын
Imani ya mbowe aliamini Kuwa ni maandamano ya amani kumbe askari wapo kwa vita
@dominicksangu89342 сағат бұрын
Uko,sahihi bro mchambuzi
@GideonLenard22 минут бұрын
Huyu choko kweli yani analeta ukabila kwenye mambo ya maana we msenge kweli yani
@HaryPoter-zw7vrСағат бұрын
Sidhani Kama Cha CHADEMA kimekwama kufanya maandamano. Seriously SERIKALI hakutaka maandamano hayo yafanyike, Siyo Kwa ulinzi ule, walikuwa maandamano ya IMANI, Kwa Hali hole ilikuwa Si Amani TENA.
@ulomirabiel6980Сағат бұрын
Huku sio kufeli kwa chadema bali ni kufelu kwa demokrasia ya nchi nzima.
@LucianSanga2 сағат бұрын
Mwongoo sana wewe kuandamana nikufikisha Ujumbe Munao Taka kupeleka Sasa ujumbe umefika
@MwakingweHabibu2 сағат бұрын
Maandamano yamefana vizuri tu na ujumbe umefika ila mpaka uwe na d2 ndio utaerewa
@Karimmveyange-y3jСағат бұрын
Nafikiri pia Walio zuia Maandamano wakisema kuwa ni uvunjifu wa Amani,wanamaanisha kuwa KUUA NA KUPOTEZA MAISHA YA WATU MBALIMBALI KUNAKO FANYWA NA POLISI, HIYO NDIYO AMANI KWA WATANZANIA. AU TUSEMEJE?? Ni jambo la ajabu na aibu kwa yanayo endelea
@MwanakomboNassor-bw3by2 сағат бұрын
Wewe kweli unabwabwaja bibi Titi ni nani katika taifa hili nyerere alishirikiana na watu wa pwani akafanikiwa kupata uhuru wamewaona wapumbavu ndiyo maana waliwapuuza
@benardmassawa35993 сағат бұрын
Swali ni moja tu kwanini hamkuandamana Arusha na ukaandamane DSM ! Au tuseme mmemuogopa makonda! Nategemea ulikozaliwa ndo uanze kuandamana na siyo uende kwenye mikoa ya wengine
@halimamasai22342 сағат бұрын
Wasitulete uchafu wao Arusha sisi tupo pamoja Na Makonda 💪💪💪
@dionismutayoba35422 сағат бұрын
Watanzania aliyeturoga uhenda alishakufa na bahati mbaya sana dawa aliyotumia kulogea hakuna aliyemuonesha
@AndrewShiratuСағат бұрын
Wazaramo wote niwanawake.kazi kula matembere tu.ndomaana mzaramo akiwa na laki 2 hawezi kutafuta pesa Ingine mpaka iishe.kwa hiyo sio watu watafutaji bari wamerizika na umasiki.
@stewartdyamvunye-wz6rn2 сағат бұрын
There is always next time. And in war, this is a battle "lost" but not the war. Hence the struggle continues with lessons learnt in this battle!
@ZahraBadri-k9qСағат бұрын
Acha kimombo CHAKO kibovu ...chadema ni saccos
@bundalamashimi3042Сағат бұрын
Malengo ya Chadema yamefikiwa ambayo ni kuieleza Dunia maovu ya kutekwa na kuuawa watu nchini Tanzania. Badala ya wananchi na Wanachama wa Chadema kufikisha ujumbe huu kwa Dunia polisi ndiyo wameandamana mitaana, wakaonekana kwa wingi kwa watu na wawakilishi wa mataifa ya nje, na kufikisha ujumbe wa Chadema. Inawezekana hili ndilo walikusudia viongozi wa Chadema na kupanga maandamano yafanyike Dar na wao walijiweka waweze kukamatwa kirahosi na polisi na Dunia ijue kukamatwa kwao kama viongozi wa chama maarufu Cha upinzani. Serikali imejikaanga kwa mafuta yake: polisi ambao ndiyo wameandamana na kufikisha ujumbe wa Chadema kwa Dunia.
@zaharamustafa-t1l2 сағат бұрын
Polisi wanatulinda la sivyo tungekuwa tunauwana sana
@AMUUNEWVISSION2 сағат бұрын
Hawa viongozi wa chadema wameuza chama Hilo sisi tulilitegemea walitaka waumizwe wasio na hatia Huo ni mchezo wa kisiasa
@FrankNzombo-k3j2 сағат бұрын
Wewe mtangazaji ujitambui hata kama umesoma ,ila hata picha hujui kuangalia
@HamzaHeri3 минут бұрын
WEWE SISI TUNA JITAMBUWA MABWELE MABWELE WAKUPELEKWA KIJINGA KIJINGA WAPELEKE HUKO HUKO KWA WAJINGA WENZAO
@rajabuchambela464832 минут бұрын
Hakuna mzalamo makini ww mkoa uliojaliwa Kila kt ndio maana mnakimbilia kwA wazalamo mnajua hakuna njaa nass tunawaita wakuja
@ramseyhusseinkhamis82582 сағат бұрын
Mwanafarisafa mweusi hata akili inaoneka nyeusi Uchumbazi gani Hu babuyangu
@WazirBoy-fe5ew2 сағат бұрын
Wewe acha ushamba wako huo, kwani nchi hii ni ya kabila la wazaramo?
@RamaMikidad-vm3we2 сағат бұрын
Ukwli kwamba mtanzania muoga sana hawez kuvimba mbere ya gwanda ile istnshe kunamtutu pale na masjaveta magari yawashawasha difenda. Ukweli nikwamba baaz yetu waogasana
@MrishoMindu-zq7mz2 сағат бұрын
Hakuna MTanzania mjinga na hasa MTz mwenye uwezo wa kutafakari mwanzo wa jambo na mwisho wa jambo husika. Wa Tanzania sio waoga. Wengi wao wana uwezo wa kutafakari na sio watu wa kukurupuka kama wanaenda kunywa Mbege bila kujua madhara yake ni kupoteza nguvu za kiume hatimae wake zao wana Vuka mpaka kuwa fuata watu wachafu wasio ijua nini umuhimu wa Tohara.
@MichaelMatiku-v7o2 сағат бұрын
Mbowe njoo tarime mjini tuandamane achana na vijana wa dareslam Wala chips police wenyewe wanaijua tarime
@PrinceHendry-hp8vv2 сағат бұрын
2011
@nakalikyumile32342 сағат бұрын
Vijana wa dar wengi ni legelege
@evaemil85650 минут бұрын
Acha uongo. Waandamaji hawajafeli. Polisi wameamua kuvunja sheria. Polisi wanatakiwa kulinda Amani, kulinda mali. Ila ujumbe umefika Dunia nzima. Wewe ndiyo ovyo muongo. Mbeya Hawa police waliwafanyia hivyo hivyo. Dar Lissu aliporudi nchini mbona maandamano alikuwepo makubwa. Yaani acha kabisa maneno yako. Wangeenda Mbeya, mbona mkutano wao ulifungiwa?
@AnociathaChuwa-cb5nk2 сағат бұрын
MAANDAMANO YA CHADEMA YAMEFANIKIWA SANA DUNIA NZIMA IMESHAONA NA KIJUA KINACHOENDELA KTK TAIFA
@MursalJumaСағат бұрын
Hii inchi nihatar xan iko siku watashindwa kuwazuia
@giftkalenge4182 сағат бұрын
acha ujinga Dar Kwa Sasa sio ya wazaramo tu
@LucyMambally2 сағат бұрын
Hivi Dsm Kuna wazaramo? Mwandishi unatimika vibaya. Katafute Kazi nyingine hii huna huna Kipawa nayo. Unaeleza uongo.
@BarakaSimon-xy9mp2 сағат бұрын
Ni mitutu ilivyo waogopesha raia
@MuhaliHamadiСағат бұрын
Ww sema tu ustaarabu upo pwani hii ndio bandar salama na cio Kila mtanzania mswahili somen historia
KWANINI NYINYI WATU WAKIAMBIWA NIWAGENI DSM MNATUKANA HIVI MWAMBUKUSI MBOE NA WACGAGA WENZIIE KWAO NIWAPI?
@hamismasoud83062 сағат бұрын
Yaani wewe akili huna kabisa wakati tunaandamana na Cuf yalikuwa yanafanyika wapi? Maandamano ya waislamu yalikuwa yanafanyika wapi? Chadema ni chama cha mashoga ni makunguru, watuulize Cuf ilikuwaje?
@dominicksangu89342 сағат бұрын
Hao wana ccm wna lingia mapolisi
@fabby11812 сағат бұрын
Wamefanikwa kwa sababu wamechagua maeneo ambayo wanaweza kuwa exposed kwa haraka duniani ili dunia ijue nini kinachoendelea. Maandamano yamefanyika mioyoni inasha sana
@SylvesterKameo15 минут бұрын
Umeeleza vizuri sana ila mzaramo hawezi kujua maana ya "exposed"!
@rajabuchambela4648Сағат бұрын
Kwanza atawewe ni mzalamo sema unijui t ukiongelea ccm ndio chama la wazalamo na mikoa yt pwani
@PrinceHendry-hp8vv2 сағат бұрын
Watu wa chuga sio machoko
@rajabuchambela464852 минут бұрын
Wewe unasema wazalamo wanakula tembele ndio maana wamelegea wewe ujui kitu mabondia wakuu wengi ni wazalamo Kuna mchaga bondia au mnyatusa nyie midomo tu dar ndio chuo Cha mafunzo
@RazakiMstafa-m4k42 минут бұрын
Tufanye kazi tuache promo wengine wana wajomba nje
@Pedropaulo-f3k2 сағат бұрын
Polisi achane kuonea
@HASSANWAZIRIGAOСағат бұрын
SABABU NI KWAMBA CHADEMA DSM HAIPO WENYEJI WA MJI DSM NI MZARAMO MNDENGEREKO KWA MAENEO YA TEMEKE WATU HAO CHAMA CHAO NI CUF NA CCM WANACHAMA WENGI WA CHADEMA NI WATU WA KUJA AU WAGENI
@jenyyusuph49732 сағат бұрын
We nawe kwani dar ya wazaramo basi Kuna wahindi wazungu ilala yote yawarangi mbezi yote ya wachaga mbagala yote ya makonde Yani Kila mtaa na kabila lake wazaro lamda asilimia ten
@PrinceHendry-hp8vv2 сағат бұрын
Nikweli mchambuzi wameenda kufanya maandamano kwenye chimbuko la mashoga
@ZahraBadri-k9qСағат бұрын
MBOWE mwenyewe shoga
@amitaimtaita667615 минут бұрын
Nani kakwambia yamefeli
@rajabuchambela4648Сағат бұрын
Ubaya ubwela wewe unijui istoria vizuli nyelele nchi kapewa na wazalamo
@EzekielKandonga2 сағат бұрын
Maandamano afadhali yangefanyika Mbeya au Arusha,Mzalamo ni Muoga kazi kupiga kelele mdomoni tu Matendo Zero.Pili Chadema Wangefanya Campaign za Chini chini na kutafuta njia Mbadala ya Kuwapiga Timing Police na Si Police kuwapiga Timing Wao.Kuna maeneo mengi Viongozi wa Chadema Wamefeli katika Suala zima la kuweka mpango kazi wa kuandamana.
@omariKalyangoСағат бұрын
Hamna mpya
@SaidKondo-i2t2 сағат бұрын
Mbona mbeya yalifeli, Huna akili wewe,
@brightergermanus21633 сағат бұрын
CHEDEMA WAMEJAA NIDHAMU HURUMA HESHIMA NA USTAARABU SANA
@MbokaRechadi2 сағат бұрын
Ujumbe umefika
@mohamedmarijani2 сағат бұрын
Matokeo ya timu zetu simba na yanga ndio yalisababisha maandamano kudoda.
@CheerfulDrumKit-du7qkСағат бұрын
Tetetetetstsgete
@emmanuelmziray1073Сағат бұрын
Nonsense
@MathiasLima-b7v2 сағат бұрын
Wewe kama nani hujitambui
@KamiliKapeta-yr3uc2 сағат бұрын
Wwe unajitambua unashibiki chma chama shoga
@ZahraBadri-k9qСағат бұрын
Sababu kubwa ni watu wameichoka chadema
@MrishoMindu-zq7mz2 сағат бұрын
Mmbwa wewe haujui Historia khanithi mkubwa wazaramo hawaja husika ktk kuleta uhuru Mwl Nyerere alienda wapi kusomewa Dua na kufundwa kambi ilikua wapi. ? Kama ulikua haufahamu Mwlm alienda kufundwa Bagamoyo kwa Shekh Ramia Hao wa kina Bibi titi Mohamed hawakua wapambania uhuru? Ni wenyeji wa mkoa gani ? Shida yenu mkitoka bara mnakuja na Majembe yenu mjini
@josephwilliammnyune5464Сағат бұрын
Kilichofanya maandamano kushindwa ni kujipanga walivyojipanga Polisi kuzuia maandamano. Sio swala la uzaramo au vijana wa Dar. Mbona yameshawahi kufanyika maandamano ya Chadema makubwa tu hapa Dar.
@AbdallahUlimwengu2 сағат бұрын
chadema kafanikiwa kwani lengo ni kuonyesha uma dunia nzima imeona
@zawadimbwambo10912 сағат бұрын
Waandamanaji ndio wamefanikiwa. Maana mw/kit amekamatiwa kwenye maandamano. Na sio nyumbani kwake ujumbe umwfika
@ChristianMkumbo-ix2ke2 сағат бұрын
Chadema is only part in Tanzania to serve tanganyika