Maashaa allah kumbe sabra nae ni mja mzito allah ibarik
@chantalmulasi56633 жыл бұрын
Mnazidi kutucha nganya please fanyeni nguvu kumta futa Sabrah afanye naye interview bado tungali tuna sikia upande umoja tunaomba upande mwengine useme kiisha sisi wahamuzi wamambo tuta hamuwa. Sime yaleta kwetu ili tuamue? Bac leteni pande zote mbili Ili tua mue tafadhali 🤗🤗🤗
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Kabisa
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Kwakweli
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
😂😂😂
@handsomebosz66073 жыл бұрын
Nampenda sabra
@hadijajumanne54933 жыл бұрын
Huyu dada anapenda sana mitandao ya kijamii anaitukuza mitandao,haikuwa na sababu ya kujibu
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Umeonaee
@sikudhanimohammad76923 жыл бұрын
Hajawahi kumgombania mwanaume. Vile vijembe vya nn
ukiona m2 anasema ivyo ujue yeye ndo mrogaji darleen anaroga yeye
@rayanndizeyes31613 жыл бұрын
kwa mumume kumupenda inatosha iyo
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Sura yenyewe ngumu kama mwanaume afu anajishaua sana huyu malaya wa kike kenge sana mwanahawa
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
Apo chacha😀
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
@@mariamsuma3003 hahAhA😂msameh😂😂😂tumuelewe kampata is'haka kwaku bahatisha ndomana anajishauwa sna😂ukiangalia sabra ni mrembo kumzid ana shepu nzuri MashaAllah😘
@harunalitupile49493 жыл бұрын
Munazingua sauti ya mziki no kubwa kuliko kuongea atusikii
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
Umeonae😒
@hanifaally46943 жыл бұрын
Kwakweli mtihan ndoa ya uke wenza mimi ni Muislam lkn siwez mume wa mtu cmtaki na wangu pia sitaki aowe sitaki shida mimi ALLAH atanisameh tu maana ipo kwenye dini yetu lkn ngumu kumeza na hasa kizaz chetu hiki mmmh shida
@zou74703 жыл бұрын
Nikwel lkn ukumbuke wanawake tupo wengi musipo kubali wafanye nusra basi uzinzi utakuwa mwingi 🤣🤣🤣🙈
@ashahahahahatwendenikwetut38263 жыл бұрын
@@zou7470 mm sjui hata nifanye nn!! Nikianza kuwaza mambo ya ndoa kuchangia mume nahis kufa
@hanifaally46943 жыл бұрын
@@zou7470 kukubali c tatizo dear lkn mwingine akiolewa vishindo tena utafanyiwa + ushirikina weeh ujute km hujui shirki utaijua mimi akitaka kuowa aniambie tu nijue ntawaacha cwez vishindo labda hy mke mwenza awe mpole na mume akiwa muhadirifu hpo hamna noma lkn nining'inizwe roho mpk ifike juu ya mti sitaweza bora kaz yngu ndy iwe mume 😂😂😂
@ladislausngoyinde43843 жыл бұрын
@@ashahahahahatwendenikwetut3826 njoo kwangu mi nataka nioe au mpaka mwanaume awe mwislam?
@fatmarashid20663 жыл бұрын
@@ashahahahahatwendenikwetut3826 tupoo wengi tusio na mioyo
@farahanafarer75883 жыл бұрын
Angepiga simu
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Wasituchoshe, nampenda Darleen inatosha 👌🤣
@afsanibitanga2913 жыл бұрын
wapiliiiiii wooow
@rehemashafi48093 жыл бұрын
Ndio mambo ya uke wenza ay
@saidronya22313 жыл бұрын
Wa kwanza.... Like nying...
@ashaali71543 жыл бұрын
Hivi huyu Isihaka anapata hizi interviews nyingi na kufuatiliwa kwa nguvu hasa sababu yake ni ipi? Au ni kwa sababu kamuoa Darlene? Ama kweli ukitaka umaarufu jiingize kwenye huu ukoo utaongelewa kama dawa mara nne kwa siku. Tunachoka.
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Kwakweli napenda kuwa mke mdogo nitampenda mke mwenzangu kwa ajili ya Allah labda yeye anichukie mm ila kiukweli hakuna mwanaume wa pekee yako
@doreenkareem58173 жыл бұрын
Vp ukiwa mke mkubwa
@mariamibrahim31623 жыл бұрын
Sabra namuelewa
@saladaniel92743 жыл бұрын
G darling Umenichekesha 😜 Unatamba unajua kupendwa tuu Kaa kwa kutulia weweee 👉 Wanaume hawana formula
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbona hawana formula,hahahaaaaaaaa😭machozi ya raha ya comment yako
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Hajielew Huyu mwanahawa hajawah kupata mwanaume
@esperancakombat77973 жыл бұрын
Kwakwel hawana formula utaumbuka bure mwsho wa siku
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
Naam
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Ish aka nimrongo angekua ana mapenzi angeondoka aka wachia mamboyenu
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Mwatuchanganya
@rayanndizeyes31613 жыл бұрын
uyu Sabra hataki kukubali Dada queen kuwa muke wa mumewake ila imesha bindi akubali Sabra iyo siyo tabiya zuri kubuhahibisha mume wako tena anakupenda sana na queen anaelewa.
@fetychina32733 жыл бұрын
Isihaka muongo dareen ndio unamroga isihaka nenda huko
@fetychina32733 жыл бұрын
@@adijaniyonkuru9731 na huyo alie sema karogwa ana uhakika? Unajuaje kama mwenzio mchawi kama nawewe sio mchawi?mchawi Darren aliekuja kuvunja furaha ya watu.
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
Inabd sabra nae amfanyiwe interview maana wanatinganya sijui tumuamn nan n mbona walikuwa wanachrt?
@Fadhakir213 жыл бұрын
Pole sana
@youngchua6973 жыл бұрын
CONGRATULATIONS QUEEN 👑
@starcostantine17953 жыл бұрын
Sasa kama uliwaachia ndoa sasa unachopata shida kuongea ongea ni nini? Kama huuumwi na kijiba cha rohoni 😂😂😂tulia mama mwenzio aendeleee Gemu uliloshindwa wewe 😂😂😂
@zaitunimohd36173 жыл бұрын
Kabla hajaingia daleen kwenye hii ndoa ilikua na amani jamanii ndoa za Instagram hizi
@faudhiaamerii66923 жыл бұрын
@@adijaniyonkuru9731 acha kumkumu mdad wawa2 ttz kizazi 2 lkn ni mung acha na maneno y mtanda on ili achafuliwe 2 Han kosa
@Rylee_kerrueche3 жыл бұрын
Mh hao wanaopiga mziki mkubwa hata hainogi maana mtu hasikiki
@wardaheluwa7343 жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu yaweza kuwa mke mkubwa aliondoka na ujauzito na mume hakutaka kulieka wazi tu
@sikudhanimohammad76923 жыл бұрын
Kweli kabisa. Hawez Kusema
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
Huo ujauzito wa Sabra una siku zakutosha ata Is'haka aliwahi kuliongea sema Sabra alikua anaficha,kabla ata ya Queen kufanya ile party yake ya harubaini,in short ujauzito niwa Is'haka na Queen analijua hilo ni juu ukewenza hausafiki😒
@sikudhanimohammad76923 жыл бұрын
@@nahimanamayassa8305 umeona ee?
@wardaheluwa7343 жыл бұрын
@@nahimanamayassa8305 umenisaidia akili maana likuwa nashidwa kuelewa
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
@@wardaheluwa734 Ndivyo ilivyokua
@justinjoshua10593 жыл бұрын
Pole Chris, nasikia sauti yako sionzuri.naona unamafuwa.isiwe corona? 😂😂😂😂😂😂😁😁😁I'm joking
@damariszuckschwert94893 жыл бұрын
Corona is not a joking thing..,people are dying.
@justinjoshua10593 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 so what?if u believe that is not utani I don't care.
@queenseptember46403 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 kwan Malaria watu hawafi? Cancer? HIV? TB? HEPATITIS?
@@umakramzahor4836 kweli.ni sheria lkn sio rahisi kama unavofikiria hili ulisikie kwa mwenzio usombe likufike kusema ukweli tu uke wenza ni mgumu hasa kwa dunia yetu hii kwa ss watu tuliokosa imani ya dini yetu
@@umakramzahor4836 umesema kweli...aache kushughulishwa na mke mdogo afanye mambo yake...hayo mambo yata settle yenyewe
@wivinemwamini91103 жыл бұрын
Muache apedemukewake
@binthassancollection.63083 жыл бұрын
Sasa mumeachwa mjishemedue vzr kwa nn mwaficha🤔🤔. Mwenyewe kashasema mumkome😂😂😂
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Sabra amekosa hekima....
@nightwishisthegreatestband63553 жыл бұрын
@@hadijasalum6373 wamwache sabra wetu
@hadijamandanje61893 жыл бұрын
Kuna mwanaume alinisumbua sana nilipoamua kuachika hakuwahi kusema kuwa ameniacha alificha sana na watu walivyokuja kujua akawa anatangaza kuwa namtumia sms za kumpembeleza wakati sikuwa na muda huo
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 Ndivyo walivyo awo wakina hawa,*hawana* wema wanaume😒Umeshaona sasa kma apo Sabra yuko right kuweka wazi kua ameachika?!wenda kesho is'haka au uyo mwanahawa wake watakuja kutangaza ayo ayo yaliokutokea!
@hadijamandanje61893 жыл бұрын
@@nahimanamayassa8305 kabisa tena
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@janatahmad70483 жыл бұрын
walitaka tu kuficha sabra amecha achika kitambo
@hanifaally46943 жыл бұрын
Wee kumbe htr bac
@Cyper2553 жыл бұрын
Isihak yupo kwenye wakati mgumu sana. Inaonesha hakumshirikisha mke mkubwa uamuzi wa kuoa
@fetychina32733 жыл бұрын
Kabisa
@babylonyNgwembe3 жыл бұрын
Karibu kumshirikisha wa kwako
@amunaamai86313 жыл бұрын
hhhh mambo nimagumu
@ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын
Sabra ni muongo yupo na mumewe anatabia tu ya Kukana hata yule kaka aliwah kumpost na mtoto wa yule kaka lkn alipoulizwa aliMkana pia
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Nikweli alaf hajui kucheza na hisia zake....anakurupuka tu hapo ndipo anapompiku darlin
@alsam48813 жыл бұрын
Huo mziki kwa nyuma unakera sana ni kelele tupu studio , wangepunguza sauti ya mziki wakati wanawahoji, inaonekana wafanyakazi hawapo vizuri kwa kazi yao,inabidi warudi chuo kujifunza tena.
@dianarobert39893 жыл бұрын
Wanajua nini ndg yangu umbea tu
@maxwellking93993 жыл бұрын
Alsam@ Redio hizi zimejaa ubabaishaji na hazina weledi hata kidogo (luck of professionalism) ndio maana ha zikifungiwa mimi naona sawa tu siku hizi. They have a long way to go in order to learn better.
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hawa alisema mume wake pekeyake mbona hapa anasema tunapendwa wote
@Ryoof-qo7if3 жыл бұрын
Chizi huyu
@mereyamhomesmariamhomes34643 жыл бұрын
Kwa sababu awajapatanishwa
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Tumuamini sabra ndie hataki shobo
@raymondkanyama63873 жыл бұрын
Hhhhhhh
@munmun_stepup69003 жыл бұрын
Mke ndio mkweli
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Swabra pole mwenetu
@gabrielibyaese8273 жыл бұрын
😷😷😷😷😷 since you american tumeshoka tuuuuuuu
@zabibunduwimana46123 жыл бұрын
Sabra mange alikwambiyaga uhachike ila ahukusikiya
@ramasonkalujefa46203 жыл бұрын
Watu wakutaka ubea mtadaoni mtapata tabu sana kujua ukweli, mbogo bwana hahahaaa shika moho bogo mitadao