Hakika nitalipiwa deni na kutoka katika utunwa wa roho ya madeni,,ahsante yesu!
@Raminlee272 жыл бұрын
Amen apostle
@hoglawawuda81454 жыл бұрын
Amen..pastor unanitia moyo
@pidiusdominic3673 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@ochuodhoisaya90175 жыл бұрын
Wonderful teachings, BE BLESSED CHIEF
@Lilian-su9jv2 жыл бұрын
Apostle pray for me because Niko na madui in my spiritual ray.kuna mwenye amesema nimejunga Na maubiri za kitanzani .Na happy spirit ya kusikiliza maubiri ikatoweka ndani mwangu.
@chorwett6 жыл бұрын
Wow......It’s the first time I am watching this man of God.....all I can say is Major 1 is an amazing mentor and the anointing of God upon this Apostle is too much. I bless the name of God of Major 1. Apostle Mutalemwa you are a blessed man of God. I honour the anointing in this house!!!!
@rhodakisena64283 жыл бұрын
Hakika Mungu amejifunua ndani yako . Binafsi nimemshangaa Bwana Mungu atukuzwe kwa neema hii kubwa.
@felisteraloys81576 жыл бұрын
Thank for the teachings dad,may God bless you and increase You in Jesus Name.
@sophykedogo97382 жыл бұрын
I receive Amen 🙏 Amen 🙏 Amen stay blessed Apostle
@mkomolej.a.8486 жыл бұрын
According to Proverb 19.17 ISV "Whoever is kind to the poor is lending to the Lord the benefit of his gift will return to him in abundance" Oooh...! GOD, I submit the case AMEN
@Rachel-ni7jy3 жыл бұрын
Bless you pastor for is word Of God iam total blessed and I didn’t not know about this. God bless you indeed 👏🏽👏🏽👏🏽
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
apostle mtalemwa Mungu alibariki na zaidi kukupa maisha marefu tuendelee kupata speech adhimu zilizokwenda shule
@SonofMajor16 жыл бұрын
Am ready missing Chief aisee...powerful teaching mnooo.Am Implementing it and am blessed when helping the needy. The give you blessings and make you happy. Ahsante sana Chief Apostle kwa mafundisho i love you sana.
@mariamapuga18296 жыл бұрын
Asante Chief .Nakupenda sana Chief.
@msangodiesel31324 жыл бұрын
Hata kwenye mtandao tunakupata hatujaokoka ila tunakufatilia vizuri tunakuelewa amen
@lanimadato76242 жыл бұрын
Mariam Benjamin nipo katari doha Ameen
@edwardmachemba43235 жыл бұрын
Hauwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa, mtumishi nimekuelewa sanaaaaa piga injili Baba
@teddymnange24993 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa Sana,tayafanyia kazi naamini Mungu amelipa madeni yangu
@peaceanexavery71976 жыл бұрын
Amina, nitalipa kwa jina la Yesu
@NicasRichard29 күн бұрын
Napokea kwa jina la YESU
@doriskivesa62646 жыл бұрын
Ah powerful nimebarikiwa sana
@kajujumary67293 жыл бұрын
Powerful message I love it.
@joycemushi2483 жыл бұрын
Yesu nilipie madeni yangu yotee napokeaaaaaaa kwa jina la yesu
@Devothakimei6 жыл бұрын
somo lilieleweka sanaa, Mungu akutunze
@damarisgatwiri15879 ай бұрын
I receive in Jesus name
@AlexanderMwinzi Жыл бұрын
Hapo apostle
@happyjohn76303 жыл бұрын
Sijawahi sinzia nikiwa nakusikiliza man of God .my god bless you uwa nailewa bible Yan km nimeenda shule Mungu akubariki sana
@pastorchrissumary59976 жыл бұрын
Nice preaching straight forward
@tumaswai8196 жыл бұрын
That's my mentor chief Apostle nimebarikiwa mnoooooo kupita maelezo
@Rachel-ni7jy3 жыл бұрын
I receive in Jesus name,have mercy on us lord 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@helenaelinipenda95433 жыл бұрын
God bless you chief apostle
@mariamapuga18296 жыл бұрын
Powerful
@Lilian-su9jv2 жыл бұрын
Niombee mtumishi MTU Anita shika nyuma kiroho Na kunirusha.naitaji baraka ya yesu.
@mchungajisecilia80293 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi wa Mungu
@lailatlasway71886 жыл бұрын
Nice brother
@favouredfreda2835 жыл бұрын
Leo nimejifunza neno kubwa sana nitalifanyia kazi kwake mwenyezi mungu
@user-em6bg9ue2d4 жыл бұрын
Asant chef uyo anaesema ohhh yes ananikera acha tumikirize Chef kaziyaketu ooooh Yes acha tusikiye Neno
@doricaxnsemwa54275 жыл бұрын
Songa mbele Mtumishi wa mungu
@rutagandajohn3375 жыл бұрын
Amen amen amen amen amen
@jinasasabuni2419 Жыл бұрын
Nabalikiwa sana na mahubili haya
@nyansomunda5715 жыл бұрын
Nimeelewa neno barikiwa baba I receive
@bahatinella40743 жыл бұрын
Asante Sana kwa kuamsha akili
@arthurmwakanyamale76516 жыл бұрын
Asante mweeeeeeeeeeeeeee
@ignasmchila53775 жыл бұрын
Kwa kweli Yesu amenilipia deni
@thomasgodfrey84215 жыл бұрын
Mungu akupe mafunuo zaidi.Umesema kweli wa Mungu.
@johntausi13753 жыл бұрын
Jaman vifungo vyamadeni vimenifunga muda mpk nikayakatia tamaa nimeonekana nimezulumu mana kilaelanapata nalipa madeni ikaatua nikasema mungu Hi I zambi niyangu nimeyumba sana achanijipange kibiashara lkn kumbe nimejua namna yakulipa nanitatii jaman mungu akubariki
@SaraMtei001-fe2yp9 ай бұрын
Kwakwel yesu amelp maden yangu yote
@rutagandajohn3375 жыл бұрын
Barikiwa
@joycejumaa71814 жыл бұрын
Namini nimelipiwa Deni langu na Yesu
@johntausi13753 жыл бұрын
Mungu a sante
@lyingamwazyunga78236 жыл бұрын
Ohhh yes
@alnordngonyani1644 жыл бұрын
Ameni apostle I receive
@lyingamwazyunga78236 жыл бұрын
Asante sana Chief wa watu 10G+
@aishagodelive81023 жыл бұрын
Ubalikiwe
@yohanaezra10596 жыл бұрын
Barikiwa Chf
@janemsema83915 жыл бұрын
Mungu akubariki apostle mtalemwa
@annahayasanday71743 жыл бұрын
Leo napona
@julianamsofe64456 жыл бұрын
poweeeer
@rozamuhadohaysi97244 жыл бұрын
merci pour votre évangelisation
@tumainkivamba21536 жыл бұрын
GRACE
@lyingamwazyunga78236 жыл бұрын
Best somo ever hakika tumepata dawa ya deni iyeeeee
@janetngana92375 жыл бұрын
lyinga mwazyunga MUNGU atusaidie sana
@mollelshange24125 жыл бұрын
Amina
@doreenkagusa64325 жыл бұрын
Amen
@kuziririzaisabatosiitegeko70883 жыл бұрын
Umeongeya Kweli Mtumishi
@annajoseph4253 жыл бұрын
I receive
@deborahndosi91384 жыл бұрын
Eeh Mungu wa Major one naomba unirehemu n kweli nilikuwa sijui Kama n wewe Bwana ee Mungu nisaidie kuwatendea mema watu wote ninao wajua na nisiyo wajua
@AlexanderMwinzi Жыл бұрын
Welcome Kenya makueni ulete ufunuo iii
@dorcasmaina5169 Жыл бұрын
Naomba kulipiwa madeni
@revmusafiripatrick78174 жыл бұрын
Namimi mungu anilipiye. deni la 10mill
@lightnesselia7655 жыл бұрын
mmmmh ila jamani, one day yes mung atarudi kumlipa kila mmoja sawa na matendo yake
@dullyprinc78866 жыл бұрын
harafu uyo anashika maiki anaongea kweli jamani acha tusikilize neno muhemko Wa nini wore tunashangwe tukiliweka atasikika nabii
@ngometvarusha40304 жыл бұрын
Usijaribu kuaply huu mfano kwenye ofsi ya watu eti uwaite wadaiwa nakuwapunguzia madenu yake utapata kesi ya uhujumu uchumi huu mfano ni wakiroho zaidi ,
@Grace-ts2rf Жыл бұрын
I hope you have abandoned those chiefs, oh yes na mengine... Semeni Amina katika roho
@lilikaaya26052 жыл бұрын
sehemu ya kwanza mbona siioni humu youtube
@carenesendi46235 жыл бұрын
Natamani ungekua hapa karibu nije kwenye kanisa lako
@sigudaud2301 Жыл бұрын
nimebarikiwa asubuhi hii mnoo sikujua miaka minne kuna hii kitu na ninateseka aisee
@agneshassan47123 жыл бұрын
Mtumishi umenipinya ninashinda nikikwama naomba wenye pesa.sinaga bahati ya kupata .kumbe nikikwama nisaidie muitaji aloechiniyangu
@modekaimgisha26846 жыл бұрын
Iyeeeeeeeeeee
@dullyprinc78866 жыл бұрын
mbona amji mikoan uku nasi tupate unabii in DSM tu ndo kunawatu jamon
@bartonntimba12234 жыл бұрын
Hili kanisa lipo maeneo gani? Anaejua anisaidie
@rutinwamuhamba63404 жыл бұрын
Barton Ntimba Makongo juu Dar
@carenesendi46235 жыл бұрын
Napenda Sana unabii wako nakuona yu tube Caren from kenya
@tummahpretty86456 жыл бұрын
Hili somo nabii linanihusu kabisa
@isackkadilo93523 жыл бұрын
Nimelipiwa deni
@thieryniyonkuru50232 жыл бұрын
Hahahaha, Tuchukuwe madeni ili Mungu aje ku clear???
@godwilljesus35056 жыл бұрын
Please do we have ECG IN KENYA ?? I WOULD LIKE TO KNOW
@SupernaturalRevelations6 жыл бұрын
Oh yes. Nrb
@caritasmushi40925 жыл бұрын
Ili somo nabii linanihusu kabisa
@marrymohamed4126 жыл бұрын
Namimi Mungu amtume mtumishi wake popote alipo deni la 369,000/=linanitesa saana namba yangu ni 0788127715.Mungu anisaidie!!
@matridalule99184 жыл бұрын
😂😂😂😂we Kaden ako mm milio n mbil keshi
@user-md7xn9ez9t5 ай бұрын
Am very confused pastor why in your church women wear trousers??
@ianmaseko62726 жыл бұрын
Pastor kanisa lipo wapi siku moja nije nitembelee ? Hakika nimebarikiwa sana, somo hili limejengwa katika msingi wa upendo i can see !! Upendo husitiri wingi wa dhambi, sasa nimeng'amua. Barikiwa Mtumishi wa Bwana. Nahitaji sana kuja kutembelea church one day, 0629139123/0684215215 please let's communicate Pr
@elisha56936 жыл бұрын
Naomba msaada mtu yeyote anilipie deni la laki 4,kwakweli hili deni linanitesa sana.namba yangu ya m-pesa ni 0757 21858 jina Elisha,Ahsante na Mungu ambariki yeyote atakayeguswa .kunisaidia.mimi ni mwanafunzi niko chuokikuu mwaka wa 2
@elisha56936 жыл бұрын
Namba yangu ni 0757218582
@thomasgodfrey84215 жыл бұрын
Fuatilia somo vizuri,Ni jinsi gani Mungu atakapo muinua Mtu akulipie.Sio ww ujitafutie wa kukulipia.
@bonifacemmassy55235 жыл бұрын
Ukitaka kulipiwa Deni kaa katika utii wa Mungu hakika hutaweza kuamini
@neemamwanga54473 ай бұрын
Elisha laki 4 ngoja nikupe yangu ni milioni 15 nadaiwa na sijui pa kupata natamani kukimbia dunia
@dullyprinc78866 жыл бұрын
prophet hayo maneno unayotoa ni kunena kwa lugha au ndo style yako
@gainambalase41606 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu huyu anapatikana wapi? Tafadhali nisaidie namba yangu ni 0743 601904. Asante kwa msaada wako na Mungu akubariki sana.
@sheltermnzava80965 жыл бұрын
Kanisa liko wap? Mbona no zenu hazipatikan
@gerumanaanatoly13555 жыл бұрын
Piga tena
@julianlukindo46235 жыл бұрын
Ila kanisani lipowapi dar? Uwe unatangaza
@tuttibujiku25445 жыл бұрын
Makongo Juu kituo cha basi Machine au kanisani
@claudetambwe66745 жыл бұрын
Hao wanaosema yes kila mara, waache, kwasababu wanasema maneno ambayo it doesn't make any sense. Can you, please, stop saying that word yes kila mara Kwanza wewe sio muhubiri, why are you making kelele. God bless
@rebecamichael55944 жыл бұрын
Somo limenigusa sana ninamadeni nisaidieni namba yangu ni 0764726366
@naomilemi47175 жыл бұрын
kanisa ni neno. lenu linajengwa nn. injili hakuna. mbunguni no
@elisha56936 жыл бұрын
Namba yangu ni 0757218582
@abelsj99646 жыл бұрын
These are typically doctrine of devils (1st Timothy 4:1)
@SonofMajor16 жыл бұрын
This is what we call loving a man of God mpaka unakuwa chizi. Kusema kweli unampenda sana Chief wa watu Abel. Endelea kujifunza ipo siku utapata unachotafuta tu. Cybercrime on the way just wait and see.
@julianamsofe64456 жыл бұрын
Chizi wewe unafuata nini hapa kama Humpendi, wewe unampenda sanaaa unahangaika kila sehemu kumtafuta mwenyewe una madeni mpaka basi unakuja kuiba nondo zetu halafu unaleta ujinga hapa ebu tuondoleee kiwingu kama hupendi si uondoke unanadika ujinga ujinga kwendraaa acha kutuibia mafundisho yetu baki na madeni yako na umaskini wako uiliojaaa mpka kwenye akili yako kutwa kuchungulia page za watumishi wa MUNGU si ufanye yako hatukutaki hapaaaaaa kwendraaaaa Jezebel wewe
@graysonsekimanga58216 жыл бұрын
wewe acha kukosa imani unaboa sana lakini haina shida maana hata Yesu alisingiziwa kuwa anatoa pepo kwa mkuu wa mapepo
@abdulmingange74165 жыл бұрын
Aaaaaaah Mungu ni mwema kwakila jambo
@tuttibujiku25445 жыл бұрын
Waefeso : Mlango 4 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
@enlightenedtv72316 жыл бұрын
false and fake prophets acheni kuwaibia watu kwa kuwahadaa watu 1 sasa hivi hakuna Nabii unajiita wewe mwenyewe Mathayo 11:13, 1wakorintho 13:9-10 kumbukeni mtahukumiwa kwa kila tendo mnalolitenda
@graysonsekimanga58216 жыл бұрын
Amini manabii wa kristo acha ubishi
@graysonsekimanga58216 жыл бұрын
Siku zote Mungu hutumia mtu hawezi kushuka yy kama yy eti akuondolee tatizo lako hata hivyo wana wa Israel iliwabidi wamwamini Musa kuwa Mungu amemtumia awaokoe.ww vp acha ujinga wa kuto fahamu maandiko
@kephamuro94106 жыл бұрын
WAONGO SANA HAWA MANABII, SHIDA YAO KUU NI PESA NA NGONO KWA WASHIRIKA WAO.
@tuttibujiku25445 жыл бұрын
Waefeso : Mlango 4 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
@deboraadam63795 жыл бұрын
waongo tu hawa
@lidasimon1807 Жыл бұрын
Amen
@rhodakisena64283 жыл бұрын
Hakika Mungu amejifunua ndani yako . Binafsi nimemshangaa Bwana Mungu atukuzwe kwa neema hii kubwa.