Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 258
@Nyaburyaofficial217 Жыл бұрын
Mungu amuongoze kwenye uongozi wake Much respect bro Traore
@pesaspy_tv Жыл бұрын
R.T.P MZEE MAGUFULI
@Gamec451 Жыл бұрын
Shukrani kwa Captain Traore kwa kumpatia mazishi rasmi Captain Thomas Sankara. Tomas Sankara na wenzie waliouliwa pamoja naye walifukiwa kwenye shimo tu miaka yote hiyo, hatimaye Captain Ibrahimu Traore alipochukua madaraka akaamua shujaa Caotain Sankara na wenzie wazikwe rasmi na sasa wana makaburi rasmi ambapo yeye mwenyewe Caotain Traore alikwenda kutoa heshima. Na wananchi wengi sasa wanakwenda kutembeleya na kutoa heshima zao kwa Captain Sankara. Compaore will never find peace for what he did! God bless and protect Africa.🙏🏿
@thelonewolf4429 Жыл бұрын
Wa Tanganyika mlipata mtu kama huyu mkamuua alafu mnatua apa mki comment eti ooh Africa africa nani alituloga. RIP JPM shujaa
@RamazaniMulongeca Жыл бұрын
NAKUBALI😢😢😢
@barikilangoy4737 Жыл бұрын
😭😭😭😭 inaniuma sana
@kulwanzobe7657 Жыл бұрын
Nakubali
@mohamedslh5478 Жыл бұрын
Kweli kabisaa bro na haitawai tokea kama magu labda kwa karne ya 100 uko
@abelmbilinyi1262 Жыл бұрын
So sad 😢
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Hivo hivo itatokea Tz. Waliomuuwa Magufuli kuna siku yao inakuja. Fikira za Magufuli na vitendo vyake havitapotea bure kwa watanzania.
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Mbona mumenyamaza kimya basi
@kingyehoshafatitvbornerys2496 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu kupitia koment yako MUNGU atatulipa kwenye KIFO Cha JPM hakika haiendi Bure hata kama inachelewa lakini itafika na wote waliohusika na MAGUFULI watawekwa wazi
@anafikamugisha8834 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@edosha31374 ай бұрын
Magufuli alikuwa Ðicteta aliyetaka kujilimbikizia mali na embinafsi. Tofauti kabisa na Sankara au Traore. Alianza na uwanja wa ndege. Na mengine mengi ya ajabu. @@diyembarak5506
@mbezzoprince9462 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭waafrica nani alituroga aki yani karibia watetezi wote wa Africa tuliwaua sisi wenyewe
@brunoh_bx Жыл бұрын
Uchu wa madaraka na ubinafsi ndo vinatutesa
@alphadreammedia Жыл бұрын
😢😢
@mariamnahimana Жыл бұрын
Baada yakuelew udhaifu wetu,waliutumia kwa faida zao
@Gody360 Жыл бұрын
Tatizo ni kubwa sana kwa Africa
@GALLUSHALINGA7 ай бұрын
Mwenyezi mungu atusaidie na Tanzania itafika wakati tutawafukuza mabepari na vibaraka wao kweme uongozi ambao na mafisadi na kutanguliza uzalendo, umoja na kufanya kazi kwa bidii kwa manufaa watanzania wote na wany'onge waiifaidi rasilimali zao Kwahivo Tanzania Nyerere aliacha chama vizuri ila kikatawaliwa na mafisadi ambao na vibaraka wa mabepari Hakika inauma Sana na inabidi tuwe wamoja na kuacha utofauti wa vyama na kufanya kazi kwa bidii Na kuweka wazi mapato na MATUMIZI na rasilimali zetu na Kodi zetu na kuinua vichochezi vya vitega uchumi ili watanzania wajiajiri na kuuza bidhaa kamili nje ya nchi na sio kutoa marighafi Kwahivo wanasahi hi democracia tuliyo nayo ni ya unyonyaji Ambayo ni mfumo wa mabepari Leo CHADEMA wanalilia ikulu hao ni vibaraka wa marekani ambao ni mabepari wakubwa Tanzania na Nchi za Ulaya na maisha yatakuwa magumu zahid Sikilizeni hotuba za CHADEMA HAWAKEMEI UBEPARI, hakika hawafai let's wake up Tanzanian's and African's Tuhimize UZALENDO, UMOJA NA KUFANYA KAZI KWA na sio utofauti wa vyama
@JoKamalii Жыл бұрын
The greatest African boy 💪
@Jaydenkulali Жыл бұрын
Africa is still a continent with many challenges. We cannot rely solely on foreign aid to solve our problems. Military coups are not the answer to Africa's problems. We need to work together to build a better future for the continent, free from corruption and instability.
@EsterPaul-jt5im4 ай бұрын
Tomas Sankar na Ibrahim na magufuri saruti wakuu wangu.
@spendjulius-qz9mt3 ай бұрын
Plus Gaddafi R.I.P
@tausikiyabo63025 ай бұрын
Paul Makonda Mwenyezi Mungu akuongoze upate Urais uikomboe Tanzania 😢😢😢
@zawadichalale4047Ай бұрын
Naona sasa kila mtu anabet akijaribu kutafuta anayefanana na Magufuli mara Makonda mara Mwabukusi ukweli ni kwamba hao wote wanavitu vichache tu wanavyofanana naye ila hapo bado sana wakufanana na Magufuli yeye alikuwa tofauti sana hakuwa mwanasiasa hata kidogo
@brokenigga2842Ай бұрын
😂😂😂
@byoseasolokoci7257 Жыл бұрын
BWANA YESU, WEWE PEKE YAKO UWE MLINZI WA KIONGOZI HUYO ZIDI YA MAADUI ZAKE.
@Mohammedmbuleti Жыл бұрын
R i p Magufuli and T-Sankara
@malkiawagiza13278 ай бұрын
Mungu ampe maisha marefu na amlinde 🙏
@KesyRobyАй бұрын
I wish na Anko Magu angekuepo.,Africa ingetoka usingizin ikiwemo Congo"Big up IBRAHIM 🔥🔥🔥we are together.
@serafinamalecela4728 Жыл бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaaa siku nikiwa mama nitamwita mwanagu jina lakewe
@zawadilutufyo8771 Жыл бұрын
Sema sankara alikuwa handsome jaman😘👌
@Pedeshee014 ай бұрын
Kama mimi baby zawadi hujaniona
@Pedeshee014 ай бұрын
❤❤❤
@Jj.Chitunu2 ай бұрын
Hhhhhh na wewe zawadi vipi mfate ukampe sasa
@OmmyMataulaАй бұрын
😂😂😂 kicheko mie
@pendaelymollel.4906 Жыл бұрын
Yess there is something Nakupenda Sana Troure
@hamphr3y405 Жыл бұрын
Hii inaleta picha kama Tanzania itasumbuka sanaa lkn miaka ijayo atakuja JPM mwingne rip JPM
@reyhuba31684 ай бұрын
JPM Bado yupo ndani ya makonda
@abduljuma78074 ай бұрын
Kama Hawa viongozi wenu Bado wanakwenda nje kuomba omba huku wamebeba wasanii huu ni ujinga uliokithiri mnashindwa Nini kujitoa kwa Hawa mabepari
@marktallam054 ай бұрын
Makonda anakuja kwa kishindo
@DattiKassim3 ай бұрын
Haji ng'oooo😂😂😂
@brunoh_bx Жыл бұрын
Huyu msimuliaji binafsi huwa namkubal, anajikita katika kuelezea kile alichopanga na sio kuanza kuwananga wasikilizaji wake wanamkosoa au kumsahihisha pale alipoteleza. Hongera sana broo👏👏👏 Simulizi nzuri na imewasilishwa vizuri
@jameskitoto3315 Жыл бұрын
I really like his voice, the only reason I follow the channel
@brunoh_bx Жыл бұрын
@@jameskitoto3315 Me too
@samirmswahili Жыл бұрын
Sky noma sana
@KhadijaAbdallah-kn3ii Жыл бұрын
Kuna kitu najifunza najiuliza hivi Magufuli nae kauwawa naona nae baada ya kufa tu kuna watu gafla walianza kumchafuwa😢
@abelmbilinyi1262 Жыл бұрын
Point
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Katika vitu ulivyo nifurahisha kuniwekea au kutuletea ❤ djsma na Dada kamgisha najisikia faraja na wangine Asante kwa brog yako na watangazaji wako
@LAMECKGWANCHELE Жыл бұрын
bwana ,sky, wwe ni mzuri mno kwa maana huna mbwembwe nyingi, Asante!!!
@redockbracard94554 ай бұрын
May God protect you infront of your enemies eyes my lovely president Traore
@debolaseleman4394 Жыл бұрын
mungu ibaliki Afika mungu teteya Afika 🙏🙏🙏
@mohamedially7991 Жыл бұрын
Na mkumbali sana mungu au mjalie .yuko sa hii
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Mungu huwa anawatumia waafrika wwnzetu kutukomboa lakini bado tunaharibiwa na vibaraka wa mabeberu wa Ulaya Magharibi na Marekani
@camilomassao8971 Жыл бұрын
Umeongea point kubwa sana ndugu 🫡 vibaraka njaa wapo wengi sana. Lakini Mungu Kuna siku atawezesha harakati zote za Afrika.
@soundmale7 ай бұрын
Sio mungu..mzungu ndio anawatumia waafrika kumuua mwafrika mwenzake tena kwa hongo kubwa sana😢
@sixbertosalakana11134 ай бұрын
L
@SechySeche-hm6bdАй бұрын
Tunauwana wenyewe sio mzungu
@jamalnaheka1131 Жыл бұрын
tatizo uoga wa kuuwawa na Mali ndo maana wengi wanakuwa vibaraka,..pia kukosekana kwa uzarendo na maslahi binafsi ndo tatizo kubwa.
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Asante sana muandisi naaminia atapatikana magufuli mwingine
@MahdouMomba4 ай бұрын
Fikra za magufuli zitaendelea kuishi kwa muda mrefu vichwani mwetu
@charlesamone31174 ай бұрын
Yes Big up thanks Mr.president
@RamazaniMulongeca Жыл бұрын
Ahsante sana #360
@mboneamshana90804 ай бұрын
Mungu tunakuomba kwa ajili ya bara la Afrika ukombozi wa kifikira kwamba hatuwezi tunaweza tuondokane nafikira za kutegemea misaada,ee Mungu mbariki mlinde Ibrahim toure mwenye fikra za kujiamini wafrika tunaweza, Mungu ibariki ilinde Afrika amen
@magdalenabenedict2089 Жыл бұрын
God bless him🙏🙏
@farajiissa560 Жыл бұрын
Ibrahim traore is untouchable
@raymondonyona.27366 ай бұрын
Mungu amuongoze kapt Traore afuate kwa vitendo nyayo za mtangulizi wake Mareh kapt Sankara.
@VitusEmmanuel-d1b Жыл бұрын
Huyo ni km jpm mungu uwalaze mahala pema pepon maana Hawa mabebelu xiyo hawatutak xixi Wala hawatupend xixi waafrica
@billskeez92 Жыл бұрын
Ila brother sky nakupenda ni basi tu❤
@yasiniyamamoto8174 Жыл бұрын
Mungu wabariki viongozi wazalendo
@eliusbizimana7646 Жыл бұрын
Ari kuwa mwafrika mzuri sana
@erickhaule55917 ай бұрын
Asante sana Tom na bro Traole ❤
@AbdallahKirunguАй бұрын
Mungu atutangulie africa
@IsmailMalukula2 ай бұрын
Shida viongoz wetu ni vibaraka na ni wanafiki na wapo madarakan Kwa maslai ya wazungu sio ya wananchi wao angalia hat tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Asante sana bro
@AllyMsafir Жыл бұрын
Napenda sana simulizi zako
@yossobenayunkn89424 ай бұрын
JOHN POMBE MAGUFULI ,,,ASAIVI TUNAMUONA KAMA KALUDI KWA ,, MKUU WA MIKOA ARUSHA ,, MAKONDA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dismasimgina31554 ай бұрын
Viva sankra and Troure May God bless you all
@emmadeprincetv6133 Жыл бұрын
Ibrahim traore yupo moto
@jamesbayo1910 Жыл бұрын
Hata Tanzania muda simrefu kwa Mapenzi ya. MUNGJ Itampata kama MAGUHFULI AU TOMAS SANKARA ILI MABEBERU WAACHE. KUNUFAIKA. NA RASILIMALI. ZETU. ZA. AFRIKA.
@SoudShuraim3 ай бұрын
Makonda ndie anafaa
@zayumar2955 Жыл бұрын
Daaaa wallah sijui lin tutaamka na kuwa wamoja waafrica sisi 😢😢💔💔. Rip mashujaa wote wa Africa 🌍❤❤❤
@@zulfahussein6784 PUTIN ndo mkombozi wa Africa hajawahi kuchukua nchi za kiafrica kua makoloni yake usiempenda ujue ni kibaraka wa USA
@IbuGang4 ай бұрын
Mungu amlinde na amtuze Makonda kafata nyayo za marehemu Jpm Magufuli hapendi wananchi wanyonge wanyanyaswe
@CrispusKadenge4 ай бұрын
Waafrica umefika wakati tusiwaabudu wazungu..wanatutumia vibaya..
@SadamHassan-ng3yl4 ай бұрын
Kama nchi yetu kila siku unasikia mara tumekopa mara ivi wakati nchi yetu ina rasilimali za kutosha tu haya madeni kila siku yanaongezeka sijui hatima yetu itakuaje mungu saidia Africa 🙏💪
@rathoalbertoalberto1110 Жыл бұрын
Viva troure🇲🇿🇲🇿
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Hii sauti inafa kwenye hizi Kazi.
@issaniyonzima Жыл бұрын
Mungu y'ibariki africain 😢😢😢
@ConfusedDaisies-rb58 ай бұрын
Umesema kweli kabisa ndugu, tulimpata kisha kwa hila za watu wachache wakamuua mpendwa huyo
@manawamarco65114 ай бұрын
Paul makonda tumuombee anakuja kwenye dira za Jpm
@maikojohny345 Жыл бұрын
Leo Mimi
@stellah3844 Жыл бұрын
Mungu amuweke tu
@NadiaNadiaMohammad-yp4zm Жыл бұрын
Na huyu si watamuua😢 Mungu amrinde
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Mungu amlinde
@FllanoMihambo11 ай бұрын
Yani afirika sijui inanini maana hatayule mtetezi. Wawa nyoongge nakuleta maendeleo muamar gadaffi walimuua amakweli afrika tumerogwa
@GerasCheketera Жыл бұрын
All African countries we should unite together
@SanziNzige4 ай бұрын
Ukweli kabisa majeshi ya huku yapo kwaajili ya kulinda chama tu si kwaajili ya rasilimali za taifa sa hivi mali zetu zinagwiwa kwa mabeberu jeshi lipo linaangalia tu.whay?
@SoudShuraim3 ай бұрын
Na kuua
@davidjohn5977 Жыл бұрын
Sokoine kafa,Magu kafa hakika wema hawadumu
@ZwenaSaid-i8y3 ай бұрын
Eee mungu mbaliki sankara pia Baba yeti mtetezi wetu wa ubeberu hayati Magufuli duahizi eemungu zipokee naziwe za kuwarudi waliosababisha vifo vyao uwapatie athabu stahiki hawa mabeberu waliohusika Hakika wewe ndiomtetezi wa haki haswa tanzania
@HidayaKarim-wy9yc Жыл бұрын
Pumzika kwa amani mze jpm malipo ni hapa duniani nawao yatawakuta
@magdalenabenedict20895 ай бұрын
Hakika haki ya mtu haipotei 😢
@mucochanella1672 Жыл бұрын
Mungu amulide ❤
@VedastoKeya-vt8pf4 ай бұрын
Africa we have to unite
@angelmaige-yc5gb Жыл бұрын
Kweli kikulacho kinguoni mwako 😮 Jaman Hawa Marafik na WAtu wa karibu hata ndugu anwez kukugeuka muda wowote jmn mungu amlaze pema pepon
@silvanMwabara6 ай бұрын
Waafrika fungukeni macho wacheni kutumiwa na wazungu plz rest in peace Thomas sankara shujaa wa africa
@lucasalbertomseti1578 Жыл бұрын
Asante sana kwa makala hii Mr Sky makala imegusa penyewe viongozi wa Kiafrika wakisoma na kuziishi falsafa za comrade Thomas Sankara basi Afrika imejinasua katika mtego wa mabepari wanyonyaji
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Si ndio wanauwawa 😢wakijaribu kuwa hivyo
@lucasalbertomseti1578 Жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 you will gonna kill a man but not idea, Compaore alimuua Sankara lakini Leo anaibuka mtu mwenye falsafa kama zake
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
@@lucasalbertomseti1578 haswaa naatapata tabu sana,damu ya Sankara haitamuacha salama
@Gerardirankunda2885 Жыл бұрын
Emungu nisaidie africk iwe nauhulu wakipekeee❤❤😡😡😡🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
@SebastianBerensi4 ай бұрын
I like that, viva Burundi from Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Farajahelene230313 ай бұрын
Hero of africans
@Jibambeshow254k9 ай бұрын
Watu kama hawa jamani wanauliwa tu wanaacha wezii madhalimu hayat John pombe magufuli utaiishii kukumbukwa daima
@shyfettymtunda461911 ай бұрын
Kikulacho kinguoni mwako. RIP Sankara.
@amaradiombera2198 Жыл бұрын
Your worst enemy could be your best friend and your best friend. Your worst enemy
@serafinamalecela4728 Жыл бұрын
Ila africa😢
@Barakandahemuka-ev4so7 ай бұрын
Mungu awe naye
@KhadijaAbdallah-kn3ii Жыл бұрын
Kila kitu.tukipe mda😢.mda ukifika kila kitu kinakaa sehemu yake
@paschalfausitine7108 Жыл бұрын
Kweri kabisa magufuri atarudi up ya
@annethsongwe60633 ай бұрын
Duuuh kweli marafiki si wa kuwaamin
@NixonJohnson-zn8nk4 ай бұрын
Kwanza kwa tz tuwe makini sana
@jotafungo4622 Жыл бұрын
Hivi waingereza nao wameacha ya kipumbavu kwa makoloni yake kama aliyoyaacha ufaransa kwa wakoloni wake?
@@jotafungo4622 viongozi wetu wakipendana na kuwa kitukiloja twaza kuendesha afrika yetu vizuri bila mabeberu sababu hawana utajiri kama afrika wetu wenyewe ndio wanategemea afrika sana