Asante sana sns❤❤ mnafanya tuifaham vizuri Russia 🇷🇺 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@jacksonjudicate93885 ай бұрын
Truly SNS is something else, this is knowledge, U inform us more deeply. Cheers @bro sky @Sma
@MussaKilongola-hm8xl5 ай бұрын
Mnaelimisha jamii vizuri sana
@NafuuTaib-u8q5 ай бұрын
DJ. smaa hongera sana mungu akubarik ukichelewa kuja hewani tunaumwa elimu yako cyoyakawaida zanzibar tupo na wewe sns ipojuu
@djsma2555 ай бұрын
🙏
@MuzafarSaid-k8w5 ай бұрын
Sky,Ali na Sma..nyinyi ni zaidi ya akili mpo sawa Sana kiuchambuzi .Allah awalinde na hasad
@noahlameck15645 ай бұрын
Big up sana sns
@joshemman5205 ай бұрын
good work sns
@davidwalalason76304 ай бұрын
Very interesting channel to watch, i never happened to join a college but i feel like I'm learning alot in this channel
@hemedjackson22615 ай бұрын
Hapa patamu san kw kweli Dj Sma +Aly masubi yaani lazim uondoke na kitu akilini jinsi dunia inavokwenda❤❤❤ big up
@PatrickKagiraneza-ok8cw5 ай бұрын
Asante kwa analyses zenu kbsa...ongera...
@Kituramohamed96985 ай бұрын
Timu Putin tujuane🎉
@ismailjohn61085 ай бұрын
Asee Hii combination asee naielewaa snaaa aseee Congole kwenuuu
@SalumMusafiri5 ай бұрын
Asanti kwa kutupa news za vita ya urusi na inchi za magharibi From USA boston Massachusetts
@salumadam28625 ай бұрын
Mko vizuli sana sns
@MAHAN-SMART5 ай бұрын
Best of the best team ya watu wa 3 mahodari wamekutana kutupa elimu acha tupokee madini
@evansogutu41675 ай бұрын
Cher's to you pipo much luv and respect ❤
@chachajulius44815 ай бұрын
Very good sky 👏👏👏
@Gulfnas15 ай бұрын
Big up SnS
@bugusambalinga36035 ай бұрын
wakuu mnajua kuchambua mnatoa lishe bora za kisiasa
@SalumushabaniBilalijordan5 ай бұрын
Uchambuzi wenu umenifungua n'a kujua mengi asante sana
@ernestfelixigonga97265 ай бұрын
Kwa nn hamtoi uchambuzi wa vita ya Congo
@evansogutu41675 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana.... wachana na shuigu ...ila Lavrov is the big deal
@radjamtaki55975 ай бұрын
Big up bros
@hamzafishten95605 ай бұрын
Wa leo
@hassangaddafi23475 ай бұрын
Punt baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸
@GeorgeMagadula5 ай бұрын
Dah chuma juu ya chuma sky we faysss
@michaelmatonange6305 ай бұрын
Naisubiri iyo mada kwa hamu sana
@MsangoDiesel5 ай бұрын
Tuletea hiyo maada vichwa 😢vitoe kutu ya mazoea
@Maua-pg5gl5 ай бұрын
kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton
@matukutajuma1565 ай бұрын
Dj usichangany engrish kwenye historia
@peteremmanuelymatwimatwiem32585 ай бұрын
Punguza chuki zako za kishamba kama una chukia iondoe sns maku wew
@JustineWangi-j2t5 ай бұрын
Wachumi wa serikali za bongo uchumi wao nikuongeza kodi za mafuta,mabando na kuuza rasilimali za taifa😂
@JuliusSenyael-ej6hg5 ай бұрын
Labda NDIO mitaala y uchumi unaofundishwa huko bongo
@Chettymlambalipsi-lb9km5 ай бұрын
Jamani natamani Putin aongoze mpaka 2050😭😭😭
@BarakerZeonlist5 ай бұрын
Me naipenda urusi naifatilia urusi kivita since 2022
@EzekiaMyila5 ай бұрын
Putin akimutoa mtu jeshini watu hawajaji ila kama ingukuwa Israel watu wangesema wamegawanyika acheni uchochezi wachambu maana watu wanakufa
@hemedjackson22615 ай бұрын
Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.
@josepheriah59775 ай бұрын
Alishindwa match
@Elizabeth-gq9kl5 ай бұрын
Nyinyi, munachambuwa mukiegemeya sehemu moja
@peteremmanuelymatwimatwiem32585 ай бұрын
Kaegemee unakopenda wew
@swalehemusa45465 ай бұрын
Kwa iyo ulitaka waende Kwa mashoga ndio waegemee
@danielwilliam97585 ай бұрын
So, uyu ni mzuli kuliko shoigu au
@hijazhija3165 ай бұрын
Pumzika
@peteremmanuelymatwimatwiem32585 ай бұрын
Kwakweli😅😅😅😅
@charlesassey56424 ай бұрын
Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk
@lameckraphael37435 ай бұрын
Ali banaaa unaongea sana humpi nafas dj asmaa
@Gulfnas15 ай бұрын
Tujuzeni role ya India na unafki wake ndan ya BRICS
@SAMA-jw4fr5 ай бұрын
Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari
@LORDRICKNKYA5 ай бұрын
Naomba mje na hii mada tujue waliweza vp kuvishinda vikwazo vyote hivyo???
@bensonphilip96735 ай бұрын
This triangle ninknomer sana SNS Hapa Sky kati Ali kule Dj esma aloo ni motrooo
@MustafaChinanda5 ай бұрын
Equal TRIANGLE ABC 😂😂❤❤ balaa like hapa sky dj sma aly masuby ogopa sasa "usicoment utumbo kama hujalewe eeh" new song harmonize bombocraa!!!
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👊👍✌️.
@hadjiMbugi-iu4eg5 ай бұрын
Kweli ufisadi hauwezi kuisha mpaka Kwa puttin Kuna ufisadi pamoja na ubabe wake
@GabrielSky645 ай бұрын
Alicho fanya Putin hakuna utofauti na kilicho fanyika. Israel kwa yule kiongozi wa majeshi
@ErickMapunda-pr1ex5 ай бұрын
Hapa kwetu control wa uchumi ni mwiguĺu, tutafika kweli?😅
@5G-wr5vz4 ай бұрын
😂
@RamadhanRamdhan-i2c5 ай бұрын
Me Puttin namuunga mkono sana asilimia 100/
@aishaarusha8945 ай бұрын
Wasemaje wa putin
@husseinhemedi93145 ай бұрын
SNS mkojuu xana axee hongereni xana Tuko pamoja na Russia 🇷🇺🇹🇿
@UpendoSalum-uo3zl5 ай бұрын
241
@bodyaman5 ай бұрын
Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis
@lucasmartin4315 ай бұрын
Bangi Ina madhara sana, Lima hata Mahindi Rafiki yangu....Kenya na Sudani wanayahitaji sana.
@tyivbra5 ай бұрын
Majina yao magumi ety mishostini Mara shegu. 😂
@fahadfaraj64745 ай бұрын
Hata hill Jina lako la pili ukimwambia Mrusia ataje lazma atapike
@justicebridge5 ай бұрын
Yani uwa siwaelewi kabisa ambacho uwa munaongelea.huyo jamaa ni mweu na ameshafail
@Abninimo.5 ай бұрын
Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB
@NicoleMakaveli-wr6mm5 ай бұрын
Haituhusu sisi waafrika na ufukara wetu
@uwimana65335 ай бұрын
Lakini unachakujifunza kupitia urkain , atamsaliti akingia kuleta ufisadi utakua nachakujifunza 😂😂