Happy birthday mumy, kwa mara ya kwanza leo umependeza sana mashallah maana kwenye kuvaa mpendwa huwa unachemsha 😉 ila leo 👌🥰
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
Kwa hio miaka sijui
@komboomar82752 жыл бұрын
*Shishi mzuri wa sura maashaAllah sikuambii tabia zake*
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@esthermutabuzi4582 kwel
@sallygrace14952 жыл бұрын
Blessings you Shilole and your beautiful family💖 👪 💖 HAPPY BIRTHDAY 🎂 🥳 🎉
@nurahyusuph97712 жыл бұрын
Happy birthday shishi baby nakupend
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Munaesema ni muongo amedanganya umri si 34 tuleteeni card yke ya kuzaliwa watu wanakaa kuyajua maisha ya Mtu zaidi ya huyo mtu mwenyewe
@estherwilliam46752 жыл бұрын
Yaani watu wa humu ndani wanavituko kweli mtu anakataa hana umri huo utasema aliyemzaa ni yeye,,basi kama mnacheti chake cha kuzaliwa onyesheni mana mnapingana na mwenyewe kanakwamba nyie ndo mnamjua vizuri,,mnabohaa jamani khaaa...Happy birthday shishi baby miaka kama yote yenye baraka na mafanikio tele,,,enjoy your day my dear....
@gradnessshitindishitindi48812 жыл бұрын
Mbona wewe hjaweka sherehe mama kama watu wengine! HBD my love
@aminaabdallah36442 жыл бұрын
Happy birthday 🎂 🥳 🎉 🎈 shishi
@joycekitengai65772 жыл бұрын
Hongera shsh nimependa
@victoriampangala67952 жыл бұрын
Wewe ni mwanamke mpambanaji hongera
@fatmabhai28122 жыл бұрын
Hii ya kujishusha miaka mastaa wa kibongo mi ata cwataki..
@sadasaid44082 жыл бұрын
Mashallah shishi wewe ni mama bora
@adam-saffi2112 жыл бұрын
Alianza kuzaa akiwa std 4
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
Umekuza wtt punguza kulala na vijana mtashea wanaume mwishowe
@salisali37382 жыл бұрын
Kamzidi Arni uoya mwaka 1 😂😂
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Shilole 34 mmh kumbe bad mdog tuu happy birthda shilole
@magrethsanga9422 жыл бұрын
39 muongo nae huyu miaka yote 34
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
@@magrethsanga942 🤣🤣🤣🤣 wasann wetu umri unarud nyuma
@eliyajeremia14472 жыл бұрын
Antiezekieli utasikia ana 28 watu tumeanza kusikia nyimbo zao tuko darasa7 leo siwenyewe tuna 30 waondo Wana 34 huu uongo niwakiwango charami
@magrethsanga9422 жыл бұрын
@@eliyajeremia1447 hahahahaha 😆 😂 alafu hawa wasaniii bhana wote waongo mimi nasoma darasa la tatu nimemsikia wema miss nawasikia wakina ailine wakina ant saiv nina thelathin na upuuzi huko eti wana 28 mara 33 mar 34 hyo anty saiv 41 shishi 39 ailini 39 au 40 pumbafuuu
@dijohbanks43122 жыл бұрын
34 2?
@pillyolsen83772 жыл бұрын
Mimba imepotelea wapi tena
@theblessedone75262 жыл бұрын
Mbona Hawa wamama wa bongo wanapenda kudanganya miaka?? Watu wamegonga 40+ lakini bado wanakazania 30s upuzi tu😏😏😏😏
@amirikoshuma30392 жыл бұрын
Mm totoz
@hanschuma77342 жыл бұрын
Hahaha ila mama yao mhhh!!kajua kudanga ndio maana hatak watotowake wawe kama yy sema nn maji hufuata Mkongo.. 😄😄😄😄😄
@mankamrema722 жыл бұрын
Kadange n ww
@chisaid39992 жыл бұрын
eti macho ya waja😁😁😁
@dottohamisi98442 жыл бұрын
Mashaallah watoto wazuli mashaallah
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
tabarakallah😘
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
Waongo 34 mmh
@itslayla15062 жыл бұрын
Kajitahidi sio kamazari kutwakucha yeyenamwanaye kwenye mitandao
@tumainikomba90082 жыл бұрын
Usipomnywa utamnawa au utamfua nguo🙄🙄🙄🙄
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Kumbe shishi mtoto 34
@kennedyessau51692 жыл бұрын
Kumbe shilole Bado sana
@xkingx80412 жыл бұрын
Happy birthday shishi wangu!! hujafikia 40 ila 34 years no..mdogo wangu .. nakutania mwaya😁😁😁😁
@magrethsanga9422 жыл бұрын
Kafika na kapita hawa watu sijui wapoje kila siku kurudisha miaka nyuma kisa vibenteni dah wasitudanganye saiv ana 39 au 40
@xkingx80412 жыл бұрын
@@magrethsanga942 kabisa
@anjelamassawe89972 жыл бұрын
Shishi ni mdogo sana
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
@@magrethsanga942 anaukubwa gani sasa huyo
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Siku hizi hawajstri alivyokua na uchebe walikua wakivaa vizuri hawakuacha vichwa vyao wazi
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Alijistiri na kipigo akapata sasa alipata faida gani? Labda pia alikuwa anafunika kichwa kuficha manundu. Acha ajiachie now🥳🥳🥳
@maloomaalmnsj51112 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 😂😂
@nancyg86642 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 😂😂😂
@issakamangila41432 жыл бұрын
Kumbe amekuwa na watoto wa kubwa kiasi icho aya ss na vp kuusu baba zao au mmoja ni wa uchebe
@asmasalum6752 жыл бұрын
Mmmh Miaka 34 itakua Zaidi. Bhana. Unajua. Wengine. Awapendi. Kusema. Ukweri. Nisiri. Yao wengi. Awapendi ktaja. Umri. Maarumu.ikiwa.ao.watoto.ni.ni.banti.wakubwa.tu.au.alianza.na.miaka.10.kama.yeye.mwenzetu Kashika.34.ila Nisiri.yake.
@tatubadi90102 жыл бұрын
Inamaana shishi na mimi tumepishana miaka 2 siamin wallahi..
@jimboulaya2 жыл бұрын
Ndio wasanii na usanii. mtu unakuta ana mtoto miaka 20 na yeye miaka 34.
@tatubadi90102 жыл бұрын
@@jimboulaya kwakweli me huwa sioni haja ya mtu kuficha umri ilhali unaonekana umri umeenda kweli..
@veronicapaul4992 жыл бұрын
Huamin nini unatishwa namwili
@jumannemfaume2 жыл бұрын
Inawezekana maana shilole alizaa mapema chini ya umri wa miaka 18
@modysultan61702 жыл бұрын
alizaa akiwa mdogo sana kama ulipitiaga interview zake za zazamani nashilole sio mkubwa hyo ndio miaka yake kweli
@jenifajuma53952 жыл бұрын
Kwakweli wasanii mnapenda kuongea maneno kisha mnasahau kwenye shunghuri ya Irine uwoya mwaka juzi ulisema wewe na Irine uwoya mmezaliwa mwezi mmoja na mkasema mna miaka 34 Sasa hiyo miaka 34 tangu mwaka juzi mpka aleo hiyo hiyo? Na huyo Irine uwoya ndio kadanganya kabisaaa eti 32 sijui 33 msiseme uongo bhana saivi shishi utakuwa na 36 pamoja na huyo Irine uwoya
@eyabdimaha36982 жыл бұрын
Wasanii wa kibongo hawa yaani acha tu hawaoni nikki minaj ana 39 na kinaonekana kadogo kuliko wao
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
Sura ndio zina waumbua licha ya makeup
@bantuboy94922 жыл бұрын
h b d my love wa tabora mwisyane bho
@zaiiomary89702 жыл бұрын
Huyu mdog kafanan na maake kasur na macho huyu mkubwa kabeba rangu halis ya mamaake na ubongee
@nasriabdi90462 жыл бұрын
kudadeke matunda yameiva
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@yusufsong91582 жыл бұрын
Awa hii miaka yao kweli
@tumainikomba90082 жыл бұрын
Hakunaga msanii wa bongo mwenye miaka mingi wote ni under thirty
@sadabkari55322 жыл бұрын
Kwani shishi din gni? Mbona majina ya watoto wako Joice na Rahma
@shillahmahiri8552 жыл бұрын
Eti 34 mmmh
@munirashughuli72242 жыл бұрын
Amewaka mbali sana wanae na mitandao nimefurai kwa hilo
@Meme-sr1gl2 жыл бұрын
Miaka kadanganya
@mwanaishakhamis80692 жыл бұрын
🤔🤔🤔🇰🇪
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Ndio mana wanaamuaga kudanganya kweli coz hata wakisema ukweli hamuwaamini. Uyo mwanae wa kwanza alimzaa akiwa na miaka 14 alisema baada ya kubakwa na bamtoto kichakani