Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@MohamediSaidi-yr4qy5 ай бұрын
Mo. Aondoke anaiuwa simba kwan ye si muhind yeye na mpira ni wap aondoke na hao akina mangungu na trai agen
@angellomarcel56775 ай бұрын
Maestro uko fresh mno Big up
@neemaben99895 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏 we jamaa unajua
@DanieliDgani5 ай бұрын
We maestro boya tu mpaka simba inafikia kwenye top ten ya timu bora afrika yanga ni ya ngapi mkono wa mo umefanya Simba iwe kwenye top ten
@medardjustinemakonge99005 ай бұрын
Kiukweli Mesut,,nimekuelewa sana,,,Kinashida kubwa sana ndani ya simba,Kuanzia Uogozi mwekezaji,,,Yaani kila kitu hakiko sawa:,,,,Watu wamebaki kulopoka badala yakusema ukweli:
@amrijuma66215 ай бұрын
Mimi naona hapano mo yeye ni muwekezaji ambae anahusika Kwa % chache tatizo viongozi ni wapigaji wanapata pesa Kwa maspornsar kama m- bet. But hizo wanakula viongozi. Ila scouts wakipata wachezaji bora. Wanakuwa ba gharama for example. Protional ana gharama ya million jero. So dewj anapaswe kutoka million mia mbili na sehemu. Na Wana simba wenyewe kama ndio wenye timu hawatoi sehemu iliobaki wataka kula Kwa mdhamini. Ndimaana wanalet wachezaji wenye quality ya jobe na kubrani fled. Why mo?
@MussaMarwa-z3n5 ай бұрын
Viongozi wa simba niwezi ayo awafai
@FellaMbogela5 ай бұрын
Aachie ngazi, ILI TUPATE WATU WASIO NA MAGUMASHI
@Selemaniramadhanikusila5 ай бұрын
Mo anahusika Kwa ubaguzi wa wachezaji makocha, anawapa nafasi wachezaji wageni,makochawazungu hatuelewani hatarugha.
@frankurio4695 ай бұрын
Mimi kila siku nasema mo ndio kisababishi cha kuyumba kwa simba na mo analijuwa hilo kuwa yeye ndiyo sababu, hata huu uongozi m bovu kauweka yeye kwa rushwa ili wamlindie maslahi yake
@SilimaUssi5 ай бұрын
Sema mm nisimbaa
@leonardlunguya71125 ай бұрын
Kwani Mo Dewji kama anazingua Simba haiwezi kumpata mdhamini mwingine?
@MalikiKavindi5 ай бұрын
Ni sahihi kabisaaa hyo mwekezaji anahusika kuishusha simba na kama hahusiki je? Yeye anaridhishwa na mwenendo wa timu? Na je? Kwann watu wakisema yeye anahusika kuishusha simba hatoki hadharani kusema yeye hahusiki?
@songombingo1085 ай бұрын
Bado hamjasema
@jamesjames23685 ай бұрын
Global tv sponsored by GSM, watangazaji na maokoto bahasha za kaki VS Mo Dewji.
@silvanuskisinza43035 ай бұрын
Mwekezaji angeachia timu simba iendelee.
@leonardchoma37655 ай бұрын
Hii timu yetu angeichukua mzee Bakharesa kipindi kile,nafikiri tungefika hata fainali ya CAF champions league.
@husseinmpuruti13725 ай бұрын
Hakuna mwekezaji happo iweje kipindi ya usajili halafu unaonekana kwenye ahadi eti natoa kiasi hiki muongo huyo anaiua simba mhindi na mpira wapi na wapi?
@charleslugemalila11685 ай бұрын
Unataka kutwambia wachezaji wanasajiliwa na nani? Mbona mnatuchanganya nyie? Wachezaji ghali kama Chama na Ngoma nani kawasajili na nani analipa mishahara?
@maguosenior78095 ай бұрын
Bahati mbaya hujui unachosema.wew mchochezi tu.
@roberttagaya90985 ай бұрын
Wewe ndio uelewi kitu. Jamaa yupo sahihi kabisa. MO ndio tatizo kubwa kwa Simba. Kwa hivi sasa tulipofikia hatutakiwi kumuonea aibu MO inatakiwa aambiwe ukweli ili kama ni kujirekebisha ajirekebishe. Na kama awezi au hataki basi aondoke aje mwekezaji mwingine.
@abbasisudi68995 ай бұрын
Mchakato huwez kuisha hapo wa uwekezaji na udanganyif
@eliashelyongolo41235 ай бұрын
We ndio chawa,hy anachoongea ni kweli tupu,
@ThomasMakarius-x9n5 ай бұрын
MO atuachie timu wawekezaji wapo atoke.
@jackmabirangacharles93985 ай бұрын
Leo ndio najua Ndio Maana kwamba pale Efm ndio maana huwa hamuipendi Yanga ndio maana huwa umnaisema sana Yanga Vibayaaa kumbe wewe ni Mnyama
@SaidJumanne-ue2jy5 ай бұрын
Kwahyo na pale wasaf wanaisema vibaya sana Simba sababu kitenge ni yanga, daa ushabiki wa hiz timu mbili unaweza ukakupola uelewa wako bila mwenyew kujitambua
@mcharodavis21825 ай бұрын
Hivi Simba ina mwekezaji tayari? Hakuna mwekezaji,maana hakuna mfumo uliokamilika,MO DEWJI anafadhili tu timu Ukiwekeza unatakiwa uwe na uhakika wa usalama wa pesa yako Je Simba imemaliza transformation? Je imeshajifanyia tathmini ya thamani yake(mali)? Tusubirie mchakato uishe ndio tumseme huyo mfadhili
@gaspeldaniel11405 ай бұрын
Tatizo lilianzia kwenu nyie Efm maana mlikua mnasifia hata kibaya.. Lakini tatizo lilianza toka mwaka juzi 2022. Tukamtukana kigwangara. Leo ndo tunatambua kuwa moo ni muongo.
@afropatriot77695 ай бұрын
Manara snitch kama unamtaka nenda nae utopolo
@gaspeldaniel11405 ай бұрын
@@afropatriot7769 Manara kaingiaje hapo
@UpendoTonny5 ай бұрын
SIMBA KUNA TATIZO KUBWA HASA RUSHWA NA USHEMEJI,WATU WAMIIHODHI TIMU KAMA MALI YAO
@SuleimanNgware5 ай бұрын
No haina shida viongozi bora na wachezaji bomba ALL kipigo na mihela bwerere raha ni kipigo tu
@andrewdaudindullu17495 ай бұрын
Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Kam MO bado mguu ndan nje achie timu yetu tumechoka mashabiki
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Mo ndio na mwenyekiti ni majini yanayoiangamiza Simba
@jasonwatz74575 ай бұрын
Hakuna kitu kinaitqa majini, mpira wa sasa ni wa uwazi, unawekeza + utawala bora = matokeo mazuri
@nicastesha59865 ай бұрын
Upo right sina kaka aliye ifufua simba ni yeye na anayeiua simba ni yeye mo wanachama wa simba wasipo amka kla sku mangungu timu itardi kule kule
@GeorgeChitemo-kt8sw5 ай бұрын
Aachie VIP wakati niyakwake na alishainunua
@charleslinhege6905 ай бұрын
Kigwangara uko wapi taf jitokeze uiokoe Simba mawazo yako Yana tija sana
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Tulimbeza yametufika mo na mwenyekiti ni majini yamimaliza Simba yetu, tatizo wengi hatumpendi ukweli hayo ni majiti tungemsikiliza kigwangara na kuchua hatua tusihatibikiwa
@Joe-tr2vk5 ай бұрын
Mawazo bila pesa yatasaidia nini?
@DanieliDgani5 ай бұрын
Club kubwa ata ulaya ziko na pesa zinaweza kupotea ata miaka mitatu pamoja na mashabiki wao na wadhamini wakubwa.nyie wachambuzi wachumia tumbo tu
@MohamediSaidi-yr4qy5 ай бұрын
Atuachie simba yetu chonde chonde chonde
@Shawadh15 ай бұрын
Kwanibtranformation imekamilika
@DanieliDgani5 ай бұрын
Yanga ya ngapi kwa ubora Africa na Simba ya ngapi,mulizeni huyo mchambuzi boya tu
@clemencemkondya85615 ай бұрын
Mjinga sana wewe .kusema nirahisa sana kuliko kutowa pesa .Acha ujinga wako mo dewji anacheza mpira
@emmanuelmsumali92375 ай бұрын
wanachama wana hisa 51% nao wamewekeza nini? tusimlaumu Mo pekeyake.....wanachama nao wawekeze kwa kulipia michango, kununua products za club....
@ABDIKASIM-qe4lc5 ай бұрын
Shida yahawa wanamshambuki mo haliyakua wanajua mchakatohaujakamilika hii nikumuonea mo wefikilia toka 2018 mpakaleo mchakato haujaisha he angekua niyeye angeendelea kutupa elayake
@PhilipoFabian5 ай бұрын
Hatuwezi kununua kwa viongozi wahivyo
@istiqaamadar74935 ай бұрын
mm nahisi kwanza kutatua suala la katiba ya timu mchakato uishe, pili club iendweshwe transparency hakuna kuficha ficha wenye 51 wajulikane wanatoa nn na Mo ambaye ana 49 anatoa nn ili tutoe uhasama na hapo ndipo utaona timu inakaa pazuri ila kama sio hvy upande mmoja utaonekana unamatatizo kumbe sio. kstiba inashindwaje kumalizwa kuna nini hapo ndio maana MO hawezi kuwema pesa hapi mijitu inasubiri ipige tu
@charleskuyeko44005 ай бұрын
Wanachama watawekeza Transfornation ikikamilika na hisa kuuzwa. Hata MO hajawekeza. Anafadhili tu. Na ni mdhamini pia. Na kama ni kuwekeza kwa Wanachama, wameweza GOODWILL yao ambayo ni kubwa kuliko hata hiyo 20bn.
@andrewdaudindullu17495 ай бұрын
Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.