SHUHUDA AELEZA POLISI WALIVYOUAWA 'MUUAJI ALIKUWA MZOEFU'.

  Рет қаралды 12,694

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 97
@hassanrashid-l3u
@hassanrashid-l3u 9 сағат бұрын
Mm ninachojuwa police wa tanzania hawana weledi wa kupambana tit for tat ila kuonea raia wanaweza safi sanaa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 8 сағат бұрын
Tuko pamoja hili la kutesa rai yan akisema yy askari hutakiwi me kumjibu et kwnn hujashusha akambiw na askari wenzie nan angepokea,yan wanatishia rai bure,
@Educatedmind-k9r
@Educatedmind-k9r 6 сағат бұрын
Kwahiyo na wewe unajihesabu kichwani kuwa zinasoma? Mbona unaonesha kuwa wewe ni raia mzigo na ni janga kwa taifa?
@hassanrashid-l3u
@hassanrashid-l3u 4 сағат бұрын
@@Educatedmind-k9r hata Askari ni Askari mzigo,why awe muonevu
@Leodimk-n5c
@Leodimk-n5c 8 сағат бұрын
Jaman msiende kichwa kichwa hamkujifunza tu la TRA? Sasa hivi watu wanajihami eti
@YohanaMathayo-r7p
@YohanaMathayo-r7p 48 минут бұрын
Mungu utujalie mwisho mwema Amen poleni wote
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 8 сағат бұрын
Heeee 😂😂😂 askari wa maisha kupambana na askari wa kulinda usalama na mali zao endeleeni kuwapeleka dp miezi 6-24 tupo tunasubiri miujiza ya mwamposa
@FestoMunishi
@FestoMunishi 8 сағат бұрын
Unaongea upumbavu gani mjomba wwe unatetea askari kuuliwa lakini wako watu wamepotea zaidi ya wawili adi sasa hatujui waliko n wako watu wanatekwa wengine ili kuwauwaaaaa je hili mbona hamliteteiiii hao askari waliouwawa ni siku yao ilifika iweje useme serkali iangaliee hilo acha bangi kuwa na akili y kuona mbali hao wamaotekwaaa kilaa siku ni mmmbwa sio
@ShukurkollAngel
@ShukurkollAngel 2 сағат бұрын
Inasikitisha sana. Achukuliwe hatua kali bila huruma. Ni kweli kabisa.
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Сағат бұрын
Nan
@giftmusa6543
@giftmusa6543 15 сағат бұрын
Mwananchi kampuni kubwa ila camera zenu sijui mnarecodia simu?
@nancyg8664
@nancyg8664 14 сағат бұрын
kamera haijafutwa
@giftmusa6543
@giftmusa6543 14 сағат бұрын
Kwahyo matukio meng camera hazifutwi?,pia angalia angle ya camera mara akate kichwa kwa juuu mara aweke sawaaa .Lack of professionalism​@@nancyg8664
@giftmusa6543
@giftmusa6543 14 сағат бұрын
Asilimia tisin za video zao zinalack video credit na professionalism,angalia choise ya angle ,mwanga na camera visibility stability
@charlesthomas9587
@charlesthomas9587 14 сағат бұрын
🤣😅😊
@Fatima-v9k6f
@Fatima-v9k6f 12 сағат бұрын
From 🇧🇮 kamanda muliro 😂😂sija muskia leo wangemutowa ata uyo muliro wenu😂
@Kasika-hi6hf
@Kasika-hi6hf 5 сағат бұрын
Kamanda muliro sio kamanda wa Dodoma ni wa Dar es salaam ndo mana hujamsikia
@user13375
@user13375 Сағат бұрын
Mbwa wewe
@JaneMkinga
@JaneMkinga 2 сағат бұрын
Hapa wao walienda bila kujihami mtu kama huyu ni mzoefu na unaambiwa anatumia siraha. Kumbe alikuwa na panga akashambulia mpk siraha yao ilipodondoka ndipo akaitumia hiyo. Huwa wakikamatwa wanaachiwa wapewe adhabu kali wapo wengi sana na tunaishi nao mitaani.
@ThelastMantz-i7j
@ThelastMantz-i7j 29 минут бұрын
ILA MAGEREZA KUUWA RAIA ASIYE NA SILAHA NI SAWAAA MWANANGU HAYAJAKUFIKA
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 12 сағат бұрын
Eeeh ima ndule sasa ongea haraka unatumalizia bando.sawa askari ndio wamekuuma maaana ulikuwa unanunuliwa pombe pale mnadani .eti askari umesahau wanaotekwa na kuuwawa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 8 сағат бұрын
Anatumalizia bando,wanotekwe+kuwaw ye hajuii, Asante kw hilo Ashura mwnmk jembe unafaa kuoa mashaaalah,
@edwardmagige3187
@edwardmagige3187 25 минут бұрын
Huo ni ushuhuda au ni utetezii au ni ushauri?
@biberpriyer330
@biberpriyer330 46 минут бұрын
Tatizo lililop ni watu wanapelekwa JKT halaf mwisho wa siku hawapati ajira lazim wajiajiri kwasababu mbinu wanazijua
@edwardkishiwa3296
@edwardkishiwa3296 Сағат бұрын
Pumzikeni kwa Amani Ndugu Zetu Mliouwawa Kikatili Na Police Wakati Wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa, Mwanga Wa milele Uwaangazi Wapumzike Kwa Amani,
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 13 сағат бұрын
Sasa unakuta askari ni kijana mdogo,sasa wanaenda kukamata njemba ji2 la miraba 4,kijana labda 24 yrs huoni kuna shida? Kuna Askari kijana mdogo walienda kamata jambaxi,tena wako askari 4 ,jambaxi kutoka ji2 kubwa ikabidi wakimbie,kwani askari ni vijana wadogo.Jambaxi sugu wanapakiwa askari 10 waxingire nyumba,serrano askari aliyeuwawa na jambaxi kirahisi tu,kafungua mlango katoka na panga kamcharaxa.Babati na sehemu nyingi.
@ArsenPaul
@ArsenPaul 3 сағат бұрын
Maleem uwa Ana sifa nzuri
@HansypMellp
@HansypMellp 8 сағат бұрын
Sasa huyu anaeleza tukio au anatoa hoja we mwandishi unazingua
@AnociathaChuwa-cb5nk
@AnociathaChuwa-cb5nk 8 сағат бұрын
WAPUMZIKE KWA AMANI
@KakaAyubu
@KakaAyubu 13 сағат бұрын
Kuna watu ni wehu...! Hili jambo lina pande mbili no way watu 8 waje nyumbani kwako usiku pasipo kuwa na taarifa za msingi, ni lazima mtu kujitetea cha msingi jeshi la polisi lifanye kazi kulingana na taratibu za kazi jeshi la polisi hawapo juu ya sheria. Hata kama mwananchi ni mwizi/jambazi/kibaka ama mwalifu kuna utaratibu wa kumfuata sio saa saba za usiku na kusababisha vifo visivyo maana
@marymanoni5536
@marymanoni5536 12 сағат бұрын
Sw ao majambazi omba yasikukute
@KakaAyubu
@KakaAyubu 12 сағат бұрын
@marymanoni5536 hujui lolote hilo tukio nilakutengeneza.
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 12 сағат бұрын
Kifo ni kifo Mimi nanukuu
@KakaAyubu
@KakaAyubu 12 сағат бұрын
@JofreyMsigwa-ok7hv Yana mwisho haya, polisi huu uhuni wanao fanya wananchi wamesha choka
@MariaAndreaMusa-j6n
@MariaAndreaMusa-j6n 11 сағат бұрын
Na haoo polisi wanastahili hiyo zawadi ya kifo
@paulinaobiria9649
@paulinaobiria9649 15 сағат бұрын
Hii imetokea lini?
@girikimdaila6026
@girikimdaila6026 14 сағат бұрын
Wao wanaua raia je ?
@NeemaMasala-o7c
@NeemaMasala-o7c 14 сағат бұрын
Nashangaa
@cidewashington670
@cidewashington670 2 сағат бұрын
Huyu jamaa nae badoooooo sijalielewa kabisa
@Furahinikatkabwana
@Furahinikatkabwana 13 сағат бұрын
Askar hapo vpi
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 2 сағат бұрын
alitumia panga kushambulia akawanyanganya bunduki!
@TumtukuzeMbise
@TumtukuzeMbise 9 сағат бұрын
Akina kibao soka beni Awana familia?
@YouTuber-r4u
@YouTuber-r4u 14 сағат бұрын
Shahidi: …kinatuuma sana Mwandishi: Asante
@manchalijob9600
@manchalijob9600 9 сағат бұрын
JPM ALIWANYOSHAA NAONA WANAANZA KULUDI
@ChausikuAli
@ChausikuAli 12 сағат бұрын
Inalilahi wainalilah rajighuun polen wanafamilia pamoja na jamaa wote wa marehem
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 7 сағат бұрын
Khaaaa mweeee mmmm ilikuaje jameni
@MahmoudJaffar-mt1qr
@MahmoudJaffar-mt1qr 5 сағат бұрын
Huna akili wewe askar kila leo wanaua bwege wewe wacha n.a. wao wauawe
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza 7 сағат бұрын
kwahiyo asikal walinyanganywa sikaha amakweli jama alikuwa mwamba
@franciscojohn5751
@franciscojohn5751 11 сағат бұрын
Dah jamaa kavimba mashavu huyu dah kavimba kalibu na masikio shida inaweza ikawa ni nini jamani huu ugojwa nahisi unaweza ukawa ni mpya kuvimba mashavu hivi dah inaumiza sana
@ChristianSiwale-iw7ex
@ChristianSiwale-iw7ex 10 сағат бұрын
😂😂😂
@AgnesAndrea-l3k
@AgnesAndrea-l3k 10 сағат бұрын
Labda alizani watekaji akajiami
@PedadMiyombo-pc8gc
@PedadMiyombo-pc8gc 12 сағат бұрын
Hiii imekaaje 😅😅😅😅😅😅
@charlesthomas9587
@charlesthomas9587 14 сағат бұрын
Nasikitika kuona mochwari ilivyo!
@DINASSOUR
@DINASSOUR 13 сағат бұрын
Michwari kama jiko
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 12 сағат бұрын
Sasa mnataka iweje. Sio jiko hiyo ni kubwa tu au kwa vile imepauliwa mgongo wa tembo. Hiyo ni jengo tu limetengwa pembeni kwa kuhifadhi miili lakini hos ni kubwa tu ndio ya wilaya
@JenniferJackson-m5t
@JenniferJackson-m5t 11 сағат бұрын
Ongea haraka haraka emma ndule mi nina hasira zangu apa😮
@ArsenPaul
@ArsenPaul 3 сағат бұрын
Una akili wewe
@FestoMunishi
@FestoMunishi 8 сағат бұрын
Na pia unafuataje mtu saa saba za usiku ikiwa ni mwizi nyie askari
@MichaelMadohola-v5g
@MichaelMadohola-v5g 10 сағат бұрын
Mmmmh sio jambazi bhwan
@MohammedMaulana-m2t
@MohammedMaulana-m2t 9 сағат бұрын
Uyujamaa anaonekana chapombe
@EdinaEdwardi
@EdinaEdwardi 11 сағат бұрын
Duh inasikitisha sana
@IddiKhamis-u6c
@IddiKhamis-u6c 15 сағат бұрын
Naomba huyu mtu akikamatwa azikwe bila ya kutolewa roho. Maana huu alioufanya ni unyama.
@NeemaMasala-o7c
@NeemaMasala-o7c 14 сағат бұрын
Hehee..na bado
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 10 сағат бұрын
Mmmmmmmm sikuhizi watu wanajihami ukisema ujisalimishe kesho inijikuta kwenye mtaru au mochwari
@vicentmapunda3146
@vicentmapunda3146 10 сағат бұрын
Uyu nae katokea wap mbn hatumuelew😅
@dr.sendeuonlinetv2916
@dr.sendeuonlinetv2916 10 сағат бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun 😭
@marymanoni5536
@marymanoni5536 12 сағат бұрын
Poleni sn police katika kujenga taifa
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 10 сағат бұрын
Ila msiende usiku usiku lolote linaweza kuwakuta
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 15 сағат бұрын
Umeongea ukweli wafuatiliwe watu wa namna hii
@MohammedMaulana-m2t
@MohammedMaulana-m2t 9 сағат бұрын
Police kanyanga'anywa bunduki siopoa akuna police apo
@gililwise
@gililwise 14 сағат бұрын
Hilo jingo la mochuary mbona halieleweki jamanj
@mohamedamini4268
@mohamedamini4268 11 сағат бұрын
Baba wakikukamata police hufiki unakufa tu , police mfuate raratibu za ukamataji tu
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza 7 сағат бұрын
ndiyo wap lalini
@charlesshija7371
@charlesshija7371 15 сағат бұрын
Wagogo sio watu wazuri
@HarunaJackson
@HarunaJackson 15 сағат бұрын
Kumamako
@yustergeofrey578
@yustergeofrey578 14 сағат бұрын
Wagogo wamekukosea nini acha upumbavu wewe
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 14 сағат бұрын
​@@HarunaJacksonukosefu wa afya ya akili,una mama una dada na ndugu kibao wa kike hilo tusi la Nini Sasa khaaaa.
@charlesthomas9587
@charlesthomas9587 14 сағат бұрын
🤣😂
@JocelyneMary
@JocelyneMary 7 сағат бұрын
Hatutaki ujinga sawa
@joshuayoile6149
@joshuayoile6149 15 сағат бұрын
Sawa
@FatumaMatanga
@FatumaMatanga 10 сағат бұрын
Kwahiyoo
@DINASSOUR
@DINASSOUR 13 сағат бұрын
Peer to peer battlefield on de ground.
@RamadhaniKessy-v6r
@RamadhaniKessy-v6r 10 сағат бұрын
TATIZO ASKARI WA TANZANIA WAMEZIDI DHULUMA NA UONEVU , MFANO KWENDA KUMKAMATA MTU PASI NA KUFUATA UTARATIBU
@annafredinandmatandiko8438
@annafredinandmatandiko8438 10 сағат бұрын
Kweliii
@imankyamba4424
@imankyamba4424 15 сағат бұрын
Polisi lini wanajitolea😅
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 14 сағат бұрын
Kama hujui ni kujitolea nenda uone alafu usikie risasi inapigwa hapo mbele kama haujafungua kilometa
@DINASSOUR
@DINASSOUR 13 сағат бұрын
​@@AllyMaya-yj3xd....Kwan wanapokula kiapo hawalijui Hilo....kujitolea ni kua ambko hakuna MALIPO....poleni sana ndugu jamaa
@AnnaKabelwa
@AnnaKabelwa 14 сағат бұрын
Upo sahihi home boy, police wafanye intelijensia yao ili kuzuia matukio ya uhalifu kabla hayajatokea Kama intelijensia yao inavyofanya kazi kwenye mikutano ya chadema hivyo hivyo ifanye na kwa majambazi
@NeemaMasala-o7c
@NeemaMasala-o7c 14 сағат бұрын
😂😂😂
@NeemaMasala-o7c
@NeemaMasala-o7c 14 сағат бұрын
@peterpetropetro-h7n
@peterpetropetro-h7n 13 сағат бұрын
duh duh duh
@KingAmos-f8m
@KingAmos-f8m 15 сағат бұрын
Mmmmh
POLISI WAWILI WAUAWA DODOMA WAKIMFUATA MTUHUMIWA
3:41
Mwananchi Digital
Рет қаралды 19 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 145 МЛН
Why Syria's army didn't fight for Assad: A soldier's story
4:08
The Straits Times
Рет қаралды 534 М.
Car Dealership Manager Kicks Out Black Man, Unaware He Is The New Owner
20:50
🔴LIVE: KNOCK OUT YA MAMA NA WAZEE WA MINYAMA
2:46:43
Wasafi Media
Рет қаралды 2,6 М.
Who Built These Ancient Skyscrapers?
13:42
The Present Past
Рет қаралды 1,1 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН