majutoooo mjukuuuu hy ndio inayowakuta wanawake wengi wa sasa
@profesamakame517910 ай бұрын
kshaahadaliwaaa huyoooo
@obdkawawa947910 ай бұрын
Mashallah kazi mzuri
@JokhaSalimKhalifa-ly4xv11 ай бұрын
Safi kaz Ina mafunz makubw San San mashaallah ❤️😊😊😊 big up
@shamsiyasalim686611 ай бұрын
Umemuomba talaka mumeo bila sababu sasa wataka kurudi pole ulitakakupima maji kwa mkono saidi mjomba hongera zako
@DhulkifliAbdallah-z9f11 ай бұрын
Wa mwanzo😊
@Kokhaako11 ай бұрын
Hongera said mjomba pararukapo hushoni asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Na huyo kama alimkataa sulhu iliyotolewa ni kaka yake alimkataa na kumdhalilisha Sasa kashapigwa ni gombe chogo nende atakako maana sasa kashakuwa naakili.Kamwendeye tena Rovi akukatili.
@HalimaAme-yu9ft11 ай бұрын
HONGERA said Mjomb na hekm yako
@abuutoll-wr8cb11 ай бұрын
Uhakika ❤❤❤❤❤
@sabihahamadi228711 ай бұрын
Jamani wana wake mualimu wetu ni kipofu tunapenda kudanganywa haya sasa yakukute
@AlwanKombo-hd3dt11 ай бұрын
Ujumbe umefika
@hamadnassor203711 ай бұрын
👌😂😂😂ok
@mohdsaad273611 ай бұрын
😊😊😊😊❤❤❤❤
@akidahamad14211 ай бұрын
Akida hii imeenda said wa dodo
@shamsiyasalim686611 ай бұрын
Huo ni ujinga wa kufukiria kambla ya kutenda ulikuwa na mawazo tasa ukadhanibkuachika ndio suluhu umekosa mwana na maji ya moto pole sana dada kaa kwa kituo sasa