Рет қаралды 388
SAKO KWA BAKO ni msemo wa Kiswahili unaomaanisha tupo bega bega, Pamoja kila hatua na kwenye hii sisi #Tigo tunasheherekea kua #sakokwabako na nyie wateja wetu zaidi ya milioni 20. Na wateja wetu wamesema wametuchagua kwa sababu:
📌Tuna mtandao wa 5G wenye kasi zaidi ya 1GBPS.
📌Mtandao wa 4G uliobereshwa na unaopatikana kila kona ya Tanzania. Yani kila sehemu yenye mnara wetu ina teknologia ya 4G
📌Tunakuletea vifurushi vya Saizi yako vinavyokupa thamani ya pesa zako
📌 Tumekuletea #Tigopesasuperapp mpya iliyoboreshwa na kurahisisha miamala kidigitali
🤩Yaani, huku kwetu mwendo wa Sako kwa Bako tu, unyo kwa unyo, Pamoja na wateja wetu zaidi ya milioni 20.
💙Endelea kufurahia mtandao wa watu💙
#sakokwabako
#tigoliveitlobeit
#pamojakilahatua
#tupopamojabegakwabega
#hatuachanisisi