SHUHUDIA KIKAO CHA PRODUCER'S 14 BORA WA KIZAZI HIKI BONGO

  Рет қаралды 32,814

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 103
@Dontatv255
@Dontatv255 4 жыл бұрын
Big up kwa #wasafi kwa kuitisha kikao kama hiki pia na sisi maproducer wengine tupate kujifunza
@lil_yn982
@lil_yn982 4 жыл бұрын
Mimi sidhani kama bongo producers wana sample kutoka nigeria, kitu kikubwa 1. Ideas 2. Market 3. Technology Nacho weza kusema ni kwamba muziki wa zamani wa kibongo walitumia local instruments, mfano zeze, marimba, ngoma, firimbi, njuga n.k pia ikumbukwe kua viifaa hivyo vilitumika kulingana na hali halisi ya maisha, mwanaadam anabadilika kulingana na mazingira, na matukio ambayo anapitia mwanaadam, Marekani waliaanza na nyimbo za kufight ukombozi wao hili swala ninavyo ona ni kwamba muziki unahitaji changes changes ambazo zinatokana na mahitaji ya mwanaadamu na wakati alinaopitia mwanaadam huyo. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@joseebyser6154
@joseebyser6154 4 жыл бұрын
Wasafi media number one for now... From 254
@michaelkabeta7974
@michaelkabeta7974 4 жыл бұрын
Kikao cha pili waleten ma producer wale legends watuambie kwann ngoma zao zinaishi mpka saiv
@christianeinstein2568
@christianeinstein2568 4 жыл бұрын
The only identity of Tanzanian music is only singeli .love all the way from northern Rwanda.
@jovinkinyaiya5337
@jovinkinyaiya5337 4 жыл бұрын
Global scale, music is universal,there is presence of universal music riding the humanity souls, we should not put boundaries,we are all human beings regardless of where u come from, we have the same God the same devil ,have you ever ask yourself where does the music comes from, it's is the universal language, when there is not explaination music take it's space, it is the language beyond ordinary language....gonga like Kama unenielewa, nitafute nikueleweshe Kama hujanielewa
@Hitycooking
@Hitycooking 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/n6HKfZ2MiLZ7p69q4
@nover8035
@nover8035 4 жыл бұрын
hakuna global scale broh....we are being driven
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 жыл бұрын
Hongereni Sana producers. Naamini muziki wetu sasa umepata platform sahihi. Tutafika mbali na biashara itakuwa
@tafadhalisubscribe3714
@tafadhalisubscribe3714 4 жыл бұрын
Ni kweli Nzuri, Pata Ushauri Alioutoa DiamondPatnumz Leo 🔥 kzbin.info/www/bejne/epSch6Nqmt2kqbc 🙏
@afandebrighttz2887
@afandebrighttz2887 4 жыл бұрын
Thanx Lil ommy ,,,,napenda sana harakatizako
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 4 жыл бұрын
Mie Upande wangu naona vijana wanajichanganya. ila sidhani kma wanajua wako Sawa kwa sababu wanachokifanya ni Afrobeat kwa hiyo wapo juu sana 💥
@amanijampion3045
@amanijampion3045 4 жыл бұрын
Sijawahi comenti, ila leo nimefarijika kuona wadau wa mziki mmekaa pamoja. Naona kukua kwa industry. Mnyororo una watu wengi wakiwemo waandishi, wasanii, wazalishaji, watu wa studio na pengine wasikilizaji
@christianeinstein2568
@christianeinstein2568 4 жыл бұрын
Musical Identity doesn't rely on beats itself but it always includes beat ,sound, and styles of singing. All the way from northern rwanda
@saidkamirius1393
@saidkamirius1393 4 жыл бұрын
The switch ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 4 жыл бұрын
IDENTITY YA BONGO FLEVER CHA KWANZA NI LUGHA YA KISWAHILI KUTUMIKA KWNY MZIKI THEN BEAT HAIJALISHA HATA SOUTH AFRICA WANATUMIA MZIKI WA MAKABILA KAMA ALIVYOSEMA MOCCO... OTHERWSE TURUDI KWNY MNANDA NA SINGELI
@salehfarid1003
@salehfarid1003 4 жыл бұрын
BEST INTERVIEW THE MVP 🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 4 жыл бұрын
tatizo sis bdo ni watumwa wa kifikra, sio hao wasanii tu.. hat mabos maofisn ukuti wamevaa suti ya kitenge😅
@Hitycooking
@Hitycooking 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/n6HKfZ2MiLZ7p69q
@johniadamu4714
@johniadamu4714 4 жыл бұрын
@@Hitycooking p
@fransismodestus9070
@fransismodestus9070 4 жыл бұрын
Idea kali chama langu
@prosperndelwa4560
@prosperndelwa4560 4 жыл бұрын
Nakubarii mpe hai huyo bidada zao letu frm grn cty.
@geofreykashililika4782
@geofreykashililika4782 4 жыл бұрын
Mocco datc y akawa genius....
@grantwiddy6244
@grantwiddy6244 4 жыл бұрын
moko anajuaa
@simplissamba1943
@simplissamba1943 4 жыл бұрын
Lizer ndo mkali wao
@ommybamz7242
@ommybamz7242 4 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii🎶🎶🎶
@victormwakenja8977
@victormwakenja8977 4 жыл бұрын
Nakubali #the switch 👊
@mairahclinetz2241
@mairahclinetz2241 4 жыл бұрын
Lil omy unajua na team yako ya the switch
@nascoba9747
@nascoba9747 4 жыл бұрын
Hapo hao watayarishaji wa muziki wanashindwa kujibu maswali kw ufasaha wanachokiangalia wao ni hakuna mwenye elimu ya utayarishaji na kufatilia mtindo shida kubwa wameshazoea kukopi hao wanategemea kompyuta sana kuliko kugusa vitu kw kupiga kw mikono yao wenyewe, akuna lolote hao hapo mngewaita na producer wa zamani wakubwa ili wawape darasa hao mimi nawaita beat mecca tu sio producer hao, ndio maana wanaigana sana nyimbo wanazotengeneza sasa mtu anakuambia wao wanaangalia biashara tu sasa hiyi nini wanatakiwa kuangalia jinsi gani wanatafuta au kubuni mtindo wetu wa Tz...
@anoldangeliko8256
@anoldangeliko8256 4 жыл бұрын
¹¹¹¹¹¹¹¹¹¹¹
@hikahika6095
@hikahika6095 4 жыл бұрын
hii ni kweli uzungu mwingi
@nairobiflavour
@nairobiflavour 4 жыл бұрын
Wapi mocco genius
@Hitycooking
@Hitycooking 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/n6HKfZ2MiLZ7p6-prr
@yusuphkibumo1905
@yusuphkibumo1905 4 жыл бұрын
Idia kali sana wajumbe
@Safari879
@Safari879 Жыл бұрын
Hata wimbo was beka #poapoa Beat ilikuwa ya wimbo wa garaton
@chiefnumborecords95
@chiefnumborecords95 4 жыл бұрын
Ni naamini misingi kwanza na umoja wa maproducer wote kushirikiana kama walivyofanya kinamajani afu mziki mzuri utapatikana tu
@buberwajohn1312
@buberwajohn1312 4 жыл бұрын
Mie nasubiri makutano ya hawa jamaa kwa mara ya pili tuu ilitupate darasa huru kuelekea kwenye muarobaini wa hii kitu generally wazo zuri now we are heading there kwenye ku shape industry kuujumla wake manufaa yawe kwa pande zote. "Kupata kitu sahihi lazima ukosee kwanza. "
@victorsir-nga7708
@victorsir-nga7708 4 жыл бұрын
Mje mfanye kikao cha producers wa kongwe na wapya wasasa
@wizzymillyofficial8881
@wizzymillyofficial8881 4 жыл бұрын
Maproduc wawe wajue kucheza mahazi ya kupiga beat tofauti kama pancho
@samsonjacob3365
@samsonjacob3365 4 жыл бұрын
The switch
@travellingandadventures2549
@travellingandadventures2549 4 жыл бұрын
Ammy girl mbona mapepe acha watu waongee
@towelman2380
@towelman2380 4 жыл бұрын
I hate that girl 😭😭 ako na mdomo sana
@lucasshayo9705
@lucasshayo9705 4 жыл бұрын
Why wearing shades indoors? @djommy
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 жыл бұрын
Identity yake.
@selemanmayala7436
@selemanmayala7436 4 жыл бұрын
Alaiza na si2kizy kama niwamzazi 1 na muonekano wao
@hamisiomari5724
@hamisiomari5724 4 жыл бұрын
Hatariii
@prosperndelwa4560
@prosperndelwa4560 4 жыл бұрын
Kizaziii saaanaaa
@ayubusanga2325
@ayubusanga2325 4 жыл бұрын
Laizer
@kibushiramadhanikibushu558
@kibushiramadhanikibushu558 4 жыл бұрын
Unawaoji kuusu bongo freva wakati wao awajui uo mziki ume tokea wap mulize Majani ilo swali
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 жыл бұрын
Hilo malaya sijui linajiita likatibu linaropoka hovyo km lilevi
@davidmwanjela1091
@davidmwanjela1091 4 жыл бұрын
Mwee jmn jmn
@EliyacostantinoPius
@EliyacostantinoPius 4 жыл бұрын
Sema anaboa sana ammy gal.mm nafuatilia sana sana hiki kipind .Yaan lazima aende nje ya mstari
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 4 жыл бұрын
Me kutoka Kenya producer nnaowaminia ni S2kiz na Abbah.
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 4 жыл бұрын
Mmenisahau mimi jmn
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 4 жыл бұрын
Ila ikiwa Producers wa Muziki ndo wanaongea hivi. Ni Mtihani kwakweli.. Duuuuhhh😢 Wote Hawaaa..
@husseinmachozi2848
@husseinmachozi2848 4 жыл бұрын
Kizazi saana 👌
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 4 жыл бұрын
Why is this too short???? 24mnts???
@mwalihashaekyoci5812
@mwalihashaekyoci5812 4 жыл бұрын
Nice
@patrickdonald336
@patrickdonald336 4 жыл бұрын
Asee uyo amy gal apunguze kujiamini anaharibu sana inaterviews sikuizi. Anakatiza watu wakiwa wanaongea bila ajenda ya msingi
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 4 жыл бұрын
Ata JZ alirudia beat na mashairi ya 2pac
@official_python.oglife2154
@official_python.oglife2154 4 жыл бұрын
@wcb niwakumbushe tu ndugu zangu.... Amy gal anazingua hatuoni kazi yake hapo zaidi ya kujichekesha tu, sijui AC hapo ndani inamtekenya....
@mpenzramaah2713
@mpenzramaah2713 4 жыл бұрын
WAJUMBEEEEEEE
@idreamfoto
@idreamfoto 4 жыл бұрын
mzee issue hizo ziko kwa Riddim Jamaica
@ramlandayishimiye5439
@ramlandayishimiye5439 4 жыл бұрын
Uyo binti mjangazaji ni mjuwaji
@nelsardutch6725
@nelsardutch6725 4 жыл бұрын
binafsi yangu naona sawa tu sisi kama producer maranyingi niwatu wa kufanya ubunifu hivyo muziki hauna mpaka wala kuiga ila ni kufanya kitu ambacho kinaubunifu kwa upande wako ww kama producer
@agustinoboaz2214
@agustinoboaz2214 4 жыл бұрын
Zombie
@shaban6644
@shaban6644 4 жыл бұрын
Mada ni pana then muda umepunjwa
@kagungaboy5083
@kagungaboy5083 4 жыл бұрын
Sa kwann msanii ahusike kwenye kupiga copyright msanii aliyetumia beat yake?
@MrAfrica
@MrAfrica 4 жыл бұрын
Msanii huwa anayapa makampuni ya kulinda kazi nyimbo nzima. So ikitokea umerudia kampuni ndo ina ku strike.
@grantwiddy6244
@grantwiddy6244 4 жыл бұрын
kama umemwerewaa moko kama mm ngonga like
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 4 жыл бұрын
Walioharibu mziki wa TZ tumewaskia... 😂😂😂😂😂😂
@dicksonshija5202
@dicksonshija5202 4 жыл бұрын
Inadumza mziki
@bensonmwananchi7701
@bensonmwananchi7701 4 жыл бұрын
Kumbe t touch hayupo kwenye 14 bora
@HIPAVOMS2023
@HIPAVOMS2023 4 жыл бұрын
Time matters
@eddyeddy2907
@eddyeddy2907 4 жыл бұрын
Hayupo
@peterchipasula1527
@peterchipasula1527 4 жыл бұрын
14 bora kivipi ? Mnaleta mgongano hapo
@HIPAVOMS2023
@HIPAVOMS2023 4 жыл бұрын
Hitmaker
@nover8035
@nover8035 4 жыл бұрын
No singeli sio mziki wakuupa credit..hauvibe watu wote
@godlistenremmy9349
@godlistenremmy9349 4 жыл бұрын
Unapenda instaf like that why
@alextanzania
@alextanzania 4 жыл бұрын
and staffs like that
@alextanzania
@alextanzania 4 жыл бұрын
and staffs like that
@danielsama1576
@danielsama1576 4 жыл бұрын
All in all
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 4 жыл бұрын
@@alextanzania bora
@kinyamal8201
@kinyamal8201 4 жыл бұрын
Amygal😡😡😡😡
@mymuamsrrr7884
@mymuamsrrr7884 4 жыл бұрын
Producers uchwara hawa wanatamba bure beats sio zao, hizo beats ziko kwenye system, waletee life band hapo, uniambie utamuabiya wapiga vyombo wapige hivi na vile?nyie ni computer operators. Thats all you are. Msijishaue.
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 4 жыл бұрын
Hakuna beats ktk system, softwares zina vifaa vyote vya muziki wanaanza kupiga upya na kila producer unaemuona ujue lazima ajue kupiga kifaa zaidi ya kimoja cha muziki
@stanleyasante429
@stanleyasante429 4 жыл бұрын
Oya achaaa izoo mzee atakama
@DrAvneen
@DrAvneen 4 жыл бұрын
Ni shida ngoma mpya ya Diamond platnumz ft Rayvanny - Sikuachi ni bonge la hit gusa hapa uone kionjo chake kzbin.info/www/bejne/gnuZhYBoaLJ3b8U
@kisokatvonline3704
@kisokatvonline3704 4 жыл бұрын
MOTO WATEKETEZA MABWENI AFRICA MUSLIM BOFYA HAPA KUONA ZAIDI kzbin.info/www/bejne/gqDPdoqorrRlkMk
@tmtwane9092
@tmtwane9092 4 жыл бұрын
DIAMOND AACHWA MBALI NA HARMONIZE gusa link kwa full story kzbin.info/www/bejne/nHWbl4uNm7Kqq8U
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 жыл бұрын
Mavi yake na yako pia. Hata anye nyumbani kwako hafiki hata robo
@saidkamirius1393
@saidkamirius1393 4 жыл бұрын
The switch ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 116 МЛН
Marioo - Aya | Beat Making Session
12:33
Mocco Genius
Рет қаралды 68 М.
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56