Рет қаралды 324,898
Shughuli ya kuopoa miili ya mama na mwanawe ambao walizama baharini katika kivukio cha feri cha Likoni zinaendelea kwa siku ya pili hii leo. Inatarajiwa kuwa usimamizi wa shirika la ferry utasitisha safari za ferry kwa saa mbili ili msako wa gari lililotumbukia baharini ufanikishwe.