naomba kutoa shukurani zangu za dhati kwenu ndugu na marafiki ktk Bwana kwa upendo mkubwa mnaonionesha hii si kitu kidogo kwangu. Inanipa nguvu sana ya kukaa miguuni mwa Mungu kumwomba usiku na mchani anipe neno kwa ajili yenu wana wa Mungu. NATAMANI KILA NENO LITOKALO KWENYE KINYWA CHANGU LIKA MHUDUMIE MTU POPOTE ALIPO.Asante sana wadau wangu
@priscadaniel49644 жыл бұрын
Tuko pamoja dada angu sema uko vizur mnooo me najikuta naponywa kupitia nyimbo zako
@chepkorirdorcas33384 жыл бұрын
I'm here,I'm touched infact changed.ur a blessing to me
@wallenayuya6028 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na Kila neno katika wimbo huu...wakati huu mgumu kwangu namwita Mungu asinyamaze
@emilymatongo6871 Жыл бұрын
Yesu akubariki sana Amen
@sharonlihavi9053 Жыл бұрын
202e still here
@masekete4 жыл бұрын
HUSINYAMAZE JEHOVAH MWAKA HUU 2020...KAMA OMBI LAKO NI HASINYAMAZE GONGA LIKE
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
Apostle Jackson Mutinda Amen sana
@jordandongwe57534 жыл бұрын
Unajua sana Sarah Magesa
@kevinindangasi30817 ай бұрын
2024 and i will still be here , wakenya tueke likes za 2024
@easthernaini73773 жыл бұрын
Usinyamaze mungu wangu ..Kwa Yale yanapangwa kwa Siri juu ya maisha yangu🙏254
@joshuakimario15284 жыл бұрын
Nzuri sana, kama umeipenda like hapa
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
Joshua Kimario Asante
@carencheptoo30533 жыл бұрын
This song is powerful.. Nmereplay mara kadhaa..congrats sarah magesa
@elizabathh62703 жыл бұрын
@@SarahMagesaOfficial ameeen
@lucybayo75772 жыл бұрын
Usinyamaze Mungu wang uliyehai,,nakutegemea ww
@njambishiru86084 жыл бұрын
Usinyamaze daddie... Woooh dada ume barikiwa nyimbo zako zanitia moyo.. Woooh I love the song, I. Love the voice, utaenda mbali, kwa nyimbo zako Mungu akupe kibali
@methodgeaz94312 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi usinyamaze unanigusa sana ubarikiwe kwa huduma
@alorineawuor22054 жыл бұрын
Come on Jehova say a word i am waiting for you . Listen to my prayer God , why are you silent why are you silent come on open doors and windows for me love I am at the door I won't stop knocking , talk to me , talk to me I am here
@mauriceogoma95913 жыл бұрын
Bwana Yesu si kiziwi hatomyamaza
@millicentnekesa48073 жыл бұрын
Aki mungu wangu usinyamaze pia upande wangu
@violetokumu54283 жыл бұрын
Usinyamaze yesu.....Sina mwingine
@daudimhoha8942 жыл бұрын
Yesu.hawezi.kunyamaza.palipo.na.kusudi.lake
@dinahchepkopus82762 жыл бұрын
With God everything is possible
@user-hk9jl7tm6b3 ай бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa tunga nyimbo nzuri zenye ujumbe mzuri sana nimezisikiriza nyimbo zako zote nimezipenda sana zinaujumbe unaingia kinywani na moyoni uendelehe kubarikiwa 1:49
@beatriceuwamahoro22244 жыл бұрын
Usinyamanze kwa watoto wangu baba
@juminhotumain33734 жыл бұрын
Hakika usinyamaze Yesu, Mungu akubariki mtumishi wake
@jacintambonge532911 ай бұрын
Barikiwa sana sarah kwa ujumbe wako kupitia nyimbo zako nzuri nzinanifanyaga nisichoke na kumgoja mungu:Amina.
@esthermere62493 жыл бұрын
Usinyamaze Yesu.. Am blessed
@bahatimgaya4045Ай бұрын
Sarah wimbo huu umevuviwa na roho mtakatifu; endelea kuimarika big love from me
@diananaliaka87423 жыл бұрын
Huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako mum God bless you
@AgnesNyivaTV7 ай бұрын
Wow nice powerful song,akuna kunyamasa♥️👏
@mwanashagladys45813 жыл бұрын
Nipinganie baba usinyamaze😭😭😭
@user-nd5kg8yu7m Жыл бұрын
Yesu usinyamaze katika maisha yetu maana ni wewe tu Mungu
@kennedyndorijamigori50252 жыл бұрын
Usinyamaze YESU maishani mwangu. Mimi mwanao nakutegemea. Bariki dada #SarahMagesa. Nabarikiwa nikiwa huku Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@StephenKasolo4 жыл бұрын
Mama wewe ni wa baraka.. oooo napenda kazi zako
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
stephen kasolo Asante
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
stephen kasolo Amen
@mwambonalutengano30382 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu
@Zachariahmwinuka77813 жыл бұрын
Uko vizuri sana dada Sarah,Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi...Utukufu kwenda utukufu
@user-ov5wz6in3z3 ай бұрын
Naomba mungu wangu unifungilie mlango wa mafanikio mwaka huu naomba ukaonekani Kwa Kila jambo na ukaonekani ww tu maishani Bali unifuche umavyni mwako nisionekane
@freestaressymusic4 жыл бұрын
Nothing can happen when you’re in Jesus Christ, He spoke over 2000 years ago...
@elizabathh62703 жыл бұрын
Ameeen I believe and trustworthy in him💯🙏🙏🙏🙏
@eleanorahchao94074 жыл бұрын
Nia yao waolewe wao eeeh mungu asante kwa kunipigia
@dorahmwakala54573 жыл бұрын
Usinyamaze ewe Yesu wangu
@waswasimiyu45794 жыл бұрын
Huu umekuwa wimbo wa taifa kwangu. Mungu akupe nguvu
@fauziafesto31853 жыл бұрын
Usinnyamazee YESU
@beritawambani57483 жыл бұрын
Amen mungu usinyamaze kwa mipango yangu ya kazi.
@priscadaniel49644 жыл бұрын
Dada angu Sara me cna neno ila mungu azidi kukuinua wimbo wako umenifungua sana ule walizani wananimalza nakupenda sana dada angu nl
@flavialeonardissangu13113 жыл бұрын
Dada huu wimbo mzuri Ubarikiwe sana
@sidihussein36472 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙌 usinyamaze Yesu wangu, usitulie Babangu, waangalie watesi wetu leo hii kutana nao leo hii baba, Amina
@ev.clintonmasava34 жыл бұрын
powrful
@jeankankash7997 Жыл бұрын
BUANA YESU AKUBARIKI SANA NDUKU WANGU SARAH MAGESA.
@user-nd5kg8yu7m Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu nyimbo zako hunifariji moyo ubarikiwe .
@charleskihuga6760 Жыл бұрын
Grace to grace,you bless n encourage many may you b blessed
@beautymboka22574 жыл бұрын
Hakika MUNGU wetu usinyamaze umenibariki na huu wimbo
@listerdismack94714 ай бұрын
This song talks about my really story but God is their with me ❤
@goodsongilikeitmunialo85943 жыл бұрын
Amen good song
@zephania35403 жыл бұрын
daaa,nafarijika sana
@violetokumu54283 жыл бұрын
Usinyamaze Dad tunaponyanyazwa😭😭
@jackiemelilogo8663 жыл бұрын
Lakini Mungu akukaa kimnyaa,,,,usinyamze yesu mwaka huu😭🙏🙏
@betekenya74564 жыл бұрын
Usinyamase.baba.amen
@janealicejamin19323 жыл бұрын
Usinyamaze Yesu, wameniekea mitengo mingi Mungu wa Modecai Usinyamaze.
@florencekazungu41913 жыл бұрын
Usinyamaze mungu wangu
@phoebenasongo556610 күн бұрын
Usinyamaze yesu uniponye Baba nimeteseka Kwa muda
@moreenkavendi34593 жыл бұрын
Ameren🙏🙏🙏🙏 nimebarikiwa
@britydenick65484 жыл бұрын
Usinyamaze yesu,....... Baba.. Na hii janga la coronavirus
@veronicasamwel42514 жыл бұрын
Nakuona happy injerona ktk ubora wako big up my mate mwana wa gwisu barikiwa sana injilisha bila mwisho
@Emilykadzo3 жыл бұрын
Usinyamaze mungu wangu, nakutegemea wewe dady.....barikiwa sana dada
@nelsonkuya89864 жыл бұрын
This song it ministers to me directly... Papa don't be silent especially when I seem to be silent and enemies are going against me
@oyando4 жыл бұрын
Such a blessing and nice song. Mungu azidi kukutia nguvu na kukupa kibali cha kuhuburi neno lake kwa nyimbo
@moisematabaro3286 Жыл бұрын
Nachukuru sana kupata neema ya neno zuri sana ila nakusii sana. Dada punguza mapambo
@keyhassan36294 жыл бұрын
Wow nice
@marynasyieki3783 Жыл бұрын
Vusinyamaze Baba tukuombapo, wonderful song God bless you 🙏🏽
@sarahlevinah40922 жыл бұрын
Much love mama,,,u always makes me going,,,wish i could be your gal
@wemaeunice7174 жыл бұрын
Usinyamaze Yesu a very touching song nyimbo zako zina upako be blessed.
@hezekiahgekonde60342 жыл бұрын
Nabalikiwa sana dada na nyimbo zako ziko na massage
@janemuriukl6564 жыл бұрын
Usinyamaze MUNGU nice song I'm Blessed congratulations, barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
@juliejulie60634 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@jose_thopeboy20712 жыл бұрын
This has been my song all through,,,mungu usinyamaze
@edwardnzambimana90184 жыл бұрын
Ubalikiwe sana
@wangecinaomi79602 жыл бұрын
God is good and that is nature wow!! Amen
@wangecinaomi79602 жыл бұрын
Yeah 😊
@davidmramba20614 жыл бұрын
Mama unajua kuimba nakufutalia nyimba zako Mungu azidi kukuinua
@irenekamira7874 жыл бұрын
amen
@juliustoo27343 жыл бұрын
Barikiwa
@carolynenanjala75542 ай бұрын
Mungu wangu hawezi kunyamaza
@frednyongesa31963 жыл бұрын
Soo nice
@florencemumia23612 жыл бұрын
Ubarikiwe dada ,huu wimbo wanitia moyo kila kuchao
@maurinemasitsa25113 жыл бұрын
Usinyamaze Yesu nakuhitaji katika maisha yangu
@sarahsasha93993 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako sana,huu wimbo hunitia moyo sana,.
@josephmagoha87477 ай бұрын
it's the best I have bn playing it every time it motivates me in any challenges I may encounter in life. ❤❤❤ God bless you.
@cathymutinda98373 жыл бұрын
Yesu husinyamaze nakuitaji katika maisha yngu adui ni wengi ur song blesses me very much.I salute u
@franciscasimiyu9853 жыл бұрын
Usinyamaze baba
@easthernaini73773 жыл бұрын
Wimbo mzuri kweli..254
@philisterkahindi51224 жыл бұрын
Ni kweli usinyamaze Yesu... Barikiwa Sarah
@estherkalutinzoka46214 жыл бұрын
Mungu usinyamaze huu mwaka mungu wangu hawezi kuniacha ata iwe Nini mama nimebarikiwa endelea kubariki wengine pia
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
Esther kaluti Nzoka Amen
@EmmanuelChineOfficial4 жыл бұрын
Mm sio msemaji sana ila uko vizuli dada ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@maggymshay76664 жыл бұрын
Nikiwa Dubai be blessed sister ♥️😘usinyamaze mwaka huu Yesu wangu
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
Maggy Mshay Asante my dear.pia naomba sapot yako rafiki
@Inviolatafavour4 жыл бұрын
Sarah napenda nyimbo zako sana wacha mungu apanue mipaka zako
@mediatrixyakhama82444 жыл бұрын
Nyimbo zako za niinua moyo sana...ubarikiwe sana...kazi nzuri
@cloudclaud64844 жыл бұрын
Wow SHE NEVER DISAPPOINT ❤❤❤❤❤❤👍👍👍
@aswancarolyne30562 жыл бұрын
You are a blessing to Kenya too
@walterokolla24872 жыл бұрын
cant have enough of this song ...it has encourage me at my lowest ...more grace to you my sister
@dorothymmbone88644 жыл бұрын
Amen barikiwa zaidi dada unatujenga kwa neno.
@tsebermmwajuma35994 жыл бұрын
Sarah you minister to me through your songs may the Lord bless you. expand you more and more
@SarahMagesaOfficial4 жыл бұрын
Tseberm Mwajuma Amen
@getrinemuhanji97345 ай бұрын
I Anxiously need you Jesus Christ
@otiliakapinga38014 жыл бұрын
Usinyamaze kwangu yesu nakuita yesu wangu usinyamaze🙏🙏🙏
@josephinebakhitah67902 жыл бұрын
Usinyamaze baba nakuhitaji sana🙏
@gorettinasigwaasingo89814 жыл бұрын
I totally love your music. Based on the word of God. Keep it up. Kazi nzuri.
@ericfrance14862 жыл бұрын
Av heard this song today...en I came to look for it...it's a blessing ..from kenya
@sheyllahchosen96974 жыл бұрын
Gods vessel mum you are blessed i love yoir minstry may God anoint you more
@phinakomba5263 жыл бұрын
Nimebalikiwa sana na wimbo huuu
@mishackkamande4803 жыл бұрын
Wengi wanapenda kuharibia wengine but mungu no Nani atuaji hats kidoko.
@gladysngulu45412 жыл бұрын
God you know my current situation, usinyamaze baba😢