Sakata la DIDDY hali ni tete! Haya ndio yatakayotokea, DJ Sma, Sky na Jacob wajadili mapya mengine

  Рет қаралды 47,039

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 203
@SeifAli-n2d
@SeifAli-n2d 4 ай бұрын
Dj sma upo vizuri sana broo mungu akuzidishie
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 10 ай бұрын
I ve never see a smart dj like this one in the world 🌍 Is very intelligent
@augustinenjagi6255
@augustinenjagi6255 10 ай бұрын
Dj Sma badilisha hilo jina liwe DJ Smart you really know how to articulate issues
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
🙏
@uwezokinahi7870
@uwezokinahi7870 10 ай бұрын
I second
@juliusjustin4813
@juliusjustin4813 10 ай бұрын
​@@djsma255sure dj smart
@cleophasmkungu623
@cleophasmkungu623 4 ай бұрын
DJ Smart. Ila kweli bro yuko gud sana kwenye elaboration.
@mathiaslaurent756
@mathiaslaurent756 10 ай бұрын
@dj sma huyu jamaa ni mtu makini sana! Very smart haongei hovyo hovyo bali anaongea fact na madini matupu!
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 10 ай бұрын
Dj Sma is very smart ,ongereni SNS mnatuburudisha Kwa habari nzuri brother Sky unaweza.
@gochamso
@gochamso 10 ай бұрын
Mwambieni aache udini gaza gaza kila siku
@djalasaleh
@djalasaleh 10 ай бұрын
Hana udini. Wewe ndio ujielewi. Elimu Elimu......
@shd12m55
@shd12m55 10 ай бұрын
Af uyo mwamba mwenye tshrt black yuko na voice safi ya utangazaji
@silamnyama1642
@silamnyama1642 4 ай бұрын
Nakukubali sana bro congratulations
@hassanmkufya2867
@hassanmkufya2867 10 ай бұрын
Nimependa dj unajua kizungu lkn unangea kiswahili ckama hao wanaojifanya neno moja la kiswahili.. Kizungu kingi
@adetaurus
@adetaurus 4 ай бұрын
Your office is very beautiful😍 designer apewe maua yake 👏🏾👏🏾👏🏾
@eliacmaginya3429
@eliacmaginya3429 10 ай бұрын
Aiport ya ethiopia nafkiri ndio airport ya kwanza kwa ukubwa barani africa na wana ndege za kumwaga ukiangalia kwenye uwanja. ndege za makampuni mengine ni chache sana ukilinganisha na ndege zao.Nafkiri uchumi wao mkubwa utakuwa unatokana na air transportation.Airport ya bongo kuna mida watu wachache sana lakini pale ethiopia sio mchana sio usiku utafikiri watu wapo mnadani wanatafuta viwalo.
@maryamtan682
@maryamtan682 10 ай бұрын
Pale ni km njia panda ya ndege kutoka nchi zt zk pale.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 4 ай бұрын
Wabongo wanafki wakubwa...mtabaki kusifia vya wenzenu tu...Magu alijitahidi kununua ndege wabongo tena wasomi wakaponda vibaya sana. Bora mfungage hayo mabakuli yenu maana wengine bado tunakumbukumbu. Huna hata haya kutoa mapovu kusifia vya watu vikija vyetu badala ya kusaport wanatoa matusi na kuvihujumu...shame on you😣😣
@AaAa-tf7sl
@AaAa-tf7sl 4 ай бұрын
Kweli nishawai fika pale na hta ulali kwenye vitu unalala kwa room😂
@allahisone6386
@allahisone6386 4 ай бұрын
​ Room Zin lipiwaaaa si BUREE
@swazi-bmzwabusarawysd8083
@swazi-bmzwabusarawysd8083 10 ай бұрын
Pole na safari my favorite dj...Naimani fuse tunajambo linakuja karibuni in sha allah
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
💯
@ms_teeonly
@ms_teeonly 10 ай бұрын
Good to see dj sma and giant man on this
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 4 ай бұрын
Upo saih dj Smah, Mimi nimefika na nimeona airport ya Ethiopia ni kubwa Africa na ndege nyingi sana.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 10 ай бұрын
Bro Ethiopia wanandege mpaka jumbo jet, yenye uwezo wa kuchukua hata abiria mia tano na mizigo yao na wana ndege zisizopungua 180 kwa ujumla wa ndege zote zao ni taifa la 5 lenye ndege nyingi Duniani, kwa Afrika ni namba moja, Ikiwa kidunia namba moja ni Emirates, namba mbili ni Qatar air ways, namba Fly Dubai, namba nne nì Ethihad, namba tano ni Ethiopia Air lines.
@bandanahmiqassa
@bandanahmiqassa 10 ай бұрын
P.O.C Kwa namba duniani namba moja mpaka 3 ni delta airline american airline united airline
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 10 ай бұрын
@@bandanahmiqassahell no, unaongelea international flight unaleta united airline
@givembwilo141
@givembwilo141 4 ай бұрын
jaribuni kutumia lugha moja kwenye maongezi yenu,msichanganye kizungu na kuswahili
@Agent_HG
@Agent_HG 10 ай бұрын
Brother Dj sma, sawa nimekuelewa kwa kuthibitisha sakata la, P didy.
@MkhayaSogadari
@MkhayaSogadari 10 ай бұрын
Na southa Africa nivo magari nimkopo
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 4 ай бұрын
Yaani mna maana hao marafiki zake wa msapoti kwa hayo aliyo ya fanya huyo Di DIY. Huyo ana laana kwa M.mungu amefanya lutwi kuliko firauni.
@jumaramadhan1600
@jumaramadhan1600 10 ай бұрын
Kazi Safi Sana big 3 from sns salute 🫡
@saidabdulkadirmjahid8255
@saidabdulkadirmjahid8255 10 ай бұрын
Mambo vipi ! Skywalker's all time intro . Haha!
@mathiasmarwa8999
@mathiasmarwa8999 10 ай бұрын
DJ Sma nimefurahi sana kwa kusimulia machache ya safari yako. Zuri zaidi umedaka mambo mengi sana , tunasubiri mezani Kaka
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Nakubali sana sns
@eliacmaginya3429
@eliacmaginya3429 10 ай бұрын
DJ Sma kaongea sahihi namkubali mzee wa tafiti na kuconnect dot ingawa hajataka kuizungumzia kiundani. Kiufupi wasanii wengi wa nje ambao ni famous wanafanyakaz under satanic rules hata matendo yao ukiyataza utakonect dot ss inapokuja kutokea masanii unaenda contrary na matakwa yao kabla hawajakumaliza wanakutingisha kwanza.Utasukiwa kesi zenye karbu na ukweli maana skuzote pesa haishindwi kitu utataftiwa watu watakuchafua plus na ishu zako kupitia hiyo misukosuko utashuka kiuchumi ukibahatika kuchomoka hapo wanapanga njama za kukuuwa wala hutochukua mda so DJ sma big up nmeconnect dot.
@elchapojr638
@elchapojr638 10 ай бұрын
DJ suma inaonekana ana mmind Didy😂😂😂
@rehemathoya8754
@rehemathoya8754 10 ай бұрын
Very interesting
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 10 ай бұрын
Uyujama namkubali san anaakili sauti muonekano adilaha from 🇧🇮💐🙏🔥
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Yup sasa kati ya hawa watatu
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 4 ай бұрын
Duu. Masikini diamond 💎 kumbe kaliwa😢kwa hiyo sasa hivi yuwaziii😅😊
@AhmedAhmed-z6m7t
@AhmedAhmed-z6m7t 10 ай бұрын
Nawakubali sana SNS,Sky,Dj Smaa na Jacob
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 10 ай бұрын
Good job from 🇧🇮💐🙏🙏🔥
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 4 ай бұрын
Daah hii kitu DJ smash kumbe Alishasema ukweli wotee
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 10 ай бұрын
Sema huyu dj sma anakili nyingi saana
@noahlameck1564
@noahlameck1564 10 ай бұрын
Mwamba dj sma karudi noma sana Fuse fact twaisubiria kwa hamu Love sana sns ila udaku waachichie wakina esco😛
@ridhiwankanjoe2078
@ridhiwankanjoe2078 4 ай бұрын
Huyo jamaa mwenye T shirt nyeusi Hana nanachokijua anaonea bila evidence
@MackameHassani
@MackameHassani 4 ай бұрын
Presenter unajua una kipindi unarekodi alafu simu unashindwa hata kueweka silenci aiseee!!! Simu inaita wkt recording inaendelea inakuwa inaharibu na inakata sn. Weka hata kindege basi.
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 10 ай бұрын
Ethiopia ni shida mwenyewe nilitokea south africa kupitia Ethiopia nusu nipotee Airport kwao jamani
@AliJussa
@AliJussa 10 ай бұрын
Sio kama hayo matendo ya Diddy walikuwa hawayajui, laa ila ipo namna Diddy ameenda kinyume na jamaa ambao wamempa huo utajiri, maana huo uchafu ni moja ya masharti yaao ila lipo alilo likosea
@tinershayo6191
@tinershayo6191 10 ай бұрын
Angekuwa bongo na watoto
@princeimani8078
@princeimani8078 4 ай бұрын
Dj sam I want to know if diamond platnumz he knows p Diddy
@shabanimagambo2381
@shabanimagambo2381 10 ай бұрын
Jamaa anasauti nzuri kinyama
@alexmugo3159
@alexmugo3159 10 ай бұрын
Wazitoh,uku Kenya twawaskiliza
@homeandaway2811
@homeandaway2811 4 ай бұрын
JACOB una sauti nzuri sana SANA ila inafaa zaidi kwa discussion kama hizi au matangazo/news ambapo unaonekana. Mimi ni mmoja wa watu walikuwa wanapondea sana sauti yako ukiwa unasoma news bila kuonekana, SORRY, NISAMEHE BURE, una sauti nzuri na uko vizuri una knowledge ya kutosha, uko fresh kabisa kwenye kazi, labda ongeza confidence kidogo tu, UNAJUA na UNAWEZA. Nimekuona nimejisikia vibaya kuwa nilikuwa naponda sauti yako bure, SKY huyu jamaa yuko mzuri ila muweke kwenye vipindi anapoonekana kama hivi.
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 4 ай бұрын
Msichume Dhabi ndugu zangu vizi sio vita. Huyu ana wala watoto wa wenzie jamani. Mbona hawali watoto wake
@chishengakaponya8757
@chishengakaponya8757 10 ай бұрын
To be honest Ethiopia Airport it's best Airport in Africa. Am Kenyan and i travel a lot and i can agree on that.
@gudlacf3432
@gudlacf3432 10 ай бұрын
AL
@Tareeq_Tryagain
@Tareeq_Tryagain 9 ай бұрын
Li Dj Sma ni li Google kinoma.. li mtu gani hili linajua kila kitu🤔🙌
@HomeboyTZ19
@HomeboyTZ19 4 ай бұрын
Nilitarajia Mzungumze kwa angel ya Kisheria kuwa charges zake ni zipi na legal geound ikoje kwa charges hizo, lakini mna piga story tu, ni kina nani wanamshitaki, kwa makosa yepi na yamefanyika lini na sheria zinasemaje
@ESTHERKamala-qp7gi
@ESTHERKamala-qp7gi 4 ай бұрын
Lahana
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Nawakubali sana wanangu
@elishasaidi
@elishasaidi 10 ай бұрын
Poleni sana wachambuzi, msimuhukumu Diddy kuhusiana na hili, kwa sbb chukueni kumbukumbu kuhusiana na kanye west kwa kile alichokuwa pitia kilimpelekea kuharibiwa cv na uchumi kushushwa na kuambiwa kuwa ana afya ya akili, lkn hayo yote yalikuwa ya kutengenezwa. Pia ya R kelly na hayohayo, na wengine wengi, sheria ni sheria marekani msizani kuna chochote kinachopindishwa hapa marekani, hawa wakitaka kukuangusha utaangushwa tu kwa aina yoyote, rais DN aliambiwa kuhusiana na maamuzi yake aliyokuwa akiyatowa kuwa anatakiwa kupimwa akili, hii hishu ni kubwa kuliko fahamu zenu. Kama hayo yote yalikuwa yanatokea inamaana mnataka kusema yeye alikuwa juu ya sheria
@zclassicfashionz1573
@zclassicfashionz1573 4 ай бұрын
𝐏𝐮𝐟𝐟 𝐃𝐚𝐝𝐝𝐲...a k a 𝐃𝐈𝐃𝐃𝐘 amekua maarufu muda mreefu jambo linaloanza kuwapa khofu watu weupe...ushawishi wa watu weusi nchini Marekani wazungu wanachelea wasije kuiteka marekani ila kila jambo na wakati wake walitupeleka kwao kama watumwa na sasa bado wanatka watutumikishe kwa mafanikio yao binfsi ila wakati utafika mtu mweusi kuwa huru....walianza na 𝐁𝐨𝐛 𝐌𝐚𝐫𝐥𝐞𝐲 wakaja kwa 2𝐏𝐀𝐂 bila kuchelewa zamu ya 𝐌𝐉 ikafika baada ya kumalizana na 𝐋𝐔𝐂𝐊 𝐃𝐔𝐁𝐄 uko S.A hawajaishia apo wakamteka 𝐑 𝐊𝐄𝐋𝐋𝐘 baada ya kutoa ule wimbo wake unahamasisha na kuipamba AFRICA kipindi kombe la dunia linaandaliwa nchini humo.... Walipomaliza wakamalizana na 𝐃𝐌𝐗 Kwa njia ya madawa ya kulevya, hawajaishia apo wakaona 𝐃𝐢𝐝𝐝𝐲 ni mtu wao wa karibu na wamemtumia sana kwenye maajabu yao ya laana na sasa wanaona kazi yake imekwisha lakini hofu yao ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na anayejitambua kwaiyo wakimuachia nafasi atawageuka hivo basi ni vema wakamdhohofisha mape kwa kila namna wakaanza kumchafua kwa vishawishi wanavyopamba wao kisha watateka mali zake apo afungwe jera watakua wamemaliza malengo yao lakini huo sio mwisho wao bado wanaendelea tu. Baada ya hapo wanakuja kwa 𝐊𝐚𝐧𝐲𝐞 𝐖𝐞𝐬𝐭,50𝐂𝐞𝐧𝐭 ajiandae japo yeye anadhani fitina waliyoiunda kumchonganisaha na 𝐃𝐢𝐝𝐝𝐲 katika mawazo yake anafrahia kukamatwa kwake lakini yamfaa afikrie mbali kwa sasa na ashiriki katika kupaza sauti ya kumuokoa mwenzake sio kumkandamiza. Baada ya ayo yote wanamalizia na 𝐉𝐚𝐲 𝐙. Dunia ya sanaa ktk upande wa HipHop na kampein yao katika mziki huu watakuwa wamemaliza sasa wasanii wa 𝐀𝐅𝐑𝐈𝐂𝐀 yabidi mjifunze kupitia haya...kwanza kabisa jihadharini sana na umaarufu usiokua na tamaduni zenu msipende sana mafanikio kuliko utu jitahid sana kutoa misaada kwa ndugu zenu waafrica kwa kuzitunza tamaduni zetu...watu weupe wanapoouna unashobokea mambo yao wanakuvuta karibu yao wanakupandisha kwa mikataba yao kisha wanakushusha kwa kashifa kibao ambazo ulifanya ukiwa nao kwa mitego yao. Kinachowaumiza hawa mastaa ni kwa sababu wazungu waliandaa mitego yao mapema na wao hawakushutuka katika ilo....IPO SIKU MTAIKUMBUKA HII COMMENT
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 4 ай бұрын
Kaka hayo ni yakawaida tu. Huyo alipewa usinga wa ujini alipewa cheo cha kuwaangamiza wenzake. Kwa hiyo hakuna hasara yoyote kwa hao mabosi wake
@matendoa.online803
@matendoa.online803 10 ай бұрын
50cent anacho fanya sio Powa . Roho mbaya ile .ni kama Una wish kifo Cha adui yao ….😊 sikaha kubwa kwawa black artists ni ngono …ina bidi wa amuke, wawe na umoja
@saidranzuga5951
@saidranzuga5951 10 ай бұрын
Nipen like moja
@godfreykarata3710
@godfreykarata3710 9 ай бұрын
Sns iko juuuuuuuu
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 10 ай бұрын
Jacob ,ooh !! Saut inafurahisha
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 10 ай бұрын
Watu weusi wanaonewa zaidi, hizi ni siasa za kuwashusha watu weusi. Rangi nyeusi inamtishia mzungu zaidi ya silaha ya nyuklia.
@FahmiAbdallah-x9w
@FahmiAbdallah-x9w 10 ай бұрын
Nd YNG SAMAHANI LKN JEE ,SS WENYEWE WATU WEUSI NI WATENDA HAKI?(KM NDIO THAN OK THANKS GOD au(ALHAMDULILLAH)LKN KM SIO ,SO HUWEZI KUIPATA HAKI KM SI MTENDA HAKI ,SORRY
@erickmisilakuba6426
@erickmisilakuba6426 10 ай бұрын
Ufahamu wako mdogo!
@rashidkatundu9674
@rashidkatundu9674 10 ай бұрын
Sasa tunamsaidiaje😅​@@erickmisilakuba6426
@barakambigi3522
@barakambigi3522 9 ай бұрын
Nani anaonewa?
@Tareeq_Tryagain
@Tareeq_Tryagain 9 ай бұрын
Brother Sky ye ni mzee wakutafuta majina😁
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 4 ай бұрын
Asaidiwe na nani banaa. Amewaharibu watoto wa watu. Je kama amekufanyia wanao utamfanya nini.
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 10 ай бұрын
Dj smaa sharom pole na safari kumbe urikuwa haupo ndio maana sipati fuse na fact naamini umerudi nipata madini mengi
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 10 ай бұрын
Anataka kujitoa freemason sasa freemason wanataka kuchukua mali zao sasa hapa wanampa muda kama akubari kuendelea na chama
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 10 ай бұрын
Wabongo mnamawazo meusi kinoma yani😂 nenda basi ukawasaidie polisi kwa ushuhuda😂
@l.marley_2542
@l.marley_2542 10 ай бұрын
Ndivyo alivyokwambia??😂😂😂
@MuniraMziray-de5sd
@MuniraMziray-de5sd 4 ай бұрын
🤝🤝
@fahmanalbulushi2925
@fahmanalbulushi2925 4 ай бұрын
Duh sns miezi mitano iliyo pita mlisema haya ningependa mrudie hii kweli muda unaongea
@MariannaJoseph-uv2sp
@MariannaJoseph-uv2sp 10 ай бұрын
Mimi bwana ni shabiki wa p didy ila ukwili nihivi sio kwakua nimtu mweusi hapana niushetani wao wanakosea mashariti frimason kwassbabu tu kujionyesha na kujisahau kwahiyo frimason wanafanya kaziyao kamailivo Michael Jackson R Kelly na wengine so chenye mwazo kina mwisho so amrudie mungu wake kambla hawajamuuwa hivo yan
@erickmisilakuba6426
@erickmisilakuba6426 10 ай бұрын
Asante kwa ufahamu mkubwa
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 10 ай бұрын
Acha mawazo hayo lzm iwe Freemason
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 10 ай бұрын
Loon ameacha Muziki sasa ni Swala tano anaishi Egypt
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 10 ай бұрын
Alishapoteza huyo
@tunsumegideonmwamboneke9639
@tunsumegideonmwamboneke9639 10 ай бұрын
Sio kessy bana ni kassy as in cassandra , 😊
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 9 ай бұрын
Nimetokea kumpenda dj sma mnanisaidieje jamani kumfikishia ujumbe
@sundymolls9673
@sundymolls9673 10 ай бұрын
Dj Sma Airbuss hawatengenezi ndege aina ya dream liner Boing ndio wantengeneza 😂
@ngusakabinza9238
@ngusakabinza9238 10 ай бұрын
Mje na redio yenu jamani sisi masikini mnatumalizia MB zetu
@khalidsuleiman4588
@khalidsuleiman4588 10 ай бұрын
Hizo radio now ni digital watu wanastream online😂😂😂 1
@ussiussi3413
@ussiussi3413 10 ай бұрын
Msimsahau na "The Game" naye ametoa ushahidi wa kuliwa na P na alikuwa anatoa hiyo story akiwa analia.
@edgerza3754
@edgerza3754 10 ай бұрын
Sky hiyo form six noma sana
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Ila giant ndo habari kama hizi ndo anazivumbuanaga
@jumaamsuya5
@jumaamsuya5 9 ай бұрын
Kwakweli bando limeisha kialali nimejifunza sana gd
@allykwaya
@allykwaya 4 ай бұрын
Nchi hiyo ndo inapigania haki za Ushoga kwanini hii inakuwa kubwa kwa Diddy? Je hakuna wazungu wanaojihusisha na Tabia hizo na hatusikii kesi zao kwanini?
@fahmanalbulushi2925
@fahmanalbulushi2925 4 ай бұрын
Sns mrejesheni Jacob kwenye meza tumemis swaga zake
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 10 ай бұрын
Pamoja from 🇴🇲
@dennischarles8524
@dennischarles8524 10 ай бұрын
Ni swala la when atapandishwa kizimbani
@selemanshaban7496
@selemanshaban7496 10 ай бұрын
SNS MKU VIZURI SANA
@Bama959
@Bama959 10 ай бұрын
Tatizo wote hamjaishi USA 🇺🇸, hamjui tabia za wazungu zilivyo kwa watu weusi maana kesi za kubambikiwa no nyingi sana na pia huwa hawapendi mtu mweusi adumu na utajiri wake. Na Dj sma usiwe na uwakika 100%.
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Nilikuwa nawasubilia vichwa vitatu hivi dj smaa sky na giant man
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 10 ай бұрын
Kumbe uyo mwamba jacob ndo mwenye Jaiva hilo 😂😂😂
@patricknewguy8189
@patricknewguy8189 10 ай бұрын
Did he ???
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 10 ай бұрын
Karne yasaba mtume anasema muziki ni amali yashetannn
@ney_nation2544
@ney_nation2544 10 ай бұрын
50 hawezi kumsikitikia diddy coz diddy alipita na baby mama wa 50
@user-pd8gx8ff6w
@user-pd8gx8ff6w 10 ай бұрын
Strength of a woman. Shegy
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 10 ай бұрын
Jay hawezi akaingia kwenye hiyo kesi kirahisi maana naye kwenye msala wa tupac yumo yumo😅😅
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 ай бұрын
✌👍👊.
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 4 ай бұрын
Au wanahisi Blacks wanaweza msapoti mgombea mweusi wa Urahisi? Hivyo Wanawamaliza umaarufu na support ya Fedha?
@jasiri25
@jasiri25 10 ай бұрын
Leo meskia sauti ya yule jamaa mwingine wa sns😂😂😂 aisee anaitwa jacob kumbe
@piusdeo9380
@piusdeo9380 10 ай бұрын
Vip unamkunali mwamba kama mimi
@jasiri25
@jasiri25 10 ай бұрын
@@piusdeo9380 sanaaa kk🤣
@mvuneboy6287
@mvuneboy6287 10 ай бұрын
Uyu jamaa Jacob anasauti nzuri.sauki yakipekeee
@erickswai698
@erickswai698 10 ай бұрын
sema hana pointi 😅😅
@PeterMalima-fc4tf
@PeterMalima-fc4tf 10 ай бұрын
Sauti ya Jacob ni ya mamlaka sana na haiendani na muonekano wake
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 10 ай бұрын
Hawa watu wana mivitano ya ki gans, hivyo nilazima watungiane maneno. Kumbuka 50cent ni member wa Suprime Team ambayo ina uhusiano wakatibu na Bloods, wakati Diddy yuko Crips ambayo ni timu hasimu sana.
@PaulNdauka
@PaulNdauka 10 ай бұрын
50 Cent na Supreme ni Vitu viwili tofauti.....means ni maadui sana
@ESTHERKamala-qp7gi
@ESTHERKamala-qp7gi 4 ай бұрын
Uyo liana zinamhachaje kuwapata watoto wake
@kibokibosho7476
@kibokibosho7476 10 ай бұрын
Haya sasa mzee alinunua ndege mkaanza kupiga kelele😂😂 ushuhuda huo wenzenu wanazo kibao
@kassimali3682
@kassimali3682 10 ай бұрын
Airport ya Ethopia ni HUB
@dingi-vk1tu
@dingi-vk1tu 10 ай бұрын
we sky do your research 50Cent ana beef na Diddy sababu mama watoto wa 50 alikuwa na changu wa Diddy so 50 anammind mshkaji sana tu
@mhabimina4023
@mhabimina4023 10 ай бұрын
🔥🔥🔥👌
@Dolomitemusic
@Dolomitemusic 10 ай бұрын
SNS 4 life
@kmotivation1130
@kmotivation1130 10 ай бұрын
what come around goes around
@Bosskubwah4501
@Bosskubwah4501 9 ай бұрын
HIO NI FREEMASONS ndo upate nafasi
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 10 ай бұрын
Yani huyu jamaaa ata akiongea ivi unaona km anasimulia makala gian men
@jamesshao538
@jamesshao538 4 ай бұрын
Watu weusi wanasherekehe kuanguka mweusi mwenzao
@malkavoice2570
@malkavoice2570 10 ай бұрын
Omario alifanya kazi na diddy lkn mpaka leo amedumaa nafikiri ni 7bu ya P.
@geofreydonald3176
@geofreydonald3176 10 ай бұрын
Naunga mkono 90% + inawezekana kweli amefanya maana feds wanaanzaga na uchunguzi na kupata ushahidi ndio wanachukua warranty na kukufata….Black American wengi wanapotoboa bata lao hua sio la kawaida mpaka wanakufuru…Hoods wanazotoka uhuni ni mwangi na ndiko walikotokea kabla ya kua maarufu…Ukiangalia ata series zao yale ndio maisha yao ya kila siku na ndio uhalisia wao na ndio maana mpaka mahakamani ata verse na video za nyimbo zao hua zinatumika
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 10 ай бұрын
Ethiopian Airlines achana kabisa,midege, yao 🇺🇸 ingia toka,ingia,toka,i think kwa sababu wa Ethiopia wengi wapo worldwide
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 10 ай бұрын
Uchumi wa Ethiopia moja ya mapato yake makubwa ni ndege so ni jambo la kipaombele na istoshe wanaiyo kampuni kwa miaka mingi mnooo zaidi ya miaka 60 kabla hao waithopia hawajatoka wao wanandege
@emmanuelmisalaba3169
@emmanuelmisalaba3169 10 ай бұрын
Kwani Rais mstaafu Hayati Ally Hassan Mwinyi ana wake wagapi?
Еп278 | Теодосий Теодосиев: Как да хакнем системата?
3:30:24
Свръхчовекът с Георги Ненов
Рет қаралды 180 М.
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Ukweli wa Maisha ya Kutisha gerezani kwa MFUNGWA anayesubiri adhabu ya KIFO
22:31
AREACODE: USHETANI WA MWANAMUZIKI P DIDDY | MAUAJI
8:31
Wasafi Media
Рет қаралды 47 М.