Serikali ya kaunti ya Mombasa, Kenya Navy walaumiwa kwa kutowajibikia mkasa wa feri

  Рет қаралды 324,898

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

4 жыл бұрын

Shughuli ya kuopoa miili ya mama na mwanawe ambao walizama baharini katika kivukio cha feri cha Likoni zinaendelea kwa siku ya pili hii leo. Inatarajiwa kuwa usimamizi wa shirika la ferry utasitisha safari za ferry kwa saa mbili ili msako wa gari lililotumbukia baharini ufanikishwe.

Пікірлер: 454
@mombasanews3024
@mombasanews3024 4 жыл бұрын
I would like to invite Magufuli to rule Kenya because Uhuru Kenyatta has failed completely !!!!
@josephkeah8734
@josephkeah8734 4 жыл бұрын
True
@suleimanabubakar7293
@suleimanabubakar7293 4 жыл бұрын
Word🙌
@kibudastone5596
@kibudastone5596 4 жыл бұрын
Kumamako
@tashikiicex6769
@tashikiicex6769 4 жыл бұрын
Who told you.... Nonsense.....
@miriamabdul2580
@miriamabdul2580 4 жыл бұрын
0fficial World Best Videos it's really true
@hawamussah2370
@hawamussah2370 4 жыл бұрын
I AS A DAUGHTER OF A KENYAN NAVY LIEUTENANT MAN AM SO ASHAMED AM SO DISAPPOINTED AT MY DAD...ATA SITAKI KUMUONA KWA MACHO
@earlybird5647
@earlybird5647 4 жыл бұрын
They're a disgrace and a big disappointment in this Nation
@kanyaugatiejagwo
@kanyaugatiejagwo 4 жыл бұрын
a beach boy not a man.
@johniemarsha8790
@johniemarsha8790 4 жыл бұрын
Joho hata sijamsikia akiongea igekua ni huku Nairobi sonko agekua hapo kila wakati ....na KAZI ya diving ipewe wenyeji wa Mombasa ...
@maryandesoomukuba3462
@maryandesoomukuba3462 4 жыл бұрын
Very true.hata Mimi sijamusikia
@danieljuma3717
@danieljuma3717 4 жыл бұрын
Yea you are right
@Samira123_
@Samira123_ 4 жыл бұрын
@@danieljuma3717 yes
@niccur9758
@niccur9758 4 жыл бұрын
Raundi hii hatutaki navy kwa occasion yoyote ya serikali ni heri tuite watoto wa nusery watuimbie❎❎✖✖
@shiphrahblessing284
@shiphrahblessing284 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤜🏼
@willaehaishwarya4022
@willaehaishwarya4022 4 жыл бұрын
💯💯💯
@kadalaful
@kadalaful 4 жыл бұрын
Haki, wasikuje
@earlybird5647
@earlybird5647 4 жыл бұрын
Mi sijui ata kazi yao Nini Vita hawaendi Wala ata kuonekana wakisaidia popote kazi Ni kulewa na kulala na Bibi za watu
@kungukimani9260
@kungukimani9260 4 жыл бұрын
Usha nena
@veraskitchen8122
@veraskitchen8122 4 жыл бұрын
Good don't blame only Kenya navy, start from the top! Big shame to Kenya gavament...tena haibu coz likoni fry is next to Kenya navy! Kwani kazi yao ni nini? jinga gavament
@jamestemu1589
@jamestemu1589 4 жыл бұрын
They are there for state fanction shows to show how qualified they r to save Kenyans in camera
@veraskitchen8122
@veraskitchen8122 4 жыл бұрын
@@jamestemu1589 good brother, they are there to show off combackt but inthere actions are like mulevi wa chan'gaaaa....I'm proud to call them idiots. Kenya's this is the time to fight this idiot gavament.
@ulimacoxwagichohi
@ulimacoxwagichohi 4 жыл бұрын
From Sunday ferry ilikuwa hawana idea enyewe bora watoke Lakin mm naona kama navy Ingeingia hiyo Sunday huyo mama angetoka Hai.
@simonmdune9066
@simonmdune9066 4 жыл бұрын
Akii tena daddy angepatika bado yuhai😭😭😭
@reginandiga5840
@reginandiga5840 4 жыл бұрын
Kumbuka ilikua 6 jioni bahati baya Sana iyo Ali coz ilikua usiku
@jamestemu1589
@jamestemu1589 4 жыл бұрын
they were not ready for no kitu kidogo was offered to save the lifes. I WONDER what the speech will be on mashujaa day in the coming two weeks time. Tunajifunia nini na macheshi wetu since independence. Better we escape the day's lies from the president.
@samuelotura5883
@samuelotura5883 4 жыл бұрын
It's very very shameful for the Kenya Navy to be smart only in uniform but NOT IN ACTION!!!!!
@shiphrahblessing284
@shiphrahblessing284 4 жыл бұрын
True, shame on them
@kevinmomanyi7996
@kevinmomanyi7996 4 жыл бұрын
Let them prepare for mashujaa day .....Kenya navy is a joke ..
@Qatar-vh5ff
@Qatar-vh5ff 4 жыл бұрын
Kweli kabisa very shemfull to them
@omarbosiomar8608
@omarbosiomar8608 4 жыл бұрын
Kenya navy wanaenda na amri kutoka juu
@estherchebet4394
@estherchebet4394 4 жыл бұрын
Amen
@twinzmulambes4914
@twinzmulambes4914 4 жыл бұрын
Wot if wapatikane wakiwa haii😭😭😭.. God I trust in you..
@QueenPlays
@QueenPlays 4 жыл бұрын
Monica Mulambe I wish it’s that way 😢
@christinemathenge2131
@christinemathenge2131 4 жыл бұрын
Mi too aky 🙆😭😭
@earlybird5647
@earlybird5647 4 жыл бұрын
There's no air penetration they must have suffocated but I'm praying for them wherever they are
@roselin571
@roselin571 4 жыл бұрын
Oxygen itatoka wapi chini ya maji
@twinzmulambes4914
@twinzmulambes4914 4 жыл бұрын
@@roselin571 my God is God of wonders
@dianasimiyu8853
@dianasimiyu8853 4 жыл бұрын
As a mother i feel so sad to for this and shameless to our leaders 😭😭😭😭😭😭😭😭
@rastafariangal5546
@rastafariangal5546 4 жыл бұрын
Me too
@veraskitchen8122
@veraskitchen8122 4 жыл бұрын
Diana simiyu, I'm watching this issue of our fellow mother who's now rooting in the water while K Nevy is next to likoni ferry, if now Ohuru was there they can show how professional divers they're! 3 days mtu yuko. Ndani ya maji tena salt water? and the Kenya chiefs are home f**cking there' wife? iiiiiiiinauma saaaaana. I wish to meet one of the terrorist attacker boys.....I'm a mother, I've sister's just assume if was my blood sister?
@pmk8877
@pmk8877 4 жыл бұрын
Am too disgusted with the operations I our country. Ushuru Lipa but when it comes to government services, you are on your own. This is very painful, someone tell me again why do we pay taxes? For what purpose? Ile Ushuru huyu mama alilipa haikutosha kumuokoa?
@christineosomechristine3853
@christineosomechristine3853 4 жыл бұрын
Am sorry
@alhandroraj8009
@alhandroraj8009 4 жыл бұрын
Mungu tangulia jamani. Joho atalaumiwa tuu maana ni mkubwa lakini shirika ndio inge bidiika miili zipatikane. Kwa yote tuungane kwa maombi mola alete wepesi zipatikane na wanao fanya hiyo kazi nao mungu awalinde wasizame wasije wakapatwa na kifo ingine. Bahari ni mahali hatari
@marymwangi8753
@marymwangi8753 4 жыл бұрын
Joho atalaumiwa juu ni mtetezi wa hawa watu anapokosa kuwatetea ni makosa makubwa angalau angejitokeza tuu hata kama hatakuwa na uwezo wa kutoa hawa watu kwa maji.
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
@@marymwangi8753 kweli kbsa umesema point
@reaganodhiambo3284
@reaganodhiambo3284 4 жыл бұрын
Kenya Navy niwa oga patieni vijana was kidigo
@iammarwa
@iammarwa 4 жыл бұрын
hii kenya inafaa revolution !!!
@twinzmulambes4914
@twinzmulambes4914 4 жыл бұрын
Only to realize that the mother attended my dad's burial in May😭😭😭😭 may your dota rest in perfect peace..plus yo sister
@precious5277
@precious5277 4 жыл бұрын
So sad
@saumumresh1198
@saumumresh1198 4 жыл бұрын
Joho kazi yake ni kula bata tu na wasani hana lolote mxiieeeuw
@bolingomwana5963
@bolingomwana5963 4 жыл бұрын
Kweli kabisa na kucheza jukwaani na kina mama usembe tu huyo
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 4 жыл бұрын
Wooiii Mungu asaidie hii miili ipatikane InshaAllah. God bless our nation. God also help n bless these divers to operate through God's strength
@silviajeruto6832
@silviajeruto6832 4 жыл бұрын
Kenyans Don't vote 2022 boycott period.Till they fulfil their manifesto
@zuleikhaqassim6242
@zuleikhaqassim6242 4 жыл бұрын
Kabisa
@danieljefwa2071
@danieljefwa2071 4 жыл бұрын
Why 2022 no vote
@gidionkipruto3540
@gidionkipruto3540 4 жыл бұрын
God help those helping in the search 🙏 and comfort the families affected and the whole nation
@emmahmelisa4511
@emmahmelisa4511 4 жыл бұрын
Gidion kipruto-🙏🙏🙏🙏
@mohamedmohd8373
@mohamedmohd8373 4 жыл бұрын
Ameen .. mrs🇰🇪🇰🇪
@gracenjoroge5071
@gracenjoroge5071 4 жыл бұрын
Amen
@stylinconceptkenya1160
@stylinconceptkenya1160 4 жыл бұрын
Kusema ukweli kazi ya bahari ipatiwe vijana wa coast coz wa nairobi ni waoga kwa maji hatuja zoea majo kubwa
@tinasanta4080
@tinasanta4080 4 жыл бұрын
Haki Joho hapa hukufanya vizuri,ungekuja angaa kwa dakika,na Mishi Mboko yuko wapi?sihuku nikwako?
@hawamussah2370
@hawamussah2370 4 жыл бұрын
Mishi Mboko amezimia law siku kadhaa situation ikishaisha atafufuka dear...
@mariambenjira9734
@mariambenjira9734 4 жыл бұрын
@@hawamussah2370 angekua ali kiba angekua mstari wambele😭😢
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
Mishi mboko alikuwa hapo jana
@tinasanta4080
@tinasanta4080 4 жыл бұрын
@@hassanalhussein3982 afahali...naleo ndio namuona Joho baada ya sikuzote hizo
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
@@tinasanta4080 Amechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Yeye angelikuwa wa kwanza kuwa hapo kwa sababu ajali imetokea kwenye jimbo lake.
@sekinanoor1891
@sekinanoor1891 4 жыл бұрын
Mungu Asaidie kila kitu ikuwe nyepesi Insha Allah Amiin
@saumuabdi5954
@saumuabdi5954 4 жыл бұрын
Pole kaka huseni maumivu yako yanaonekana dhahiri mungu akupe ujasiri akulinde ubaki na sisi wanyonge
@shikushee8952
@shikushee8952 4 жыл бұрын
Leo nimeamini wakenya tuko solo kivyetu wah ...mungu saidia kenya
@annenelly627
@annenelly627 4 жыл бұрын
Where the Kenya Navy. We thought they have all the equipment for diving?
@nancynjoki5267
@nancynjoki5267 4 жыл бұрын
Aki hii jambo inahudthi sana mama,mtoto kwa maji ,hata hawa mama viongozi wanasema wanatetea wamama WAKO WAPI 😏
@fatumahussein8045
@fatumahussein8045 4 жыл бұрын
Huyu joho nimtu waaina gani asojali wananchi wake duuh ila yote kwa yote tuzidisheni maombi mungu awafanyie wepesi
@judykandie1452
@judykandie1452 4 жыл бұрын
Hussen Ali ,you have said the truth.
@salimbabz3070
@salimbabz3070 4 жыл бұрын
Naona boat za zunguka tu sioni uokozi wowote
@nsoita17
@nsoita17 4 жыл бұрын
Kenya navy mtaambia nn watu siku ya mashujaaa.shame shame shame
@mwaringasalim7851
@mwaringasalim7851 4 жыл бұрын
Serekali ivunjilie mbali body ya kenya ferry kwa kukosa kuwajibika .
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Dua Zetu tumwekee Mola mbele in sha Allah
@angelababson4822
@angelababson4822 4 жыл бұрын
Amin
@simonmdune9066
@simonmdune9066 4 жыл бұрын
Ameeen
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
Ameen inshaallah Samantha
@mumkmamy5186
@mumkmamy5186 4 жыл бұрын
Aameen
@ukhtysakinaa7664
@ukhtysakinaa7664 4 жыл бұрын
Amiin Insha Allah
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Watu watoke Africa kusini!!wallahi Kenya yetu hawa wanaojiita viongozi wameimaliza kabisa
@jajje3352
@jajje3352 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢sina lakusema nkulia tu namapenzi ya mungu ya timie inauma sana 😢😢
@hamzahalimahalimahamza4446
@hamzahalimahalimahamza4446 4 жыл бұрын
Pamoja mwenzangu 😭😭😭😭😭😭😭
@simonmdune9066
@simonmdune9066 4 жыл бұрын
Polee hiii inauma sanaa akii,wana familia wawe pole mungu awarehemu😭😭😭😭
@peterone2882
@peterone2882 4 жыл бұрын
I pray God you make it possible for this process Amen
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
Allah ajalie wapatikane Inshaallah..wallah mm sina lakusema kbsa.Tumtangulize Allah kwa kila jambo.inauma Sana wallah.
@sarahscates1020
@sarahscates1020 4 жыл бұрын
Joho is busy slaying
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 4 жыл бұрын
Joho hapa amefanya makosa joho utangaliya wapi poleni Sana Wana familia 😭😭
@abdulahihassankadir9770
@abdulahihassankadir9770 4 жыл бұрын
Ferry service na sgr ipo kwa sirakali kuu wala haipo chini ya county so ni vigumu joho kuongea hana uwezo that's why yupo kimia hawzi ningilia kitu hakimuhusu
@stevenwere2655
@stevenwere2655 4 жыл бұрын
Sasa joho ni diver?
@ashleypetertv5894
@ashleypetertv5894 4 жыл бұрын
Hana makosa there are some persons appointed for things like that, but they chose to sleep on their jobs..tunamlaumu bure!!
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
@@abdulahihassankadir9770 hiki kisa kimetokea kwenye county yake kwa hivyo ina muhusu yeye kama governor.
@chizimndalu8537
@chizimndalu8537 4 жыл бұрын
Huyu joho mm simpendi hata coz nmbinafsi Sana,Kama angekuwa familia yake asingekuja?😏😏😏
@lizynyeze7521
@lizynyeze7521 4 жыл бұрын
Wee usimpende ila watu watampenda
@chizimndalu8537
@chizimndalu8537 4 жыл бұрын
Mpende tu hata ukitaka olewa nae msyuuuuu
@abdulahihassankadir9770
@abdulahihassankadir9770 4 жыл бұрын
Bro ferry service agr haipo under county u must know that ipo under sirikali kuu
@chizimndalu8537
@chizimndalu8537 4 жыл бұрын
Najuwa Hilo Ila kufika tu jamani japo hata kuwapa pole wanafamilia
@annegathecha3535
@annegathecha3535 4 жыл бұрын
@@abdulahihassankadir9770 it doesn't matter.....lamhimu it's still under county 001
@mamakeissah1391
@mamakeissah1391 4 жыл бұрын
Joho pia mm nakulaumu.....take a good example na mike Sonko. 3days hujatuma hata gateman wako?
@joyann985
@joyann985 4 жыл бұрын
So 😭😭😭may God be your guider in everything you are doing now . .
@collo_cj9668
@collo_cj9668 4 жыл бұрын
Amen
@animakhatib8347
@animakhatib8347 4 жыл бұрын
Am saying chinese wth the robot.why are they taking time...whose going to pay them..ama deni inaongezeka na ile ya SGR..Mungu Saidiaa sisi.
@Mohaa4309
@Mohaa4309 4 жыл бұрын
Hizo boat yafaa ziwe patrol hapo ferry always day and night but cjui shida n nn aky😭😭😭😭😭
@monikaxenia5629
@monikaxenia5629 4 жыл бұрын
Joho wewe umelala sana,watching from Riyadh
@crowncomputers1216
@crowncomputers1216 4 жыл бұрын
Mungu ahusike jaman sisi wote hatuwezi ala mungu atende maajabu yake
@JefreyKings
@JefreyKings 4 жыл бұрын
Yani wanafikiria kuhusu uchumi instead of Maisha ya watu
@julietnjeri1852
@julietnjeri1852 4 жыл бұрын
I also wonder
@kennedylumumba7522
@kennedylumumba7522 4 жыл бұрын
My the soul rest in peace ,,,I wish ningekua kwa ilo ferri,,coz I no how to swimm,,ningefanya kitu,,but serikali naomba ipate kuweka madivars pale,,ili kuzuia Mambo Kama hayo,,rest in peace mum an her beautiful daughter
@aishaswab3942
@aishaswab3942 4 жыл бұрын
Joho anaslay na bwanake kiba .
@pendosammy5984
@pendosammy5984 4 жыл бұрын
hahah
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 4 жыл бұрын
@@pendosammy5984 anakupa Bata na bwanake kiba 😂😂😂
@pendosammy5984
@pendosammy5984 4 жыл бұрын
@@mapenzikatana9990 hahha mungu anakuona aki
@annegathecha3535
@annegathecha3535 4 жыл бұрын
Joho yua dance tu nyimbo za Alikiba 😭
@hanneyhakobyan7942
@hanneyhakobyan7942 4 жыл бұрын
Walai
@hawamussah2370
@hawamussah2370 4 жыл бұрын
Akipost Instagram akiwa Tz kila siku mshenzi yule
@trizahngash6915
@trizahngash6915 4 жыл бұрын
Mjinga sana
@florencembithe9890
@florencembithe9890 4 жыл бұрын
Niushenzi tokea Sunday
@mariambenjira9734
@mariambenjira9734 4 жыл бұрын
Kweli.kabisa uzembe tu😭😢
@mamaboys2558
@mamaboys2558 4 жыл бұрын
😭Nakazi ya joho ni kudance nakuongea uchuzi badala ashugulikie wanachi wake.
@dollydolly1317
@dollydolly1317 4 жыл бұрын
Heartless people, practicing was important than saving people's lifes
@earlybird5647
@earlybird5647 4 жыл бұрын
Exactly , Safety always comes first mbona beach life savers hukua wengi na mahali Kama ferry kukose kuwa nao , government should employ them
@billybilly-online
@billybilly-online 4 жыл бұрын
Love this channel so much they give details deeply
@kimkimmie3435
@kimkimmie3435 4 жыл бұрын
AIBU!!! Shame!!! A whole “sovereign” country that can’t have efficient divers ..that people can sink since Sunday to Wed and cannot be rescued..😡 ni kizungu tu na Kiswahili sanifu ambayo haisadii...
@veraskitchen8122
@veraskitchen8122 4 жыл бұрын
Njee my fellow Kenyans, ingelikuwa huyo mama na mtoto, angelikuwa ni NGiNA kenyatta including grand daughter Kenyatta uhuru, (?) hizo mili zingekuwa ndani ya maji till leo???...
@sanjafarmmachinerystractor4205
@sanjafarmmachinerystractor4205 4 жыл бұрын
No no no no
@stevenmutumbo5477
@stevenmutumbo5477 4 жыл бұрын
This people take us for a ride we are statstic
@gracewambui1805
@gracewambui1805 4 жыл бұрын
Na nje ingekuwa ni mtoto wa Raila ama kalonzo ama mudavandi ama Wetangula ama joho je bado wangekua kwa maji ama wangekua washatolewa
@jamessitati7396
@jamessitati7396 4 жыл бұрын
kenya ni nchi ya wadosi na maskini akuna cha middle class, kama hii ingelikuwa family ya kenyatta navy kutoka israel na USA wangelikuwa wamaitwa na serikali kusaidia kutafuta mwili zakina marehemu, lakini wakenya lazima tujue tuna changua nani, Joho naye ni bure kabisa.
@elengichanga7127
@elengichanga7127 4 жыл бұрын
Nop
@SSs-tb9yo
@SSs-tb9yo 4 жыл бұрын
Kwa Allah akuna lisilowezekana inshaaAllah ataleta rahama zake watapatikani japo twaumia
@beatricendegwa6813
@beatricendegwa6813 4 жыл бұрын
So sad watching this,coz why did they not help this innocent soul at that moment b4 sinking really here there is a big problem......
@alisalafiyun-kenya3988
@alisalafiyun-kenya3988 4 жыл бұрын
so sad to lose our beloved people of mombasa we really are mourning but ourprayers are with you may da Almighty protect you ..lkn majanga haya hayakuanza leo ni miaka mingi tu mikasa hutokea kwani hawa wanaferry hawajifunzi kesi ni mingi lkn hakuna mabadiliko yyte inachukuliwa ..huu ni usaliti wa hali ya juu. .
@josephruwa7287
@josephruwa7287 4 жыл бұрын
Tashazowea, kazi ya Joho ni kupiga domo tu. Hakuna kitu ya maana anafanya mombasa hii.
@nassorali4061
@nassorali4061 4 жыл бұрын
Kwani joho ni diver?? Laumu kfs na Kenya navy
@saidahj2543
@saidahj2543 4 жыл бұрын
All I can say...God be in control miili zipatikane leo
@naimamohammed3243
@naimamohammed3243 4 жыл бұрын
Tunaomba wakenya kwa jumla tuwe na subra na kuomba mapanikio mema kwa wenye watafanya aparesheni huu. Naima from saudi arabia
@paulbett7149
@paulbett7149 4 жыл бұрын
Can the government please give someone tender to build a bridge between the two parts and let him charge Levy's to pay back. Am ready to build the perfect bridge.
@stylinconceptkenya1160
@stylinconceptkenya1160 4 жыл бұрын
Vijana wa coast ndiyo wakuwe navvy ya maji sisi wa nairobi tuwe wa uchumi na uwizi na tutowe ufisadi kwanza
@maryamashmrei9999
@maryamashmrei9999 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@niccur9758
@niccur9758 4 жыл бұрын
Hio pilot boat iko na karobot ndani ndo wanataka kukasend first ndo wajue gari liko wapi
@kareemalamoody6345
@kareemalamoody6345 4 жыл бұрын
Only I can see divers are scared and no experience. So Kenyan tax money is wasted.
@Kijosh854
@Kijosh854 4 жыл бұрын
Hakuna Kenya Navy niwalevi tu ...wavuvi wanavua usiku Kenya navy washindwe kudive usiku kazi yao ni nn ujinga mtupu No Kenya navy patieni vijana kazi wako mtaani wanapiga mbizi bila gas wala nn
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 4 жыл бұрын
Allaah Atawasaidiyaaa na kuwatowaa maitii na wazee waoo wawapateee ..Allaah Awapeni moyoo mkubwa wasubiriraa kwenu nyote na watuu wenu kwa pamoja. Tunawapeni mkono wa polee ,.poleeni sana. Imeshaandikwa ,Amriey ya mwenyezimngu haizuulikii.
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 4 жыл бұрын
Hussein sauti yako kama ya hayati Ahmed Darwesh Innallilahi wainnailehi warajiun mishi mboko yuko wapi mdomo mrefu tu,
@earlybird5647
@earlybird5647 4 жыл бұрын
Ata nimeshangaa sana wakiwa kwa jukwaa kazi Ni kutukanana na kukipiga kifua lakini serious matter hawapo kuonekana
@mwanamisikibumi42
@mwanamisikibumi42 4 жыл бұрын
Mishi ala bata na Joho
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 4 жыл бұрын
@@mwanamisikibumi42 😄mambo mengine ni hiyo basi tu
@fatumakadute7959
@fatumakadute7959 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@suleimankatana8067
@suleimankatana8067 4 жыл бұрын
Huseen ali be blest umeongoa sawa kwa vile sisi n walala hoi do tunafanyiwa hiz lkn angekua mkbwa flan angekua alitolewa hio siku
@joanatemo1858
@joanatemo1858 4 жыл бұрын
Mungu tuhurumie sisi wanao hizi mwili zipatikane huu siwakati wakulaumiana,serekali ya Kenya fanya Jambo haraka .
@Clahjkmtaeyoongi
@Clahjkmtaeyoongi 4 жыл бұрын
Jamani Kenya Gov cant buy advance equipment
@krauseboss3240
@krauseboss3240 4 жыл бұрын
Waite wazungu hapo kazi in 24 hours kazi itakuwa tayari
@Clahjkmtaeyoongi
@Clahjkmtaeyoongi 4 жыл бұрын
Where are the elected pipo of mombasa? nk then Kenyans will still vote for the pipo who ignore them when in the edge of death
@karendikitchen8439
@karendikitchen8439 4 жыл бұрын
Lord so kuna magari mawili🙆🙆🙆🙆🙆. Watoe zote mbili juu yaonekana kuna uzembe au biashara imo kule baharini...
@joyjjed6613
@joyjjed6613 4 жыл бұрын
isabella evans ,True this is heartbreaking
@enockngala9572
@enockngala9572 4 жыл бұрын
Best of luck to the divers and i would like to pass my condolences to the family and friends
@ceciliawairimu4727
@ceciliawairimu4727 4 жыл бұрын
With God all things are possible. We trust you God
@sanjafarmmachinerystractor4205
@sanjafarmmachinerystractor4205 4 жыл бұрын
True my sister
@anthonymwathi6277
@anthonymwathi6277 4 жыл бұрын
Sonko...Ruto...fly in....experienced divers...I trust you....hawa watu wengine hawajiwezi...mdomo....at I ohh Coast divers..etc...60 yrs tumekua na independence..lini tuliona Gold medal hata ya Olympics...wacha mdomo..iko tofauti na starehe na serious business...to dive requires Science...mtu amesoma....amekua trained...understand nini chaendelea kule chini...Mombasa yetu mdomo mwingi...anza kushinda Gold medal mwanzo...ndio mtu atajua faida ya Bahari...mbona Kisumu hakuna pia swimmers professional..????Mdomo pia...siasa.....Asante kwa wa Rift Valley...nyinyi at least mnafanya mambo yenyu...Central mdomo...Eastern mdomo..North Eastern...hata usiseme...Western..sima Sana'a...Kenya yataka ifufuliwe...
@denitto19
@denitto19 4 жыл бұрын
Inauma sana ya mombasa mzima aina ma pro wa diving...?? Navy pia we always believe in u pple ....mbona atuoni ....mkifanya lolote????
@rahemarehema1490
@rahemarehema1490 4 жыл бұрын
Viongoz wa kenya hamtoacha kunyanyasa wenzenu hadi lini inauma kiukweli najuta kua mkenya pia
@tashikiicex6769
@tashikiicex6769 4 жыл бұрын
Ooh Mungu saidia hio miri ipatikane it's very painful 😔😪😪😪
@alimaalima6016
@alimaalima6016 4 жыл бұрын
Ya Allah hakika kwako hakuna linaloshindikana wajalie wapatikane mama na mwanawe yarab. .aamin
@obadiahchirchir67
@obadiahchirchir67 4 жыл бұрын
Pole kwa familia na tunaomba mwili wa mama na mwanawe wapatikane.
@omerakenyancomedian4931
@omerakenyancomedian4931 4 жыл бұрын
its so sad ataa naa faaa ku change jina langu nitoe hio kenyan kwa jina languuu hiii kenyaa navvvy wako wapi jamaaaniii aki ni machungu sana polenii kwa hii familia
@yjonytbt4683
@yjonytbt4683 4 жыл бұрын
Upuzi mtupu pesa zaenda wapi kila siku nchi haina watu officials ambao wamekua trained yakuokoa watu ngumu sana kwisha
@zeinabmohammed6880
@zeinabmohammed6880 4 жыл бұрын
Xaxa kenya navy kazi yenu gani vita hamuendi kutisaidia hamtusaidii kazi yenu kupractice na wakati ukifika wa kutumia mliyojifunza hamfanyi sasa tuwaelewe vipi?
@truphosaochuka5223
@truphosaochuka5223 4 жыл бұрын
is Governor around? has he spoken yet??
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 жыл бұрын
Mungu asaidie jaman 😢😢
@orodipheny3104
@orodipheny3104 4 жыл бұрын
Shamaless to our leaders ..may God will be done
@aidantembo8517
@aidantembo8517 4 жыл бұрын
sijawahi kuona ukatili kama huu aisee,wakenya mujirekebishe. watu wamesimama wanatazama gari mpaka inazama. boats zimepaki tu pale wakitazama. yaani hiyo ferry iko tu kwa pesa na sio uhai wa watu wa Kenya.roho mbaya sana mmeonesha.
@stylinconceptkenya1160
@stylinconceptkenya1160 4 жыл бұрын
Naona kenye ile siku tutamaliza kutegeza shimo la chooo kwanza ili haja kubwa ipite vizuri ndiyo tutakuwa sawa
@swalehhaji7042
@swalehhaji7042 4 жыл бұрын
Tatizo Nikua kenya navy imejaa watu wasio jua bahari.Mabaharia wa Mombasa wote wako Dubai saver.
@iddchano9343
@iddchano9343 4 жыл бұрын
Haki huu ni utepetevu wa serikali, na mlala hoi pia hatambuliki, mbona gari la Mishi mboko lilitolewa mara tu lilipo ingia.!
@feisaldahir3037
@feisaldahir3037 4 жыл бұрын
Aibu sana yaani wapiga mbizi wa kigeni wameitwa na kuna kenya navy
@khadijaa815
@khadijaa815 4 жыл бұрын
Inatakiwa kwenye kivuko chenyewe kikiwa kazini kiwe na kila kitu cha owokozi kikitokea chochote wawe tayari hapo hapo angewahi kutolewa
@briankhaita3737
@briankhaita3737 4 жыл бұрын
Walaumiwa mkasa wa feri kiaje fery ni yao ama....mbna hao wenye feri hawengekua wanaweka kibanio baada ya magari kuingia na watu kwa feri kama lingekua gari alingezama majini....licha ya break kukatika....😣😣😣😣😣
@johniemarsha8790
@johniemarsha8790 4 жыл бұрын
Kukiwa na sherehe twaona wananevvy wakipita weeengi bure kabisa ...gost workers...
@simonmeshackmmasi6296
@simonmeshackmmasi6296 4 жыл бұрын
vifaa vinavyo tumiwa kwa maandalizi si vya uokozi babu yangu,,,,,,so wewe mkurugenzi angalia unachokisema
@fababindawood8363
@fababindawood8363 4 жыл бұрын
Yaaan aibu kubwa gari ilikuwa inawahiwa panton ilikuwa inaweza kurud na kuwaokoa.ingekuwa Tz haswa Zanzibar watu wangejitolea pale pale na kupiga mbizi
@patricksmith307
@patricksmith307 4 жыл бұрын
right now i do not even know if am proud to be a Kenyan
@Clahjkmtaeyoongi
@Clahjkmtaeyoongi 4 жыл бұрын
Where were those Marines people? Nk and they will still get paid and parade themselves during public holidays 😭😭😭
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
Naomba watu wote wa Mombasa watakao hudhuria mashujaa day wawazome Kenya Navy wakifanya parade . Please boo them they are useless.
@kingkeamohakhamis19
@kingkeamohakhamis19 4 жыл бұрын
katika kenya nevy amna usaidizi wwte coz kwanza wainge weza kuja mpaka wapewe amri hata ngekua ni mzazi wake yu wafa asinge weza kuja ..na pia iyo siku ile gari ndio ilipo anguka ndio siku wange okolewa ila amna waoko waji wote ambao wana fanya kazi kenya ferry awajui Ku swimm
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 4 жыл бұрын
Yaani hadi nachukia kusikia hii kitu watu wawili siku tatu Hakuna matokeo yeyote ujinga utafutika lini?
@christopherowino1816
@christopherowino1816 4 жыл бұрын
Kwanini sirikali wawezi (attach)watuwachache kutoka Navy yakueskot ilo ferry, ila usuru wanaetowa ndio malipoya wabunge etc.
SOKO LA MARIKITI NI KIVUTIO CHA WATALII MOMBASA
3:05
VOA Swahili
Рет қаралды 1,6 М.
Rais Ruto akoselewa vikali kuhusu uteuzi wa baraza la mawaziri
4:40
KTN News Kenya
Рет қаралды 50 М.
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 130 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 114 МЛН
Gari lililozama na miili ya mama na mwanawe laopolewa Likoni
2:34
Mwanafunzi mmoja wa chuo cha TUM Mombasa ameripotiwa kupotea
6:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 44 М.
Johnston Mukabi  - 'Mtoto Si Nguo'
2:57
The Singing Wells project
Рет қаралды 2,7 МЛН
DAY BREAK | Ruto picks Raila's Men [Part 1]
19:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
Kenya Ulindwe
6:20
Rose Muhando Official
Рет қаралды 27 М.
President Ruto effects promotions in the Military
4:02
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
Mwanaume ashambuliwa na wahalifu Mtopanga, Mombasa
10:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 51 М.
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 130 МЛН