SAMAHANI ASANTE |ep 3|

  Рет қаралды 87,764

KitaleMkudeSimba

KitaleMkudeSimba

Күн бұрын

Пікірлер: 659
@KitaleMkudeSimba
@KitaleMkudeSimba 2 ай бұрын
Toa Maoni Yako na Ushauli Hapa Whatsp No 0733 999 999 Musa Kitale
@user_95838vicky
@user_95838vicky 2 ай бұрын
Kaka kazi nzuri lakn unafupisha sana jaman,vimezidi kuwa vipande vidgo vidgo uongeza mda kidgo
@nasrinahirwete8111
@nasrinahirwete8111 2 ай бұрын
Brother mimi kama mdogo tangia tupo mwananyamala fanya fasta kuiweka ewani
@Bakarisalehe-m1l
@Bakarisalehe-m1l 2 ай бұрын
Nakubali kazi zako sijawahi kukupnga
@youngmoney9601
@youngmoney9601 2 ай бұрын
Ikosawa ila tunacho taka sisi uimalize hìii
@Being_hammy
@Being_hammy 2 ай бұрын
Ya motoooo mnooooo🔥🔥🔥🔥🔥
@SalomeKasisi
@SalomeKasisi 2 ай бұрын
Uyu mzeeee anaigiza sanaaa mzee kamaaa♥️♥️♥️♥️♥️ laik zako baba
@RobertRahab
@RobertRahab 2 ай бұрын
Yuko vizuri,zamani tukimuita mzee Chilo
@ashirafabraham4330
@ashirafabraham4330 2 ай бұрын
Sio Mzee Chilo huyo nawe😂😂😂​@@RobertRahab
@RobertRahab
@RobertRahab 2 ай бұрын
@@ashirafabraham4330 watoto wa 2000 hamuwezi kumjua
@muniracheusi9955
@muniracheusi9955 11 күн бұрын
​@@ashirafabraham4330kapuyanga😅
@UwamwizaHusna
@UwamwizaHusna Ай бұрын
Me nampenda huyu mzee natamani angelikua babu yngu😂😂 hongera sna🎉🎉
@KhadijaJuma-uo7xm
@KhadijaJuma-uo7xm 15 күн бұрын
😂😂,
@bahatimpilly5302
@bahatimpilly5302 2 ай бұрын
Mzee Kama Ramadhan Kama...... Mzee wangu anajua sana kucheza scene zake, Muongezee posho ❤
@harmorayclassicbeibe7742
@harmorayclassicbeibe7742 2 ай бұрын
Kitale utaniua mm jameni ntakupa zawadi gani kwa hii dunia ujue umuhimu wako kwa bongo movie dunia mzima??? Mungu akubariki na team yako muishi kutuburudisha jameni nawaombea maisha marefu ...nasubiri mtawala na mamake beka sasa
@jafarsalum6891
@jafarsalum6891 2 ай бұрын
Waleku waleku 😂😂😂😂😂😂 mzee nae kaua
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it 2 ай бұрын
Movie iko vizuri sana rakini hamutoi kwa wakati na vipande vifupi mnoo na tunaitaji kufaamu hutokaji wake wa hii movie yenu Akika mko vizuri jamani tunawapenda mnajuwa kuigiza na najifunza vitu kupitia hii movie AIhamduIiIIah kwa sasa Akuna rafiki wa kweri jamani 😢😢😢 mpk naogopa huwiiii
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa mtihani kwa kweli😢
@GilbertSambaya
@GilbertSambaya 9 күн бұрын
Me ndo sinag rsfik nakaak pekeang km mchawii😢😢😢😢😅😅😅😅🎉🎉😂😂😂❤❤
@danieljsm
@danieljsm 2 ай бұрын
Semenii acha roho mbaya ndg yangu utakuja kumuua mwenziooo sijapendaaa tabia yakoo muachien mtoto wawatu ajifungue
@mohdabdi4157
@mohdabdi4157 2 ай бұрын
Salute mzee kama namsubiri nimuone mtawala Mwinyi Mkuu Afande kila
@SalamhRashidy
@SalamhRashidy 2 ай бұрын
Da semen umejua mpk umejua tena hongera kpenz❤❤❤❤
@mungaroseif-yn6sb
@mungaroseif-yn6sb 2 ай бұрын
Mzee ame-panic..eti waleku aleku..🤣🤣🔥🔥..lakini moto kama pasi..hongera..
@AshuraMnubi-qe4vy
@AshuraMnubi-qe4vy 2 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti 😅😅
@allyomar9328
@allyomar9328 2 ай бұрын
😂
@mungaroseif-yn6sb
@mungaroseif-yn6sb 2 ай бұрын
@@AshuraMnubi-qe4vy amepatikana off-guard hapa..🤣🤣...tezea Mzee Kama wewe..kazi wanayo
@Bintiali-kg3xe
@Bintiali-kg3xe 2 ай бұрын
Banaaaaeeeeee😂😂😂😂
@Bintiali-kg3xe
@Bintiali-kg3xe 2 ай бұрын
Banaaaaeeeeee😂😂😂😂
@robathalbertonamunda9762
@robathalbertonamunda9762 2 ай бұрын
MANENO YA KUAMBIWA...Wala aingi apa hiiii moto sana BABU yake aishiii....fire sana💪💪
@DzamebeautyWinnie
@DzamebeautyWinnie 2 ай бұрын
ni kweli tuwe makini na watu wanao tuzunguka Yani mtu unapitia magumu kumbe rafiki Yako ndie chanzo eeeh mwenyezi mungu naomba unieke mbali na marafiki wasio penda maendeleo yangu movie nzuri yenye mafunzo mazuri kama umeipenda kama mm gonga like tukisubiri EP 4❤❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa yn na ubaya huwezi kumjuwa mbaya wako yupi maana wanakuwa wasiri balaa mtihani kwa kweli wabaya wote mungu atawalipa😢
@MaulidUbaya-d7v
@MaulidUbaya-d7v 2 ай бұрын
Samahani Asante kwa upendo wangu Asante kwa muda wangu kwa maneno yangu,,,, asante kwa ubaya wako🔥👌🏾❤️🙏🏽
@AyeshaAyesha-tb9sf
@AyeshaAyesha-tb9sf 2 ай бұрын
Yaani huyu kama babu yangu mzee milonge Allah amrehem move inafundisha sana
@AboubakarOmary-g3x
@AboubakarOmary-g3x 2 ай бұрын
Huyo babu yko mzee milonge ni yule mzee milonge aliekua anaishi gongo la mboto?
@SalehMakwaya-v8y
@SalehMakwaya-v8y 2 ай бұрын
Kitale kitale kitale we mpuzi hatari sanaaaa, bongo hii wakuacheee Bonge la Story sijawai ona aiseew
@Mwanajumahassan-tg3zg
@Mwanajumahassan-tg3zg 2 ай бұрын
Mzee kama ramadhan kama hongera❤❤❤❤❤❤❤❤yani yuwaigiza kwa makini much lov babuuu mungu akupe umri mrefuuu
@StarBwoiyz
@StarBwoiyz 2 ай бұрын
Mzee kamaaa ramadhani kamaaaa🎉🎉🎉🎉🎉samahani mzee kwa kukuita kimaa
@MohamedMichael-f4j
@MohamedMichael-f4j 2 ай бұрын
Hiii movie n fire 🔥kama unaikubalii Kama mm usipite bila kulike
@SalehDaud-d4f
@SalehDaud-d4f 2 ай бұрын
Dah nimecheka kwa sauti,,, leo nyie wakina zaii mmeatimba leooo
@MasauShida
@MasauShida Ай бұрын
Kazi nzuri sana Mr. Kitale🇹🇿
@omaryrashidy337
@omaryrashidy337 2 ай бұрын
Kama umefurahi kama Mimi kumuona babu yake Aisha chapa like Moja lakibabe😂😂😂😂
@leahzawadi5104
@leahzawadi5104 2 ай бұрын
Nmefrahi kwa kwel
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Namkubali sana huyu mzee❤🎉
@babykasaim2193
@babykasaim2193 26 күн бұрын
Babu aisha kwa afya yangu 😅
@kombom335
@kombom335 2 ай бұрын
@kitaleMkudesimba you are much talented my Brother umeumiza kichwa sana apa
@willyobiike5500
@willyobiike5500 Ай бұрын
OYAAA JAMANI NIWAAMBIE UKWELI, NTAKAPOMUONA HUYU MZEE KARMA MI NAKIMBIA HAHAHA NAKIMBIA MAANA ANATSHAAAA NI MERLIN😅😅😅😅
@habibaliuti3361
@habibaliuti3361 Ай бұрын
Mzee khama sijui kama kiboko🔥🔥kama mzee Msisiri😂😂
@mohdhussein9749
@mohdhussein9749 2 ай бұрын
Mzeee noma huyu dah ananogesha mchezo mazeee😂😂😂
@bonifacegervas7936
@bonifacegervas7936 2 ай бұрын
Mzee ramadhani kama🙌🙌
@RamsideMousah
@RamsideMousah 2 ай бұрын
Mzee kammah Ramadan kammah nakukubali sana Babu yangu haujawah kufeli
@Being_hammy
@Being_hammy 2 ай бұрын
🔥🔥🔥 tunataka ya Ep 4 Chap chap Asee 😂😂😂
@MadingaMadinga-140
@MadingaMadinga-140 2 ай бұрын
Amni usiamin wazee n hazin kubwa San kweny hili taifa,,, brother kitale tuna kushukuru San kwa kututunzia Hawa wazee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@willyobiike5500
@willyobiike5500 Ай бұрын
MBONA MZEE KARMA HAFIKIIII? MI NAOGOPAAA WAKUUUU😢😢😢
@ezekielmeshack8387
@ezekielmeshack8387 2 ай бұрын
Aiseeee hii ngomaa kali sana aiseeee.. huyu babu atariii sana
@Khadijamiraji-i2b
@Khadijamiraji-i2b Ай бұрын
Umetisha mzee wangu unajua unanifulahisha😂 😊😊😊
@Ommywhity7
@Ommywhity7 8 күн бұрын
Hahahahha uyu mganga mbona kaitikia salam ki huni huni hahahahhahahahahahaa😂😂😂 kazini kuna kazi
@Ommywhity7
@Ommywhity7 8 күн бұрын
Babu yake aisha sio mchezo yuko vizuri balaaa 😂❤❤❤❤ ndevu zake zarangi ya kivyake
@حليمهالبلوشي-ز5ث
@حليمهالبلوشي-ز5ث 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂 ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Hongera sana kitale hii movie kali sana ina mafunzo makubwa mno❤🎉
@GraceChansa-r4w
@GraceChansa-r4w 2 ай бұрын
The way I was waiting for this movie 😊 Thanks 😊
@NacirMendez-j5c
@NacirMendez-j5c 2 ай бұрын
Ukitulia huwa unafanya kazi nzuri safi sanaaa kaka japo uliooteaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤ sound truck .mi inanikoshaaaaaa
@mwajabushaban6825
@mwajabushaban6825 2 ай бұрын
Na wao wamekaa hapo na Babu Yao hawaondoki wamebak Babu babuu 🤣🤣🤣 babua zote msicheze na mzee kama ww 😂😂😂
@MoussaFahadi
@MoussaFahadi 2 ай бұрын
Mzee sanadi pumzika mahali pema👏 tulikuchukia kwa kazi zako now ndo tunauona umhimu wa kazi zako😪
@VegasiAgusta
@VegasiAgusta 2 ай бұрын
Babu aisha bola uvyokuja umxaidie aisha mzee ramadhani unamaono baraa❤❤❤
@patriciachangawa1754
@patriciachangawa1754 2 ай бұрын
Mzee kama babangu Mungu akupe umri mrefu🤲🙏💞💞💞
@petervicent-k8y
@petervicent-k8y 2 ай бұрын
kaka kwenye hii move nazan umeua kuliko move zak ambazo nishawah kuon honger sana kaka 👏👏👏👏👏
@scholamwasi
@scholamwasi 2 ай бұрын
Nilkuwaga najua move yako ya uteja tu bro 👍 uko vizuri kama chado masta napenda sana move zenu❤❤❤❤
@IbrahimMkwama-m3n
@IbrahimMkwama-m3n 2 ай бұрын
Kaz nzur xna mwanangu!! Kitale mwamba🎉🎉🎉
@baraka-x2b
@baraka-x2b 2 ай бұрын
Mzee kma ni kiboko wa kucheza kichaw❤❤❤
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 2 ай бұрын
Tena uchawi wake hatumii nguvu wala mabavu kama chendu anarogoa kistaarabu😂😂
@sniperislam4547
@sniperislam4547 2 ай бұрын
😂😂😂​@@beautyibrahim8428
@RobertRahab
@RobertRahab 2 ай бұрын
​@@beautyibrahim8428😂😂😂😂
@hashimuharuna9145
@hashimuharuna9145 2 ай бұрын
Huyu mzee kama shughuli yake sio ndogo😂 kuanzia kwenye maneno ya kuambiwa, binadamu kote anakichafua na ndevu zake😂🙌
@nasrachimamy
@nasrachimamy 2 ай бұрын
San me nampenda mno😅
@OmanOman-hj7tv
@OmanOman-hj7tv 2 ай бұрын
Hatari anaweza zaidi ya sana😂😂😂😂😂😂
@ZakariaAhmed-i3o
@ZakariaAhmed-i3o 2 ай бұрын
Sana sana anajua huyu mzee
@hamisimatano-hh1uw
@hamisimatano-hh1uw 2 ай бұрын
Mzee wakishua uyo bwana
@njamambwana3755
@njamambwana3755 2 ай бұрын
Anaitwa Mzee Khama
@LukaiyaMuhamedi
@LukaiyaMuhamedi 2 ай бұрын
Move atl kitale chukua mauwa yk ❤❤❤❤❤❤❤❤
@YusuphRama-ux6kg
@YusuphRama-ux6kg 26 күн бұрын
namkubali sana mzee kama❤
@francehans3526
@francehans3526 Ай бұрын
Sema kitale mzee unajua sana Respect
@Shadia544
@Shadia544 6 күн бұрын
Nyieee mbona kali sana jamaniii 😢😢😢 uzazi huu jamaniii 😢😢
@shafiichusi1897
@shafiichusi1897 2 ай бұрын
ndiyoo mjomba ..🙌🙌🙌... mjomba ni Mama hii kazi ya moto...
@alinelumona8836
@alinelumona8836 2 ай бұрын
Mzee wetu na kukubali sana baba mzee Khama Ramadhani unatisha baba upewe mahuwa ❤yako yaani Baba wewe ni tegemezi KBs ingekua hata ni kweli ulio nayo kwenye mahisha yako haki watu wasingekua na mahovu mengi maana wewe ni muhukweli Mungu akupe ujasiri aho
@mligoalex5478
@mligoalex5478 2 ай бұрын
Mzee we2 wa moto sana 🙌🙌🙌🙌
@derrickmzungu4727
@derrickmzungu4727 2 ай бұрын
Mzee kamaa Mzee yuko vizuri sana 😂😂🤣😂
@Velma-b3m
@Velma-b3m 2 ай бұрын
Tamu sana🎉🎉 ila muda ongeza alfu unakawia sana
@mwakiretililian3530
@mwakiretililian3530 2 ай бұрын
Movie nzuri mno...ila muimalize mpaka mwisho...fan from Kenya
@OliversOliver
@OliversOliver 2 ай бұрын
Move mzuri sana,,Hongeren
@SalmaMpwanda-xs2vj
@SalmaMpwanda-xs2vj 16 күн бұрын
Nampenda saana uyu babu ❤❤
@omarmkali3610
@omarmkali3610 2 ай бұрын
Shkamoo mzee Kama 🤝 uko vzuri mzee wangu
@FatumaZuberi-x3v
@FatumaZuberi-x3v 2 ай бұрын
Msiwe mnaichelewesha kaz nzuri mno
@ZenaAlly-ib1xo
@ZenaAlly-ib1xo 2 ай бұрын
Jamani move nzuri shida mnachelewa 😢
@shabanmwinyi8180
@shabanmwinyi8180 2 ай бұрын
Kaka kazi nzur sanaaa❤❤❤❤❤
@SaumuFadhili
@SaumuFadhili 2 ай бұрын
Ma shall ah.....mzee...ramadhani.....seris....ya....kwako
@benardmukani902
@benardmukani902 2 ай бұрын
Mzee kama nakukubali sana🎉🎉🇰🇪
@MwanaidiKishara-z3h
@MwanaidiKishara-z3h Ай бұрын
Move nzur sana ❤❤
@MaykoJoshua
@MaykoJoshua Ай бұрын
Mvi nzuli sana kiukwer nimeipenda
@CarolineImbwaga
@CarolineImbwaga 20 күн бұрын
So nice 🎉🎉🎉
@kelvinjoseph4545
@kelvinjoseph4545 2 ай бұрын
Mzee kama apewe mauwa yake ❤❤❤
@jphatactor
@jphatactor Ай бұрын
Brother kazi nzuri Sana kitale
@peterkija2603
@peterkija2603 2 ай бұрын
Umetisha sana Mwanangu Mkude simba mitini shagalaboti 😂😂
@JazminAdamz
@JazminAdamz Ай бұрын
Ramadhan kama oyeeee💪💪💪
@Sur-v9s
@Sur-v9s 2 ай бұрын
Kama ramadhan kama namkubar sana uyu mzee hana kazi mbovu kwenye sekta hii😂😂😂😂😂😂
@robsondalink6206
@robsondalink6206 2 ай бұрын
Alooooh kitale baba have nothing to say, ila ongeza mda na usichelewe kutoa kazi❤❤❤
@Hurusla
@Hurusla Ай бұрын
Sema kupitwa 😂😂😂 waa kitale huna mfano 😅😅😅
@SHANIHAULE-v7g
@SHANIHAULE-v7g 2 ай бұрын
Da semeni nimeona kazi yako na nimependa kaz ya umbea upo vzr😂😂,
@MonicaAgapitiBruno
@MonicaAgapitiBruno 2 ай бұрын
Naomba kuuliza ingawa nyumbani kwetu miaka Mingi aijafika lkn hii sio mzumbe kijiji cha tangeni kweli samahani naomba nijue mbona kama kwetu ivi 🥰🥰🥰🥰🥰
@Being_hammy
@Being_hammy 2 ай бұрын
Ndo kwenyewe
@MonicaAgapitiBruno
@MonicaAgapitiBruno 2 ай бұрын
@Being_hammy naona mazingira ya home Kabisa hii hospital niliwai fika mara moja tu ni ya masister Aya karibuni kwetu mfike adi milioni juu Kabisa 🥰🥰🥰🥰😅nimependa Sana nimeona kwetu 😅😅
@SarahCelicius-su9sg
@SarahCelicius-su9sg 2 ай бұрын
Tangeni mng'ongoni dear hapo ni mitaa ya kwetu kabisa
@Bad_Og26
@Bad_Og26 2 ай бұрын
jaman kitale noma kama kwa kujua kuandika story. Bongo yote hakuna anae kufikia . Tunashukuru sana kwa kazi zako ,ur
@mmnn3579
@mmnn3579 2 ай бұрын
Jaman mbon inatesa sana kweli 🎉🎉🎉🎉🎉nimpend babu yake ya aisha ❤❤❤manshallah🎉
@MsalabaniReko
@MsalabaniReko 2 ай бұрын
Uyu ndo mzee kama ramadhani kama namkubali kinoma noma
@RachelJulius-fh9nl
@RachelJulius-fh9nl 2 ай бұрын
Namkubali sana Mzee kama ramadhan kama🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@ChjksHave
@ChjksHave 2 ай бұрын
Yani kitare akitoa move ni Bala jaman ❤❤❤
@ShariphaSaid
@ShariphaSaid 2 ай бұрын
Hongereni wote mko vzuri mmeuvaa uhusika vzuri sana
@StarBwoiyz
@StarBwoiyz 2 ай бұрын
Mzee kamaa 🎉🎉🎉🎉🎉maua yako😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉baba huna bayaaa umepoaa mwambaaa🎉🎉🎉🎉
@midfieldarteta495
@midfieldarteta495 2 ай бұрын
mwamba kabisa kama ramadhani kama🙌🙌
@AbdiJumaa-kt2rw
@AbdiJumaa-kt2rw 2 ай бұрын
Napenda sana mzee kama
@mwanaishakibaro
@mwanaishakibaro 2 ай бұрын
Waalekuwaalekuuu😂😂😂😂 shikamoo Mzee Kama 🙌
@JaphethChuwa
@JaphethChuwa 2 ай бұрын
Mzee kaona sura ya kazi imeingia amekosea hadi kuitikia salamu😂😂😂😂
@FatmaAlly-w7p
@FatmaAlly-w7p Ай бұрын
Me nampenda huyu mzee Noma sn
@MatendoMenganyi-xq8lx
@MatendoMenganyi-xq8lx 2 ай бұрын
Jamaniiii, fupi sanaaaa ,dah ,we kitale hongera sn, ni noma sana, chezea mkude simba weye ,hatariiiiiii, kazi iendelee
@spartachize122
@spartachize122 2 ай бұрын
Yaani hyu mzee kwenye hizi scene hua anapita nazo kama mgambo kabisa..... He's so talented❤❤
@mohdsaad2736
@mohdsaad2736 2 ай бұрын
❤❤❤😊 kitale ukiikata hiii movie heee😂😂😂 si semi
@ZuhuraAbdallah-u9o
@ZuhuraAbdallah-u9o 2 ай бұрын
Kazi nzuri from oman❤
@MonieJoseph-u5u
@MonieJoseph-u5u Ай бұрын
Kama mzee kamba yuko humu ndani hakiharibiki kitu,show kali😂
@sikumbili
@sikumbili 2 ай бұрын
hii series imebeba uhalisia mkubwa sana, actors wamevaa uhusika sana, kuna muda story inapokua nzuri ikapata actors wazuri, kila kitu kinakua viral, haya location naifananisha na Mkuyuni - Morogoro, unaenda kuzifunika series zote kwa unyama huu big up Kitale
@AshaRamadhanissa
@AshaRamadhanissa 2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kitale nakupenda na umeweza hii movie Yallab akakupe afya njema na ubunifu zaid na zaid kwenye kazi zako Mzee kama mungu akupe maisha marefu pia umetisha tuzo yake apewe
@ashazuber6548
@ashazuber6548 2 ай бұрын
Wallah ukipata babu kama huyu anaejua kila kinacho endelea yaan ni hatareee❤❤❤❤yaan Ana karima babu Aysha kiboko🎉🎉🎉🎉
@BettymnyaziNdoro
@BettymnyaziNdoro 2 ай бұрын
Wallah nimeipenda basi tafadhali movie iishe
@saadahassan1437
@saadahassan1437 2 ай бұрын
Waleikhu waleikhu😂😂😂😂😂 kashindwa malixia salam😅😅😅😅
SAMAHANI ASANTE ep 2|
19:07
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 92 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 4|
17:19
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 86 М.
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
NDARO NA STEVE WALIVOKULA HELA ZA MSIBA UTACHEKA
10:40
Ndaro Tz
Рет қаралды 153 М.
DENI LA MAITI EP 2 STERING CHUMVI NYNG
14:04
Kimso Media Tz
Рет қаралды 3,5 М.
MELISA SEASON 2 EPISODE 1
30:01
hemedy chande TV
Рет қаралды 156 М.
CHA 2000  Full movie  STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE
1:18:57
SAMAHANI ASANTE |ep 5|
18:52
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 86 М.
BALAAA! WAREMBO WOTE WAMEMPENDA MR RIGHT HANDSOME - S04E12
14:59
ST BONGO TV
Рет қаралды 162 М.