SIMBA SC (2) VS APR (0) | 🅵🆄🅻🅻 🅼🅰🆃🅲🅷 | SIMBA DAY 2024 | UBAYA UBWELA

  Рет қаралды 109,685

Simba SC Tanzania

Simba SC Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 130
@simbasctanzania255
@simbasctanzania255 2 ай бұрын
Subscribe Simba SC Tanzania
@christinaKufakulala
@christinaKufakulala 2 ай бұрын
Nashauri muwe mnatuwekea kumbukizi za matukio ya Simba day tokea yalipo Anza 2009
@dundoonlinesingeli
@dundoonlinesingeli 2 ай бұрын
YEAH MTUEKEEE HADI ZILE ZA NYUMA TUWAONYESHEE WAJUKUU SIMBA YETUU
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 2 ай бұрын
😂😂😂
@JumanneJuma-d3z
@JumanneJuma-d3z 2 ай бұрын
Kwasimba hii kweli ubaya ubwela
@UshindiButera-yz9du
@UshindiButera-yz9du 2 ай бұрын
kwa hapa hogerini sana tuna shukuru,mume tuwekea full match sisi shabiki zenu kutoka CONGO 🇨🇩 tume furahi sababu hatupaye ile bahati yakuangali match ana kwa ana , ila ninge wasihi kila baada ya mechi muwe Muna tuwekea full match, nasi tuje tu enjoy Kawa wengine shukurani. SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELAAAA ️
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 2 ай бұрын
Hapa mmenikosha sana kuniwekea full match, ningewaomba pia kama inawezekana na kama itawapendeza muweke na za mechi za nyuma hasa tulizofanya vizuri zaidi kama vile Simba vs FC Platnum, Simba vs Nkana, Simba vs Al Ahly nk. kuna watu tunazihitaji sana hizi mechi in full, najivunia sana timu yangu
@DreezDjmucha
@DreezDjmucha 2 ай бұрын
kabisa mkuu
@angazashalohanga6114
@angazashalohanga6114 2 ай бұрын
Kabisa kaka
@josephsabuni795
@josephsabuni795 2 ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa hakimiliki mechi za kimataifa, CAF ndo ana hakimiliki nazo uwezi kujipostia bila idhini yao, vili vile mechi za ligi AZAM TV ndo wana hakimiliki nazo hivyo huwezi kupost kwenye Channel yako bila idhini yao, vinginevyo kuwe na Makubaliano maalum, maana KZbin channel ikikidhi vigezo kuna malipo youtube wanalipa.
@Thekidp3702
@Thekidp3702 2 ай бұрын
Kabisa Simba Tunawaomba
@albertlaizer8464
@albertlaizer8464 2 ай бұрын
👊👊👊👊
@UshindiButera-yz9du
@UshindiButera-yz9du 2 ай бұрын
kwa hapa hogerini sana tuna shukuru,mume tuwekea full match sisi shabiki zenu kutoka CONGO 🇨🇩 tume furahi sababu hatupaye ile bahati yakuangali match ana kwa ana , ila ninge wasihi kila baada ya mechi muwe Muna tuwekea full match, nasi tuje tu enjoy Kawa wengine shukurani. SIMBA 🦁 NGUVU MOJA UBAYA UBWELAAAA 🦁♥️
@james-lx6rf
@james-lx6rf 2 ай бұрын
asante saaaaana kwa kutukumbuka na sisi wa mbali from kenya
@EmanuelMuna-w2q
@EmanuelMuna-w2q 2 ай бұрын
Simba Sports Club is the winner. Thanks Simba. Simba ni Nguvu Moja
@LeakeyMolel
@LeakeyMolel Ай бұрын
Wana simbaaaaaaaaaa
@KasongoKaneke
@KasongoKaneke 2 ай бұрын
Simba nguvu moja❤
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda 2 ай бұрын
Ubarikiwe ww ndugu ulie pewa maono haya ya kuweka full match. Ww niwakujivunia axante axante.
@ObedyLaizer
@ObedyLaizer 2 ай бұрын
Wanafaa watuekee hivi kila siku kuna sisi tuko mbali na hatuna azam
@VERONICKAKOMBA
@VERONICKAKOMBA Ай бұрын
❤❤❤❤ naipenda simba ni hatali
@jamesraphael9581
@jamesraphael9581 2 ай бұрын
Timu moja tu Tanzania simba nguvu moja ❤❤❤❤
@luluray2115
@luluray2115 2 ай бұрын
Nimeipenda hii ❤❤
@SharifuChala-iz4xj
@SharifuChala-iz4xj 2 ай бұрын
Hongeren sana kwa kila munachotupatia ❤❤❤❤ubaya ubwela
@Minjum-j5m
@Minjum-j5m 2 ай бұрын
❤❤❤❤
@EmanuelMuna-w2q
@EmanuelMuna-w2q 2 ай бұрын
Thanks Simba Sc Tanzania and Thanks AZAM TV.
@NeemaZebedayo-ct2if
@NeemaZebedayo-ct2if 2 ай бұрын
Hii ndo Simba yenyewe❤❤❤❤ neema zebedayo
@MickyAluis-y3m
@MickyAluis-y3m 2 ай бұрын
Simba ya msimuhu 2024/2025 inacheza kwa pasi zaalaka alafu inaonyesha ina ulinzi mzuri zidi ya ulio pita,yote kwayote simba day ilikua nzuri natumaini tutaludi kuiangalia tena game hili 2025/2026 tukiwa tumechukua taji la NBC simb day...UBAYA UBWERA.
@actsboy5587
@actsboy5587 2 ай бұрын
So fantastic kila raheli simba Sc
@GreysonKadege
@GreysonKadege 2 ай бұрын
Hapo unyamaa Simba yangu mungu atusaidie jamaniii❤❤❤❤❤
@WendeMposola
@WendeMposola 2 ай бұрын
Asante sana
@UmmyZakiah
@UmmyZakiah 2 ай бұрын
bora mmetuekea hii maana sie wengine hatukuangalia live🔥🔥🔥
@Princedanielofficial
@Princedanielofficial 2 ай бұрын
😁Hata Mb Ziishe Mpaka Mechi Iishe leo #nguvumoja
@LomwadiSanga
@LomwadiSanga 2 ай бұрын
Naipenda sana simba's
@EzéchielEzekifanta
@EzéchielEzekifanta 2 ай бұрын
Thx for that video
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb ❤❤
@MgazaMhina
@MgazaMhina 2 ай бұрын
Mmetisha sana kwa hili
@Josephkulwa-k6y
@Josephkulwa-k6y 2 ай бұрын
Naipenda Simba ❤
@nkoyiisack6808
@nkoyiisack6808 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏
@mariamndale
@mariamndale 2 ай бұрын
Timu ya maisha yangu❤🤍 #nguvu moja💪
@SwalehOthman
@SwalehOthman 2 ай бұрын
Asanteni sana watu WA maana kabisa sijaungalia ndo nainjoooi🎉
@AlksvJshd
@AlksvJshd 2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@MamaAkram-bu2jx
@MamaAkram-bu2jx 2 ай бұрын
Simba nguvu moja 💪 ubaya ubwela ✌
@helsonpaschary1653
@helsonpaschary1653 2 ай бұрын
Hapo sawa sasa maana niliisubiria kwa mda sAana Jamaniiiiiii
@emmanuelysagayika5412
@emmanuelysagayika5412 2 ай бұрын
Thank you for the full match🙏
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 2 ай бұрын
Next level
@venancelweganza9633
@venancelweganza9633 2 ай бұрын
Amazing 😍 😍
@AdnaneisufomomadeMomade
@AdnaneisufomomadeMomade 2 ай бұрын
Simba ni mzuri sana. Nguvu moja
@MaheriChristopher
@MaheriChristopher 2 ай бұрын
Hongera uliyeweka full mech
@DoninoCash
@DoninoCash 2 ай бұрын
Nice 🙏🙏
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 2 ай бұрын
Nakumbuka chama enzi zake akiwa wa moto amefanya kazi nyingi nzuri kwenye kutoa pass za upendo za wamaliziaji(straika)
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
♥️❤️
@abdillahimohd8614
@abdillahimohd8614 2 ай бұрын
kama umemuona Morrison 8:36 weka like hapa
@bellenoe414
@bellenoe414 2 ай бұрын
Wapi😮
@EdwardSylvester-e4v
@EdwardSylvester-e4v 2 ай бұрын
Timu ya mpira timu isyo na siasa nyingi mpira unaongea Simba ni maisha yangu maisha yangu ni Simba
@patricklee2493
@patricklee2493 2 ай бұрын
❤❤❤❤😊
@anoldmbarama985
@anoldmbarama985 2 ай бұрын
Kwenye hii game kama Kuna mtu mlifuatilia vizur Ally Salim hakuwa mchezon kabisa kwenye hii game
@MTEMELUSAKANYAESPOIRE
@MTEMELUSAKANYAESPOIRE 2 ай бұрын
Hiyo ndo Ubaya ubwela brother Just waiting for 8/8
@omaryrazalo4302
@omaryrazalo4302 2 ай бұрын
Ubaya ubwela simba nguvu moja
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb ❤❤ 7:32 7:34 7:41
@ally1702
@ally1702 2 ай бұрын
From Qatar kiongozi mbona nimeserch Sana mwanzo wa shoo ya Simba dar sijapata
@JanuaryAteven
@JanuaryAteven 2 ай бұрын
Ubaya ubwela❤❤❤
@SalimKuwe
@SalimKuwe Ай бұрын
Sikuzote ukweli haujifichi, Simba tukovzuri
@AliAhmed-s6z
@AliAhmed-s6z 2 ай бұрын
Kati ya wakwanza top 5 nipo wakuu ❤❤❤❤
@Mdundotv-jk7hj
@Mdundotv-jk7hj 2 ай бұрын
❤❤
@gideonnimrod1645
@gideonnimrod1645 2 ай бұрын
Na ligi kuu mtuwekee full
@MwantumuBakari-v7p
@MwantumuBakari-v7p 2 ай бұрын
Ubaya ubwela ahsanten kwa kutuwekea full match
@michaelamon2437
@michaelamon2437 Ай бұрын
Kikosi cha kipindi cha pili ndio simba yenyewe haisee
@ZilaboAmbonisye
@ZilaboAmbonisye 2 ай бұрын
🦁Nguvu Moja💪
@akwinobenarddy
@akwinobenarddy 2 ай бұрын
Admin ukifanya hivi kwenye hata mechi za ligi hakuna atakar tukuta kwenye kufatiliwa you tube
@Misanyahidaya
@Misanyahidaya 2 ай бұрын
Timu yetu ni nzuri sana aisee hao wazee fc wasijidanganye kabisa tutawanyoosha
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Ай бұрын
Wachezaji bado wanahitaji kumsikiliza kocha wakiwa uwanjani! Bado kuna shida kubwa ya kutokumsikiliza kocha inavyoonekana kwenye mechi hii.
@KasongoKaneke
@KasongoKaneke 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@yahya_myemen
@yahya_myemen 2 ай бұрын
Nguvu moja
@rashidjuma7488
@rashidjuma7488 2 ай бұрын
Ubaya ubwela 🔥🔥🔥🔥
@Merrymerry-l4n
@Merrymerry-l4n 2 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@samwelmchome3886
@samwelmchome3886 2 ай бұрын
Aendelee kutuwekea match zijazo
@josephmrema4477
@josephmrema4477 Ай бұрын
Hii Simba ahitashikika nasema tena😅😅
@alexjeremiah599
@alexjeremiah599 2 ай бұрын
Ubaya ubwela unyama mwingi #NguvuMoja
@hashimuomary4569
@hashimuomary4569 Ай бұрын
Tunashukuru kutuwekea full
@IssaHirsy
@IssaHirsy 2 ай бұрын
Jiji Lina kiza sana
@agun_machine
@agun_machine 2 ай бұрын
Let him speak swahili the go translate your self guys
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 2 ай бұрын
Metch ya kwanza namuona mtale anatakiwa afungue macho anapokuwa pembeni na kuwapa mipira walio kwenye box ili wamalizie. Sababu namuona kama sio mmaliziaji mzuri makini moja kwa moja. Mwalimu ana kazi ya kumtengeneza mtale ili atoe asist nyingi za mafoward kumalizia
@michaelamon2437
@michaelamon2437 2 ай бұрын
Wa kwanzaa leoo 😅😅
@TupacMwampashi
@TupacMwampashi 2 ай бұрын
hii ndo simba tulio kuwa utaitaka
@AllyAssa-cf3vp
@AllyAssa-cf3vp 2 ай бұрын
Aliesikia palestick disier nani😂😂😂😂 baraka bna
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 2 ай бұрын
Hapa saf naenjoy tyu na hii mechi
@AcrusioraymondmakombeRaymond
@AcrusioraymondmakombeRaymond 2 ай бұрын
Tujitaidi kufosi kwenda mbele na huku tukipiga pasi za uhakika zimfikie mlengwa na tuongezee mazoezi ya nguvu, mipira ya nyumanyuma haitupi vaibu
@revocatusdarius4499
@revocatusdarius4499 2 ай бұрын
Muje mnatuwekea na mechi zingine
@JumanneJuma-d3z
@JumanneJuma-d3z 2 ай бұрын
Vikombe tunaviitaj msimu huu we2
@CHACKRYABDALA
@CHACKRYABDALA 2 ай бұрын
KAZI mnayo 8 8
@HeriShabani-db8nk
@HeriShabani-db8nk 2 ай бұрын
Mtuwekee na zile za live
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 2 ай бұрын
Ichi natazamia kukuona zaidi Vingine vyote yuko ok
@dundoonlinesingeli
@dundoonlinesingeli 2 ай бұрын
UBAYAA UBWELAAA 2024
@AcrusioraymondmakombeRaymond
@AcrusioraymondmakombeRaymond 2 ай бұрын
Nouma kipaji anacho ila aache mapepe akikutana na watu kama yanga wenye spidi na nguvu itakuwa tatizo
@djantachablefire4627
@djantachablefire4627 2 ай бұрын
hii yanga lazim waige
@Misanyahidaya
@Misanyahidaya 2 ай бұрын
Timu tunayo na tunatamba nayo ubaya ubwela
@malengaWetuTv2699
@malengaWetuTv2699 2 ай бұрын
Siku hizi tuwekeeni mechi zote full
@franccoz94
@franccoz94 2 ай бұрын
NGOMA NA FREDY WATATUCHELEWESHAA SANAA
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Kweli wanacheza mpira wapolepole aana kama wameshapata matokeo
@ObedyLaizer
@ObedyLaizer 2 ай бұрын
Nawashauri mtuekee full ivi kila game
@bellenoe414
@bellenoe414 2 ай бұрын
Haki ya azam😮labda clip tu
@dicksoncyprian9511
@dicksoncyprian9511 2 ай бұрын
wAWEKE WATU WASIENDE UWANJANI,NA AZAM WAKOSE HELA🐱
@jUmA_d0jA
@jUmA_d0jA 2 ай бұрын
Khaaaaaa😅
@JonasAmos-ju6db
@JonasAmos-ju6db 2 ай бұрын
Ubaya ubwela tuu
@MtemiMakoye
@MtemiMakoye Ай бұрын
Picha Azam boresheni
@rosesalekwa1306
@rosesalekwa1306 2 ай бұрын
Huu ndo ubaya ubwela
@gamarley
@gamarley 2 ай бұрын
Tarehe nane kupima umri wa vibabu vishika viuno all the time
@djantachablefire4627
@djantachablefire4627 2 ай бұрын
hii ndo simba sasa
@iddykasabe84
@iddykasabe84 2 ай бұрын
🤍❤️🤍❤️🤍❤️🤍❤️🤍
@SalumuMuhamed
@SalumuMuhamed 2 ай бұрын
nimepend hiyo natak na ya taleh nane weken hivi hivi 2waon hao yanq matopol
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 2 ай бұрын
Hii ni mali yetu ila ya Tarehe 8 ni mali ya Azam Media kama sikosei
@KasongoKaneke
@KasongoKaneke 2 ай бұрын
Simba nguvu moja❤
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb ❤❤
@abdulazizmputeni5416
@abdulazizmputeni5416 2 ай бұрын
🔥🔥
@LoseeLeboi
@LoseeLeboi 2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 30 МЛН
Elza love to eat chiken🍗⚡ #dog #pets
00:17
ElzaDog
Рет қаралды 9 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 48 МЛН
KISUGU AWAKERA YANGA "SIMBA TUKISHINDA WANAUMIA WAO NI NOUMA
8:25
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 30 МЛН