Kwa hiyo matoleo yote kanisani inatakiwa iwe hiari kama uwezavyo.kila mtu atende kama kama alivyokusudia moyoni mwake siyo kwa huzuni wala si kwa lazima ili iwe baraka.sasa unatoa fungu la kumi moyo umesononeka maana haujakusudia mbali umelazimishwa na kuhani wako.i akuaje hapo
@loycep7785 Жыл бұрын
Amina Amina sana Askofu kwa maelezo mazuri ya kutoa kuhusu matajiri Yule mama mjane alitoa zaidi ile cent lkn matajiri walitoa vingi kwa kujionyesha mama mjane alitoa vyote kutoka moyoni Ndy mtu unaweza ukashangaa Kuoakwa lmani na kwa kuongozwa na Rohoni jambo jema sana
@naturelle1097 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie Hekima Askofu!
@christianmwasakogo5579 Жыл бұрын
Mada Mubashara kabisa!! Tunabarikiwa sana
@patrickjohn6272 жыл бұрын
Nabarikiwa kwa mafundisho haya ubarikiwe na Bwana wetu
@greenusangu9532 жыл бұрын
Mungu Ni Mwema
@venturebown69833 жыл бұрын
Bless up
@pirminmatumizi54643 жыл бұрын
Swali muhimu ambalo halijaulizwa moja kwa moja na ni changamoto ktk makanisa ni hili: Je, Wakristo ktk Agano Jipya wanalazimika kutoa Zaka na Dhabihu pamoja na sadaka zote kama zinavyoelezwa ktk Biblia hususani ktk Agano la Kale (malimbuko, shukrani, n.k.)?
@kivuyoloishoki63043 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa kutufafanulia maandiko matakatifu ubarikiwe na bwana Amen
@pirminmatumizi54642 жыл бұрын
Changamoto inayohusiana na Zaka kwamba Wakristo wengi siyo (waaminifu kutoa?) ; Ni matumizi yenyewe ya zaka makanisani. Je, zaka inatumika kama BWANA Mungu alivyoagiza ktk Agano la Kale? Je, Wakristo wanatoa zaka kwa moyo wa ukarimu au mpaka watishwe? Kwa nini Watumishi wa Mungu wanatofautiana ktk jambo la zaka ilhali Roho Mtakatifu (Mwalimu wetu) ni yule yule! Inakuaje Jambo hili?
@sarahabdulatif73914 жыл бұрын
Nashkuru kwaufafanuzi kuhusu fungu lakumi nanifurahika mana nimepata tabu sana mpaka ikafika wakati hela ZANGU nikakubaliana nabosi zikae benk mpaka nitapoondok mana nilipenda.kutowa zaka sadaka LAKINI kwavile SIKUWA namuhubiri maalumu wakunijenga nikawa naangalia WATUMISHI TOFAUTI WENGINE wanakataa zaka WENGINE wanakubali nikamuomba MUNGU ANIPE MTUMISHI ATAKAEIKUZA IMANI YANGU NANDIP TOKEA MWEZ WA 8 NILIPOANZA KUMSIKILIZA BABA HAPO SIJAHAMA TENA NIPO NAE NAOMBA MUNGU ANIRUDISHE SALAMA NITAKACHORUDI NACHO YESU NIKIPAUMBELE CHANGU AMIN
@lwimboderick74794 жыл бұрын
Sarah Abdulatif askofu ninwa huduma gani ,,, nimempenda ghafla
@jeremiahmwalukosya84313 жыл бұрын
Hapo ndo nashindwa kuelewa kama wachungungaji kama wanapingana na biblia kuhusu zaka yeye anasema nijalibuni mwone kama sintawafulia madilisha ya mbinguni na pasiwepo mahali pa kuweka
@nicholausmushi444 жыл бұрын
Kama mtu anapokea mshahara wa shilingi laki tano akitoa asilimia mia anabaki na nini ,mtu atoe sawasawa na alivyokusudia moyoni mwake na kwa moyo wa ukunjufu
@jesusmwitila22154 жыл бұрын
Zaka ni % 10 sio mia!!
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Laki 5 Cha kumi Ni 50,000
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Umekula sadaka ukashiba Sasa umeanza kuongea ovyo🤣
@davidbenson6613 ай бұрын
Kumjua mtakatifu ni ufahamu
@barnabazawadi56864 жыл бұрын
Me naomba kuuliza, hivi kama mtu akiwapa wahitaji pesa ambayo ulikuwa kwa ajili ya fungu la kumi inakuwaje? Yuko sahihi? Au kama kuna ujenzi wa kanisa mahala fulani halafu nikachukua pesa ambayo ningetoa fungu la kumi, je niko sahihi?
@gospotv4 жыл бұрын
Upo sahihi kwa maana umetoa kwa moyo
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
No no no 10💯 hio Ni ya Mungu,usijaribu kujichanganya juu imewekwa wazi
@emmanuelgeorge62953 жыл бұрын
Naomba kuuliza umepewa hela ya mkopo ni haki jutoa fungu la kumi
@hajimnzava19722 жыл бұрын
Hapana
@christianmwasakogo5579 Жыл бұрын
Haitakiwi kutoa fungu la kumi kutoka kwenye hela ya mkopo na hakuna andiko linalo sapoti hivyo na kwamba usipotoa basi unahesabiwa hatia!! Kwani hata hivyo kwa ujumla biblia inapinga sana kukopa
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
Malaki 3:8..Je mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema tumekuibia kwa namna gani? ..Mmeniibia zaka na dhabihu.. 9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana, maana mnaniibia mimi ,naam, taifa hili lote 10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo asema BWANA wa majeshi ',mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwa mwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye... Unaweza kuendelea Sijasikiliza clip ya mtumishi wa Mungu .iLa maandiko yanasema ukitoa zaka Mungu anaachilia baraka tena baraka tele..Sidhani ...Pia hata fungu la kumi lina baraka maana kuna andiko linalosema tunapotoa tunakuwa na hazina mbinguni ambako hakuna kutu wala nondo watakaoharibu...
@samwelilazaro28353 жыл бұрын
sasa humwamini Mungu mpaka unamjaribu? hapo alizungumza na watu wa malaki waliokua wamekwisha kukata tamaa na yalikua mafundisho ya kale chini ya sheria
@greenusangu9532 жыл бұрын
Mungu Akubari Sana
@yohanaben-yosef9325 Жыл бұрын
Muktadha wa Andiko Hilo ni upi?
@shuhudiamtasiwa6646 Жыл бұрын
Fungu la kumi kazi yake ni ulinzi wa Mali zako yaani ukipata Hela usipate matumizi yasiyo ya lazima mfano magonjwa ya kipepo ili upoteze hela