Congratulations to our Tanzanian brothers and sisters for the greater heights they have attained,much love from kenya.
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Nasisi tunawapenda wakenya ❤️❤️❤️
@davjoh77282 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 sote ni ndugu na Dada ,karibu sana
@berthatz2 жыл бұрын
Hii imekaa vzuri sana kaka EBM..Nafurahi kuona watanzania wenzetu wanaofanya vzuri ugenini..Love my people so much…Kzi nzuri kaka EBM..👏🏾👏🏾👏🏾❤️🇹🇿🙏🏾
@haikamsechu80392 жыл бұрын
Hakika nafurahia sana vipindi vya EBM. Kwa wale mnaotaka kucheki maisha ughaibuni na hata kwa wale ambao tayari tupo ughaibuni. Hizi information ni nondo. Mungu endelea kuibariki kazi ya EBM.
@nandikaa4712 жыл бұрын
Congratulations to our brothers and sisters and thank you for setting a great example for all Africans. Kazi ni kazi... But always have a plan and a goal.
@thanksgivingchannel62472 жыл бұрын
EBM barikiwa sana, karibu Texas, yupo Bishop Robert kuanzia tarehe 9/09/2022,kupata link ya mtumishi ingia KZbin andika Robert tv Tanzania.
@edwinalexander11702 жыл бұрын
EBM sasa matumani yamerudi, kama hamna anayebeba boksi basi ntajitahidi nije huko. EBM unafanya kazi nzuri.
@sikuzanibusanya73522 жыл бұрын
Km hipo kz yakubeba boksi basi watwambie tusiyokuwa na Elimu ya juu jmn
@chemutaimaina36372 жыл бұрын
EBM, this is a great video, informative and educative.Keep it up!
@michaelkomwiswa70482 жыл бұрын
Hongera kwa hao wote Asante sana Bwana EBM
@salimamri94882 жыл бұрын
Brother unavyo sema siokila Mtz alieko USA Sio mbeba BOX 📦 Unakosea sana kunawatu wanafanya hizo kazi namaisha yao wana yasukuma vzur napia wapo proud about it. Na wanashinda mushahara badhi ya wasomi wengi walioko Bongo kwahiyo jaribu kurekebisha kauli yako please
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
Stop complaining and learn
@sabatoarika65502 жыл бұрын
Yes don't claim because hayo ndo Mambo yaliyozoeleka kusemw kuwa watu wanaosha vyombo
@leadekeikelvin4562 жыл бұрын
Amazing stories 🙏🙏 I will like to visit USA & Canada ❤️❤️
@noelamwesiga67762 жыл бұрын
Hopefully few years to come I'll in America that's my dream and Mr EBM your are the catalyst of my Dream.God bless you all my African Brother and sisters in America
@trophywilson72112 жыл бұрын
Welcome
@piusphilip3072 жыл бұрын
Uraia Pacha unahitajika haraka sana Tanzania, hii rasilimali ya Watanzania tunaihitaji nchini haraka sana.
@georgenkanawa71562 жыл бұрын
Kabisa aisee
@ladylucky17142 жыл бұрын
Mahojiano ni mazuri sana. Hongera sana Mtangazaji...Nimempenda mchaga og 🤣 anavyoongea amewakilisha..wachaga hoyeee ❤❤
@ngamanyajoshua8392 жыл бұрын
Mambo ya kusema kuwa watu waliopo US na Europe ni wabeba Box mostly ni maneno ya haters wanaotamani wangepata nafasi ya kwenda Europe na US lakini wameshindwa..
@rabisonchrizestomu18102 жыл бұрын
EBM hii nimeipenda Sana I wish na mimi ningekuwepo Leo.
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Mbeba boksi ni term tu ya kumaanisha hawaafanya kazi za maana haina maana kabisa ya kubeba boksi. Wengi ndivyo walivyo hawafanyi kazi za maana Pamoja na kuwa hata Hizo kazi za hovyo SINA competitive advantage on terms of Dollar and Tshillings wanapotuma PESA Tanzania but when it comes kutuma Hizo PESA ndani ya Marekani ni struggle. I have seen many doctors with PhD Wanaosha vyoo na kuendesha taxi so inategemea how lucky are you.
@atoshamkingule72582 жыл бұрын
True
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Nataka sana nije Marekani nipambane.
@aprilking82502 жыл бұрын
Minabeba boksi kwa mshara $22 kwa saa kwangu mimi niko sawa tu
@kanyankole Жыл бұрын
Ndo upambanaji kikubwa kusaka pesa na mafanikio🙏
@Simulizinalilly Жыл бұрын
Big up bro keep it up... And for how many hours do you do the Job
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Halloo there! Am also from Tz
@abduyussuf83458 ай бұрын
Mi ni kinyozi ninauzoefu wa miaka 20 vipi naweza kupata kazi?
@rosemarygiga1677 ай бұрын
Mambo vipi!! Naitwa Rosemary Niko arusha can we talk more if you don't mind
@joymas16532 жыл бұрын
Jamani mweee first gal talking my schoolmate vero, happy seing her !
@kasukukasuku38962 жыл бұрын
Inaonekana huko hakuna ubaguzi katika kazi niliona wtz wengine wako jeshi America,EBM thanks for inspiration
@trophywilson72112 жыл бұрын
Wazungu hawabagui Weusi na Waafrica tunabagua hata mkimbizi tu unamnyima haki ya msingi,Mtu kazaliwa 1972 Tz mpaka leo ni Mkimbizi,ni Haki hiyo??Marekani ukifika leo Ukiomba ukakubaliwa tu mwanao akizaliwa tu ni Raia hata kama wewe mzazi si Raia
@OmariEtetembaWilondja2 жыл бұрын
EBM I’m patiently waiting for all the videos from DICOTA event
@hidayaswai31192 жыл бұрын
I real appreciate you jmn. I wish to get connection ya kukuja huko mambele. For sure natamani ulaya saaana ila namuamini Mungu. Mchaga og nifanyie basi mchongo best
@Simulizinalilly Жыл бұрын
Apply green card rafiki ndo mchongo pekee ukipata umeula ndugu. Cha msingi apply apply apply Tena
@BaigonMacha8 ай бұрын
Mungu awabariki
@ufahamuzaidi23432 жыл бұрын
Great
@amourmtungo6232 жыл бұрын
🤔Funua funua bro. Kila ukifunua stori na maendeleo ya Watanzania nje ya nchi itawatia motisha Watanzania wengine kufanya jitihada ya kufikia malengo kama ya hawa wenzetu. Asante EBM kwa habari🤝
@malakimollel60442 жыл бұрын
Brother Ernest ..Huyu mchaga nimemuelewa sana Inaonekana yupo smart sana 😁
@berthatz2 жыл бұрын
@Juakali Tamthilia 😂
@Emedroadtocanada9 ай бұрын
Dokta p ni mrembo kweli maashaallah ❤❤❤❤
@adam-saffi2112 жыл бұрын
Kazi ni kazi ughaibuni. You can do many jobs, Phd or a degree is not all that important. You can clean public toilets get paid well on weekends and public holidays. Kazi ni kazi!
@demicratia40712 жыл бұрын
Well said
@berthatz2 жыл бұрын
Exactly….Kuna watu wanabeba box na wafanya mambo makubwa tu..
@Memphisblue22822 Жыл бұрын
well said lakini yule jamaa truck driver ange angaza hii comt yako mzee anatengeneza 40k a month ukitoa expenses zoote pamoja na kujilipa 1000
@hellenmuthoni820 Жыл бұрын
Nawatupe Kazi Cha kuosa choo
@noraazan91246 күн бұрын
Kweli bro
@charlesmakuri7927 күн бұрын
Hiyo kuwapa kisogo hata huku kwetu ndio hivyo safi sana
@gaudencemihungo43482 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri. Lakini ni vizuri watu wajitambulishe wenyewe na kujieleza. Congratulations.
@flossiephilemon87972 жыл бұрын
Kazi nzuri EBM God bless you
@erastokimaro895410 күн бұрын
Hongera sana
@almuhtaramzamil2 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona Dr.Mohamed Zuhery,wakati nipo Form 1 Popatlal Sec School Tanga alikuwa School Headboy wetu!
@abdulazizsadi59012 жыл бұрын
Very inspirational
@amirykingoto91232 жыл бұрын
Asante sana Ebm kwa shule tunajipanga tutaonana October
@maribasimon6993 Жыл бұрын
kazi nzuri
@mr.content2662 жыл бұрын
miaka 21 nipo marekani huo ni umri wangu 😁😁 anyway didn't expect that brother you look younger👏👏
@boazkalema24392 жыл бұрын
Hiyo Ni no ya wtsapp
@trophywilson72112 жыл бұрын
Pole njoo ubebe box
@wm96692 жыл бұрын
Interesting video.
@mhudumuonline90602 жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa ufahamisho
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Safi sana maisha kutafuta ..,
@jtheophil54992 жыл бұрын
Safi sana.Lkn next time zingatia sound makelele ni mengi sana
@victoriamuteti63282 жыл бұрын
Kazi nzuri EBM ,number 1 fan from Kenya.
@jobmaclean53822 жыл бұрын
Mangi nimependa the way unaelezea jambo #welcome #December#2022
@peacemwakyombe2 жыл бұрын
Dr Veeee ni mrembo Mungu azidi kumbariki
@valenakomba92182 жыл бұрын
Titels ziko Sanaa Africa. Sababu wanataka Sana ukubwa. Na ubabaishaji.
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Jaman nımewapenda sana hongerenı nataman sıku mnıalıke nataman kwel .
@barakasimba64862 жыл бұрын
Mm ni refrigeration technician na aluminum welder, how and what can I do nije huko boss.
@leecode61352 жыл бұрын
Njoo Brasil kazi zipo mbona sio mpka marekani
@TrueZionTv2552 жыл бұрын
@@leecode6135 utaratibu ukoje kuja huko?
@leecode61352 жыл бұрын
Ntakutumia maelekezo
@TrueZionTv2552 жыл бұрын
@@leecode6135email au contact please
@robertmasule4819 Жыл бұрын
Lee code nipe mchongo WA Namna ya kupata kuja huko Canada
@martinkisha63072 жыл бұрын
Kama tunawasomi huko SI Bora waje Tanzania wengine wawe viongozi hapa Sasa tunawapigaji tu viongozi ovyo sana hawana uzarendo nikutozwa tu Tanzania
@luizabahati51982 жыл бұрын
Mmh na hizi Tozo? Hawatawezana
@ammaherman33912 жыл бұрын
One day I will earn my Law PhD in America.
@brianmarco16462 жыл бұрын
Amen
@beatrice36712 жыл бұрын
Amen 🙏
@mjumbemwanda96662 жыл бұрын
EBM the great
@sukivlog8852 жыл бұрын
EBM barikiwa sana
@jacobmsigwa3832 жыл бұрын
Huyo Dr wa IT ana miaka zaidi ya 20 US ila ana kiswahili amazing hadi anataja neno "UDOHOO" kama kashata ambalo ni kiswahili cha ndani ndani.
@Gdiamond3602 жыл бұрын
Very good video, it's good kuona WaTanzania wenzetu wameweza achieve the best education level. But after kuipata, why wameshindwa kuja convert their education where it's actually practical? Why wameshindwa kuja share with the rest of sisi nobodies?
@trophywilson72112 жыл бұрын
Mshahara Tz mdogo ndiyo maana tunabakia huku
@MZIZE Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Safi Sana 👏👏 Nafanyaje na mm nibak?
@anastaziuscyriacus54156 ай бұрын
We mwenyewe unafahamu, bongo miyeyusho sana
@Gdiamond3606 ай бұрын
@@anastaziuscyriacus5415 kwakweli changamoto ni nyingi na kubwa
@AdamSaffi2116 ай бұрын
Wameshiba, maisha mazuri huko!
@freddokuckelmann85022 жыл бұрын
Hata kama ni mbeba boksi, bado anapata pesa halali hata mbele za Mungu. Akilala ni usingizi wa amani. Kuliko msomi kwenye ofisi za selikali anayeibia wananchi, siku zote usingizi wa hofu akihofia kufa na kukutana na Mungu.
@trophywilson72112 жыл бұрын
AMINA
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
20 years in USA my whole families here.
@trophywilson72112 жыл бұрын
Yes Me too now 12 years
@samsifuni3 ай бұрын
haina part two hii?
@samxx4112 жыл бұрын
Nimependa Sana tujitahidini Sana wenzangu tunaweza kabisa
Mazungumzo mazuri lakini angalao yangelifanyika sehemu ambayo haina kelele background..,natumaini utafanya vyema mbeleni.
@mwajumakitoro8582 Жыл бұрын
Uwe unajitahidi sauti ikae vizuri
@jobmaclean53822 жыл бұрын
Huyo Mchagga anaongea kama NIKKI #WA#PILI
@eddyamour97202 жыл бұрын
Hapa mwendo wa box tu Hamna chengine wakusoma asome 😂
@nagyguntar22682 жыл бұрын
Mimi hata kama kuna kazi ya kuogesha mbwa na paka am rediiiiii to gooo
@Thegossipermediatz2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zozokulwa16272 жыл бұрын
Hahahaha 😆😆😆
@adoumpmoussah9392 жыл бұрын
The africans are complicated,these kubeba boksi job ,they pay here in Minnesota 18$/hr I was googling to see how much is paid Doctor in Tanzania :5000000shillings Brothers,hakuna kazimbaya America . I came here in America 2019,natumika kwa factory ,iam paid18,65/hr I have bought fuso fight from japan ,now it is working in Kampala ,im planing to build a house of 30000$,during 2 next years. Sijuwi watu wanazarawu kazi za hapa America. Bado kuona mtu anabeba boksi kwa mugongo awu kicwa.
@jennytugara94702 жыл бұрын
Title ndio ameiweka vibaya eti sio wabeba boksi wakati Mbeba matakataka wa USA analipwa kuliko Professor wa UDSM. Mentality ya Mtanzania kama huyu ni Title ya Mtu na sio kipato cha Mtu.
@trophywilson72112 жыл бұрын
Wewe 18$/hr ,Amazon wanalipwa 3o$/hr ndugu yangu
@berthatz2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 Weee..Amazon ya wapi hiyo.??😳ziko hapa OH kibao wanalipa 19-21 inategemea na shift
@jennytugara94702 жыл бұрын
@@trophywilson7211 najua zipo kazi nyingi zinalipa sana ila nilichukua ratio ya chini kutokana na sfatement eti sio kila Mtanzania ni mbeba Box. Is a job People make living. Yeye anaona ni kazi duni sana
@sarahmuchina19102 жыл бұрын
Mimi mkenya hivi kubeba boksi ni kazi Gani?
@joycesichone11752 жыл бұрын
Mohamed zuberi was my school m.et at Gerezani primary school
@maulidndunda69652 жыл бұрын
Huyu mzee nampenda jaman niunganishe na mr.fundi nakubali Sana na dada yangu hapo
@godfreyissa6231 Жыл бұрын
EBM anzisha program ya sakua sakua .kumbe tuna WATANZANIA WENGI wanafanya kazi ila hawajulikani. EBM watanzania wengi Sasa wataanza kuonekana kupitiaa wewe big up sana
@oxwad38362 жыл бұрын
👏🏿👏🏿 . 🇹🇿
@Kabi_472 жыл бұрын
Kiwanjani (canada & america) mchawi nguvu zakoo hakuna kazi ya kubeba box hakunaga hyo kaziiii ukifanikiwa kuingia ni rahisi kutusua coz michongo iko mingii fundi ujenz hapa canada analipwa hela nyingi kuliko mfanya kazii wa maana kabisa humu humu canada ,madereva wa magari taka wanalipwa mpunga mzurii tu madereva wa mabasii wanalipwa mpunga mzurii tuuu so bnafsii naaamin katika mipangoo ukifika kiwanjani kama hauna familia jipe miaka zaidi ya mi4 kuseto down usiwe na preshaaaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@salummhina4857 Жыл бұрын
Hamjaelewa tuu Mbeba box maana yake sio kubeba box km ilivyo. Nikufanya kazi tuu.Baadhi ya inchi huwaita waosha masufuria. Kwahiyo toa hiyo mentality yako.
@barbarasara40332 жыл бұрын
Nimecheka sana eti sio mbeba boksi
@haider19972 жыл бұрын
Leteni raia pacha mbwa nyinyi,mnakaa bungeni na posho zenu za tsh elf 8
@YohanaYoramu-nl6bw6 ай бұрын
WAHA TUNAKUBARI SANA KAKA
@carlosben30052 жыл бұрын
Mangi angekomaa huko huko ulaya tu. Asirudi bongo. Huku bongo watampoteza. Bongo ngoma ngumu sana
@belzylucas72752 жыл бұрын
Nimependa 💞
@EWillyzeDiplomat2 жыл бұрын
Hope to be there one day
@trophywilson72112 жыл бұрын
Karibu saana
@ZainabuSaidi-n7dАй бұрын
Nataka juja huko kufanya kazi za usafi docter fundi naombay nisaidie
@richshayo49242 жыл бұрын
As longer unalipa bills who care kinachomatter what u earn na si kufurahisha watu mimi nabeba
@richshayo49242 жыл бұрын
Bora 📦 kuliko HR kwa 17-20/hr kukaa officine au bank teller fir 15/hr while on boxes delivery I can earn up 35/hr plus tip lol marekani ni uwe na Target tu Kuna watu wame spend 4yr on college plus student loan still they can make 10k annual gross 😝 😄 😀
@officialaftab87602 жыл бұрын
good job
@husseinmagoma38382 жыл бұрын
Mambo ndugu yangu Mimi nitafutie ndugu yangu anaitwa muktari magoma,Mimi ni mmoja wa ndugu yangu Mimi ni hussein magoma,huyo alikuwa mtoto wa mtangazaji magoma najua utakuwa unamjua
@OgollaJr2 жыл бұрын
much love guys🇰🇪❤️
@phaustinegodfrey40562 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪
@anordelias2 жыл бұрын
Bro hbar naomba unisaidie na mm nipate kazi marekani
@kelvinbushis893110 ай бұрын
Hello brother 👋
@eaglemaris3272 жыл бұрын
Natamani kupata scholarship nije kusoma nitimize ndoto kaka EBM nisaidie sana