Ending 2023 with this song, kama unaelewa kiswahili gonga like ukipita
@eliamwanamayo35966 ай бұрын
Like here who have back to listen 2024❤❤
@ViolethAmedeus9 күн бұрын
2024❤❤❤❤🎉🎉❤❤
@JapharSwalehАй бұрын
Nyimbo hii inanikumbusha mbali san inanifanya nimkumbuke dada yangu kipenzi Mungu ailaze roho yake pema peponi amina
@a.k.a-rokilaАй бұрын
Sorry for the loss of your dad. may his soul rip
@judithchagusia47953 жыл бұрын
Wimbo wenye mafunzo kwa wenye pesa,usidharau MTU,thanks said
@hassanimatenga-du2ct2 ай бұрын
Nikweli kabisa unafundisha sana
@AliceNeemaKarisa5 ай бұрын
Utajiri na kuabudu Kwa roho na kweli ni bora sana nipitiene tusonge pamoja please
@clementmarandu27122 жыл бұрын
Mafunzo halisi katika maisha yetu ya kila siku. Hongera Saida Karoli
@assumptamwende-vv4vt Жыл бұрын
Saida kaloli asante sana kwaio wimbo na mungu azidi,tena na azid sana,kkuinua kwenye mzikii milele umetufundixha mambo mengi xana kwenye io wimbo sanasana xsi wasanii wakesho🙏
@nicksongreyson1759 Жыл бұрын
Wimbo Bora na wenye maudhui ndani yake bigup Saida
@silaskatamu9881 Жыл бұрын
A big lesson to the current generation. Respect to all humanity, 🎉🎉. Listening from Mumias Kenya.
@carolinanyofu13863 жыл бұрын
Usidharau mtu yeyote. Kuna leo na kesho
@user-wp7zd1si3g7 ай бұрын
It's 2023 qnd can't get enough of this masterpiece ❤❤the message😢😢the beats😊
@Shilurofficial6 ай бұрын
I'm here with you ❤❤
@keanii3 ай бұрын
Am in 2027 the message still strong
@metrineomukatia36853 жыл бұрын
Kwa nyimbo zako dada saida..hii ni mstari wa mbeli penda sana
@abedmutune3102 жыл бұрын
This was the initial meaning of music before the wicked generations erupted. To educate and entertain the society morally.
@antybabybintrashid2333 Жыл бұрын
😂😂😂Don make me lough before the wicked generations erupted
@charlesmwaura5453 Жыл бұрын
5
@priscalucy962610 ай бұрын
😂😂😂😂😂true oh parents we are being entertained with shock everyday 😢😢😢
@scollersyombua4 ай бұрын
wadoz mstyle hup sasa
@freddyfredricks34353 ай бұрын
Wicked generations captured me😂😂😂😂😂. I guess we both r of this wicked gen#😅😅😅
@salomewanyonyi42372 жыл бұрын
Wealthy is vanity bt only humble before God will give us mercy.Nice one Saida
This song really teaches people on how to be humble...we are all God's children..
@bejakamanza25423 жыл бұрын
Hongerah xna Saida ju uu wimbo umejaa ukwl m2pu.
@AngelaWaeniАй бұрын
Mimi nilipoteza mifugo juu ya hii wimbo 😂😂i can't get enough of it still 2024 , mafunzo n smart
@BrysonAswaniАй бұрын
Mungu akubariki sana nice song 😜
@yunispatrick8613 Жыл бұрын
Nliupenda huu wimbo since 2002until now 2023, Glory be to God 🙏🙏🙏🙏
@mrgmwando9494 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wewe tuko pamoja
@yunispatrick8613 Жыл бұрын
@@mrgmwando9494 Nakwambia huu wimbo uko na mafunzo mazuri sana
@shuwenasamit33116 ай бұрын
Mipia
@user-xd9en6hf9t2 ай бұрын
Ghai ady ckua nimezaliwa but naipenda sana good morals and lessons
@yunispatrick86132 ай бұрын
@@user-xd9en6hf9t kwani wewe ulizaliwa lini 😂😂😂😂😂
@shantelshantel62983 ай бұрын
Waaaaa hii wimbo inanikumbusha kwa machungu nilivyo teswaa nilikua karibu kujiua but Mungu ninani alipiga walio nitesa viboko
@user-ro2zh5ri6n5 ай бұрын
Kwa hakika pesa sio Kila kitu katika haya maisha big u Saida Karoli be blessed
@elishamwakapoja20 күн бұрын
Nyimbo nzuri yenye ujumbe mzito Maishani❤
@ruthkanini98113 жыл бұрын
Nice song napenda sana kuisikiliza barikiwa
@petermusickaranilist44923 жыл бұрын
Very true
@patiencekimani76822 жыл бұрын
Mziki mnene.Shujaa Saida.
@gracekoki27293 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana na wenye ushauri mwema.Tujifunze jameni kila mtu ana umuimu mbele ya Mola wetu.Asante sana dada karoi kwa ushauri.
@polycapmoracha99552 жыл бұрын
asati Sana wimbo musuri Sana Na wenye ushauri musuri Sana mbele ya mola asati Sana dada karoli kwa Kila wimbo musuri
@patiencejuma19302 жыл бұрын
Great lesson. Mbele ya Mungu sote tuko sawa.
@anaeliotakwa1251 Жыл бұрын
Nyimbo yanikumbusha baba. Mtu alitufanyia madhila .ila kwa Sasa mungu naye ana ukubwa wake.
@erickowino23092 жыл бұрын
Shukan dada Hilo nyimbo yaguza roho
@petermalaki549810 ай бұрын
This was a very emotional song by Saida Karoli. The lesson is that however great you are, don't look down upon the physically disabled. You too could have the leisure of fathering them. Respect the way GOD has created them. Let's have humility. Wealth is nothing compared to real human beings. Be mindful of the physically disabled.
@gediongitonga58166 ай бұрын
This song will never lose its message ❤, Great message indeed!
@mutumakaundu8 ай бұрын
On a typical Sunday afternoon, growing up in the eastern part of Kenya, my dad's cassette radio played this masterpiece non-stop.....fast forward to Sunday afternoon, 29th October,2023, I still love the song.
@derrickwere62258 ай бұрын
God bless you
@wesleyokindo62472 жыл бұрын
When I was around five years elsewhere I heard this song tears rolled down my cheeks thank you God who uplifts the poor and needy
@wisepage7288 Жыл бұрын
God lifts no-one, he is nowhere, ask turkana people
@crispusbenjamin44057 ай бұрын
@@wisepage7288stop discouraging others if God doesn't exist to you
@RobertJames-wz4um3 ай бұрын
1:48
@rachelkwamboka64173 жыл бұрын
Kwangu Mimi Sasa ni maajabu ya Musa combining ya firauni..this lady made me solemn and myself!! Sikuwahi muona na macho am Soo happy to see her live. Technology, achana nayo
@WinKathambi-md5cz Жыл бұрын
I love you pamoja na songs zako akh ❤❤
@bonfaceaminga17772 жыл бұрын
This song is a boom for sure....it really humbles everyone
@TiyamikePhiri-nx1dx Жыл бұрын
Naisha marefu dada yangu uwu wimbo naupenda sana kuliko moyo wangu endelea kutuelimisha kupitia kwenye nyimbo zako from Malawi
@evratvkenya92633 жыл бұрын
ngoma kali sana saida karoli king of traditional song 100%
@sweethearthilaa9 ай бұрын
King or queen 👑
@milkamugomo2182 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali asubui tukienda shamba babu alipenda kuweka cassette yako kazi inakuwa rahisi sana
@juliusoumaotsieno13702 жыл бұрын
It's full of facts
@FranciscaNduku-ht4gd Жыл бұрын
Money can't buy anything,be blessed saida
@ngetichweldon648 Жыл бұрын
This was my late friend Cheruiyot cheptirgei Stephen favourite song, we should always humble ourselves, continue resting in peace bro, if you could be alive today I could call you, a good hearted guy, educative song, I can play a thousand times. Saida carol God bless you.
@jkigombe006 Жыл бұрын
Pole Lakini.
@catembula38392 ай бұрын
2024 bado niko hapa❤
@issanalapa93122 жыл бұрын
Hongera sana dada ni wosia wanamuziki hawawezi kazi kuimba mapenzi tunahitaji msanii saida
@douglasmokua25322 жыл бұрын
When it plays, I remember when my dad was arrested for no reason and how much the poor are undermined by the Rich people. Today I have little, I pray that God gives me and I should give to less fortunate too.
@paulnjuguna17922 жыл бұрын
Always be calm you never know what will happen
@benatusmarwa83602 жыл бұрын
it is painful
@ragamaedwin53742 жыл бұрын
Indeed God has heard your prayers and he's gonna answer the desires of your heart according to his will, it is well
@wintarahalimz Жыл бұрын
Ameen
@crazyguy3614 Жыл бұрын
amen
@melisahmercy25913 жыл бұрын
Wooow still here 2021 july ....still hot....ikiimba nilikuwa primary na ilikuwa enzi za compact tape ingeisha nachukia kalamu kurewind😅
@mariamsospeter9518 Жыл бұрын
2023gonga like huu wimbo nammiss sana babaang endelea kumpuzika kwa amani babaang kipenz nakumiss sana babaang 😢😢😢
@katerinakatie491 Жыл бұрын
My grandfather ensured I listened to this, years ago.... It humbles me, life is indeed vanity upon vanity!
@duncankeiza5252 ай бұрын
I love 💕 this message
@margaretwanyoike9879 Жыл бұрын
This song reminds me of my stepfather..The moment he wakes up he would put this song.I grew fond of this song due to its message..Over pass 15years I have been looking for this song and finally…Usingililie kazi yake mola..Kweliiiiiii.
@luciaangelyne1580 Жыл бұрын
This song is so touching, for sure usidharau mtu au maumbile kwa sababu ya utajiri, kweli ni kazi ya mola
@disiiclinton6748 Жыл бұрын
When it plays I vividly remember my two aunties who died the same week but different days back in 2005... Continue Resting In Peace Auntie..
@marthakarungari4585 Жыл бұрын
Ooh my...i heard this song in the year 2007 while travelling....since then nliiona KZbin i month ago ....i listen it almost everyday....has alot of teachings
@Lasic456 Жыл бұрын
Pain bro😭
@christinewavinya39783 ай бұрын
Reminds me of my cuzo jemo 😢😢continue rip
@faithmmbaiza40362 жыл бұрын
Am just in love with the beatings the message the sweet voice.Saida We Kenyans love your music.Very educative.You such a blessed.Karoli persue and accomplish what God started in you by His name.
@hemwamalwa7002 ай бұрын
❤wewe mwenye pesa mkae kaa ukijua hilo lipo na linapita
@paulrotich41022 жыл бұрын
This song touch my heart and soul and still teach me a lot of lessons.
@user-kw8kq8qj5l5 ай бұрын
Who else listening the message of the song #2024
@user-ph4qq2cb9h2 ай бұрын
Avery inspirational song with special message,intelligently produced.Be blessed Saida
@mokayatony1605 Жыл бұрын
Nice composition. Great lessons and a wonderful melodious voice that pricks the soul and speaks to the heart
@saknajumapili82822 жыл бұрын
Nakupenda sana saida
@lulu-oz7ih3 ай бұрын
The producer of this bit😩😩❤️❤️
@bethngari57032 жыл бұрын
Sweet melodies Voice🥰 still rocking 🔥
@dorcasrotich75702 жыл бұрын
The sun that melts butter is the same Sun that hardens Clay ,stay humble
@kanudamandago58252 ай бұрын
Am listening from DUBAI safii sanaa proud of being Tanzanian
@mariamsospeter86223 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani babaang kipenzi nikisikia huu wimbo nakukumbuka lakin hakuna nanma😭😭😭😭
@theonestrenatus9542 жыл бұрын
Pole sana ndg
@mariamsospeter9518 Жыл бұрын
Asante
@GodfreyKapalale2 ай бұрын
pole @mariamsospeter8622
@nickjeluget43252 жыл бұрын
A song with a message, na aliye na maskio askie.
@AnneJuma-yv8xg5 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana na unasikitisha sana aky wadau wenzangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@silasmutari85872 жыл бұрын
I love this son which is full of wisdom on life
@leahmwendwa5632 жыл бұрын
Still rocking... I grew up taking lessons from this song.. "Msiingililie kazi yake mola"
@kegaamos3 күн бұрын
Wimbo wanisisitizia mcheka kilema humpata. Watching from Thika, Kenya
@maxmilahadema62942 жыл бұрын
In everything we do let us be humble, don't put anyone down just because you have everything .
@user-bs1wp5hx1k7 ай бұрын
My most favourite song.inanikuza sana
@TumutangirireAcleo-xy7tkАй бұрын
Wimbo mzuri kabisa wenye kubeba mafunzo, ujumbe na hisia nzito. Much❤Saida
@fredinakasyoka918 Жыл бұрын
Special dedication to my baby daddy, he has promised me not to be responsible for the baby 😢 this song is yours, tuko tu Kwa hii dunia 😢😢
@josephmutuku40148 ай бұрын
Hello
@FaithVishy-wv8lp Жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha baba yangu alikuwa anapenda nilikuwa around 8 yrs old but Kwa sababu mamangu hakufanikiwa kumpata mtoto wa kiume dada zake walitufurusha nyumbani the yr 2010 na wakamletea msichana mdogo hadi Leo hii Niko 25 yrs old sijawai msikia Wala hakurudi kututafuta😢😢😢😢😢😢😢
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
nampendaga sana huyu mama.sema ruge alimuibiaga sana.yu wapi sasa yeye katangulia saida yupo mpaka leo.vyote tutaviacha hapa hapa hata uwe na utajili kiasi gani
@BeckySasha-zy7it10 ай бұрын
When I listen to this song I feel like my heart ♥ is full of everything
@patohranking2537 Жыл бұрын
This song it's so awesome and touching,saidakaroli# God bless u
@erickimuyu2524 ай бұрын
Wow wow...i remember those days back in primary school..i wrote insha about this song i scored 35/40...my teacher was like "hii story umeitoa wapi?...so touching"kumbe wimbo duuuh...nice song ever
@pascalkingu95702 жыл бұрын
Big up, sister Saida, ohh my god 🙏
@vanebichanga9466 Жыл бұрын
What goes a round comes around✌🙏Do good always no matter what.
@justusnyangweso290 Жыл бұрын
Very talented woman and it's a really lesson that she spread to the world
@Rhumbacherie2 жыл бұрын
Strong life lesson here,All is vanity,money can't buy everything,,it is humility and respect for humanity all the way🤞🤞
@cynthiasneakah22302 жыл бұрын
Wacha hio pesa unaita vanity ipite kwa mlango yako
@peterkennedy75362 жыл бұрын
True
@linahboaz24922 жыл бұрын
My favorite song🔥🔥wa kwetu🎶🎶
@dianarevelian75532 жыл бұрын
ahasante mama yechu muhaya penda sana
@kevinkioo2543 ай бұрын
Malkia wa kibongo, nyimbo hayasahauliki kamwe. Sauti tamu ❤❤❤
@pickinskeith4534 Жыл бұрын
Reminds me of my late dad. Rest in peace Bonface. Fare thy well until we meet again dad😓😢😥🌷
@Lasic456 Жыл бұрын
Pain bro 😭😭
@everlineatienonyambok3827 Жыл бұрын
Wow can't get enough of this song 🙏🙏
@eugineabuti9848 Жыл бұрын
Never thought of death cause this thing never happened to me...I wasn't amused when I hear my neighbor's have lost there loved ones but when I lost my dad in 2019 I came to realize these thing is reall and very cruel I miss my dad so so much he loved these song...the song just gives me memory of him rest in power dad I will always miss you till we meet again papa
@tommulongo3441 Жыл бұрын
From kenya,Beautiul lesson.It reminds of Lazarus and the rich man.Rarely u can get richmen who are not wicked.That is why they die miserably.
@MorrisKyalo-km6fm Жыл бұрын
My father's lovely song ....hii hatungekosa kuekewa kwa ile self radio yake
@obaremoranga8449 ай бұрын
My favorite song ever and such a great inspiration to our generation and generations to come ill be celebrating the theme of the song decades to come💯💯
@jamesmulwa6284 Жыл бұрын
Indeed the song is much of lesson, respect each and everyone despite their class in life.Amen there is God in heaven
@claireomari9001 Жыл бұрын
This SONG is a boom,if u only take ua time to listen,u won't be wicked in anyway,bcs what goes round must come around,be blessed Mama
@amandahedwig13332 жыл бұрын
I'm just glad that many of us still listen to Saida Karoli
@juniorarineitwe23952 жыл бұрын
Always, though I don't understand swahil😉
@wisepage7288 Жыл бұрын
Unfortunately God is no where
@amandahedwig1333 Жыл бұрын
@@juniorarineitwe2395 the story line is basically some dude refused to let the lame into his party coz they'll being him shame then his wife gave birth to disabled kids...
@mayelekaregeya8717 Жыл бұрын
Fusion of the spiritual and emotional dimensions. Difficult to play indifference.
@Lulvercameleonkemba3 ай бұрын
Daaah leo nimemiss huu wimbo ajabu yaani nilivyo usikia nikaweka isia kama inatokea huu muda nikajiskia baridi nakusisimuka 😢😢😢😢
@franciskamburi986 ай бұрын
Woooooo.....what a great lesson.......2024❤ still listening to this hit
@user-ku6ku4tr1s Жыл бұрын
Nyimbo zako zanipa nguvu nyingi yakuishi umbarikiwe sana dadangu
@praxidesnanjala90722 жыл бұрын
Am learning a lesson in this song may Almighty God 🙏🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe sana mama
@user-qo4rk2fc3r Жыл бұрын
This should be a gospel teaching lesson.anyway thanks mummy.naona ata jina zetu zina rhyme
@philemonrarin50428 ай бұрын
this an emotional song composed by karoli extremely it taches and soothes my heart it's reminds me back to ancient times that it's parable that the rich man exploits and oppressed the have nots/pauper because they don't have ability to defend herself I was very painful to re-flashback that story because the rich man claims he must to do what's in real sense no one dare to experiment 😢😢 God help me,,,,karoli receive God's blessings wherever you were my sister
@owmanaekebasocomedy932010 ай бұрын
This song reflects at the society how the poor people are treated but I thank God now that we have something to share😢