Jazaka ALLAHU kher..wallahi itakuwa bora kila siku asimame shekhe mmoja aubiri hapo makadara na hapo bin sadiq wallahi watakoma..YA ALLAH tuongoze sote
@abubakarbakari7042 Жыл бұрын
Masha Allah munafanya kazi mzuri Allah awajazi khery na naomba musirudi nyuma
@ShamimAhmed-hn5kk Жыл бұрын
MashaaAllah tabarakallah kihutbah nzuri sana munafanya kazi nzuri sanaa Allah awajaze kheri amiin
@mohamedalimwangare Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah..... Alhamdulillah thuma Alhamdulillah Sh Yusuf Abdi umefanya sunnah nzuri sana tena kwa hekima na busara kubwa sana. Allah akujaze kila la kheri akuongoze zaidi na shukran pia Masheikh wengine kwa kutumia busara katika kukumbushana na kukania hilo jambo kwa Ummah haswa mama zetu, Dada zetu na watoto wetu.
@fatmaalbeity9097 Жыл бұрын
Jazakallahu khairan kwa kazi nzuri umefanya vizuri kuja hapo kwani walengw a wako hapo misikitini yame zungumzwa sana lakini haziwafiki barakallahufik.
@khadijaali9861 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu shekhe
@mamawa3mamawa321 Жыл бұрын
MJI WA MOMBASA MJI WA KIISLAM INSHALLAH MAFUNZO WAYASIKIE NA WAYAFATE
@aliomar612 Жыл бұрын
Allah awajazi kila la kheri masheikh kwa kukumbusha umma kwa nasaha njema
@barkasaid9907 Жыл бұрын
Alhamdu thumma Alhamdu lilah mungu kukupa USHUJA wa hali ya juu na kukuuwezo mkubwa na kukupa HEKMA kama hiy0
@mamawa3mamawa321 Жыл бұрын
MASHAALLAH ALLAH AKUBARIKI WEWE NA WOOTE MULOFANYA KHERI HII
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Maaa asha ALLAH , MUNGU awaifadhi na awalinde kwa kazi hiyo mnayoifanya ,
@salmaalkyumi6030 Жыл бұрын
Allah akulipe kheir kwa kutukumbusha
@AbdulkadirMahmoud-w6e Жыл бұрын
Mungu atuhifadhi na ulimwengu huu
@jasminmohamed6145 Жыл бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI. ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM. Barakallahu Feek
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Allah atuongoze
@nadiahassan7993 Жыл бұрын
Mashallah
@diyembarak5506 Жыл бұрын
اللهم امين
@eshasaid32587 ай бұрын
Awaogoze
@maryamsalim3233 Жыл бұрын
Amin amin yaraab
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Jazzakallah khayran Yarrab
@nuurjumaan266 Жыл бұрын
Allah atakulipa bin niyitak ya shekh
@fatmayusuf1656 Жыл бұрын
Mashallah allahuhariik sheikh
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
MashaAllah 💓💓💓💓💓💓💓💓
@maryamsalim3233 Жыл бұрын
Amin amin amin
@rashidbashir1995 Жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
Yaa Rabbiy wahifadhi walinganizi hawa na uwatie nguvu