Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
@omarybakunda25547 ай бұрын
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
@yama_virginhairthequeen10657 ай бұрын
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
@yama_virginhairthequeen10657 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Alipe
@maryamtanzania97437 ай бұрын
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
@saxannjo61737 ай бұрын
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
@IshipalemyPasko7 ай бұрын
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
@AminaAbdullah-ws3wy7 ай бұрын
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
@MsodokiTheson7 ай бұрын
Mwijaku kayatimba mwaka huu
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
@aaa64sa137 ай бұрын
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
@GibsonNtamamilo7 ай бұрын
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
@saidimketo67087 ай бұрын
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
@ibrahimaziz71587 ай бұрын
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
@maryamtan6827 ай бұрын
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
@shaabanramadhan67707 ай бұрын
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
@RamadhanpMwakilasa-di5hc7 ай бұрын
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
@Life_LensDiaries7 ай бұрын
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
@channyanjen90477 ай бұрын
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
@hashimchaoga95667 ай бұрын
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
@emmosilver60397 ай бұрын
Hapo hakuna uswahili,lazima awajibishwe.
@JohndMbila7 ай бұрын
True
@EmmyNamoyo7 ай бұрын
Alizidi
@Zuu6737 ай бұрын
Safi sana kazoea kiwachamba watu uyu kiboko yake na ikawe fundisho na makalio yake km mtungi
@kingmzebez77867 ай бұрын
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
@aishamohammed-r7z7 ай бұрын
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
@amotvtz13027 ай бұрын
Bora mumkomeshe maana amezidi kutukana watu
@idinado-wk3lx7 ай бұрын
Safi Sana maana amezidi sana
@Nyanda5067 ай бұрын
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
@gastonfuraha7 ай бұрын
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
@Lina4285baby7 ай бұрын
Safi sana 💪🏾💪🏾💪🏾
@zayumar29557 ай бұрын
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
@SamsonEzekiel-or9xc7 ай бұрын
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
@majimbeTV7 ай бұрын
Kulopoka lopoka sio vizuri
@romzget18927 ай бұрын
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
@erickabel62017 ай бұрын
Safi 😅😅😅😅
@papsmicrocreditcompanylimi14437 ай бұрын
Nasubilia press conference ya Doto Magari
@BarbaraPatience-qt9cc7 ай бұрын
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@papsmicrocreditcompanylimi14437 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
@japhetlust50507 ай бұрын
Tayari ishatiki😂😂
@martinmendrad35317 ай бұрын
Safi kabisa
@eleven-in5qw7 ай бұрын
Dah hiii itakuwa😢😢😢😢😢😮
@Nyategi7877 ай бұрын
SAFI sana! Way to go, KP!
@ASHAKHAMISMUSSA7 ай бұрын
Na yeye huko kuomba omba km mtt wa mitaani ni kazi halali 😮😮😮😮😮 au hajioni
@EmmanuelMhone-bn6fe7 ай бұрын
Tatizo anaona media zinatumika kwa kutangaza ulimbukeni huyu bwana. Anaona trending kuwa dili mjini.
@samkoka37 ай бұрын
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
@eleven-in5qw7 ай бұрын
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
@JUSTNEMITOMINGI7 ай бұрын
Ni kweli hata mm nilipata hofu juu ya masoud
@alifredmkoka7 ай бұрын
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
@RonnieBertin-f7f7 ай бұрын
ni vizuri huyu mshenzi h ana dharau sana sukuma ndani
@KS-iw7qv7 ай бұрын
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
Mwijaku anatukana Sana watu alimkashifu Menina Hadi aibu
@JosephTibu7 ай бұрын
Kayakanyaga mwijaku
@stanastana31997 ай бұрын
Mwikaju huwa ana mdomo sana,
@ludovickanael34267 ай бұрын
Advance ya 1.3b ipo tayari ,asije kujitetea kuwa Hana uwezo.
@LucyNgowi-m5z7 ай бұрын
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
@ammaherman33917 ай бұрын
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
@mchunguliechibwa1987 ай бұрын
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👍👊✌️.
@faziliabea-fg3tu7 ай бұрын
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
@oam14l7 ай бұрын
Teach him a lesson.
@mohamedjarwan7 ай бұрын
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
@salehothman61447 ай бұрын
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
@ilynpayne74917 ай бұрын
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
@yama_virginhairthequeen10657 ай бұрын
Sukuma ndani😢
@AyoubKhatib-p4k7 ай бұрын
Da changamoto kote kote
@Elybwayz7 ай бұрын
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
@lilybarongo81197 ай бұрын
Kamtukana sana babuu wa kitaa
@KhalfanSalim-v1x7 ай бұрын
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
@FatumaMohamedi-t6t7 ай бұрын
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
@vero577 ай бұрын
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
@gottaboy41787 ай бұрын
Oya hii iko serious sana, kimkakati
@timothykaiza3277 ай бұрын
Kama unataka Mwijaku afunzwe Adabu acha like hapa.
@IddrisaIbarahm7 ай бұрын
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
@vincentmushi12477 ай бұрын
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
@HASSANBAKARI-q9c7 ай бұрын
ukome
@HabibuHoseni-sv8hd7 ай бұрын
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
@LeeLian957 ай бұрын
Defamation Sio deformation
@HabibuHoseni-sv8hd7 ай бұрын
@@LeeLian95 typing error my furend
@KS-iw7qv7 ай бұрын
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ... Pumbav !!!😊
@GapsonRevoson-bn7nt7 ай бұрын
Wakili sio kwa vitisho hivyo hapa kazi ipo
@yhasintakalenyula9707 ай бұрын
Natamani Kipanya akaze hivyo hivyo...Mwijaku amezidi.Anataka pesa kwa kuwadhalilisha watu...Asifungwe ila hela imtoke tena ya maana.
@abdulkadirgafla38897 ай бұрын
Mwijaku ni kenge sana ajisifia amesoma na hajitambui hata kidogo 😏😏😏
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
@Rafaeltuli-gw8ii7 ай бұрын
Peleka ndani
@rogerabdallah4397 ай бұрын
Sio ndani tu Chooni
@barakambigi35227 ай бұрын
Na atauza Hilo ghorofa,ikithibitika ni kweli.
@fauzishabani26227 ай бұрын
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
@napster25587 ай бұрын
Hana ela bhan😂😂😂
@josephk907 ай бұрын
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
@AthumaniSalimu-yw1gz7 ай бұрын
Niko hapa mwijaku hii atachomoa ishu ndongo sana hii mwijaku ni mkereketwa wa ccm hii comet mtaikumbuka
@Zuu6737 ай бұрын
Mbona tofauti khaaa
@aaa64sa137 ай бұрын
Ccm hata huyo aliye mkashifu ni Ccm. Kesi ya kumdhalilisha au kumzushia mtu ni ngumu sana ikiwa una uthibitisho na ulicho kashif. Kwa Tanasha na Mwanae waliyamaliza kinyumbani lkn pia ilikuwa na kesi ngumu. Ni waache hino tabia au watakuja kuishia pabaya.
Taifa limejaa waropokaji na wasema hovyo, huyu anahitaji athabu itakayokua mfano kwa wengine.
@rogerabdallah4397 ай бұрын
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
@japhetlust50507 ай бұрын
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
@rukiauwonde70627 ай бұрын
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
@anitamwehonge82877 ай бұрын
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
@SaidKinyota7 ай бұрын
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
@DorcoMwamba7 ай бұрын
Aende uyo kwa kweli ni mpumbavu sana
@GraceMakenga-zd1vn7 ай бұрын
B or M 😢 mwijaku kazidi mdomoo tobaaa
@stanslauschatata34837 ай бұрын
gorofa litauzwa round hii😂😂😂
@emmosilver60397 ай бұрын
Hee!hapo hachomoi analeta promo kwa wajanja.
@Mwamba677 ай бұрын
🤔 Kwambaa,,,,!?
@jonesphorjonathan59577 ай бұрын
Hii inaitwa ukatiri ndani ya utaratibu 😂
@witnesskagirigiri37637 ай бұрын
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
@dullah-f7p7 ай бұрын
mwijaku yupo pamoja na mama hapo hamna kesi
@Baron_Kigume7 ай бұрын
Hakuna Cha Mama hapo. Sheria inafuata Mkondo wake. Watu walijisahau sana
@dullah-f7p7 ай бұрын
nchi hii ukiwa pamoja na serikali safi ila ukiwa unaiponda serikali hapo utapata shida sasa mwijaku anaisifia serikali hadi mama anampenda hapo hamna kesi