Katika mkutano wake na waandishi wa habari Askofu Gwajima amezunguzia kushangazwa kusikia jna lake kutajwa katika orodha ya majina wanaotuhumia kuhusika katika mtandao wa madawa ya kulevya na kutoa wito wake kwa Rais Magufuli.
Пікірлер: 32
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
mmm MAKONDA umelikoroga. hu
@ibrahimharuta73337 жыл бұрын
mtumish nenda tuu,police kwa mahojiano
@salmamasoud60557 жыл бұрын
makondaaa juuuuu hongera kaka pasua jipuuu
@gracemwakingili14957 жыл бұрын
ni shedaaaa kweli
@winfridapeter13387 жыл бұрын
Huu moto si wa nchi hii
@advancedtrucksservices67687 жыл бұрын
anatumia jina LA askofu kuuza madawa ya kulevya....weka yeye Jela tabia za ma askofu hizi wezi wa sadaka na wauzaji wa drugs
@natamaniunigusehatamimimac43057 жыл бұрын
wakukomeee tuuuu
@leonardemmanuel18777 жыл бұрын
hapa hakuna namna lazima twende police tu. mimi sijaelewa lazima kila goti lipigwe
@zahramunir85967 жыл бұрын
Jmn kwa nini waitwe kwa kutumia vyombo vya habari? je hmn sheria.? km hajahusika c kuvunjiana heshima.???
@kilevomedhack17037 жыл бұрын
badilisha topic,acheni madawa ya kulevya.makonda ni kiongozi imethubutu
@mkambasaudi91907 жыл бұрын
pole
@doriselias64577 жыл бұрын
jamani makonda hajasema kwamba wewe ni muhuzaji, unashutumiwa nayeye amepata taarifa kutoka kwa watu nenda kasikilize kituoni unaitiwa nini
@neemakawina18967 жыл бұрын
yaan ww gwajima hauna jipya ndyo hivyo unajifanya mchungaji kumbe umejificha tu hata Bible inasema siasa na injil vitu tofaut huna jipya machafu yote yako jirekebishe mzee harafu unaongea sana mpaka unaboa Yule anayezingiziwa huwa aongei sana, makonda fanyakaz wasikuyumbishe minyau watu fanyakaz Makonda
@salmamasoud60557 жыл бұрын
kweli hanajipyaa huyo gwajiima haahaa
@yusuphbabu5157 жыл бұрын
tuna mpenda sana baba yetu gwajima macho ya mungu yapo juu yake
@neemajackson18327 жыл бұрын
Jambazi ww
@jenyyusuph49737 жыл бұрын
sasa habari yandege haituhusu hata mm ninande 20
@janewacera78127 жыл бұрын
Kazi ipo
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Basi gwajima pole
@janewacera78127 жыл бұрын
Mama tuishi- mama tuondoke P
@zaidihussein43113 жыл бұрын
Kikwete Ni rais asiye na kinyongo na visasi akuweza kukujibu ww mpuuzi tu
@salmamasoud60557 жыл бұрын
eti makonda atolewee tukuweeekee www unaeweezaaa haahaaa
@hassansalum84967 жыл бұрын
huu mkono kama kunamtu yupo karebu daaah
@ummusahili63997 жыл бұрын
Mtihani mkubwa makonda kapewa majina na wananchi yeye kasoma
@melckmbuya35187 жыл бұрын
Usiogope yata pita
@estherwangare97597 жыл бұрын
Makonda anatafta kiki
@muganyizijudex66267 жыл бұрын
serikali iendelee kukaza nchi ilkuwa inaelekezwa pabovu kwa watoto wetu ambao ndo wazee wa kesho
Makonda kasema ametaja watu kutokana na taharifa alizozipata kwa waliokamatwa
@josephmangure77157 жыл бұрын
Gwajima nilifikili wewe ni Askofu kumbe wewe ni siasa kuna kitu umenyang*anywa na makonda kwa sababu tuliowatumishi wamungu hatubweki kwa maana tuna askari mahakimu na hata majaji Lakini wewe una kitu.