Part 02 Hii Hapa 👇 kzbin.info/www/bejne/jXi7h2aijtStfMksi=DWT7TcQJMOnLsbHu
@priscillahsirya6544 Жыл бұрын
Ankojay nikiboko duu yani alie olewa na anko ana enjoy mana sikwa mapesa hayo😂 unalala tz unaamkia ulaya😂❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@girukwishakaclaudine5374 Жыл бұрын
Simulizi hii nifuzo kubwa kabisa Ahsante AnkoJay tunainjoi sana simulizi zamafuzo🙌🙏
@elizabethfrank271 Жыл бұрын
Wakwanza mim leo naombeni like zenu tafadhali 🎉🎉❤❤❤❤
@WwEe-qc7tc Жыл бұрын
shukrani anko jay na mwandishi wetu stephen zecharia kwani simulizi imekuwa nzuri hata haijachosha kuisikiliza ila mengi naendelea kujifunza hingereni nyote wahusika MUNGU azidi kuwapa mengi ili kutufikishia maana simulizi zimekuwa kama kilevi ndani ya nyumba za waarabu tulioko humo sisi ndio tuujuae utamu wake tuu
@RakaPk Жыл бұрын
Nikweli kabisa der
@IRENEMENGI6 ай бұрын
Dah ankojay hii simulizi inaumiza sana hivi wanawake tunataka nini kwenye hii dunia
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Waulize wanawake wenye tabia hiyo
@mrsalma6299 Жыл бұрын
Daaah niliimiss sauti ya anko jay nyie 😂😂😂atimae Katuletea.simulizi mpya much love anko jay mihela🙏🥰
@MariamJuma-o9z Жыл бұрын
Dawa ya msaliti ni kuwachana nae kwa uzuri Anko jay simulizi mzuri sana hina mafuzo ❤❤❤❤❤❤ from Dubai but from Kenya 🇰🇪
@shamilakalinga437 Жыл бұрын
binafsi mimi simulizi ikiwa na background ya music za kanumba huwa na enjoy zaidi 🥰🥰🥰
@RebeccaNduku-s5z Жыл бұрын
Kweli kabisa dear 😅😅
@shamilakalinga437 Жыл бұрын
@@RebeccaNduku-s5z yeah
@Rahmamadua Жыл бұрын
Story nzuri saana❤❤❤MashaAllah mungu awabariki mzidi kutupa mambo mazuri zaidi❤
@LizaLiza-v2m Жыл бұрын
Asantee maana mm mgonjwa wa sautiyako simuliz hata iweje kama hujasimulia naiacha kiukweli
@CellespenceMuhavi-lf5rv Жыл бұрын
Nimejaribu Leo pia walai like zenu nipeni tafadhali 😂😂❤ mi Huwa wa mwisho
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Usalit ni mbaya sana jamn,isitoshe mumewe Flora alimpenda sana
@rachypsalms2869 Жыл бұрын
Dawa ni dawa tu.... Thank you❤ Anko Jay, just bring Lucas more often 🥰🥰🥰
@aishasalum3372 Жыл бұрын
Jmn nilimnisi san ankojay mana kupitia simulizi zak nimekuwa jasiri zaid ya san kwakweli nakupenda nimerudi ten kukufatilia mwanzo mwisho 😊❤
@salmamwagomba6529 Жыл бұрын
Mm naomba2 ankojay simulizi zote mziki uwe wa kanumba yaani pambe sanaa🥰🥰🥰
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Watunzi sasa ni tofauti na huyu aliyetunga hii
@fatimafoaani2263 Жыл бұрын
Dawa ni ku move on na maisha mengine amjaribu Glory ili kulipa machungu na maumivu,au asamee amuachie mungu, congratulations BWANA anko Jay kwa simulizi yenye mafunzo mungu akubariki sana i salute you 💕😘❤❤❤❤❤
@aminaomarimaidi6 күн бұрын
Yes!! Safi hans unemuweza Athumani
@estherimbotsi7553 Жыл бұрын
thanks Ankojay much love ❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
@babygirlAkALinah Жыл бұрын
Wow ❤❤ mm pia from Kenya
@ZinaTanzani Жыл бұрын
Mashallah mimi wamwisho wacha tuone iyo dawa ya msalit
@gladyssamba8370 Жыл бұрын
Thanks sana ankol wetu mzuri ❤❤❤wacha tusikiye hiyo dawa ya usaliti na pia sisi tusisaliti
@patriciakyalo3454 Жыл бұрын
Ankol jay 😢najua utaniona msumbufu kwako lakini nakuomba hutujulishe jini mahaba itakuwa tayari lini
@SalomeMeshackMabilika Жыл бұрын
Nyie watu mbona kila siku mnaniwah jaman,😂😂😂😂❤
@rizmwMwriz-mf2cu Жыл бұрын
Hahaha ukisema umerauka kuna wenzio wanalala kwa Anko J mapesa
@jamilarimo5546 Жыл бұрын
Nimewahii leo nipeni likes
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Hahahahahhah sauti za wadada wa kazi anko j kweri ndohuwa wanaongea ivo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LisaYvette-k1u Жыл бұрын
l been waiting Anko J to come back thank you so much Anko j l love his voice ❤️❤️❤️
@nuriatqueen5575 Жыл бұрын
Thanks Ankojay🙏🙏😍😍🇬🇧🇬🇧
@JuliethKiligini Жыл бұрын
Amazing
@fatimafoaani2263 Жыл бұрын
Heri mia Moja ya kila siku kuliko elfu ya siku moja,mimi ningempenda mumu wangu mana huyo raisi ni wa msimu na tamaa tu ndo imemjaa, siaribu ndoa yangu ya maisha kwa ajili ya tamaa ya siku moja
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Tamaa mbaya sana
@PhoebeWafula-d6c Жыл бұрын
Wamwisho Kama kawaida ❤❤❤
@mwanamisikifogo869 Жыл бұрын
Ankojay mbon mm huwa napat simulizi kuchelewa jamni😢❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@peninahmmbone4648 Жыл бұрын
Dawa ya msaliti nikuachana naye simple😅 Thanks Ankojay much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️❤
@RebeccaNduku-s5z Жыл бұрын
❤❤
@LetisiaWilliammanyama Жыл бұрын
Wa kwanza leo naomba koment zangu
@ytyg7261 Жыл бұрын
Kwaupande wng Anko Jay Dawa ya msaliti kupitia iyi simulizi Nibora Hassin angetembe na mtoto wa raisi apo ata kuwa amewapa dawa kamili
@AishaJuma-wd8xd4 ай бұрын
Jamani anko j sauti nzuri
@TimaSiri-f7s Жыл бұрын
Shukran Ankojay big love...... from Kenya .
@janetkazungu7795 Жыл бұрын
Wakwanza like zangu wapendwa
@PatricalBeti Жыл бұрын
Ahsante kwa burudani Anko Jay ubarikiwe
@ashaabdalla924 Жыл бұрын
Shukran anko J kwa simulizi nzuri sana ❤❤❤
@rizmwMwriz-mf2cu Жыл бұрын
Dhuuuuuh asante sana Anko J Kwa kigongo kipyaaa naenjoy ety👏👏
@ndihokubwayobrigitte6757 Жыл бұрын
Thank God bless you ❤❤❤
@sabinamasangwa293 Жыл бұрын
Ahantee sanaa anko mungu azid kukuwekaa🙏🙏🙏
@paulomotto3394 Жыл бұрын
Yani kaka umenifanya ningekuwa mlevi wa simlizi kwa kweli
@mumbikibathi70362 ай бұрын
VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
@selfamitche3530 Жыл бұрын
Wow amazing story
@fetreshazKhamisi Жыл бұрын
Ahasante Kwa mwendelezo anko jey
@PendofandekengaPendo Жыл бұрын
Dawa ya msaliti nikumuacha 😮😮😮 kwaku watu walisema mwenda pole hajikwai❤❤❤
@FurahaBishari11 ай бұрын
jambo anko jay. asante sana kwa store muzuri ya wasaliti
@LillianMollel Жыл бұрын
Asante sanaa anko jay kwa simulizi tamutamu❤❤❤
@binthassan9191 Жыл бұрын
Flora pumbavu sana wewe 😢eti rais ..naakwende na uraisi wake ila penzi la kweli umelikosa flora ..utakuja kujuta siku za mbeleni kwa kumuacha kijana alie kupenda kwa dhati ya moyo wake..Flora umeniudhi sana wewe😢😢
@NascoMudy-ju1to6 ай бұрын
Mmmmh na sie tunae lizwa kilasiku tukae wap
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Haswaaa
@yusrambodze3804 Жыл бұрын
Nimechelewa lkn nimefika hatima nimemic sana hio sauti anko asantr🎉🎉🎉🎉
@jadenchris550611 ай бұрын
Taamazina tupotocha sana sisi wanawake tuwe namsimamo basi
Oyaaaaaaa leo nimelalia bahati ooooyaaaaa ooyoooo kuwahi nako
@THEDONSIMULIZI Жыл бұрын
Ohooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥moto mwingine umewashwa thanks Anko jay
@selfamitche3530 Жыл бұрын
Dawa ya msaliti ni kuwachana naye ili iwe na amani ya moyo
@nduguwaweruh94485 ай бұрын
Ankojay.. sio wote, wengine nko na mapenzi ya thati tu.. ila tu, some love money but not love..
@MariaMa-n5b Жыл бұрын
Vyuma ju ya vyuma asante sana ankojay
@Mziwandaa Жыл бұрын
Wow nice 👍
@nurafedrick37811 ай бұрын
Nivile mm sijawai kupata mwanaume wakunituza nakunijali yani ningempata kama huyo hans mm hata ajenani siwezi kusaliti ndoa yangu kwa sababu ya pesa tuu.
@LillianDamaMzererah Жыл бұрын
Flora acha tamaa hayo ni Mapambo ya Dunia na utayaacha hapa hapa mavumbi utaingia na hayo sio mapenzi mumeo alikupenda sana huwezi kumsaliti
@zainabjordan5659 Жыл бұрын
Thanks 👍❤❤❤
@pascalinaerasto9501 Жыл бұрын
Pia cinderella part four jamani
@aumuelly2909 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwakitumy lovely ❤❤❤😂😂😂😂
@PhoebeWafula-d6c Жыл бұрын
Achiya part 2 jamani❤❤
@dianandabirorere6365 Жыл бұрын
Asante san Anko ❤❤❤❤
@FatumaHamisi-sr6yj11 ай бұрын
😂😂 anko jay hata baskeli ya urisi huna 😂😂
@sophiahassan-kn7ov Жыл бұрын
Mmmh ....nimelet but twende nalo pamoja❤❤❤
@mariamguni2913 Жыл бұрын
Hivi mlisema mtu akitaka mwanaume kama herns anabonyeza ngapi