Kwa jina naitwa Anita ni mzaliwa Dodoma, nimetokea ktk familia ya watoto watatu mm nikiwa ndo wakwanza nina wadogo zngu wawili wote wakike joyce na salome.
Пікірлер: 345
@user-yk6dg4kl3s3 ай бұрын
Kama una mpenda ank jay gonga like
@evelinazaina2455 Жыл бұрын
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
@ankojay_ Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia
@sumeiyamaddy95 Жыл бұрын
Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
@eda_juma11 ай бұрын
Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
@shadyasalum192 Жыл бұрын
Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰
@ruthwaithera2650 Жыл бұрын
Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖
@ChristinesifaRuwa-ix9iy Жыл бұрын
Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay
@salmamohamedi5405 Жыл бұрын
Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother
@sarahhagai8191 Жыл бұрын
Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤
@dalilaamiri Жыл бұрын
Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤
@Winniequinepretty-wm7rr7 ай бұрын
Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤
@queenlee9495 Жыл бұрын
Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚
@alinaswemuziya876 Жыл бұрын
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
@rehemanifasha5524 Жыл бұрын
Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉
@fatamaaktar906 Жыл бұрын
Mama anita ndochanzo chamatatizo
@maryworkman635 Жыл бұрын
Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂
@anastaziasanga Жыл бұрын
Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha
@jenniferlicko4736 Жыл бұрын
Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤
@rizkimw1301 Жыл бұрын
Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu
@DortheaMaria-ti5er4 ай бұрын
Ni ngumu sana kumeza wallah
@carlossirya5016 Жыл бұрын
Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu
@user-ly6we7ig1x7 ай бұрын
Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.
@sarahhagai8191 Жыл бұрын
Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅
@nkurunzizasandrine5091 Жыл бұрын
Adi bili leo unamkumbusha bi bishuuu🤣🤣😂🤣
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Mambo ya bi Shuu kweli ni motomoto
@sarahhagai8191 Жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤
@judyauko8134 Жыл бұрын
Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j
@LifeofSalmah Жыл бұрын
Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉
@rukiawaziri48716 ай бұрын
Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤
@ashaabdalla924 Жыл бұрын
Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤
@binthassan9191 Жыл бұрын
Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤
@salmakim557 Жыл бұрын
Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele
@rizkimw1301 Жыл бұрын
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
@sophiahassan-kn7ov Жыл бұрын
Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂
@wertqwe8326 Жыл бұрын
Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤
@user-nt5ds1cp4s8 ай бұрын
Sauti nzuri sana yani tamu kweli nakupenda bure kakangu❤😂
@user-yz5zn4tr6i8 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤tamuuu Haswaaaaaa❤❤❤😂😂😂
@nindymuruga4798 Жыл бұрын
Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤
@user-yz5zn4tr6i8 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂😂
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Kweli usiombe yakukute
@shantellekwamboka7444 Жыл бұрын
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
@maryworkman635 Жыл бұрын
Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli
@user-kz7xq7ej9v Жыл бұрын
Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲
@alisalim2145 Жыл бұрын
Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣
@Stephanie-mp1nn5 ай бұрын
Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.
@ponsianomwakisunga899Ай бұрын
Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker
@MbarikiwaFoundation-it5tm Жыл бұрын
Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah
@reachelchemtai2604 Жыл бұрын
Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu
@rizkimw1301 Жыл бұрын
Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee
@magrethjilya7663 Жыл бұрын
😂😂😂 umefanya nicheke kwa sauti
@soldd-xz5ue7 ай бұрын
Asante jamani nimeipenda. Runge wachana tu tukalea watoto
@NawMi121-lj8cf Жыл бұрын
Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏
@DalinaSamweli-ji3fc Жыл бұрын
Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.
@slyla2565 Жыл бұрын
Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman
@blessingrajabu2519 Жыл бұрын
Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu
@matesomoci6376 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu
@WardaNuru-ci9rx Жыл бұрын
katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay
@JanethAssanga10 күн бұрын
Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu
@tegemeamhimba832 Жыл бұрын
Mmm balaaa ila hii Tania ya kutelekeza watoto haifai kabisa
@EstherJoram-gt4lt Жыл бұрын
Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah
@mariamrupatu11 ай бұрын
We ni fala
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Hujakutana na nguvu ya mapenzi bado
@user-qw6zq2ve4t Жыл бұрын
Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen
@JessicaDonson3 күн бұрын
Dah asante sana kwa simuliz nzuri
@sarahhagai8191 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana 🙏 kwa kazi nzuri, elimu tosha ya inazidi University ukweli 😂😂😂
@user-yz5zn4tr6i8 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-bo9kk5ds9i7 ай бұрын
Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe
@deborahkavira2415 Жыл бұрын
Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu
@sarahhagai8191 Жыл бұрын
Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko
@joycemwangala Жыл бұрын
Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili
Kama nmm hapo siachan nae coz hapo sisi hatuna makosa walokosea wazazi sisi wala juu sku hizi nmoja kwa mia mwenye upendo wadhat wote wamekua wasalit
@nabintuneema9078 ай бұрын
Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri
@naomibitakara7972 Жыл бұрын
God bless u Anko jay and have a nice day 😊
@LindaRobson-qn1br Жыл бұрын
Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew
@user-ml4kv4ty4b7 ай бұрын
Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi
@olyoly9992 Жыл бұрын
Eeeeh anko jay ww hii ni kali hata kama ni mm siwezi kukubali kuachana na mume wangu juu ss hatuna makosa makosa ni ya wazazi
@mildredalivitsa1186 Жыл бұрын
❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya
@mildredalivitsa1186 Жыл бұрын
Sorry nakupenda
@HappinessMilambo10 ай бұрын
Mmm jamani mapenzi nimazito Anita pole tens nakupa ongera kwaujasiri kutoka Zambia
@lidiajephter7564 Жыл бұрын
Jamani narudi acha nisikilize kwanza
@nashaldy1804 Жыл бұрын
Kma ni mm pia ningetwaa uamuzi kma huo wa Anita.tena ukizingatia hyo ni first luv wke.aa weh! Udugu ukaepembeni.
@ankojay_ Жыл бұрын
😄😄😄😄🙌
@swabrarashidi1082 Жыл бұрын
Hhhhhhh real
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Umeona ee
@wilkisteradhiambo3072 Жыл бұрын
Kweli inauma yaani kifo sio suluhisho ila hata ni ngumu kueleza anko jey
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j
@mariamrashid6880 Жыл бұрын
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
@IreneMwenda-nl2hu10 ай бұрын
Ww ndy umesem nn mbon ujaelewek
@laurent201410 ай бұрын
❤
@zulfajuma83949 ай бұрын
Kiukweli ata mm cjamuelewa uyu
@zuhuranadahhinda1366 Жыл бұрын
Wa kwanza mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👀
@user-dh4ri5lt5x7 ай бұрын
Kamwe hata Mimi nisingekubali kutengana na. Mume wangu Kwa makosa ya wazazi
@user-gi7ko1wc5i11 ай бұрын
Hata mimi singekubali tuachana kama mbaya mbaya kifo tu
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Nguvu ya mapenzi
@Zizzah2707 Жыл бұрын
Chungu kutafun ngumu kutema mweeeeeeeee
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Na ngumu saaana kumeza
@speciozamikole21948 ай бұрын
Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu
@JacksonJohannes-gr7mz11 ай бұрын
anko j mm ningechagua kumpenda mke wangu tu maana makosa sio yetu
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Umeonae
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Nguvu ya mapenzi
@elinakithi6978 Жыл бұрын
Hiii simulizi kweli tamu jamani hata hivyo yalio tokea haikua makosa Yao hata ningekua mm ningeendelea kula tunda tuuu😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ym9du6uq7j Жыл бұрын
Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45
@raiyaanyusufyusuf17 Жыл бұрын
Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Hujakutana na nguvu ya mapenz
@user-vo4rc1vd4d6 ай бұрын
Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam
@user-jl7ju9pu9h2 ай бұрын
Jmn msimuliaji apewe mauwa yake🙌🙌
@faizajumwa4696 Жыл бұрын
Aahaaaa!!!!Anita😋😋👍🎧🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@paskalistephano33099 ай бұрын
Hat watt wana makox wangewjulixh wazz wao kabl ya kufanya mapenz
@brigdk Жыл бұрын
Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤
@user-ms2cc4fd8e9 ай бұрын
Hakika hili ni funzo kwa wazazi wenye tabia kama hizi za kuwaficha watoto kuwa Kuna ndugu zao
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Funzo kubwa saaana
@sadakimwaki9791 Жыл бұрын
Duuh! Inasikitisha sana kwa dini ya kiislam km wote mmenyonya ziwa moja hakuna ndoa hapa,,😢😢
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Familia mda mwngne ndio wana7bsha wa2 wanagawanyka bla 7bu Za mcng 😢
@user-qw7un1nf2f Жыл бұрын
Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia
@ashamenza2212 Жыл бұрын
Waah Anita haya wadau twende nalo
@Happy-gi9tq Жыл бұрын
Weendelee na ndoa Yao tu
@baziljohn4536 Жыл бұрын
Mmmh umwamba wangu kwenye hii simuliz nimegonga mwamba mwandishi yukopoa msimuliaji jamani Kama ndomuhusika, Kaka kweli unajua kuuvaa uhusika no dougth. Kiukweli simulizi hii pakufurah nimefurah pakulia namim machozi yamenitoka yaani dah nimrjikuta t yananitoka.! Good job
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Hakika
@JackMgaya-qo3qn Жыл бұрын
Simulizi ni nzur sanaa
@Salma-zi6hn Жыл бұрын
Mh apa tumejifunza kitu aseeeee
@Elizakilisipinilikolika1996 Жыл бұрын
asante sana kwa mafundisho yako anko jey
@lainacemmmwasote1862Ай бұрын
Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.