Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
@ItihamuZaharani6 ай бұрын
Still listening this so 2024 tujuane jmn
@latiphakasimu64814 жыл бұрын
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
@AmenyeMwampembwa9 ай бұрын
Iko poa sana
@EmilianaMfinanga8 ай бұрын
Namkumbuka sana mama yangu kipenzi marehemu doto rashidi makangamka mpogoro hapo anavua nguo nguo zake❤
@nyabisemaro20957 жыл бұрын
Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
@rayjay70175 жыл бұрын
Jamani wa miaka ya 2000 mpo wapi enzi za abdhallah makame wa sauti ya Zanzibar masaa ya saa nane kwenye mirindimo
@RioIpo3 жыл бұрын
Ilikuwa mida ya chuoni ile dah mida inaenda
@simsal86285 жыл бұрын
Kweli mwana dada hii wimbo imenivutia sana. Ni raha sana.
@iddikessi9300 Жыл бұрын
I'm still listening this song in 2023
@yerikazungu18662 жыл бұрын
Nayabeba yote mabaya na mema,2022 bado zavuma, old is gold 💛👌💛
@mwanaidiatieno12602 жыл бұрын
Old is gold taking me back Babu wangu mzee Ali Alma's alipenda sana Allah amlaze Pali pema
@salumramadhani55663 жыл бұрын
Ujumbe mzuri, na bado tunaendelea kuburudika mpaka leo hii 2021
@awadhmasud31505 жыл бұрын
Wema hakupata nyuki mwenye asali nitapata mimi dhalili
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Huu Wimbo wankumbusha nkiwa mdogo 😙😙😙😙
@ummymtema17508 жыл бұрын
kazi kwenu napata miye ckosi...ewe mola wng nizidishie imani
@ibrahimsuleiman21835 жыл бұрын
Laiti nyimbo km hizi zingelitumika kama dua'u mawaidha. Basi binaadamu tungelistarehe ! Ah lkn whapi!
@mariamkanyungu31504 жыл бұрын
Ibrahim Suleiman
@tumajuma69175 жыл бұрын
Aahaa kazi kwenu nategemea Karima....old is gold❤💣🎧🔥
@hassantego82763 жыл бұрын
Ok
@zuleikhaahmed72202 жыл бұрын
Sichagui sibagui atakaye ni zika simjui!!! 💖💯💖
@aishayusuf43188 жыл бұрын
wakat Taarab music ilikuwa taarab kweli👌
@faridwawili49227 жыл бұрын
aaaa kazi kwenu punguzeni ubnfsi nastahamili vishindo navihimili''''''''''''''''hahaaaaaàa. ... asante sana zuhura shabani nakumbuka mbali sanaaaaaaaaa
@lovelaynajimilove80965 ай бұрын
2024 kama mpya zamani hairudi❤
@sikuzanibusanya64233 жыл бұрын
Nani Anasikiliza mwaka mpya tena tarehe 2 January 2021🎶🎶🎶🎵🎵🎵📢📢
@ferouztell59185 жыл бұрын
Jamani zamani raha sana nani anackiliza hii ngoma 2019 😀
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
Mimi apa😂😂🤣🤣😄😃😉🤗😍😍
@tumajuma69175 жыл бұрын
🙋
@azizaabdi12655 жыл бұрын
Nipo hapa nasikiliza saa hii tareh 17 /3/2019 🎧🎵🎵🎵
@priscalyimo58045 жыл бұрын
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
@yusrayusrat69165 жыл бұрын
Ferouz Tell namm npo
@khadijabeib1819 жыл бұрын
Wallah hii nyimbo inanikumbusha mbali Sanaaa sichagui sibagui wallah
@hamidumpiga6283 Жыл бұрын
Mungu amlaze shem wangu maali pema pepon amin,mama mosi alipenda sana wimbo huu.
@sabuhassabah76365 жыл бұрын
Nikweli Cjui Nani atanizikaa mm lazma nikuwe mzuri tabia Roho safi cz nikifaa mm najuwa kila mtuu atanikumbuka mm aunty mzur clean heart 👍😊😂😘
@nellyndowa56423 жыл бұрын
Mungu niwekee mie hili jimbooo tulicheze tarehe hyooo 👌👌👌
@SuleimanKalongo-k9u9 ай бұрын
Hata Mimi uyu mwimbaji wa shairi hili la sichagui sibagui,,aki Linanipa amani katika maisha yangu kuzidi kua na subra wallahi
@zulachama10675 жыл бұрын
Zilipendwa hapa kazi kwenda mbele 2019 bado tuna watch tu
@suleimanmohamedramadhan33703 жыл бұрын
Old never get a crack take me back on 2002 on my childhood memories 🤗🤗🤗
@bashirmkambala2407 Жыл бұрын
Is true @suleiman Mohamed ramadhan
@jumaforodha25675 жыл бұрын
Nyimbo za zamani ndio mnzuri sana
@nyabisemaro20957 жыл бұрын
Jamani kusema kweli Miziki ya Zamani ilikuwa miziki naipenda Sana hiiii Miziki ya Zamani
@mwanahalimamwachili96797 жыл бұрын
Asante Zuhura kitamu hakiishi hamu.
@paulmkude7037 Жыл бұрын
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
@veronicamaganga87374 жыл бұрын
Huu wimbo hauwezi kuchuja hata siku moja, kweli mlifanya kazi sana
NASTAMILI VISHINDO NA VIHIMILI MIE KIFUA NINACHO CHA MBELE NA NYUMA NAYABEBA YOTE MABAYA NA MEMA
@mudhengitomkahindi81989 жыл бұрын
Sina lakusema muhogo semeni nyinyi vitunguu kwa kweli sichagui sibagui! I love this song.
@kisanganyakiswanta13798 жыл бұрын
dah hakika maneno kuntu hayo
@fwzehfwfw15209 жыл бұрын
kweli dunia niya kupita kibri siungwana
@SalumuAlly-d9q10 ай бұрын
Nyie acheni tu hii nyimbo ni funzo kubwa sana walahi vile
@mwisakihaji37823 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo bora kabisa hazina matuzi hutokwi jasho ukitaka kucheza ni mwendo wa ku enjoy tu hakuna karaha 2021
@silasodongo93347 жыл бұрын
Inanikumbusha mwaka wa 2006 tukiwa na ndugu wangu jamu , na marehemu Omari.
@CoalitionControl8 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 wimbo nzuri sichagui waaaaaa ❤
@jumakhamis505310 ай бұрын
Nikisikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana
@Mhg-p5h3 ай бұрын
Nyimbo nzuli sana
@maryammaryam-jp2zg7 жыл бұрын
naipendaga hii jomoni ₹₹👌👌 wenzangu hamshangai wenzangu.... mkinitusi siumii wenzanguuuu
@thumuumohammed74847 жыл бұрын
😍😍😍zama hizooo
@zainabsuleiman59202 жыл бұрын
Viumbe mba nini mnaa nini hamwishi kunifitini eee mkinichukia ni kaziii kwenu
@abuudhabi89498 жыл бұрын
Peace and love usichague ucbague atakae kuzka humjui
@sitibora49427 жыл бұрын
abuu dhabi 👌👌👌👌👍👊❤
@azizaabdi12655 жыл бұрын
Swadktaaa
@zuweinafahmiy23315 жыл бұрын
Upo kaka?
@abdallahkhamis2639 Жыл бұрын
Yani aloimba hii nyimbo cjui alikutwa nanin cjui duhh mana kaipa kweli
@abdallahkhamis2639 Жыл бұрын
kwan huyu muimbai anaitwaje jmn
@mohamedmasanga91345 жыл бұрын
Sauti tulivu ikisindikizwa na ala zilizopangika aah hongereni Sana hatuna mamlaka ya kurudisha siku zilizopita basi tumebaki na machozi machoni enzi hizo DUNIA imepowa
@hawamabuka61223 жыл бұрын
Sanaaa
@نصرىعبدالله-ع2ك6 жыл бұрын
Aaanaaumia kwetu zenj Nipo Oman nikiskia Nyimbo kamaizi Natamani kwetu
@halmakinty9626 жыл бұрын
نصرى عبدالله siku zita fika inshaalah mola akulinde niko kama wewe
@halmakinty9626 жыл бұрын
Naamini Rabi kweli subira ni ngumu mkinisuza skosi wakunizika jamani thanks for the upload hongera dadayetu kwa shairi la maana
Yakale ni zahabu, kama unaikubali hii nyimbo na bado unasikiliza 2020 gonga like yako hapa ili tuwe pamoja
@amrimchambuka53424 жыл бұрын
Tupo pa1 nasikiliza 2020
@bashirmkambala24074 жыл бұрын
Fresh Amri mchambuka tupo P 1
@latifayash36795 жыл бұрын
nia safi siondoi sababu nimekinaiii
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Ahaaa we acha tu nakumbuka mbali mno
@aisherkhamis82683 жыл бұрын
Piga kelele kwa wazee wa sasa wasichana wa zaman...!kifua nnacho cha mbele na nyuma maneno kuntu km 2po pamoja like
@khadijagunyu15665 жыл бұрын
Hapo sasa sibaghui wala sichagui
@kari_ahmad064 жыл бұрын
mda wa chuoni uwo kavaeni kanzu upes apo roho ikiskia izi nyimbo mida iyo bhana unaanza kukereka ila kama unamini kama izi nyimbo nazo zimekulea gonga like twende p1
@ashurakambangwa20877 жыл бұрын
mkinitusi siumii wenzangu
@lailahasan22004 жыл бұрын
Hakunaga mfano,, old is gold 2019
@tabiaiddy28636 жыл бұрын
Picha ninayotendewa maovu yalostawi kisa sikijui
@mariampembe6043 жыл бұрын
Tunaoskiliza 2021 tujuaneeeee
@sebastiansalamba82366 жыл бұрын
Watoto was Zanzibar bwana si haba
@chidmashine61155 жыл бұрын
Daaa nakumbuka siku ya harus yangu ziligongwa twaarab izi hatar 1999
@RioIpo5 жыл бұрын
Chid mashine Ila nyimbo hii imetoka miaka ya 2000's
@RioIpo3 жыл бұрын
Acheni Kalbikasi jamani 🤣🤣 Mie kifua ninacho cha mbele na nyuma nayabeba yote mabaya mema
@dottomzara45424 жыл бұрын
Ewe mola wangu nizidishie imaniii
@zuhrahalima59878 жыл бұрын
haha dunia kweli rangi rangile shukuru unachokipata wala usiwe wakuchagua na kubagua mtegemee mola mwenyezi.
@mariamsuleimanmunguakupeum65527 жыл бұрын
Zuhra Halima kbsa
@swallehdianga71886 жыл бұрын
Zuhra Halima sauti ya taarab hii inaniliwaza vilivyo asante daZuhura
@JoanOpwoya28 күн бұрын
Jamani Zamani raha 2024 hoyeee
@abedkarume90884 жыл бұрын
Ewe mola wangu nizidushie imani.
@fadhilkibwana45123 ай бұрын
Dah siomchezo iyo
@leilashaban35195 жыл бұрын
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
@mussaliponda92224 жыл бұрын
Asiyepigiwa Ramli
@hatibuali76734 жыл бұрын
Zamani kulikuwa kuna taarabu sio has a hizi
@SalimM-g8p5 ай бұрын
Sisemi kitu #
@mwajumaally29185 жыл бұрын
Yani hii nyimbo naweza nikailudia atamalakumi kwasiku
@cateomondi7175 Жыл бұрын
Kazi kwenu ✌️ punguzeni ubinafsi 😂
@hassannasir45614 жыл бұрын
Mimi wa kwanza mwaka huu
@mwanawetu21686 жыл бұрын
Sibagui sichagui kwangu naona cheo naona kimoja tu