No video

SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)

  Рет қаралды 234,250

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 923
@jordaniemusangwa1154
@jordaniemusangwa1154 2 жыл бұрын
Moyo wangu hunafuraishwa sana na h baba kuwa w.c.b afu ana anaonesha lav ya kweli 🥰👌👋👋
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 жыл бұрын
Wooooyoooooooo team Baba Levo tujuane🤣🤣hata mm nitachagua Baba Levo ili nicheke vituko vyake
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Huyo ni H baba sio baba levo mama.
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 2 жыл бұрын
@@captenndunga6745 hujamuelewa
@Nikita_8017
@Nikita_8017 2 жыл бұрын
I like him
@Max-kl8hv
@Max-kl8hv 2 жыл бұрын
Wapi like za h Baba🤣🤣🤣🤣🕺🕺Mimi nakupenda Sana H Baba watching from 🇰🇪 Kenya
@Kingtiger98
@Kingtiger98 2 жыл бұрын
Gry kzbin.info/www/bejne/fn3Up5urbdudb5o
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Huyo jamaa mwemye tishet nyekundu ana tamaa sana...
@jointjoint4507
@jointjoint4507 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
Huyu jamaa wa mwisho daa mhh. Mtihani sana
@reganclarence4657
@reganclarence4657 2 жыл бұрын
H. Baba umepiga mia yya mia kamatia umeua.....oyeeeeee H.dangote.🙌🙌🙌🙌
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 2 жыл бұрын
H.baba nafikiri Chama Letu la Wasafi wampe Kitengo cha Utangazaji sababu amechangamsha sana Kipindi cha Hivi ni Kweli. Wasafi for Life Baby.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Hilary mrema hamna kitu hapo jitu zima lakini jinga
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
@@margarethpolepole7438 kwa nn🤔
@agakibelden
@agakibelden 2 жыл бұрын
From 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya Motown sanya unyamwezi mwingi in the building Mambo freshi barida
@jastinsimon5677
@jastinsimon5677 2 жыл бұрын
H. Baba now una trend very proud
@daudpius130
@daudpius130 2 жыл бұрын
H baba unaroho nzuri sana ubalikiwe kwa moyo wako huo ila usipende kujiita majina ambayo sio yako
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 2 жыл бұрын
Badala awatambulishe watu jina lake anamfagilia Mond
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 2 жыл бұрын
Leo h'baba amepata niaje, sema fresh jamaa alitaka kuendekeza njaa
@malimindilla3564
@malimindilla3564 2 жыл бұрын
Napenda sana vpindi kama hivi kwani zinanifanya kusahau ugumu wa maisha, love kwako mwandaaji
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Baba wa blue Tshirt leo anaenda kuwaambia wanawe n wajukuu kua kaonana na Diamond Platinumz Simba 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@evalineeghwa3932
@evalineeghwa3932 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@bongelabwana7523
@bongelabwana7523 2 жыл бұрын
Hiki kipindi nomaaa sana 🙌💥💥 nimechekaa mpaka nimelia 😂😂😂😂😂 hahahh hahahaha hahahh hahahaha 😂😂🙌💥🙌💥🙌💥💥😂
@emmanuelibrahim9138
@emmanuelibrahim9138 2 жыл бұрын
H'baba umetuwakilisha mwanza safi Sana umeuwa 😁🙏
@pollarlaizzer143
@pollarlaizzer143 2 жыл бұрын
Ebu nipe kwanza mkono ulinioteaje yani umeniotea chifu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@baloziwamamtukuna9313
@baloziwamamtukuna9313 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@peterkondo9889
@peterkondo9889 2 жыл бұрын
Nilicheka sana
@azaniayoub6971
@azaniayoub6971 2 жыл бұрын
You are kind man.... Hakuna hivi ni kweli zaid ya hii mo hujai fanya hivi ni kwel kam hii... More bless H baba😍🙏
@mozespatinam9296
@mozespatinam9296 2 жыл бұрын
H baba hatareee sanaaaa you kill it🔥🔥🔥💪💯
@simbawatown2729
@simbawatown2729 2 жыл бұрын
Mungu anawaona yaaani Mzee wa watu mnamuimbisha kweli🤣🤣🤣🤣🤣 pesa mwanaharamu
@Lastborn2025
@Lastborn2025 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@asmahassan5661
@asmahassan5661 Жыл бұрын
😅😅😅
@hamedatanzani6
@hamedatanzani6 2 жыл бұрын
Baba kajua kujiongeza haamini kama anarudi home na ugali dah maisha haya🤣🤣🤣🤣
@michaelmolato7008
@michaelmolato7008 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allanaluma20
@allanaluma20 2 жыл бұрын
much love H. Baba....u made my day I am Allan doing University in Zimbabwe but Origin Tanzania. One love for Country
@khamispetro7738
@khamispetro7738 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@user-er3cb9mb9m
@user-er3cb9mb9m 5 ай бұрын
Kama ungali unawatch hii video 2024gonga like😂
@Conshamusic
@Conshamusic 2 жыл бұрын
Dah! Eti huyu jamaa mchonganishi😂😂😂mchizi wa mwanzo katingwa sana
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
Kama hupendwi hupendwi tu 😄😄 taja nyimbo yangu inatajwa na hamonize
@ibraimoselemane17ibraimo29
@ibraimoselemane17ibraimo29 2 жыл бұрын
H BABA estás de parabéns gostei de Show, sanya unyama nimwingi sana
@bahatimtatah5680
@bahatimtatah5680 2 жыл бұрын
Nimecheka hatari ...eti msifie ngoma yako nzuri😄😄😄😂😂
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Eti na kodi ya nyumba muhimu 😀😃😄😁😆😅🤣😂 umeuwaaaaaaaaa
@user-er3cb9mb9m
@user-er3cb9mb9m 5 ай бұрын
If u are still watching 2024 like back much love from Kenya❤😂
@givembwilo8486
@givembwilo8486 2 жыл бұрын
waliotisha leo ni yule wa kwanza kuhojiwa na jamaa alievaa nyekundu katumia fursa vizuri mno🤣😂
@lazalonzo4607
@lazalonzo4607 2 жыл бұрын
Show ya kinyama sanaaa nimependa H BABA He’s a good actor
@solangebagal3496
@solangebagal3496 2 жыл бұрын
Ya Allah ukosefu una tufanya wakati moja ma comedian kwa Ku omba rizki
@Ericoh..467
@Ericoh..467 2 жыл бұрын
Yaani kuna watu Tanzania hawajui diamond😂😂😂😂
@peterkondo9889
@peterkondo9889 2 жыл бұрын
Tanzania mbali Daresalam Yan mtu upo dar alafu mond humjui dar
@shd12m55
@shd12m55 2 жыл бұрын
Uyo mwamba atupe raha ya ngoma moja na mond
@fatmabhai2812
@fatmabhai2812 2 жыл бұрын
Diamond batan, diamond paltam😂😂😂 diamond plantam. Maana apo kwanza ncheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@agogomgagagigigogo2672
@agogomgagagigigogo2672 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍
@sharifashaibu4051
@sharifashaibu4051 2 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye t shirt nyekundu aliamua kutumia fursa vzur 🤣🤣
@khuzeimazubeir6673
@khuzeimazubeir6673 2 жыл бұрын
H baba na baba levo roho zenu ni safi kulko mwijaku
@molomiraj809
@molomiraj809 2 жыл бұрын
Huyu baba kanifurahishi nyimbo za amapenzi😛😀😀😀
@christianfelex5078
@christianfelex5078 2 жыл бұрын
Diamond platnam ame tishaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌️🤣🤣🤣
@appolonation
@appolonation 2 жыл бұрын
WASAFI salama!! Eee kuna swala nataka kukwambi!! Ni tofauti na kipindi. Mimi naitwa Appolo Gideon kutoka Rwanda 🇷🇼. I am Blogger ! Kuna tatizo huku Mshindi Wa miss East Africa Miss Shanitha Paka saaa hajapewa Gari lake alilo shindia mwaka Jana !. Kama inawezekana Mina we mukawauliza walio anda. Mr RenaCallist . Asanteni.
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Жыл бұрын
Huyo mkaka jaman amejigamba mpaka basi na H.baba 😂😂😂😂huyooo anataka amtext°°
@salamasaid8983
@salamasaid8983 2 жыл бұрын
kodi ya nyumba muhimu😂😂😂😂😂
@mamachris6811
@mamachris6811 2 жыл бұрын
Binadamu wengi ni wanafki sana 😀😀😀😀😀
@shedrackmwaipopo219
@shedrackmwaipopo219 2 жыл бұрын
Kupewa hela kupokea
@bluechawa3492
@bluechawa3492 2 жыл бұрын
Me nimempenda uyo mzee wa tatu amekuwa kweli 😎
@youngsimba2054
@youngsimba2054 2 жыл бұрын
Daaaah hiyo maiki ya wasafi imekupendeza unafaa kuwa mtangazaji wa wasafi
@JUSTWANGUI
@JUSTWANGUI 2 жыл бұрын
The guy in blue is so clueless it's too crazy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣na Ako dar jameni ata mamangu kijijini anajua bongo music kama zote
@alicechambaladainty6851
@alicechambaladainty6851 2 жыл бұрын
Bad enough hamjui diamond 😆😆😆😆😆😆😆
@JUSTWANGUI
@JUSTWANGUI 2 жыл бұрын
@@alicechambaladainty6851 ameboa kweli
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 2 жыл бұрын
Sio kweli ni mawenge ya kamera tu
@lutegochangarawe412
@lutegochangarawe412 2 жыл бұрын
Yeah I like him also ( si unajua utani)
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
kaka h baba umeuwa kabisa imekuwa interview yamfano kabisa umetoa msaada mkubwa sana ongelen sana sana sana kwa uyu jamaa ambae halishiwa chakula cha nyumban kwake #AVATASTAR255 🎵👈👈👈👈🙏🇹🇿
@Userog254
@Userog254 2 жыл бұрын
Huyu mwenye shati nyekundu anaomba mpk anakera, mkwewe anakazi hapa😄😄😄
@azibossladykenny2455
@azibossladykenny2455 2 жыл бұрын
Nimechekaa uyo baba wanguo nyekundo yani anaomba vitu vingi mpak azinguw🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-uw7zb2wx3e
@user-uw7zb2wx3e Жыл бұрын
SI anajuwa Iko anaongeya na Mondi😄
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 жыл бұрын
Tunakupata sana Motown SONYA unyama sanaana kutoka Australia we love U brother 🙌
@yusuphyusuph2837
@yusuphyusuph2837 2 жыл бұрын
Where are you in australia bro?
@makokoaizack2531
@makokoaizack2531 2 жыл бұрын
Daa nmelazimika kurudi Tena ku comment h baba na Sanya niwaambieni tu mapema mkishindwa shughuli mnazo fanya ingieni commedy yaan mna weza sana da nme checka Sana hasa scene ya h baba anaitwa huku na huko alaf pia kuruka kulipa vtu nyie watoto mtatoa watu rogo mjin big up Sana wanagu. Sanya nadhani umeona unaweza ukatumia watu wachache korotete kpnd na uka fanya poa Sana na hata usipo hoji weng h baba mmetishaa
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 Жыл бұрын
😃😃😃😃🔩ila watu wanashida mtaani sio poa jamaa kachemka anaomba mpaka kodi ya nyumba😃😃🙌
@yassinmiraji2921
@yassinmiraji2921 2 жыл бұрын
Huyo Mzee kanichekesha sn eti Platinomu mara platamu d, ha ha haaaa.…!!!
@josephluvanga5233
@josephluvanga5233 2 жыл бұрын
Jamaa kasema yeye amfahamu hbaba 🦁🦁😁😁😁😁😁
@shedrackmwaipopo219
@shedrackmwaipopo219 2 жыл бұрын
Kweli watu wanafiki 😂😂😂😂😂😂
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 Жыл бұрын
Umekua na ujana umeshakukataa fanya tu maisha acha usela
@jordaniemusangwa1154
@jordaniemusangwa1154 2 жыл бұрын
H baba mnda si mrefu atakuwa maarufu tena sana apo ndo w.c.b bwana akuna sho ndogo hapo hongera sana h dangote
@agakibelden
@agakibelden 2 жыл бұрын
Huyo H baba ni generous sana🤩🤩 Let him continue being on top
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣huyu baba amenichekesha wa tishet blue
@atupokilealson7108
@atupokilealson7108 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kanimaliza mbavu
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
Baba levo fundi majumba💪😀🇹🇿.dogo wa mwanzo anamkukubali fundi majumba.
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Huyo ni h baba sio baba levo.
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
@@captenndunga6745 nilimanisha jamaa wa mwanzo anamkubali baba levo.
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
@@mahmoudaziz4717 poa nilikua sijakuelewa ndugu yangu.
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
@@captenndunga6745 poa ndugu
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 жыл бұрын
Bongo sihami heshima kwako sananya 🔥 Fire you are unstoppable
@eliasmaspela6539
@eliasmaspela6539 2 жыл бұрын
Ina maana baba levo anukii ata kidogo🤣🤣🤣🤣
@hagaimadonda9145
@hagaimadonda9145 2 жыл бұрын
Sema mo Town unatisha San na hii show yako.. Ulivokuw unamchongea dogo sas😁😁
@praxedaandrewkato7472
@praxedaandrewkato7472 2 жыл бұрын
This man doesn't know between who is diamond platnumz or H. Baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jmkentertainment..8247
@jmkentertainment..8247 2 жыл бұрын
Fala sana huyu ashindwa na yule mtu aonekana chizi na yuajua huyu ni H baba yy akili yake timamu na hajui Diamond ni yupi na H baba ni yupi fala sana huyu
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
Kwanini usiandike tu kiswahili kaka
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
Kwanini usiandike tu kiswahili kaka
@mjungatv8172
@mjungatv8172 2 жыл бұрын
Jamaa wakwanza kanifurahisha Sanaa😂😂😂🔥🔥🔥🙌
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 жыл бұрын
Loh unamkunja mtu kisa kakuponda. Haaa mimi ndio ningefuguka kabisa kuwa sikupendiiiii😅
@nuraynmakoya803
@nuraynmakoya803 2 жыл бұрын
😅😅😅ndo safi hiyo kumchana
@bahaticometian7717
@bahaticometian7717 2 жыл бұрын
Hahahaha braza kodi ya nyumba"ulinioteajeee!""
@tofaboy6549
@tofaboy6549 2 жыл бұрын
Serious nime enjoy sana sana Asanteni sana Kwa Kipindi kizuri
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 2 жыл бұрын
JAMAA KAWA MCHWA TENA, CHAKULA, MARA KODI...😃😀😁😂🤣💪
@Tanzania_habari1
@Tanzania_habari1 2 жыл бұрын
Nimecheka Kisenge Yan🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
Huyo mzee wa pili aliye vaa tisheti kanichekesha ki fala kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
@edinamogela384
@edinamogela384 2 жыл бұрын
KIPINDI KIMEENDA POA NA MISAADA NDANI, SAFI WASAFI NA H BABA PIA.
@aminijuma9627
@aminijuma9627 2 жыл бұрын
Tatzo tamaa msengee ww mala unga mala kodi ya nyumba utaolewa msenge wewe🤣🤣
@stevemahely
@stevemahely 2 жыл бұрын
Sasa matusi yanini?.
@kelbertkiza8233
@kelbertkiza8233 2 жыл бұрын
Daaah nimecheka mpaka basi 😂😂😂
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
H baba yupo vizuri sana bg up kwenu
@AhmedSalah-wm6tq
@AhmedSalah-wm6tq 2 жыл бұрын
Daah jamaa kakuta nuksi sana hakuna mcheele
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
😂😂🤣😂🤣
@joyzach8820
@joyzach8820 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 uyu baba inamana amjui kweli mond jamani dhambi 🤣😂
@peterkondo9889
@peterkondo9889 2 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@nuraynmakoya803
@nuraynmakoya803 2 жыл бұрын
Baba wa tishet bluu mbavu zangu 😂🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Hana lolote h.baba sasaivi alivyo ata sigida ana ila wasafi mashetani kweli🤣🤣🤣
@ashamohamed1461
@ashamohamed1461 2 жыл бұрын
6
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 Жыл бұрын
Mlokole wawatu mnamuimbusha bongo freva🤣🤣🤣
@SamirBSam
@SamirBSam 2 жыл бұрын
Mzee amjuwi H baba wala Diamond
@owenjuniorkravecki7874
@owenjuniorkravecki7874 2 жыл бұрын
From New Zealand 🇳🇿, i am still learnig Swahili
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 2 жыл бұрын
Soon you will know
@praxedaandrewkato7472
@praxedaandrewkato7472 2 жыл бұрын
Huyu boy iko na tamaaa they say buy for 10.000K.but still want to get food for 18000 K.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jointjoint4507
@jointjoint4507 2 жыл бұрын
Nomaa🤣🤣🤣🤣🤣
@user-pz9vs2xg7v
@user-pz9vs2xg7v 6 ай бұрын
Not they say....he said
@abuuyasirshaban9377
@abuuyasirshaban9377 2 жыл бұрын
Huyo jamaa arusha mkukii kweli hahaaa
@janeongala6684
@janeongala6684 Жыл бұрын
I love you sanya worching from India ludhiana
@praxedaandrewkato7472
@praxedaandrewkato7472 2 жыл бұрын
Buying food for him and still carrying h. Baba diamond 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lazalonzo4607
@lazalonzo4607 2 жыл бұрын
Still carrying or calling smh 🤦‍♂️
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 2 жыл бұрын
Uyu kaka wamisho asipoangaria ataorewa yaani anatamaa atari😭😭
@nassoogdogojanja3756
@nassoogdogojanja3756 2 жыл бұрын
Ume nyonywa sasa H baba 😂😂
@alimondbenson1751
@alimondbenson1751 Жыл бұрын
Huyo jamaa anatamaa Sana anataka apewe yeye tu hahahahaha
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 nilichojifunza kupitia hiki kipindi usimchukie mtu ambae hajawahi kukosea
@tee_3nes._
@tee_3nes._ 2 жыл бұрын
Uyu Mwamba wa Kodi😂😂😂😂😂
@munikosimion
@munikosimion Жыл бұрын
Nimecheza sanaaa
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Masikini pole umekuwa wazi brother
@britonkanumba6828
@britonkanumba6828 2 жыл бұрын
Jamaaa wa red ana mizinga sana
@givembwilo8486
@givembwilo8486 2 жыл бұрын
ametumia fursa vizuri
@ellys_star
@ellys_star 2 жыл бұрын
B levo ba😂
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
HAHAHAHA Uyu magazijuto mwenejina la hesabu aliyogundua pesa sikitoto aisee
@yassinimshale3841
@yassinimshale3841 Жыл бұрын
Kweli bongo ni noma
@lissabihemo3429
@lissabihemo3429 2 жыл бұрын
😅😅 acheni kuzingua watu aisee😂😂😂
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
Huyu jamaa nyekundu haridhiki
@silverboy3065
@silverboy3065 2 жыл бұрын
Sema wabongo mungu katubariki sana mdomoni
@SHEDRACKKABOZA
@SHEDRACKKABOZA 3 ай бұрын
Mwenye Nyekundu ana Tamaa sanaa
@Remmy_S243
@Remmy_S243 2 жыл бұрын
love to Wasafi from Holland
@katelephonjr7593
@katelephonjr7593 2 жыл бұрын
PAMOJA...
@saidemuamedeali2678
@saidemuamedeali2678 2 жыл бұрын
H, baba udhaifu wako unakufanya ufail
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
Holland ya nyoko
@hassansammy1076
@hassansammy1076 2 жыл бұрын
Hhhhhhh baba levo oyeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂
@makokoaizack2531
@makokoaizack2531 2 жыл бұрын
Da jmn h baba kumbe bado kioaji Cha uigizaji hakija potea tangu kpnd Cha jully tax yaaan nme checka Sana kwa comedy zenu pia scene mlvyo z wena utazan zme pangwa kumbe n mmekutana nazo huko huko mtaandaa big up more town sanya watu wanna h baba toka Rock City mail kirumba tuna kusoma Sana pande hizi
BABA LEVO ATAKA KULIA WAZEE HAWAMJUI/MILIONI 2 UMELOGWA
34:31
Wasafi Media
Рет қаралды 469 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 85 МЛН
MANDONGA MISULI IMELEGEA, HAMNA KITU YULE, KAZEEKA | HIVI NI KWELI
29:32