Kwanini PUTIN amemtoa SHOIGU wizara ya ULINZI! Mfahamu BELOUSOV aliyemrithi, wanasema ni KICHWA

  Рет қаралды 33,690

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 75
@Zillionking627
@Zillionking627 5 ай бұрын
Asante sana sns❤❤ mnafanya tuifaham vizuri Russia 🇷🇺 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@jacksonjudicate9388
@jacksonjudicate9388 5 ай бұрын
Truly SNS is something else, this is knowledge, U inform us more deeply. Cheers @bro sky @Sma
@MussaKilongola-hm8xl
@MussaKilongola-hm8xl 5 ай бұрын
Mnaelimisha jamii vizuri sana
@NafuuTaib-u8q
@NafuuTaib-u8q 5 ай бұрын
DJ. smaa hongera sana mungu akubarik ukichelewa kuja hewani tunaumwa elimu yako cyoyakawaida zanzibar tupo na wewe sns ipojuu
@djsma255
@djsma255 5 ай бұрын
🙏
@MuzafarSaid-k8w
@MuzafarSaid-k8w 5 ай бұрын
Sky,Ali na Sma..nyinyi ni zaidi ya akili mpo sawa Sana kiuchambuzi .Allah awalinde na hasad
@noahlameck1564
@noahlameck1564 5 ай бұрын
Big up sana sns
@joshemman520
@joshemman520 5 ай бұрын
good work sns
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 4 ай бұрын
Very interesting channel to watch, i never happened to join a college but i feel like I'm learning alot in this channel
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 5 ай бұрын
Hapa patamu san kw kweli Dj Sma +Aly masubi yaani lazim uondoke na kitu akilini jinsi dunia inavokwenda❤❤❤ big up
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw 5 ай бұрын
Asante kwa analyses zenu kbsa...ongera...
@Kituramohamed9698
@Kituramohamed9698 5 ай бұрын
Timu Putin tujuane🎉
@ismailjohn6108
@ismailjohn6108 5 ай бұрын
Asee Hii combination asee naielewaa snaaa aseee Congole kwenuuu
@SalumMusafiri
@SalumMusafiri 5 ай бұрын
Asanti kwa kutupa news za vita ya urusi na inchi za magharibi From USA boston Massachusetts
@salumadam2862
@salumadam2862 5 ай бұрын
Mko vizuli sana sns
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 5 ай бұрын
Best of the best team ya watu wa 3 mahodari wamekutana kutupa elimu acha tupokee madini
@evansogutu4167
@evansogutu4167 5 ай бұрын
Cher's to you pipo much luv and respect ❤
@chachajulius4481
@chachajulius4481 5 ай бұрын
Very good sky 👏👏👏
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 ай бұрын
Big up SnS
@bugusambalinga3603
@bugusambalinga3603 5 ай бұрын
wakuu mnajua kuchambua mnatoa lishe bora za kisiasa
@SalumushabaniBilalijordan
@SalumushabaniBilalijordan 5 ай бұрын
Uchambuzi wenu umenifungua n'a kujua mengi asante sana
@ernestfelixigonga9726
@ernestfelixigonga9726 5 ай бұрын
Kwa nn hamtoi uchambuzi wa vita ya Congo
@evansogutu4167
@evansogutu4167 5 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana.... wachana na shuigu ...ila Lavrov is the big deal
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 5 ай бұрын
Big up bros
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 5 ай бұрын
Wa leo
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 5 ай бұрын
Punt baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸
@GeorgeMagadula
@GeorgeMagadula 5 ай бұрын
Dah chuma juu ya chuma sky we faysss
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 5 ай бұрын
Naisubiri iyo mada kwa hamu sana
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 5 ай бұрын
Tuletea hiyo maada vichwa 😢vitoe kutu ya mazoea
@Maua-pg5gl
@Maua-pg5gl 5 ай бұрын
kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton
@matukutajuma156
@matukutajuma156 5 ай бұрын
Dj usichangany engrish kwenye historia
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 ай бұрын
Punguza chuki zako za kishamba kama una chukia iondoe sns maku wew
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 5 ай бұрын
Wachumi wa serikali za bongo uchumi wao nikuongeza kodi za mafuta,mabando na kuuza rasilimali za taifa😂
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg 5 ай бұрын
Labda NDIO mitaala y uchumi unaofundishwa huko bongo
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 ай бұрын
Jamani natamani Putin aongoze mpaka 2050😭😭😭
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 5 ай бұрын
Me naipenda urusi naifatilia urusi kivita since 2022
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 5 ай бұрын
Putin akimutoa mtu jeshini watu hawajaji ila kama ingukuwa Israel watu wangesema wamegawanyika acheni uchochezi wachambu maana watu wanakufa
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 5 ай бұрын
Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.
@josepheriah5977
@josepheriah5977 5 ай бұрын
Alishindwa match
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 5 ай бұрын
Nyinyi, munachambuwa mukiegemeya sehemu moja
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 ай бұрын
Kaegemee unakopenda wew
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 5 ай бұрын
Kwa iyo ulitaka waende Kwa mashoga ndio waegemee
@danielwilliam9758
@danielwilliam9758 5 ай бұрын
So, uyu ni mzuli kuliko shoigu au
@hijazhija316
@hijazhija316 5 ай бұрын
Pumzika
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 ай бұрын
Kwakweli😅😅😅😅
@charlesassey5642
@charlesassey5642 4 ай бұрын
Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 5 ай бұрын
Ali banaaa unaongea sana humpi nafas dj asmaa
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 ай бұрын
Tujuzeni role ya India na unafki wake ndan ya BRICS
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 5 ай бұрын
Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari
@LORDRICKNKYA
@LORDRICKNKYA 5 ай бұрын
Naomba mje na hii mada tujue waliweza vp kuvishinda vikwazo vyote hivyo???
@bensonphilip9673
@bensonphilip9673 5 ай бұрын
This triangle ninknomer sana SNS Hapa Sky kati Ali kule Dj esma aloo ni motrooo
@MustafaChinanda
@MustafaChinanda 5 ай бұрын
Equal TRIANGLE ABC 😂😂❤❤ balaa like hapa sky dj sma aly masuby ogopa sasa "usicoment utumbo kama hujalewe eeh" new song harmonize bombocraa!!!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👊👍✌️.
@hadjiMbugi-iu4eg
@hadjiMbugi-iu4eg 5 ай бұрын
Kweli ufisadi hauwezi kuisha mpaka Kwa puttin Kuna ufisadi pamoja na ubabe wake
@GabrielSky64
@GabrielSky64 5 ай бұрын
Alicho fanya Putin hakuna utofauti na kilicho fanyika. Israel kwa yule kiongozi wa majeshi
@ErickMapunda-pr1ex
@ErickMapunda-pr1ex 5 ай бұрын
Hapa kwetu control wa uchumi ni mwiguĺu, tutafika kweli?😅
@5G-wr5vz
@5G-wr5vz 4 ай бұрын
😂
@RamadhanRamdhan-i2c
@RamadhanRamdhan-i2c 5 ай бұрын
Me Puttin namuunga mkono sana asilimia 100/
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 ай бұрын
Wasemaje wa putin
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 5 ай бұрын
SNS mkojuu xana axee hongereni xana Tuko pamoja na Russia 🇷🇺🇹🇿
@UpendoSalum-uo3zl
@UpendoSalum-uo3zl 5 ай бұрын
241
@bodyaman
@bodyaman 5 ай бұрын
Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis
@lucasmartin431
@lucasmartin431 5 ай бұрын
Bangi Ina madhara sana, Lima hata Mahindi Rafiki yangu....Kenya na Sudani wanayahitaji sana.
@tyivbra
@tyivbra 5 ай бұрын
Majina yao magumi ety mishostini Mara shegu. 😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 5 ай бұрын
Hata hill Jina lako la pili ukimwambia Mrusia ataje lazma atapike
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Yani uwa siwaelewi kabisa ambacho uwa munaongelea.huyo jamaa ni mweu na ameshafail
@Abninimo.
@Abninimo. 5 ай бұрын
Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 5 ай бұрын
Haituhusu sisi waafrika na ufukara wetu
@uwimana6533
@uwimana6533 5 ай бұрын
Lakini unachakujifunza kupitia urkain , atamsaliti akingia kuleta ufisadi utakua nachakujifunza 😂😂
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 ай бұрын
Koma akuna ufukara africa ndoo maana atupigani
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 32 МЛН
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 2,2 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 9 МЛН
Iran threatens US, allies ahead of Israel retaliation | LiveNOW from FOX
15:13
"Surrender or Starve": Israel Weighs Plan to Liquidate Northern Gaza
13:45
Yahya Sinwar: Is this the end of Israel-Hamas war?
9:41
Times Radio
Рет қаралды 25 М.
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 32 МЛН