Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad

  Рет қаралды 88,966

DARSA TV

DARSA TV

3 жыл бұрын

Siri ya Ushindi / Alama Za Kuwepo Mungu / Muumini Atoa Ushuda ? Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid Ahad Akitoa Tafsiri Ya Surat Ikhlas Katika Darsa Lake La Tafsiri KIla Jumanne Masjid Kichangani Usikose kutufuatilia kwenye social media zetu na pia ku share na waislamu wengine
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks

Пікірлер: 90
@abigaelnasir1698
@abigaelnasir1698 3 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Allah Akupe afya njema uzidi kutuelimisha nakutufurahisha,Aswaliwi WALID. hapa,Tumswalie MTUMI SWALALLAHU ALAYHI WASALLAM
@tumajunior6080
@tumajunior6080 3 жыл бұрын
Jazzakallah khairan Allah akulipe kheri hapa duniani na akhera inshaallah mm pia wanifundisha mengi nikiwa mbali nawe shukran 🤲🤲🤲
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 3 жыл бұрын
Allahumma swalli a'laa muhammad
@joharindaro3075
@joharindaro3075 3 жыл бұрын
Asante shekh mwenyezi mungu akupe neema zaidi ya ukiyokuwa nao unanipa nguvu na ramadhani hii kwamawaidha yako
@hyasintajoseph2589
@hyasintajoseph2589 2 жыл бұрын
Allah akutunze shekh naingalia hii clip kwa mara ya tatu sasa na siichoki darsa zako
@nurudinehamimu5658
@nurudinehamimu5658 3 жыл бұрын
Mashallah Ali Habibi shekhe wangu walid Alla akuripe kiralakheri akujaze ilim zaidi.
@maulidmlette1953
@maulidmlette1953 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Duniani na Akhera kutokamana na Ukumbusho. Sh. Walid
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 3 жыл бұрын
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah❤💕💕💕
@user-dg1xb3qx2n
@user-dg1xb3qx2n 6 ай бұрын
Shukran Allah akulipe kheiri
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 6 ай бұрын
Maa Shaa Allah Alhamdulillah Yaa Rabbi🙏🙏🙏🙏 Hii ni zawadi kubwa
@asiasa4259
@asiasa4259 3 жыл бұрын
Sheikh walidi umenikosha sana kusikia wasandawe
@itsTubwa
@itsTubwa 11 ай бұрын
Mashallah.Thanks Sheikh
@user-pu5bf3nj4s
@user-pu5bf3nj4s 5 ай бұрын
Mash Allah sheikh nakupenda kwa ajili ya allah
@ffed1876
@ffed1876 Жыл бұрын
MaashaAllah Mola awazidishie kheri na ilmu muzidi kutuzindua ya kheri tuyafate na mabaya kuyaepuka Aamin.
@rahemaissa9867
@rahemaissa9867 3 жыл бұрын
Mashallah shukran kwa ukumbusho
@mrboma4343
@mrboma4343 3 жыл бұрын
Mashallah
@MuhdharMuhammad-qv3zl
@MuhdharMuhammad-qv3zl 9 ай бұрын
Shukran sana sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa
@nuruabdullah7814
@nuruabdullah7814 2 жыл бұрын
Shukraan sheikh Allah akupe kila la kheri kwa darsa zako nimepata faida nyingi nilokuwa siyajui alhamdulillah napenda sana kuzisikiliza
@abdullahsaleh9248
@abdullahsaleh9248 2 жыл бұрын
shukran kwa. ukumbusho Shee lugha Kama nipo ngamian Tanga mashallah
@ramaaman4020
@ramaaman4020 Жыл бұрын
Mashallah Shekh wetu
@bentybenty2343
@bentybenty2343 2 жыл бұрын
Masha ALLAH Tabarakallah
@mohdzubeir6227
@mohdzubeir6227 3 жыл бұрын
Wewe ndo mrithi khasa wa sheikh Muhammad ayyub mashaallah
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 2 жыл бұрын
Shekh_Muhamad_Ayub_anawarithi_wengi_baba_yangu_Shekh_Simba_Arusha_mashaallah_anampenda_shekh_wake
@sadunkabuma3221
@sadunkabuma3221 Жыл бұрын
ITHINK
@mwashambamakame4435
@mwashambamakame4435 3 жыл бұрын
Maashallah, Allah turuzuku utamue war iiman
@user-od3gg9ky3d
@user-od3gg9ky3d 8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlipe fadhila za ke
@Malkiawanyuki1
@Malkiawanyuki1 3 ай бұрын
Alhamdulilah
@salmamaliki-4845
@salmamaliki-4845 Жыл бұрын
Sheikh allaah akulipe tunafaidika
@columbusdoo593
@columbusdoo593 3 жыл бұрын
MashaaAllah TabarakaAllah. Mwenyezi Mungu akupe umri, afya njema uzidi kunufaika wewe ili utunufaishe nasisi. Ameen Ameen Ameen
@omaryswaga9163
@omaryswaga9163 2 жыл бұрын
Alhamndulillah! Maashallah
@sarahmbaruku3115
@sarahmbaruku3115 2 жыл бұрын
Asante kwa ukumbusho Allah akujaalie kheri Inshallah
@user-mj3so5px3g
@user-mj3so5px3g 8 ай бұрын
Allah akupe kheri wewe na kizazi chako shekhe
@fatumahamis9206
@fatumahamis9206 3 жыл бұрын
Sheikh Walid lahu kheir
@zulekhamnene9462
@zulekhamnene9462 Жыл бұрын
Mashaalah napenda mawaidha yko sheikh mungu akustiri
@zainabrashid385
@zainabrashid385 3 жыл бұрын
Mashallah Allah akuongoze na akuepushe na Shari za walimwengu
@ibrahimsleiman4455
@ibrahimsleiman4455 3 жыл бұрын
Shukran Kwa Ukumbusho
@calicabqaricalicabqari6598
@calicabqaricalicabqari6598 3 жыл бұрын
جزآك ألله خير شيخ وليد الهادي
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 11 ай бұрын
Shukran sana Shekhe
@tzonespices9734
@tzonespices9734 7 ай бұрын
Mungu azidi kukupa afya njema kuuelimisha umma kumjua mwenyez mungu. Amina.
@millenniumoiltanzanialimit1265
@millenniumoiltanzanialimit1265 Жыл бұрын
Alhamdulillah
@sifawandi
@sifawandi 2 жыл бұрын
Al hamd llah
@aishaabdullah233
@aishaabdullah233 3 жыл бұрын
Subhanallah wallah sheikh hapo umesema ukweli wengi wetu tumekua maelfishness na km ww umekua nzuri bas shaytan anatupoteza kwa kusema mbona yy hakupi unampa yy tu subhanallah , Allah tuongeze waja wako na utujaze Iman ndani ya nafsi zetu amiin
@user-fw6wt4mf3b
@user-fw6wt4mf3b 8 ай бұрын
Ajabu ajabu ya mola wetu hana baba hana mama hakuzaa ,hakuzaa wala hakuzaliwa ndio yeye peke ake Hana mfano wa kitu wala kufana na mtu ameumbaa mbigu saba mola na ardhi akaitanda ameotesha na mitii akaumba uhai na umauti ndio yeye peke ake . Subhanallah wallah
@vich2mussa997
@vich2mussa997 3 жыл бұрын
Mungu amlinde shekh laki hawa wanao comet upuuzi unajuwa maana eebwanaAeee
@IbrahimKaranja-qu9yn
@IbrahimKaranja-qu9yn 11 ай бұрын
Allah akubarik sheikh walid
@MuhdharMuhammad-qv3zl
@MuhdharMuhammad-qv3zl Жыл бұрын
Shukran sana Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera
@tumajunior6080
@tumajunior6080 3 жыл бұрын
Ustadh Walid naomba uniombee dua tumbo langu lanisumbua lajaa gesi ladunga mimba sipati haja kubwa plz nasaidie kwa dua
@hassanfarouq922
@hassanfarouq922 3 жыл бұрын
Kuna mtu instgram anaitwa @hashlongalonga nenda mfate
@buizo40
@buizo40 2 жыл бұрын
waidha sa alaka ibadi anni fa inni qarib ujibu da-wata ddai idha daani
@aviwimanguro4802
@aviwimanguro4802 2 жыл бұрын
Wallah naapa nampenda huyu sheikh allah amuhifadhi tukutane jannah sote
@husseinomarnasserrizgallah7589
@husseinomarnasserrizgallah7589 Жыл бұрын
Ameen thuma ameen
@IbrahimKaranja-qu9yn
@IbrahimKaranja-qu9yn 11 ай бұрын
Amiina
@ismailally4779
@ismailally4779 7 ай бұрын
Amini
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 6 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@MaxamadMaxamad-ii8es
@MaxamadMaxamad-ii8es Ай бұрын
Insha Allah
@abdallahncabukoroka3202
@abdallahncabukoroka3202 Жыл бұрын
Daar nampenda huyu sheikh kwajiri ya Allah
@salmsalmo931
@salmsalmo931 8 ай бұрын
Mashallah kwa mawaidha mazuri
@anisacabdi6579
@anisacabdi6579 3 жыл бұрын
MASHAALAH
@athumansaid796
@athumansaid796 Жыл бұрын
Mashallhaaa sheghe wangu nakupenda saana nipo mkoani ila nakuja dar kwaajili ya kuja kusali msikitin kwako ishaallhaaa
@victorcheruiyotkirui-ny8lc
@victorcheruiyotkirui-ny8lc Жыл бұрын
Mashallah Sheikh jana nimekua hapa madina nimeswali hapo gaba
@mrishoharuna1311
@mrishoharuna1311 3 жыл бұрын
Naomba yeyote anifahamishe mda gani jumanne sheikh huwa anaanza darsa
@DarsaTV.
@DarsaTV. 3 жыл бұрын
Baada ya alasiri
@omyguy3066
@omyguy3066 3 жыл бұрын
Jumanne pekee au kila siku?
@DarsaTV.
@DarsaTV. 3 жыл бұрын
@@omyguy3066 jUMAANE SHEKHE
@mohdzubeir6227
@mohdzubeir6227 3 жыл бұрын
Mimi naona sheikh
@aciamwinyi3991
@aciamwinyi3991 Жыл бұрын
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie mema Inshaallah.
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 3 жыл бұрын
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد
@maulidihasani3466
@maulidihasani3466 Жыл бұрын
Mungu akuhifadhi
@salhalutalo
@salhalutalo Жыл бұрын
Ukimjua mungu hakwachi .kweli kabosa usemayo shkhe
@zubeda-le4xr
@zubeda-le4xr 2 жыл бұрын
Mashall mashall mashall mashall
@mwanaashambogo351
@mwanaashambogo351 Жыл бұрын
Jazzaqalaah llikhair,,shekh mwenyez mungu akuhifadhi
@hassanseleman1806
@hassanseleman1806 3 жыл бұрын
SAwa
@omyguy3066
@omyguy3066 3 жыл бұрын
Shekhe mkubwa kama walid na darsa zake zilivyo moto, kisha ummati uliokaa kumskiza haufiki hata watu arobaini? Watanzania muna mchezo sana. Yaa rabbi mjaalie shekhe huyu sheikh walid ahamie mombasa kenya.
@abdallahismael3993
@abdallahismael3993 3 жыл бұрын
Hujaaaa ila kwa kipindi hiki
@bundalahamza8902
@bundalahamza8902 3 жыл бұрын
ALLAH ambariki
@abubakarmustwafa8662
@abubakarmustwafa8662 2 жыл бұрын
Hata Mtume Muhammad Swallalahu Aleyh Wasalam,sio wote walimtambua na kumfuata,Mungu atuhifadhi na kutujaalia Tawfiq ya kheri hizi
@Rama_Mwaguya-254.
@Rama_Mwaguya-254. 2 жыл бұрын
Amin, tumlete kwa ndege nitampokea airport hapa Changamwe nikimsubiri kwa gari.
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 11 ай бұрын
Mm naipenda walfajir sana nayo faida yake nn???????
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 9 ай бұрын
Shehe jiangalie usije ukaitwa barzanji kwa unavyoikosoa iyo lugha ya hakuzaa wala hauzaliwa wateambia kitabu kikubwa kimeshindwa kusema hakuzawa jiangalie waliotafsri ni wabobezi wa lugha pia kama barzanji 😮😮😮munaqasha
@mohdzubeir6227
@mohdzubeir6227 3 жыл бұрын
Llll
@marashimujtaba1
@marashimujtaba1 3 жыл бұрын
Kwanini huyu Sheikh hamtaji nani Imamu aliyokuwa anasalisha hio msikiti wa Quba na kusoma hio sura ya Qoul huwa Allah . Alikuwa Imam Ali (a.s) Ibn Abi Talib . Na sababu aliyekuwa aksoma Sura hio Bwana Mtume alipopepewa malalamiko akasema kuwa ingekuwa kuna sura bora zaidi ya hio basi angeisoma. Hizo zote mbinu zinazofanyia inatokana na hawa Masheikh hawataki kuitukuza jia la Imam Ali (a.s) .lakini angekuwa sahaba mwengine angemtaja kama aliyomtaja baada ya hadithi ilifwata aliyekuwa akiinsimbuliwa. Peope inatokana kupenda Nyumba ya Bwana Mtume . Na Imam Ali (a.s) ni mmoja katika hao Ahulubayt . .
@ismailally3170
@ismailally3170 3 жыл бұрын
Njoo umtaje ww
@user-wv2uy6iz5h
@user-wv2uy6iz5h 3 жыл бұрын
Tuwapongeze mashekh wetu kwa kazi nzuri wanayofanya,sio kuwaponda nasababu zisizosingi
@ismailally3170
@ismailally3170 3 жыл бұрын
Ww unaonekana unakibri njoo umtaje ww
@ala1608
@ala1608 Жыл бұрын
Wew ni mushia
@allyshaban5444
@allyshaban5444 Жыл бұрын
wakati mwingine nawaza sipati majibu kwani SAYYDNA ALLYY QARAMATLAHWAJHA ana tatizo gani na kwann hawataki kumtaja?
@achanifumos1093
@achanifumos1093 3 жыл бұрын
Darsa nzuri illa namuomba huyu shaikh wangu atengeneze lugha kwa anapomtaja Mtume..yaani awache kusema EE BWANA EE..bali aseme maswahaba wakiamiliana na Mtume wanamuita YAA RASULALLAH...sio ee bwana ee....##SIJUI ANANIELEWA?????
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 2 жыл бұрын
Upo_sawa_kabisa_eee_bwana_wa_viumbe(Allah)ya_rassull_mtume
@badaral6167
@badaral6167 Жыл бұрын
Mashallah
@hassanhusen5859
@hassanhusen5859 Жыл бұрын
Mashallah
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 76 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 28 МЛН
AINA ZA MAJINI NA KAZI ZAO || BAYANA YA KHUTBAH YA IJUMAA || 12/8/2022
44:57
Ust Abuumuhammad Said
Рет қаралды 7 М.
KUNA AINA TATU ZA NAFSI // SHEIKH OTHMAN MAALIM
37:40
arkas online tv
Рет қаралды 23 М.
UBORA WA DHIKRI YA ALHAMDULILLAH / SHEIKH HASSAN AHMED
33:58
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 129 М.
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
ADELINK HABARI
Рет қаралды 115 М.
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
0:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
КТО СОЖРАЛ АРБУЗ #cat #pets #топ
0:17
Лайки Like
Рет қаралды 976 М.
Every night, I have a nightmare… 😱💤
0:50
A4
Рет қаралды 3,1 МЛН