No video

Shimo linaloaminika ni ‘LANGO LA KUZIMU’: Linatisha na kuwaka MOTO usiozimika kwa miaka ‘53’ sasa

  Рет қаралды 29,617

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

2 ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 92
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Ай бұрын
ALLAH NI MKUBWA SANA NA ANAISHARA ZILIZOWAZI KWA WAJA WAKE
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@Asamtz360
@Asamtz360 Ай бұрын
Nawaona mbali sana SNS siku za usoni msiache kufanya bidii zaidi graf yenu inapanda kwa 10.5% kila siku moja.MUNGU abariki kazi za mikono yenu
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@stevkaliona4107
@stevkaliona4107 Ай бұрын
Maaajabu ya mungu hayooooo jamani tumuombe mungu usiku na mchana 🎉🎉🎉🎉
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
SubhanAllah huo ni ukubwa wa Allah hakuna jingine
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@mustafatsomba6178
@mustafatsomba6178 Ай бұрын
SKY you're the best presenter ever of this century. Much love from D.R.Congo. We’re really getting informed about so many happenings of the whole world thanks to you. May God bless you! All the best for you the CEO of SNS.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 Ай бұрын
Mhuku ipo hapa hapa duniani mungu atupe mwisho mwema maana mi navyodhani jehanam ipo hapa hapa
@salehkhamis3000
@salehkhamis3000 Ай бұрын
Wanavaa vifaa maalum, havishiki moto
@jamal-dintz6465
@jamal-dintz6465 Ай бұрын
Amin inshaallah
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Jenamu hipo nyumban kwenu
@NELEWARDYMWASILE-dn1ll
@NELEWARDYMWASILE-dn1ll Ай бұрын
​@@user-tq4lx9si1n😂😂😂😂😂😂
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@mohamedrashid6578
@mohamedrashid6578 Ай бұрын
Ninachojua huo moto ndio salama zaidi kuliko hiyo gesi, moto unawaka tu hapo ila gesi athari ingeonekana kwa binadamu
@georgejustine2766
@georgejustine2766 Ай бұрын
Daaaahhhh kiukwel mim huwa na enjoy sana taarifa ambayo inatolewa na Bundala yani mpaka na enjoy tena kazi nzuri kaka.
@freenaturetv
@freenaturetv Ай бұрын
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
@mwishehe
@mwishehe Ай бұрын
kama chanzo ni uchimbaji wa gas hakuna haja ya kutengeneza mazingira ya kuwa na hofu kias cha kutoa majina kama hata, bali tukiri tu wote kwa pamoja ya kwamba hili nalo ni alama ya uweza wake mungu
@zaramuneer3257
@zaramuneer3257 Ай бұрын
ndo tuamini kuwa Mungu yupo na kazi zake zinaonekana
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 Ай бұрын
Yatisha sana aisee
@obeidgalib1878
@obeidgalib1878 Ай бұрын
hio ni volkano
@erickmillanei4346
@erickmillanei4346 Ай бұрын
Tuambie Volcano Gani Inawaka Miaka 50 bila kupumzika
@HansChuma
@HansChuma Ай бұрын
Yan hilo shimo linaweza kutumeza watu wote tulio dunian na haliwez kujaa hata maramoja
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 Ай бұрын
Yaani mpaka tufike mbinguni tumechomeka balaa eeee Muumba mbinguni na nchi tusamehe zambi zetu.siwezi kutembelea hata kidogo nikichomeka mifupa yangu no way 🙏🏾🙏🏾
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Ай бұрын
Subhanallah
@dinosmack
@dinosmack Ай бұрын
Fredrick Bundala sauti ya karne
@user-lq4cm4rq6z
@user-lq4cm4rq6z Ай бұрын
AllahuAkbar
@AmmielNzala-fu4xu
@AmmielNzala-fu4xu Ай бұрын
Lango la kuzimu ni kuikataa injili, kumkataa roho mtakatifu hilo ndio lango la kuzimu
@marthajeremiah
@marthajeremiah Ай бұрын
Kuzimu ni level ya chini ya ufahamu wa kiungu na si mahali yaani low state of your mind .anger, guilt,fear,blame, etc.. ukiwa hapa lazima uone maisha ni kuzimu tosha...level za kiungu ni upendo furaha nà amani.....Kiwango cha kiungu .....diviné consciousness 💜🤍
@EspiSimai
@EspiSimai Ай бұрын
Mshaanza kukufuru Acheni hizo ndo maana majanga Hayes hayeshi dunian kw sababu ya kumkasirisha mungu
@richkaja3317
@richkaja3317 Ай бұрын
I wish nije nipaone napenda sanaa location za kutisha
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x Ай бұрын
Hahaha Fredrick Bundala acha biti. Ongea kama unavyoongea kwenye GPS
@bensonscott3491
@bensonscott3491 Ай бұрын
We ndio mara yako ya kwanza kumsikiliza au
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x Ай бұрын
@@bensonscott3491 Nishamsikia sana.. Sns nipo muda sana.
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Makala nsuri sana kaka bundala unatisha una baya kutoka donhom nairobi
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 Ай бұрын
Bongo fister ni huntum was Kwanza kuleta Makala Ayo
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
​@@belitomanuel6240sijaelewa
@Gody360
@Gody360 Ай бұрын
Aseeeeee
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Ай бұрын
Labda niwape elim ya bure kuzim ni mahali pa kiroho na hakuna MTU aliewahi kufika , kwahiyo mnataka mseme kule kuzim shetani atakapofungwa miaka elfu ni hapo 😂😂😂 mnachekesha , ni Sawa na watu wanaosema mpinguni mahali pa Mungu ni huko juu kwenye mawingu, Pia peponi ni mahari pa kiroho , huwezi kufika kwa mwili wa kawaida wa kibinadamu,
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Ай бұрын
Mungu kaumba kila kitu then wa mwisho katika kuumbwa ni binadamu, so kwakuwa ametuahidi kutakuwa na mwisho na huo mwisho utatokea hapahapa Duniani. So yawezkana sehemu ikawa kubwa kuliko unavyoifikiria. So ni mtazamo tu wa watu
@boscow9380
@boscow9380 Ай бұрын
Ameingia ndani ya moto 😮
@BIGSTAROGTZ
@BIGSTAROGTZ Ай бұрын
Watu uwa wanakibilia like sana sijui ninini😂😂😂😂
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Ай бұрын
Unaomba kijanja like 😏😏😏
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen Ай бұрын
Ni maajabu ya dunia MUNGU ni mkubwa😢
@Bahati47
@Bahati47 Ай бұрын
Kuna wale hawaamini jahannam😢 jamani jahannam ipo na nikali sana
@jumaibrahim9773
@jumaibrahim9773 Ай бұрын
Mvua amna
@TwahirAbdalla
@TwahirAbdalla Ай бұрын
Nimekukubali🎉
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc Ай бұрын
Dunia hii mh
@patrickmligo9335
@patrickmligo9335 Ай бұрын
Wa kwanza leo like zangu😅😅
@Bittertruth-u4n
@Bittertruth-u4n Ай бұрын
Toka hapa😂
@titusfaya872
@titusfaya872 Ай бұрын
Acha ushamba we pimbi zitakusaidia Nini sasa
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Ай бұрын
Huu ni ujinga na urofa hakika🤯💯 +MUNGU+ atusaidie sana🙌
@aishabakari8040
@aishabakari8040 Ай бұрын
Hebu mpeni like mwezenu kawahi 😂😂😂😂
@alphadreammedia
@alphadreammedia Ай бұрын
Wa Kwanza kwenda wapi
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Ай бұрын
Subhannallah subhannallah subhannallah. Ishara zote nimazingatio tunaomba utuhifadhi na majanga hayya
@steveanthon5523
@steveanthon5523 Ай бұрын
Alishukaje chini kufanya uchunguzi! aliwezaje kuingia kwenye shimo la moto bila kuunguwa? hapo Sky umeniacha njia panda, shimo lenye moto wa kutisha mtu anaingiaje kuingia kufanya uchunguzi na asiweze kuunguwa?
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Ай бұрын
Alikuwa amevaa nguo za kuzuia asiathirike na moto kama ambavyo kwenye picha anaonekana
@Zuu673
@Zuu673 Ай бұрын
Ndomana wakasema pa ajabu😂😂😂
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Ай бұрын
Huwa kuna nguo za kuzuia moto kabisa... Hata hapa Tanzania zipo zinatumika pale hospital ya mloganzila
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂 jmn huon picha
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi Ай бұрын
Wenzetu wako mbal kk
@issakamangila4143
@issakamangila4143 Ай бұрын
Dunia ina mambo ya ajabu sn
@mundhirothman9842
@mundhirothman9842 Ай бұрын
Watie 2 maji ya kutoshaaa utazima huo au wawape kazi fire kitaeleweka
@maulidubaya1642
@maulidubaya1642 Ай бұрын
😂😂😂😂
@maulidubaya1642
@maulidubaya1642 Ай бұрын
Noma sana😂
@aloyce_PD
@aloyce_PD Ай бұрын
Skywalker
@TVT4888
@TVT4888 Ай бұрын
😢😢😢😢😮😮😮😮
@p.kasongot979
@p.kasongot979 Ай бұрын
Volcan iyo 😂😂😂😂😊
@erickmillanei4346
@erickmillanei4346 Ай бұрын
Hakuna Volcano Ya kuwak Miaka 50 bila Kuzima
@jerrychiswa2494
@jerrychiswa2494 Ай бұрын
We jaman unajua ila vijana wako waache kaunafiki
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Iyo propaganda za watu wa mangharib.ilo ni shimo kufungua mwenyewe dunia.
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂 kila kitu, watu wa magharibi eb tuache hii mitazamo sometimes
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi Ай бұрын
Umeanza upumbavu wako hujawakuwa naakili tofaut mambo ya magalibi alafu huna elimu wewe
@WazirBoy-fe5ew
@WazirBoy-fe5ew Ай бұрын
Hao walio karibu na hilo shimo awasikii joto la moto au?
@FrancisDonald-go9cs
@FrancisDonald-go9cs Ай бұрын
Kuna mpuuzi mmoja Ana soma comment yangu
@silivestatesha9262
@silivestatesha9262 Ай бұрын
Kuzimu hapawaki moto kuzimu wanaishi watu na majini
@fidelfidel4818
@fidelfidel4818 Ай бұрын
Ulijuwaje
@StevenPeter-ov7pj
@StevenPeter-ov7pj Ай бұрын
Mh
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Ай бұрын
Lango la kuzimu, kamuulizien Wamayo ama Rwanda magere. 😂
@rahiyayousaf3093
@rahiyayousaf3093 Ай бұрын
😅😅😅wamayoo voo😅😅.nimemiss storry zake kwakwelii
@afromixstudios
@afromixstudios Ай бұрын
Wa kwanza kama kawaidaa 😂😂😂😂
@user-kz2sx8md3e
@user-kz2sx8md3e Ай бұрын
Hilo ni kwaajili ya kuwasaidia waliokwenye nchi zenye baraf
@venasmlega6727
@venasmlega6727 Ай бұрын
Kama vile mlishawah kufika 😂
@madjidfine4295
@madjidfine4295 Ай бұрын
Nakubal sana kka tunakuamini sanaaa pande zote
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,7 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 27 МЛН
小丑和奶奶被吓到了#小丑#家庭#搞笑
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 8 МЛН
MAAJABU YALIOMO NDANI YA AL QAABA |  SIRI 8 USIZOZIJUA
4:07
AQ ONLINE TV
Рет қаралды 92 М.
Rioters attack hotel housing asylum seekers amid far-right violence
13:39
Channel 4 News
Рет қаралды 1,6 МЛН
UK riots: 30 more far-right gatherings planned
29:25
Channel 4 News
Рет қаралды 465 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН