Najiuliza hivi hawa watekaji hua wafikili wao hawatakufa😢😢😢😢pole sana bro
@boazambokile25875 күн бұрын
naona wataishi milele
@SAYFANMUSSA4 күн бұрын
Watu wapo kazini
@MagnusBugingo10 күн бұрын
Very potential man olimboka SEMA MUNGU atawajibu Kila mmoja Kwa wakat wake
@WagulimbaOGonline10 күн бұрын
Sijui unaamgalia video hii mwaka gani lakini jua kwamba mimi pia niliwahi kuitazama video hii mwaka 2024 kwasasa sijui kama nipo hai au nimekufa Kila la kheri kwako msoma coment god bless you
@LuckyTemu9 күн бұрын
Bless you too 🙏
@philemornmutta159711 күн бұрын
Siasa kuna UNAFIKI MWINGI SANA wakiwa kwetu kuomba kura utahisi ni watu wa Mungu wacha Mungu kweli kweli lakini ni hatari kwa afya
@benjaminsanare-ug6ge8 күн бұрын
Mambo ya kutekanatekana ni ushamba wa zamani❤❤
@amransaid60186 күн бұрын
Hao ndio ccm na chama lao utadhani kana kwamba wataishi hapa milele
@stevensoso750611 күн бұрын
Nkikumbuka naumia sana maisha hayaendi ivo
@mwanjinzara80099 күн бұрын
Nitariiii sana kumbe utekaji ulikuwepo tangu enzi hzo pole sana doctor mungu akufanyie wepesi
@HassaniUlenge-j5j7 күн бұрын
Unajua katika ulimwengu huu kuna watu wanafikiri wao wataishi milele kumbe la! kila mtu atalala mauti haijarishi una mamlaka makubwa
@AloyceKalombo11 күн бұрын
mung pekee ndio hakim wa mwisho kwa huu ubaya aliofanyiwa dactar olimboka
@kalebphilip342611 күн бұрын
Hii nchi mm sjui kwel lisu alipgwa Risas na mahali alipopgwa Kuna cctv kamera,Raisi bado hatujapata majibu yoyote juu ya matatzo haya yanayotukabili watanzania
@pinieliedward599211 күн бұрын
Kweli ndio maana chadema roho inawauma tena mhudumu wa afya ambaye angewatibu hata wao
@gracemima523411 күн бұрын
Yote hii ni madaraka. Kikwete Mungu atamuona. Na bado anaendelea kuitawala Tanzania kwa nguvu kwa kuweka kwenye madaraka watu anao wapenda
@ChikuHamisi-o8p5 күн бұрын
Mungu mkubwa nyinyi namungu km hajapanga ufe hata binadanu hawezi fanya chochote 😢jina la bwana libarikikuwe🎉
@WilliamKivugo11 күн бұрын
Pale ambapo binadamu wamedhamilia lao na mungu hajaridhia litokee
@ThomasMmary-r7w10 күн бұрын
Daaah 😢so sad
@asiasuleman875011 күн бұрын
Mhhh kz tunayo tz
@abdulhusseinmuhammedahmed594611 күн бұрын
Madaktari wasimtibu unaonaje,walikuwa wagonjwa wengine walipigwa na majambazi waliwaacha
@wisdomfolks11 күн бұрын
Move ile ile character tofauti imtosha sasa ccm hii sio nchi yenu wenyewe trh 23 tukutane wananchi wanaoipenda inchi yao
@controlTheoryChamps10 күн бұрын
It's time ya kuitoa CCM
@jumasalum267710 күн бұрын
@@controlTheoryChamps uitoe Kwa Nini Sasa ulitaka ifanye nini wange mlinda Mpaka safari zake zote sawa sawa tyu Hilo nisomo tosha
@storytime12049 күн бұрын
@@jumasalum2677sasa wamlinde na wawo ndio walikua watekaji?😅 tunataka kuona watu wengine wakitawala kwakweli
@mrsmumewangu49074 күн бұрын
@@jumasalum2677mjinga Sana ww angekufa babaako mzazi ungethubutu kuongea pumba hio choko we
@rehemambilinyi945211 күн бұрын
Taarifa imenyooka na inaeleweka hongereni sana Day2News
@sanaf836711 күн бұрын
Huo uchunguzi mbona hakuna majibu yoyote mpaka leo viongozi washenzi sana wanasema mengine na kutenda mengine.
@IlhamKhalid-mt3jp11 күн бұрын
Magufuli ameondoka naoo
@deniccgabriel615311 күн бұрын
Uo uchunguzi ndio nani atakamatwa? au unataka mtu aitwae uchunguzi unaendelea ndio akamatweee????.....
@ibrahmuya352810 күн бұрын
@@IlhamKhalid-mt3jpsasa hapo magufuri anahusika nini wakati ilikuwa ni utawala wa jakaya
@storytime12049 күн бұрын
@@deniccgabriel6153andika tena maana sijaelewa
@carenraymond750011 күн бұрын
Ukipata nafasi ya wew kua salama na familia yako mshukuru Mungu tu sahv mambo ni mengi mno
@bwagizoselemani843411 күн бұрын
Kwel kaka
@IlhamKhalid-mt3jp11 күн бұрын
Hatari sana
@FabiDthree-ro1ms10 күн бұрын
Kwa tanzania yetu ndo hpo hvy dar 😢
@VioletMwaifunga10 күн бұрын
😢😢
@williamgeorge-hd2tn9 күн бұрын
Wakati wengine wanateswa na kuuwawa ukakaa kimya kisa wew uko salama na familia yako uovu utakufuata tu na hautakuwa na wakumkimbilia think twice
@dunstunnchimbi79948 күн бұрын
Kuanzia leo tarehe 21 September 2024. Naanza rasmi kuwa mwanachama leo. Asanteni sana. Ila hii nchi basi tu. 😢😢😢
@NixonJohnson-r4m11 күн бұрын
Mzee wa mboga hukumu inamsubiri ya huyu mtu ... mtashinda duniani kila kitu ila ukilala tu ukiwa peke yako itakukuta hii
@esterkalinga-zu9ve11 күн бұрын
Duh! 😭😭😭 Ee Mungu simama na sisi watoto wako😢
@jombilozoo11 күн бұрын
Makala Ina taarifa madhubuti, hongera sana Mhariri
@ActiveMedia-j9y11 күн бұрын
NYUMBA ZIMEJENGWA ILA HAKUJA ANAEISHI KWA WASOMALI UNUNIO IYO
@PhilipoLeonard-q5w11 күн бұрын
Mi nasoma tu comment NIMESHINDWA Niandike nn
@nindymuruga479811 күн бұрын
Ila mambo haya yameanza zamani tanzania hii😢😢😢
@veronicanabina33808 күн бұрын
Tena na watu wasiojulikana, mtu agitated haki za watu yuko hatarini, tena mtu anasema ni mambo ya kawaida hata inchi zingine yanatokea kweli Kuna utu hapo kwelii,
@hawasaid71517 күн бұрын
Ni mjinga gani huyo aliyesema ni mambo ya kawaida😢@@veronicanabina3380
@lamerckmsuya55135 күн бұрын
Dahaaa!!uyo baba aliteseka sana kwakweli,lkn jipe moyo baba kuna peponi na jehanamu
@Jamesmwakisambwe11 күн бұрын
Katika maisha yangu nakuwa makini sana na mtu anaecheka wakati wote akiigiza kuwa mwema bora mtu anaekuwa serious wakati wote sababu utajua mdivyo alivyo na utajua jinsi ya kuishi nae, tanzania nakupenda kwa moyo woye
@AllyBabu-kr6lg11 күн бұрын
Kweli❤❤
@valentinanduku871811 күн бұрын
kabisa marafiki wanafiki
@asnathmwaipopo687710 күн бұрын
😢😢kweli kabisa aisee MUNGU atusaidie sana maana hatuwajui kwa macho haya ya nyama. Atupe macho ya rohon 🙏🙏
@muhammadmpahi33811 күн бұрын
Tangu litokee tukio la ulimboka sijawahi tena kusikia madaktari wanatishia kugoma. Yani kimiyaaaaa
@khaalidcheo538311 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ramsojimmykelly337911 күн бұрын
Alooo....ila na wao walisababisha watu wengi kufariki
@jumasaid607310 күн бұрын
Maslahi yao yaliboreshwa, ndio maana mgomo uliisha, Ulimboka alitolewa kafara ili madaktari wa wapate maslah stahiki !!
@BensonMpete9 күн бұрын
Iv ulimboka aliendaga wapi
@husseinhkitambi17019 күн бұрын
Yupo kwao kibangu @@BensonMpete
@gracemima523411 күн бұрын
Watu walikuwa wanakufa tu hata bila mugomo. Hospital zilikuwa hazina dawa wala vyombo vya kuwapima wagonjwa. Wenyewe na familia zawo wakiuguwa wanaenda India kwa fedha za wananchi. Viongozi wetu tunao wapigia makofi na sifa nyingi ni hatari sana. Bado vizazi vyawo vinaendelea kututawala
@qaseemayoub67589 күн бұрын
Nasikitika sana Watu kukosa utu Ewe mungu jaalia moyo wangu hivi hivi usifanye ukawa mgumu kias cha kuweza kuua...Ewe mungu niongoze😭😭😭😭
@lirastanley3907 күн бұрын
MUNGU wetu ni mmoja na kila nafsi itaonja umauti...km kuna hukumu kweli ya Mungu basi tu iwepo na itoe haki kwa wote.Aisee
@saimonmbwambo842610 күн бұрын
Nimegundua kuwa hii Chanel ya habari iko vzr mno
@abuuahmad3238Күн бұрын
Unyama wa TZ deep State. ..shadow govt ya Tanzania...wahisikaji wa kuteka, kutesa na kuua...maraisi hawahusiki hivyo lakini wanawajinika....
@betricemainoya41768 күн бұрын
Ila tz waiga sana kesi kama hii inafaa iende hage mahakama za kimatsifa huyo rais wa wakati huo ashtakiwe kwa unyanyasaji hanatofAuti na Charles teyla
@JoshuaSalimu11 күн бұрын
HALAFU MPK LEO WATU WANAIMBA ETI TUMEFUNGA NDOA NA CCM KWELI. TANZANIA MANYUMBU
@ibrahimconte6019 күн бұрын
Walijua atakufa kwa maumivu makali waliomuachia kumbe mungu ni mwingi wa huruma.
@ashachitemo78168 күн бұрын
Hawakutaka kumuuwa yaani huyu walitaka awe sampo
@DavidSemu-gu6wp11 күн бұрын
Dah! Hili jambo lime nime nikumbusha mbali ila watekaji!! si lakuchekesha ila samahani tu 😂 😂 yaani doctror mna mn'goa meno mnajifanya nyie madentist, kwani alikuwa na matatizo gani ya kinywa??! Na toka pale yule doctor wa wenyewe sijui alikimbilia wapi haja sikika eti walimtoa meno amekuwa cobra?! Eeeh!
@MiriamAbdallah11 күн бұрын
😂😂😂😂 umenichekesha kama mazuri ati cobra 😢😢😢😢
@gracegrace651011 күн бұрын
Dk wangu huyu jamani alinifanyia clinic ya mwanangu wa kwanza
@IshakaIssa-h4w11 күн бұрын
Daa Yan hat mim nishaanz kuogop Kam daktr kafanyw hivi je mim ,Mungu tusaidie watanzania tulipofikia sio pazur
@nancyg866411 күн бұрын
ila Mungu uwa anawalipa vibaya hawa watu ndo unakuta wanapata ajali mbaya wanakufa au wanatenguliwa serikalini yan sisi tunawaurumia kumbe ni malipo ya uovu waliaoawahi kuwafanyia watu.
@ayubuiddi856311 күн бұрын
pole kaka yangu mwenyezi mungu akufanyiye wepesi inshallah utapona
@sharifabahar990511 күн бұрын
Alisha pona ameamanchi
@israelkisaila840111 күн бұрын
@@sharifabahar9905hivi yupo Nchi gani?😢 2012 nakumbuka nilichangia pesa Kwa ajili ya matibabu yake.
@yussbreezy9189 күн бұрын
Huyo kitambo enzi za Kikwete
@Tanzaniayangu16 күн бұрын
@@sharifabahar9905duh
@amelugatz519210 күн бұрын
Wakati unaangalia hii, chukulia tu huyu ni katika wale wachache waliobahatika kupona. Wapo wengi ambao hawakubahatika kupona. Jaribu kufikiria ni wangapi hawakupona. Hii dunia muogope sana mtu, mungu yupo, lakini ogopa kwanza binaadamu maana mungu yuko mbali.
@johansenbashange26284 күн бұрын
Serikali ndiye mtuhumiwa namba moja mara zote mtu anapotoweka! Unless itambulike vinginevyo
@AmisamauridNgagada11 күн бұрын
Sisi sote ni Watanzania lakn wengine wanaishi kama mbwa Koko why lakn serikali ijichinguze Kwa hili
@ngwalesma36815 күн бұрын
Imagine huyu na yeye angeenda hospitali halafu madaktari wamegoma
@Stefan-bf1dc8 күн бұрын
Kuna watu wanafanya vitu kama sio binadamu. Mambo kama haya yanasikitisha sana kutokea kwenye nchi yetu tunayoihubiri kuwa ni nchi ya amani
@AshelyMbegu11 күн бұрын
Toka kitambo haya mambo ila suluu to much
@nancyg866411 күн бұрын
nachokiona sasa hvi bora umevuguvugu yan upo kama haupo ili kujiepusha na haya yote
@tataLil-i3v3 күн бұрын
Wadogo zangu mlozaliwa elfu mbili naa,its the true this story ❤❤
@aud54811 күн бұрын
This will follow Mzee wa Msoga to the grave🤲
@MjuniLaulianКүн бұрын
Ulimboka lissu dativa Wana mungu na anamakusudi nao wasimuche mungu wetu
@omarry-x1z6 күн бұрын
Dah hongereni sana brother yani mnatoa ukweri mtupu hamuachi hata chembe napenda sana kufatiria hii chaneli
@JamesKirita11 күн бұрын
Kumbee nimeelewa danganya hii yazaman ndiyooo hiii yasasa hivii
@AdolfJosephmassawe11 күн бұрын
Tanzania AKUNA AMANI daahh ni kama Atuna Raisi kabisa ila MUNGU yupo
@ashurakodd158911 күн бұрын
Shetani zeni u lakini kwa uwezo Mungu alipona na mkaumbuka halafu mnasema nchi ya amani na kufikuza watumisi
@zepinashatibu5149Күн бұрын
Kichwa cha habali siyo kizur miaka mingapi iliyo pita unaandika siku kumi zimepita mtu asipo tazama vizur anapata mshangao mwingine tena katekwa kumbe past wahusika ni hao viongozi kama ney wa mitego alivyo waimba
@ChikuHamisi-o8p5 күн бұрын
Mmmmh😢swali langu ni bado huyo anaejieleza bado yupo hai?😢
@husseinmasha3712Күн бұрын
Lakini kitu kikubwa kinachonishangaza binafsi ni kwamba watu wote waliotekwa, waliouwawa, walioumizwa, walionusurika kufa ni wale waliokuwa na migogoro na serikali, na baadhi ya interview zao zilihusisha ukosoaji wa serikali sasa hii ni aibu kubwa kwa viongozi wa serikali na serikali kwa ujumla kwamba hawajui wajibu wao kwa jamii ila wanawajibikia matumbo yao 😢
@DavidChengula-g5v11 күн бұрын
Daaaaa pole sanakaka 😢😢😢😢😢😢😢😢
@AhmediKilingamoyo2 күн бұрын
Haya maishayaduniatu woote tutayaacha tutaendakukutana namolawetu
@BenLeeBl6 күн бұрын
Jeshi linatumia vibaya sanaaa..na je hao watekaji wakwapi
@PrinceHendry-hp8vv5 күн бұрын
Toka enzi za kikwete ni uchunguzi kufanyika na haijawah tokea chochote ni maneno ya siasa
@MandoliiMoshi3 күн бұрын
sasa losu akizungumza kuhusu kutekwa nyinyi mnamtukana kuwa hana sera ila kumbukei lisu yuko sahihi lazima chadema wapazee sauti ili kupinga hii hali ya utekaji kuisha mana kuishi n haki ya kila mtz ko wanachi acheni kuwaponda chadema
@dreahmed233611 күн бұрын
Mwanzoni niliona channel imetumia wakati vizuri kupitisha taarfa ambazo zimepitwa na wakati ili kupata watazamaji, lakini baadae nikagundua kulikua kuna umuhimu wa aina yake kujikumbusha tukio hili. Hongera sana muandhishi na msimulizi, Mungu azibariki kazi zenu na awaepushe na changamoto katika kazi zenu.
@mwambaimara195011 күн бұрын
Hata kama mtu ana makosa kweli anastahili hayao mateso? Kutoka kwa mwanadamu mwenzio? Mngempiga risasi afe mara moja , lakini kwa mateso hayo...mungu anawaona hadi leo!! Ukatili wa hali ya juu sana kung'oa meno na kucha!!
@tataLil-i3v3 күн бұрын
Haki haipatikani kiurahisi, Tanzania 🇹🇿 tuache uwoga
@samirizi0110 күн бұрын
AISEE HII INCHI KUMBE KUNA MAJAMBAZI SUGU YA SERIKALI MATUKIO HAYA NI YA MDA MREFU SANA HIMEPATA JIBU MPAKA HAPO KUMBE SERIKALI YA CCM NDY WAHUSIKA WA HAYA MAUAJI USHAHIDI SI KAMA HUU SASA BADO TUTAFUTE NINI TENA😂😂😂😂😂😂😂
@FabiDthree-ro1ms10 күн бұрын
Mbona yapo meng ayo matukio tanzania ni janamu na cyo nchi
@sir-dmwaye18913 күн бұрын
Daah watu wanapitia magumu ewe Mungu Niepushe na haya pia mjalie afya na uzima
@AmandablancaavitMassawe11 күн бұрын
Kwani mlikumnasubiri hii mijitu tumbo ccm ikubali
@TonyMasterog11 күн бұрын
😢😢😢 Hao watekaji wauwawe mara moja jaman wachomwe moto mamae zao
@HanceMagazi9 күн бұрын
Hi ya kitambo 2010
@AbiaWilliam-s1s6 күн бұрын
Ila mungu yupo ajalala kabisa anaona ad yaliyo sirini 😢😢😢😢naumia kuona mambo Kama aya yakiendelea kwenye taifa Mungu baba uliye mbinguni tenda Jambo kwa watu wanao teak na kuwa marafki Zeru
@priscusaugust72512 күн бұрын
Kikwete nae mungu akimchukua ni motoni moja kwa moja
@engmattminja3567Күн бұрын
Nyie watu ni majasiri sana..taarifa imenyooka sana
@godfreyjulius51328 күн бұрын
Hakuna binadamnafiki kama Kikwete
@Myright8885 күн бұрын
Na bado hakuna aliyewahi kukamatwa!! Na mambo haya yanaendelea hadi sasa Na sasa wanaua kabisa. Ulimboka bado anayonafasi kuishtaki serikali kimataifa.
@husseinmboje144911 күн бұрын
daah jaman yan mungu atawapa zawadi zenu
@labancharles845311 күн бұрын
MUNGU ndo mlinzi wa kweli
@sudyslaa827811 күн бұрын
Kweli Serikali hazihusiki maana watu wa usalama sio wa Serikali basi sawa.
@MiriamAbdallah11 күн бұрын
Sio watu waserikali ni chadema na kujiteka na kujiuwa wenyewe 😢😢😢😢
@SadaUsantu-cn3yx9 күн бұрын
Na police mtazidi kufa masikini na rahana zenu.
@emmanuelsitayo197711 күн бұрын
Hii imekuwa ndiyo mila ya serikali ya nchi hii.
@veronicanabina33808 күн бұрын
Yaani hili gazeti nilikuwa nalipenda kwa habari zake za ukweli na badaye likafugiwa ila watu mungu anawaona
@ndakichuwa76189 күн бұрын
Naamini Mungu yupo na anona ila anawapa muda ili kujirudi,fanyeni toba na kuacha matendo ya kikatili na uonevu
@TeuMuhale11 күн бұрын
Kumbe uchunguzi wakina ulishaanza kitambo😂😂😂😂
@alibachirofficial393911 күн бұрын
Bro unacheka?😢
@JeniferMsele3 күн бұрын
Ila hii Serikali jaman Mungu atusaidie
@farajaMezza-qn4be9 күн бұрын
Ila Mungu anampenda sana huyu Dk. Kwa kipigo hiko na bado yupo hai??? Kweli Mungu anaishi!
@mamakendrick75382 күн бұрын
Kitu cha uchunguzi wa kina hapo mwisho😅
@AhmediKilingamoyo2 күн бұрын
Polesana dr ulimboke
@beatricesamwel61367 күн бұрын
Na huyo anaefanya hivyo ni binadamu aliyezaliwa na mwanamke😢😢
@paskaziasholla747111 күн бұрын
Hapa moja kwa moja aliehusina ni msoga
@enocksitta635011 күн бұрын
Aisee, watakuja kulipwa na wao Mungu yupo daima uwezi mfanyia mwenzako hvyo
@FabiDthree-ro1ms10 күн бұрын
Ndo tumebisha hcho tu ila kiukweli hch tusipo pambana sisi wenyewe akuna atakae kuja kutugomboa uku mtegemea mungu mungu ana mengi il tupambane sisi
@KuruthumBilali8 күн бұрын
Amin
@justinemwinuka50689 күн бұрын
Pole sana mungu mungu akuponye bro watu wanazania wao wamilele mambo hua yanabadilika kama nyakat
@rehemasaimon49323 күн бұрын
Natamani kuandika ila we Uogopi😢
@OmanOman-dd5qk11 күн бұрын
Yani laana kumhao mungu awalaani
@fredyleonardmaths25469 күн бұрын
Mungu ataenda kuitetea Tanzania.Ndani ya haya maumivu naona NURU kwa Tanzania,Mungu anaenda kuibadilisha serikali hii Amini msiamini,CCM imefika mwisho.
@husseinhkitambi17019 күн бұрын
Ila huyu alisababisha kifo cha rafiki yangu kisa mgomo alio uandaa mimi niliona safi tu kufanyiwa hivyoo maana maafa yaliotokea kwenye ule Mgomo acha tu
@jonasizack671211 күн бұрын
Dah aisee watu Tuna roho mnaya vbaya mno
@happinesstesha70612 күн бұрын
Pole sana kaka hao watu walikua wakatili mno
@PeterMahona-zd3oz8 күн бұрын
Pole sana tena sana zaidi yasana mungu wangu jehova yesu
@BakarIdi-qc8yfКүн бұрын
😢😢😢😢😢 naona kama tunafikia pabaya
@almaarifonlinetv11 күн бұрын
Majuzi nilijaribu kuangalia mtandaoni nione Daktari yupo wapi siku hizi lakini sikuona update yoyote inayomhusu jamaa.