Nashauri muwe mnatuwekea kumbukizi za matukio ya Simba day tokea yalipo Anza 2009
@dundoonlinesingeli2 ай бұрын
YEAH MTUEKEEE HADI ZILE ZA NYUMA TUWAONYESHEE WAJUKUU SIMBA YETUU
@kefangendwa33362 ай бұрын
😂😂😂
@JumanneJuma-d3z2 ай бұрын
Kwasimba hii kweli ubaya ubwela
@UshindiButera-yz9du2 ай бұрын
kwa hapa hogerini sana tuna shukuru,mume tuwekea full match sisi shabiki zenu kutoka CONGO 🇨🇩 tume furahi sababu hatupaye ile bahati yakuangali match ana kwa ana , ila ninge wasihi kila baada ya mechi muwe Muna tuwekea full match, nasi tuje tu enjoy Kawa wengine shukurani. SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELAAAA ️
@jilalamaligisa48542 ай бұрын
Hapa mmenikosha sana kuniwekea full match, ningewaomba pia kama inawezekana na kama itawapendeza muweke na za mechi za nyuma hasa tulizofanya vizuri zaidi kama vile Simba vs FC Platnum, Simba vs Nkana, Simba vs Al Ahly nk. kuna watu tunazihitaji sana hizi mechi in full, najivunia sana timu yangu
@DreezDjmucha2 ай бұрын
kabisa mkuu
@angazashalohanga61142 ай бұрын
Kabisa kaka
@josephsabuni7952 ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa hakimiliki mechi za kimataifa, CAF ndo ana hakimiliki nazo uwezi kujipostia bila idhini yao, vili vile mechi za ligi AZAM TV ndo wana hakimiliki nazo hivyo huwezi kupost kwenye Channel yako bila idhini yao, vinginevyo kuwe na Makubaliano maalum, maana KZbin channel ikikidhi vigezo kuna malipo youtube wanalipa.
@Thekidp37022 ай бұрын
Kabisa Simba Tunawaomba
@albertlaizer84642 ай бұрын
👊👊👊👊
@UshindiButera-yz9du2 ай бұрын
kwa hapa hogerini sana tuna shukuru,mume tuwekea full match sisi shabiki zenu kutoka CONGO 🇨🇩 tume furahi sababu hatupaye ile bahati yakuangali match ana kwa ana , ila ninge wasihi kila baada ya mechi muwe Muna tuwekea full match, nasi tuje tu enjoy Kawa wengine shukurani. SIMBA 🦁 NGUVU MOJA UBAYA UBWELAAAA 🦁♥️
@james-lx6rf2 ай бұрын
asante saaaaana kwa kutukumbuka na sisi wa mbali from kenya
@EmanuelMuna-w2q2 ай бұрын
Simba Sports Club is the winner. Thanks Simba. Simba ni Nguvu Moja
@LeakeyMolelАй бұрын
Wana simbaaaaaaaaaa
@KasongoKaneke2 ай бұрын
Simba nguvu moja❤
@Dastanikasanda2 ай бұрын
Ubarikiwe ww ndugu ulie pewa maono haya ya kuweka full match. Ww niwakujivunia axante axante.
@ObedyLaizer2 ай бұрын
Wanafaa watuekee hivi kila siku kuna sisi tuko mbali na hatuna azam
@VERONICKAKOMBAАй бұрын
❤❤❤❤ naipenda simba ni hatali
@jamesraphael95812 ай бұрын
Timu moja tu Tanzania simba nguvu moja ❤❤❤❤
@luluray21152 ай бұрын
Nimeipenda hii ❤❤
@SharifuChala-iz4xj2 ай бұрын
Hongeren sana kwa kila munachotupatia ❤❤❤❤ubaya ubwela
@Minjum-j5m2 ай бұрын
❤❤❤❤
@EmanuelMuna-w2q2 ай бұрын
Thanks Simba Sc Tanzania and Thanks AZAM TV.
@NeemaZebedayo-ct2if2 ай бұрын
Hii ndo Simba yenyewe❤❤❤❤ neema zebedayo
@MickyAluis-y3m2 ай бұрын
Simba ya msimuhu 2024/2025 inacheza kwa pasi zaalaka alafu inaonyesha ina ulinzi mzuri zidi ya ulio pita,yote kwayote simba day ilikua nzuri natumaini tutaludi kuiangalia tena game hili 2025/2026 tukiwa tumechukua taji la NBC simb day...UBAYA UBWERA.
@actsboy55872 ай бұрын
So fantastic kila raheli simba Sc
@GreysonKadege2 ай бұрын
Hapo unyamaa Simba yangu mungu atusaidie jamaniii❤❤❤❤❤
@WendeMposola2 ай бұрын
Asante sana
@UmmyZakiah2 ай бұрын
bora mmetuekea hii maana sie wengine hatukuangalia live🔥🔥🔥
@Princedanielofficial2 ай бұрын
😁Hata Mb Ziishe Mpaka Mechi Iishe leo #nguvumoja
@LomwadiSanga2 ай бұрын
Naipenda sana simba's
@EzéchielEzekifanta2 ай бұрын
Thx for that video
@LoseeLeboi2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb ❤❤
@MgazaMhina2 ай бұрын
Mmetisha sana kwa hili
@Josephkulwa-k6y2 ай бұрын
Naipenda Simba ❤
@nkoyiisack68082 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏
@mariamndale2 ай бұрын
Timu ya maisha yangu❤🤍 #nguvu moja💪
@SwalehOthman2 ай бұрын
Asanteni sana watu WA maana kabisa sijaungalia ndo nainjoooi🎉
@AlksvJshd2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@MamaAkram-bu2jx2 ай бұрын
Simba nguvu moja 💪 ubaya ubwela ✌
@helsonpaschary16532 ай бұрын
Hapo sawa sasa maana niliisubiria kwa mda sAana Jamaniiiiiii
@emmanuelysagayika54122 ай бұрын
Thank you for the full match🙏
@olaislukumay22082 ай бұрын
Next level
@venancelweganza96332 ай бұрын
Amazing 😍 😍
@AdnaneisufomomadeMomade2 ай бұрын
Simba ni mzuri sana. Nguvu moja
@MaheriChristopher2 ай бұрын
Hongera uliyeweka full mech
@DoninoCash2 ай бұрын
Nice 🙏🙏
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
Nakumbuka chama enzi zake akiwa wa moto amefanya kazi nyingi nzuri kwenye kutoa pass za upendo za wamaliziaji(straika)
@LoseeLeboi2 ай бұрын
♥️❤️
@abdillahimohd86142 ай бұрын
kama umemuona Morrison 8:36 weka like hapa
@bellenoe4142 ай бұрын
Wapi😮
@EdwardSylvester-e4v2 ай бұрын
Timu ya mpira timu isyo na siasa nyingi mpira unaongea Simba ni maisha yangu maisha yangu ni Simba
@patricklee24932 ай бұрын
❤❤❤❤😊
@anoldmbarama9852 ай бұрын
Kwenye hii game kama Kuna mtu mlifuatilia vizur Ally Salim hakuwa mchezon kabisa kwenye hii game
@MTEMELUSAKANYAESPOIRE2 ай бұрын
Hiyo ndo Ubaya ubwela brother Just waiting for 8/8
@omaryrazalo43022 ай бұрын
Ubaya ubwela simba nguvu moja
@LoseeLeboi2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb
@LoseeLeboi2 ай бұрын
simb nguvu Moja napenda San simb ❤❤ 7:32 7:34 7:41
@ally17022 ай бұрын
From Qatar kiongozi mbona nimeserch Sana mwanzo wa shoo ya Simba dar sijapata
@JanuaryAteven2 ай бұрын
Ubaya ubwela❤❤❤
@SalimKuweАй бұрын
Sikuzote ukweli haujifichi, Simba tukovzuri
@AliAhmed-s6z2 ай бұрын
Kati ya wakwanza top 5 nipo wakuu ❤❤❤❤
@Mdundotv-jk7hj2 ай бұрын
❤❤
@gideonnimrod16452 ай бұрын
Na ligi kuu mtuwekee full
@MwantumuBakari-v7p2 ай бұрын
Ubaya ubwela ahsanten kwa kutuwekea full match
@michaelamon2437Ай бұрын
Kikosi cha kipindi cha pili ndio simba yenyewe haisee
@ZilaboAmbonisye2 ай бұрын
🦁Nguvu Moja💪
@akwinobenarddy2 ай бұрын
Admin ukifanya hivi kwenye hata mechi za ligi hakuna atakar tukuta kwenye kufatiliwa you tube
@Misanyahidaya2 ай бұрын
Timu yetu ni nzuri sana aisee hao wazee fc wasijidanganye kabisa tutawanyoosha
@kambamazig02024Ай бұрын
Wachezaji bado wanahitaji kumsikiliza kocha wakiwa uwanjani! Bado kuna shida kubwa ya kutokumsikiliza kocha inavyoonekana kwenye mechi hii.
@KasongoKaneke2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@yahya_myemen2 ай бұрын
Nguvu moja
@rashidjuma74882 ай бұрын
Ubaya ubwela 🔥🔥🔥🔥
@Merrymerry-l4n2 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@samwelmchome38862 ай бұрын
Aendelee kutuwekea match zijazo
@josephmrema4477Ай бұрын
Hii Simba ahitashikika nasema tena😅😅
@alexjeremiah5992 ай бұрын
Ubaya ubwela unyama mwingi #NguvuMoja
@hashimuomary4569Ай бұрын
Tunashukuru kutuwekea full
@IssaHirsy2 ай бұрын
Jiji Lina kiza sana
@agun_machine2 ай бұрын
Let him speak swahili the go translate your self guys
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
Metch ya kwanza namuona mtale anatakiwa afungue macho anapokuwa pembeni na kuwapa mipira walio kwenye box ili wamalizie. Sababu namuona kama sio mmaliziaji mzuri makini moja kwa moja. Mwalimu ana kazi ya kumtengeneza mtale ili atoe asist nyingi za mafoward kumalizia
@michaelamon24372 ай бұрын
Wa kwanzaa leoo 😅😅
@TupacMwampashi2 ай бұрын
hii ndo simba tulio kuwa utaitaka
@AllyAssa-cf3vp2 ай бұрын
Aliesikia palestick disier nani😂😂😂😂 baraka bna
@jofreymwampamba12362 ай бұрын
Hapa saf naenjoy tyu na hii mechi
@AcrusioraymondmakombeRaymond2 ай бұрын
Tujitaidi kufosi kwenda mbele na huku tukipiga pasi za uhakika zimfikie mlengwa na tuongezee mazoezi ya nguvu, mipira ya nyumanyuma haitupi vaibu
@revocatusdarius44992 ай бұрын
Muje mnatuwekea na mechi zingine
@JumanneJuma-d3z2 ай бұрын
Vikombe tunaviitaj msimu huu we2
@CHACKRYABDALA2 ай бұрын
KAZI mnayo 8 8
@HeriShabani-db8nk2 ай бұрын
Mtuwekee na zile za live
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
Ichi natazamia kukuona zaidi Vingine vyote yuko ok
@dundoonlinesingeli2 ай бұрын
UBAYAA UBWELAAA 2024
@AcrusioraymondmakombeRaymond2 ай бұрын
Nouma kipaji anacho ila aache mapepe akikutana na watu kama yanga wenye spidi na nguvu itakuwa tatizo
@djantachablefire46272 ай бұрын
hii yanga lazim waige
@Misanyahidaya2 ай бұрын
Timu tunayo na tunatamba nayo ubaya ubwela
@malengaWetuTv26992 ай бұрын
Siku hizi tuwekeeni mechi zote full
@franccoz942 ай бұрын
NGOMA NA FREDY WATATUCHELEWESHAA SANAA
@JoseHaule-tx7lu2 ай бұрын
Kweli wanacheza mpira wapolepole aana kama wameshapata matokeo
@ObedyLaizer2 ай бұрын
Nawashauri mtuekee full ivi kila game
@bellenoe4142 ай бұрын
Haki ya azam😮labda clip tu
@dicksoncyprian95112 ай бұрын
wAWEKE WATU WASIENDE UWANJANI,NA AZAM WAKOSE HELA🐱
@jUmA_d0jA2 ай бұрын
Khaaaaaa😅
@JonasAmos-ju6db2 ай бұрын
Ubaya ubwela tuu
@MtemiMakoyeАй бұрын
Picha Azam boresheni
@rosesalekwa13062 ай бұрын
Huu ndo ubaya ubwela
@gamarley2 ай бұрын
Tarehe nane kupima umri wa vibabu vishika viuno all the time
@djantachablefire46272 ай бұрын
hii ndo simba sasa
@iddykasabe842 ай бұрын
🤍❤️🤍❤️🤍❤️🤍❤️🤍
@SalumuMuhamed2 ай бұрын
nimepend hiyo natak na ya taleh nane weken hivi hivi 2waon hao yanq matopol
@FrankKashamakula-xb1pc2 ай бұрын
Hii ni mali yetu ila ya Tarehe 8 ni mali ya Azam Media kama sikosei