Sakata la Madawa ya Kulevya; Askofu Gwajima Amjibu Makond na Kumtumia Ujumbe Rais Magufuli

  Рет қаралды 44,871

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Katika mkutano wake na waandishi wa habari Askofu Gwajima amezunguzia kushangazwa kusikia jna lake kutajwa katika orodha ya majina wanaotuhumia kuhusika katika mtandao wa madawa ya kulevya na kutoa wito wake kwa Rais Magufuli.

Пікірлер: 32
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
mmm MAKONDA umelikoroga. hu
@ibrahimharuta7333
@ibrahimharuta7333 7 жыл бұрын
mtumish nenda tuu,police kwa mahojiano
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 7 жыл бұрын
makondaaa juuuuu hongera kaka pasua jipuuu
@gracemwakingili1495
@gracemwakingili1495 7 жыл бұрын
ni shedaaaa kweli
@winfridapeter1338
@winfridapeter1338 7 жыл бұрын
Huu moto si wa nchi hii
@advancedtrucksservices6768
@advancedtrucksservices6768 7 жыл бұрын
anatumia jina LA askofu kuuza madawa ya kulevya....weka yeye Jela tabia za ma askofu hizi wezi wa sadaka na wauzaji wa drugs
@natamaniunigusehatamimimac4305
@natamaniunigusehatamimimac4305 7 жыл бұрын
wakukomeee tuuuu
@leonardemmanuel1877
@leonardemmanuel1877 7 жыл бұрын
hapa hakuna namna lazima twende police tu. mimi sijaelewa lazima kila goti lipigwe
@zahramunir8596
@zahramunir8596 7 жыл бұрын
Jmn kwa nini waitwe kwa kutumia vyombo vya habari? je hmn sheria.? km hajahusika c kuvunjiana heshima.???
@kilevomedhack1703
@kilevomedhack1703 7 жыл бұрын
badilisha topic,acheni madawa ya kulevya.makonda ni kiongozi imethubutu
@mkambasaudi9190
@mkambasaudi9190 7 жыл бұрын
pole
@doriselias6457
@doriselias6457 7 жыл бұрын
jamani makonda hajasema kwamba wewe ni muhuzaji, unashutumiwa nayeye amepata taarifa kutoka kwa watu nenda kasikilize kituoni unaitiwa nini
@neemakawina1896
@neemakawina1896 7 жыл бұрын
yaan ww gwajima hauna jipya ndyo hivyo unajifanya mchungaji kumbe umejificha tu hata Bible inasema siasa na injil vitu tofaut huna jipya machafu yote yako jirekebishe mzee harafu unaongea sana mpaka unaboa Yule anayezingiziwa huwa aongei sana, makonda fanyakaz wasikuyumbishe minyau watu fanyakaz Makonda
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 7 жыл бұрын
kweli hanajipyaa huyo gwajiima haahaa
@yusuphbabu515
@yusuphbabu515 7 жыл бұрын
tuna mpenda sana baba yetu gwajima macho ya mungu yapo juu yake
@neemajackson1832
@neemajackson1832 7 жыл бұрын
Jambazi ww
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 жыл бұрын
sasa habari yandege haituhusu hata mm ninande 20
@janewacera7812
@janewacera7812 7 жыл бұрын
Kazi ipo
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Basi gwajima pole
@janewacera7812
@janewacera7812 7 жыл бұрын
Mama tuishi- mama tuondoke P
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 3 жыл бұрын
Kikwete Ni rais asiye na kinyongo na visasi akuweza kukujibu ww mpuuzi tu
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 7 жыл бұрын
eti makonda atolewee tukuweeekee www unaeweezaaa haahaaa
@hassansalum8496
@hassansalum8496 7 жыл бұрын
huu mkono kama kunamtu yupo karebu daaah
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 жыл бұрын
Mtihani mkubwa makonda kapewa majina na wananchi yeye kasoma
@melckmbuya3518
@melckmbuya3518 7 жыл бұрын
Usiogope yata pita
@estherwangare9759
@estherwangare9759 7 жыл бұрын
Makonda anatafta kiki
@muganyizijudex6626
@muganyizijudex6626 7 жыл бұрын
serikali iendelee kukaza nchi ilkuwa inaelekezwa pabovu kwa watoto wetu ambao ndo wazee wa kesho
@salehemkala7775
@salehemkala7775 7 жыл бұрын
unauza sumu alafu unamlaumu makonda makonda tunakupenda piga kazi kaka usiwafate wavimba macho
@nurdinsalum5102
@nurdinsalum5102 7 жыл бұрын
Makonda kasema ametaja watu kutokana na taharifa alizozipata kwa waliokamatwa
@josephmangure7715
@josephmangure7715 7 жыл бұрын
Gwajima nilifikili wewe ni Askofu kumbe wewe ni siasa kuna kitu umenyang*anywa na makonda kwa sababu tuliowatumishi wamungu hatubweki kwa maana tuna askari mahakimu na hata majaji Lakini wewe una kitu.
@sarawanjiru4538
@sarawanjiru4538 7 жыл бұрын
Joseph Mangure muuza unga huyo
@josephmunna8577
@josephmunna8577 7 жыл бұрын
nice speech👏👏👏
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 24 МЛН
HUYU NDIYE RAIS SAMIA🇹🇿 #raisamia #tanzania #samiasuluhuhassan
1:00
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН