SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWO

  Рет қаралды 710,765

CLAM VEVO

CLAM VEVO

Күн бұрын

clcr.me/G4nU7w
Jisajili kwa kutumia hii link kwa tumia PROMO CODE CLAM24 upate bonus hadi 100%
Follow Me On Instagram
/ clamcris_
Tiktok:
/ clam_cris
Facebook:
www.facebook.c...
#clamvevo

Пікірлер: 2 400
@clamvevo6472
@clamvevo6472 14 күн бұрын
Jiunge nami katika Pocket Broker: clcr.me/CLAM2024 Tumia Promo Code CLAM2024 wakati wa kujiandikisha na upate bonasi maalum kutoka kwangu - +100% hadi amana!
@madamesther6552
@madamesther6552 13 күн бұрын
promo code inagoma
@fundiseif1096
@fundiseif1096 Ай бұрын
Snake boy inazidi kua ya moto sana umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv Ай бұрын
Leo nimekuwa wa 283 😅😅 Haya sasa Tuliyoisubiri snake boy kwa hamu gonga like kama tuwape nguvu ndugu zetu🎉🎉🎉🎉🎉
@lizard5201
@lizard5201 Ай бұрын
@@KibweOnlineTv kaka unaonekana una channel kubwa ila hauoni ajabu kusifia kazi za wengine Mungu akuzidishie
@FahadAli-ni5eu
@FahadAli-ni5eu Ай бұрын
Nimeangalia page yko unafanya kz nzr sana
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 Ай бұрын
Pia nilichoka kusubiri nko kwa chado 😂😂😂
@faithnayla2374
@faithnayla2374 Ай бұрын
Fayden Anupi subscribe
@BonfaceDavid-n8h
@BonfaceDavid-n8h Ай бұрын
Nakubaliana na wew kwa asilimia mia
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 Ай бұрын
Ivi mnajua ifikapo 2099 woote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏🔥
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa yn umeongea la maana sana❤🎉
@ElishaKitomari-uz3on
@ElishaKitomari-uz3on 29 күн бұрын
Amen mungu kwanza
@NasraShaibu
@NasraShaibu 29 күн бұрын
Tena huko mbal
@BatuliJamal
@BatuliJamal 20 күн бұрын
Yote ni mpango wa Mola
@feaonlinetv210
@feaonlinetv210 5 күн бұрын
Siyo Lazima iwe kweli Maana Kuna watoto wa elfu Mbili humu. Japo Mungu hapangiwi
@Naema-x7p
@Naema-x7p Ай бұрын
Mmbea kapata msaidiz 😂😂😂kiparaa na kikono mumenifurIsha leo 😂😂😂😂hao alafu uyu tanu anyoe izo ndevu zinatutishia watazamaji au mnasemaje wadua tujuane kwa ilk 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@user-ew6nq7tr8e
@user-ew6nq7tr8e Ай бұрын
Anyoe bhn😂
@TumsifuMbamba
@TumsifuMbamba Ай бұрын
😅😅😅😅
@jamesmollel
@jamesmollel Ай бұрын
Ni kwel
@Naema-x7p
@Naema-x7p Ай бұрын
@@user-ew6nq7tr8e umeonaeee yuwatutishia bhana😄😄😄
@Naema-x7p
@Naema-x7p Ай бұрын
@@TumsifuMbamba we uogopi 😄😄😄
@rashimikasim2171
@rashimikasim2171 Ай бұрын
Yani nimewahi namba one hongera bro kazi nzuri ila hii movie kali kinoma sema mnachelewa
@EmmanuelNorbert-gh7ui
@EmmanuelNorbert-gh7ui Ай бұрын
me naomba clam awake subtitle maan movie hii inatizamwa na watu wengi kutoka mataifa tofauti Big up sana kaka clam
@CHYULLUKENYA
@CHYULLUKENYA Ай бұрын
The best movie in East and Central Africa 🇨🇫.....let's gather here men and women, here from kenyaaaaa.....mzigoooooooo
@stevekilonzi7253
@stevekilonzi7253 Ай бұрын
Kenyaaa
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Ай бұрын
Nalipenda Sanaa hili la ubaya ubwela zinga nakukubali sanaaa😂😂😂😂😂😂💪💪🙏🙏❤❤
@Veronicamnjeja
@Veronicamnjeja 29 күн бұрын
😂😂
@MuhimpunduIssa
@MuhimpunduIssa Ай бұрын
Wakwanza from BURUNDI 🎉
@hendrypeter6182
@hendrypeter6182 Ай бұрын
Anaependa ako ka biti like kama 100plz kwa biti tamu mwanzo mwishoooooooo
@user-yi3kc6sl9u
@user-yi3kc6sl9u Ай бұрын
Jamani...kama unaamini muda wako wa kubarikiwa na kufanikiwa sema Amen!❤
@saumbliz8983
@saumbliz8983 Ай бұрын
We pastor umefata nini huku
@AgnessYohana-rd8ny
@AgnessYohana-rd8ny Ай бұрын
Amen
@ryankoech
@ryankoech Ай бұрын
​@@saumbliz8983😂😂
@IsakwisaSophen-xp3bk
@IsakwisaSophen-xp3bk Ай бұрын
Amen
@user-hk4he8nv5f
@user-hk4he8nv5f Ай бұрын
Ameen
@siwemahabanyinawimanzi5995
@siwemahabanyinawimanzi5995 Ай бұрын
Snak boy imekuwa ndefu saana afu inazorota.tunaomba imalizike mtuandalie nyingine.❤❤tunawapenda saana
@user-mh3zi3sx3i
@user-mh3zi3sx3i Ай бұрын
Kweli kabisa
@dangomc_niger
@dangomc_niger 22 күн бұрын
sahihi
@EdisonLucas-uh1uh
@EdisonLucas-uh1uh 21 күн бұрын
Kwel tunafatilia had tunachk
@Ishermoreogfd9un
@Ishermoreogfd9un 21 күн бұрын
😢Na inapoteza maana ya kuitwa snake boy instead inakua Kama ni hadithi nyingine kabisa...Hadi tunaloose interest tunaangalia tu kimazoea Sasa🙌
@kelvinachoki289
@kelvinachoki289 Ай бұрын
Nàpenda kufwatilia kipindi hichi Sana ❤❤ila clam changamka Baba usiwe mnyonge sana😅😊...wapi like za wakenya plz🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥💯
@albinhohasla7531
@albinhohasla7531 Ай бұрын
Huuuuh yani tunasubiri hadi tuna anza kuisahau aisee ila acha tu like tu ❤❤❤❤Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿, Uganda 🇺🇬 burundi 🇧🇮 Rwanda 🇷🇼 Somalia 🇸🇴 Sudan 🇸🇩 Ethiopia 🇪🇹 CONGO 🇨🇩 ♥
@SarahBimuloko
@SarahBimuloko Ай бұрын
Wewe uko mu binafsi sana mbona ujataja congo
@djumaSamson-xx4zz
@djumaSamson-xx4zz Ай бұрын
Hata mimi nilianz isahau lkn leo nikakumbuka ❤
@Gistaveboss-mu1kf
@Gistaveboss-mu1kf Ай бұрын
Congo🇨🇩
@user-dx4gj6sd5n
@user-dx4gj6sd5n Ай бұрын
Sorry brother
@Innocentfilm
@Innocentfilm Ай бұрын
​@@SarahBimuloko kweli ni kabisa
@shivobs4485
@shivobs4485 Ай бұрын
Anaye amini VEVO anatunyanyasa kijinsia na movie yake mpaka anatupotezea radha ya hii movie like zenu hapa 😢 alfu mje tumchambe ajirekebishe
@user-mx5rf1db1j
@user-mx5rf1db1j Ай бұрын
yaniii anatunyanyasa sana
@AgnathaJackson
@AgnathaJackson Ай бұрын
Kiukweli hadi nakosa amani kwa sababu ya hii movie
@shivobs4485
@shivobs4485 Ай бұрын
Sijui anatuchukuliaje huyu mwamba ​@@user-mx5rf1db1j
@shivobs4485
@shivobs4485 Ай бұрын
​@@AgnathaJacksonanaona haitoshi na anatuwekea matangazo kabisa
@EmmyMo
@EmmyMo Ай бұрын
😂😂😂😂😂jmnii
@SadickSalum
@SadickSalum Ай бұрын
Hii muvi mnachelewa sana kupost mnatunyima uhondo ninyi achen hizoooooooooooo😢😢
@user-yh8eo9nr4p
@user-yh8eo9nr4p Ай бұрын
Kama hapa kuna mutu kamu sikiya zinga akiongea,,, ameka te ko landa nga kotoyo nako boma ye from Congo naomba like zangu jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DefrozaMatamba
@DefrozaMatamba Ай бұрын
Sure❤
@KafwimbiMisheck
@KafwimbiMisheck Ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@japhetthoya
@japhetthoya Ай бұрын
Wow...... This is more than a movie..... Ila msikawie Sana kutoa next part please... Following from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nkurikiyearodiedavid6255
@nkurikiyearodiedavid6255 Ай бұрын
Hii movie Ina wambea,halafu mimba zote hakuna inayozaliwa,mkijitahidiii anazaliwa na kufa 😂😂😂 anyway ninawapenda sana ,Niko hapa Bujumbura 🇧🇮 Burundi
@najmakan9102
@najmakan9102 Ай бұрын
Umeona eeh😂😂😂😂
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 28 күн бұрын
Alfu zakubakwa 🤣🤣🤣🤣🤣
@happydudahog2196
@happydudahog2196 28 күн бұрын
😂😂😂😂😂​@@aaminaasljbgbvf745
@kitwanaathumani4667
@kitwanaathumani4667 22 күн бұрын
Acha umbea😂😂😂😂😂😂😂😂
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili Ай бұрын
❤❤❤
@DambweRama
@DambweRama Ай бұрын
TULIO SIKIA UBAYA UBWELA.Tu like hapa😂😂😂
@AbdullHafidh-i9i
@AbdullHafidh-i9i 22 күн бұрын
😂😂😂😂
@gracebakunzi2399
@gracebakunzi2399 Ай бұрын
Zinga ameongea lingala luga ya congo DRC. Mwana mboka boni???
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 Ай бұрын
Uyo Dada kama ni bikra kweli basi namie ni bikra aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@vicentshija
@vicentshija Ай бұрын
We zainabu wewe😅😅😅
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 Ай бұрын
@@vicentshija 🤣🤣🤣 ninayo kweli ninamiaka 6 Oman sijaupata naamini bikra imerudi🤣🤣🤣🤣
@shahidumaulidi9721
@shahidumaulidi9721 14 күн бұрын
mmmh 😂😂😂 umenifanya mpaka nimecheka kwa sauti kubwa hahaha we kiboko​@@zainaabdallah809
@puritymusidoke9481
@puritymusidoke9481 Ай бұрын
Wow atleast I have watched the long awaited episode, following from Kenya 🇰🇪
@ShipiniMwarabu
@ShipiniMwarabu Ай бұрын
naza mutu ya liboso Lelo Congo drc
@ahmadbelier3160
@ahmadbelier3160 Ай бұрын
Watu wa Burundi Bujumbura 🇧🇮 tujuane kwa kubonyeza like hapa✔️ Ila huwa wanakawiza😢
@JombaWay
@JombaWay Ай бұрын
Mimi hapa
@user-jz2hw8nf1k
@user-jz2hw8nf1k Ай бұрын
Tupo
@Odreille
@Odreille Ай бұрын
@ashantyassani2869
@ashantyassani2869 Ай бұрын
💙💙💙💙
@uwimanamadina1872
@uwimanamadina1872 Ай бұрын
tupo ❤😂
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 Ай бұрын
Asante clam vevo Yajayo yanafurahisha kk Mungu akubark ili uzid kutpa burudan
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Kila unaeangalia filamu hii mungu akubariki ukawe na maisha marefu sana❤❤
@DelarioTz
@DelarioTz Ай бұрын
Clam vevo,leo nmekua wa kwanza kutoka kenya
@user-ux1ts9wr2e
@user-ux1ts9wr2e Ай бұрын
Bongo movie jamah inaiirudisha kabisa. From Moz🇲🇿
@rude_killer93
@rude_killer93 Ай бұрын
Wa kwanza from Pemba naomba like
@ousmanemajeshi0094
@ousmanemajeshi0094 Ай бұрын
Huwa Namsubiri Mwanangu Mwakatobe 2 Na hajawahi Niangusha 😂😂😂 UBAYA UBWELA 😅😅
@HamidaHamisi-l5p
@HamidaHamisi-l5p Ай бұрын
Clam mnaweka Giza sana hata kama uwalisia umezidi sasa hatuoni hata sura zenu zaidi ya sauti maombi yangu mrekebishe usiku kusiwe Giza sana tunapata tabu kuwaona jaman
@joshuanicky45
@joshuanicky45 Ай бұрын
Subira hubuta heri nimesubiri mwishowe imetoka wapi like za clam vevo wadau😂😂
@davidjoetv9595
@davidjoetv9595 Ай бұрын
em andika vizuri na wewe hubuta ndo nini
@TheresiaJohn-ci8dq
@TheresiaJohn-ci8dq Ай бұрын
😂😂😂😂😂​@@davidjoetv9595
@Sky_Tv-24
@Sky_Tv-24 Ай бұрын
Kama umekua hapa week mzima kama mimi ukigojea snake boy EP 31 gonga like ❤
@millicentluvai1652
@millicentluvai1652 Ай бұрын
woow finally,,,wa2 wangu wa 🇰🇪c mpite mki kiss comment
@AndrewKatabuhaga-pv6dg
@AndrewKatabuhaga-pv6dg Ай бұрын
Zinga Fala Sanaa, et ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂
@wilfredroberttv841
@wilfredroberttv841 Ай бұрын
Kama umemsikia zinga akisema ubaya ubwela nipe Tano 😂😂
@blackvirus8740
@blackvirus8740 27 күн бұрын
Hii ndo komment ni lo kuwa naitafuta
@KeziaLucas-x7d
@KeziaLucas-x7d Ай бұрын
Jamn Zumba ni Malaya sana😂😂😂
@ryankoech
@ryankoech Ай бұрын
😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
😂😂😂
@bableey192
@bableey192 Ай бұрын
UBAYA UBWELA ndani ya snake Boy 😂🙌🏽
@user-dz4vl7wm5n
@user-dz4vl7wm5n Ай бұрын
Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Leo imekuwa ya kwanza
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 Ай бұрын
UBAYA UBWELA ❤❤❤🎉🎉 TEAM CLAM VEVO NGUVU MOJA
@mungwetv945
@mungwetv945 Ай бұрын
Snake boy naombeni like zenu please msizingue jamani mimi ni nyoka kweli kweli
@Harun_kiba
@Harun_kiba Ай бұрын
Kitu mzuri lazima iwe na matayarisho Bora finally snake boy is out 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@IssaAbility
@IssaAbility Ай бұрын
Wa kwanźa mm kutoka Zanzibar
@DelachanceKiza
@DelachanceKiza Ай бұрын
Wakwanza toka 🇧🇮 nipeni hâta moja ndugu zangu
@IssaMangala
@IssaMangala Ай бұрын
Ameka ata ko Landa nga côté Oyo Nako Boma ye 🇨🇩 si tu es fier d'être congolais 🇨🇩 laisser un poil de liké ❤️ Iyi sinema Ina Enda Mbali Sasa 🇨🇩🇹🇿 ongera team Nzima
@user-ju9qw7ik9c
@user-ju9qw7ik9c 29 күн бұрын
Kazi nzuri sana Mr. Clam vevo🎉
@RaimamomedSaidi-wz1yu
@RaimamomedSaidi-wz1yu Ай бұрын
Mtu ukiwa mzuri nimtihan,na ukiwa mmbaya pia ni mtihan 😢yan uzur wahuyo dada umemfanya aazibike kimapenzi kila mfalme analala naye 😮hivi niupendo au ndio huo mtihan?🎉🎉🎉🎉 Kazi nzur hongeren sana
@allyshemaeze4817
@allyshemaeze4817 Ай бұрын
l
@HassanCoyo
@HassanCoyo Ай бұрын
KITU BILA KUNIOMBA ❤❤❤ clam VEVO unajua
@SelemaniIddy-nc1nf
@SelemaniIddy-nc1nf Ай бұрын
Daaah hii.move ninzuri lakini wanafeli kitu kimoja wanachelewesha kazi sijuw tatizo nn sema fresh tutazidi kuwa karbu na chanel yako ya clam vevo ❤❤❤❤the I
@BrytBryzl2
@BrytBryzl2 Ай бұрын
wanashoot movie zaid ya moja
@SelemaniIddy-nc1nf
@SelemaniIddy-nc1nf Ай бұрын
@@BrytBryzl2 daah
@hemedmgomi4450
@hemedmgomi4450 Ай бұрын
Dah!!!! Nmecheke xna Yan uyo kikono na kipala dah!!!!😂😂😂😂 Wemetisha Kama m2 furan iv uku mtaan kwe2
@pillynaya
@pillynaya Ай бұрын
hao wambea ndo wananikosha zaidi😂😂😂😂 so kwa kuwahiyana huko
@uzungupoint
@uzungupoint Ай бұрын
Clam vevo hongera kwa kutupa simulizi nzuri hii, naomba ufahamu kuwa kuna parody linajiita jina lako linakula views za kutosha na watu wamechukizwa sana. Tafadhali, litatueni hili.
@JamaliUssene-di1qm
@JamaliUssene-di1qm Ай бұрын
Nawakuba sana nawafuatilua mpaka mwisho ipisod
@zuhurahamadi9361
@zuhurahamadi9361 Ай бұрын
Snake boy inazid kuwa 🔥🔥🙌 Hongera san Clam vevo
@EspoirSamy-st5le
@EspoirSamy-st5le 29 күн бұрын
Zinga mkongo 🎉🎉 liki1000 APA kama uko mkongo
@wawerudavid_k254
@wawerudavid_k254 Ай бұрын
Yaani huku ni kuomba tu like 😂, badala ya kumpongeza Clam na team yake kwa hii series😂😂💔
@user-wi1jb8mb7o
@user-wi1jb8mb7o Ай бұрын
Msituchereweshee muendelezo tunawaomba sana mashabiki zenu skuiz mbacherewesha sana
@lizard5201
@lizard5201 Ай бұрын
Nipo chonjo tunafwatilia vevo sijui shida nn mmechelewa hv ila much respect team kubwa❤❤ mm ni wapili lakn mtu wa tano ananizidi like😂😂😂
@filibethluena
@filibethluena Ай бұрын
Nachojua Kuna kifo Cha Mzee m1 kati ya wale walioigiza
@angelraphael4500
@angelraphael4500 Ай бұрын
Hee 😢
@willykijanaa
@willykijanaa Ай бұрын
​@@filibethluenaUliyahulia wapi mwenetu hayo au umekuwa KIPARA na SENGO na wewe😂😂😂
@jennygabriel9253
@jennygabriel9253 Ай бұрын
@@filibethluena hatimaye kipara wa kwnye cmnt umepatkana😅😅😅
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe Ай бұрын
😂😂😂😂😂​@@jennygabriel9253
@SusanChidodo
@SusanChidodo Ай бұрын
Aliegunduaga zumba kabaka Kim gonga like ..
@joymasak
@joymasak 28 күн бұрын
Ni yenyee maa anajihic xn
@bashirlingardbwo6866
@bashirlingardbwo6866 Ай бұрын
Mke w mtukufu ana upwiru anatka miti (welcome Kenya🇰🇪)
@aganzeroger
@aganzeroger Ай бұрын
Mwakatobe akomi deko nabiso 😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩mabete🎉🎉🎉
@SumailAbdala-lf3ii
@SumailAbdala-lf3ii Ай бұрын
Wakwanza leo toka Moçambique Palma 🇲🇿🎉
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje Ай бұрын
Mwakatobe mpuuzi sana et ubaya ubwela
@VictorNgowi-rw9no
@VictorNgowi-rw9no Ай бұрын
Kanichekesha kinoma
@judithpendo9985
@judithpendo9985 Ай бұрын
Wa kwanza team strong mko wapi 🇸🇦🇰🇪♥️💞💞💞💞💞💞 Genz hoyeeeeeeeeee team strong hoyeeeeeeeeee Niko Riyadh apa 😢😢like please 🙏😊
@kawirakenya5279
@kawirakenya5279 Ай бұрын
Riyadh pia
@wassisindani7993
@wassisindani7993 Ай бұрын
Na furahiii Sanaa kwakutuheshimishaa Sisi wakonkomaniiii kWalugaa yetuu ya Congo DRC. Lingala,, Asante zinga
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu Ай бұрын
Wangapi tulijiongelesha vile hii tamthlia imeishia mahali pa kuenjoy zaidi😂😂😂 Clamvevo kazi safi sana 🎉🎉🎉
@levispaulnthesi6990
@levispaulnthesi6990 Ай бұрын
Leo niko ndani ya top ten nipeni na likes Nairobi Kenya 🎉❤
@saidihysn2212
@saidihysn2212 Ай бұрын
Tunataka kuona pambano la Zinga na Clam vevo wengi siwaelewi hata kidogo lakn Clam na Mwakatobe waigizaji waziri
@HAWAMAULIDI-zl5xd
@HAWAMAULIDI-zl5xd Ай бұрын
Mbona wote wako sawa tuu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
​@@HAWAMAULIDI-zl5xdkabisa yn
@graffinamisi
@graffinamisi Ай бұрын
Sasa ww hunatazama kitu yenye huelewi
@eliaselly915
@eliaselly915 Ай бұрын
Good movie nawapenda sana team clam vevo Elias elly from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@ErnestoSaideRafaelSaideRafael
@ErnestoSaideRafaelSaideRafael Ай бұрын
Clam anazidi anaka mda muingui alafo analusha to mojamoja angalau ukiwa unatulushia mbili basi ❤❤❤❤
@anthonylukala3637
@anthonylukala3637 Ай бұрын
Jamani tusikae kwa kumba like tu tunahitaji mawaiza kuhusu hii series wana chelewa sna weak mbili hatuoni kitu daaah sio poa
@wakasimadiatz
@wakasimadiatz Ай бұрын
Mimi sitaki lik wala chochote ispokua nilitaka niombe kwa clam naomba kwaniaba wa mashabiki wako wote kwamba mnaichelewesha sana bas mngejaribu angalau bas kwa wiki mkatoa season mbili maana tunachoka na kuisuburia hadi tunakata tamaa, kwa niaba ya mashabiki niseme asante
@user-cu9mo3rf4t
@user-cu9mo3rf4t Ай бұрын
Mimi wa pili leo nataka like za wa Congo vraiment
@dyloke
@dyloke Ай бұрын
Aujui mimi ni wangapi ila naomba support like yako
@RachideRachideeduardo
@RachideRachideeduardo Ай бұрын
❤❤❤
@SamiraSalim-sx7ie
@SamiraSalim-sx7ie Ай бұрын
😂😂😂kweli sijui
@wizzyscopy-j8q
@wizzyscopy-j8q Ай бұрын
😂😂💥💥clam we mnyamaaaaa sema unachelewesha kaz 2napata shid fans wakooo sema sikupingiiiii
@wizzyscopy-j8q
@wizzyscopy-j8q Ай бұрын
💥💥💥❤
@Elkapmuadi
@Elkapmuadi Ай бұрын
Onngera sana kwakuingiza luga ya kwetu dr congo 🇨🇩,nasepeli makasi koyoka bandeko nanga bozo promouvoir lokota na biso.
@HidayaUpendo
@HidayaUpendo Ай бұрын
😆😆😆😆😆 jogoo apandi mtungiii
@anualhemed6808
@anualhemed6808 Ай бұрын
Halafu mnachelewa sana halafu mnaweka dakika chake sana
@anualhemed6808
@anualhemed6808 Ай бұрын
Msichelewe sana🎉🎉🎉🎉
@Lion_Boy
@Lion_Boy Ай бұрын
Wa kwanza toka congo 🇨🇩, likes please
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
Ambao tunaokubali Series SNAKE..BOY...tujuane kwa like japo kuwa inacheelewa kutoka....😂😂😂❤❤❤
@Kayumbaboss
@Kayumbaboss Ай бұрын
Guys, I really agree with clam vevo guys, applause for clam VEVO
@VictoriaNzyela-ud4vv
@VictoriaNzyela-ud4vv Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
​@@Kayumbaboss❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
​@@VictoriaNzyela-ud4vv❤❤❤
@SalhaSamira
@SalhaSamira Ай бұрын
Tulikua tumechoka nakusubili😢
@DjelitoLumuna
@DjelitoLumuna 27 күн бұрын
Nimefurahi kwa luga Ya kongo ❤❤❤
@seifzayumba
@seifzayumba Ай бұрын
Ndio maan naipenda hii move ❤❤❤❤
@NGOMA_MUSIC1
@NGOMA_MUSIC1 Ай бұрын
🇨🇩🇨🇩 t'es vraiment méchant mec félicitations Clam un jour je voulais te voir au Congo mon frater 🇨🇩
@andrewcb9045
@andrewcb9045 Ай бұрын
Comment number 131 ni mimi kutoka kenya...kweli clam kenya 🇰🇪 Twakupendaa
@Carlos_furaha
@Carlos_furaha Ай бұрын
Kaz inaendelea !! 🎉🎉Leo nimewah like kwa clam na kasoso 👍👍
@OmaryHame-i2j
@OmaryHame-i2j 22 күн бұрын
UBAYA UBWELA...nakubal #Mwakatobe
@user-gv6iz2wd6d
@user-gv6iz2wd6d Ай бұрын
Kizaz mkuu❤❤❤❤❤
@DPShabani
@DPShabani Ай бұрын
Clam vevo bwana mambo yako yanatisha kweli, endelea baba tuko nyuma yako tu.
@DIRECTORJOHN435
@DIRECTORJOHN435 Ай бұрын
Tunashukuru Mungu kwa kupata ep 31❤❤❤
@SuhailKhan-p2i
@SuhailKhan-p2i Ай бұрын
Sidhan Kama Mnasikiliza Maoni ya VIWERS wenu.. Mnailaza sana hii tamthilia. Inafika wakat watu tunakosa hamu ya kuifatilia tena...plz zingatieni Maoni ya Watu
@user-bp6gm6un1t
@user-bp6gm6un1t Ай бұрын
Clam vevo gonga vyuma baba maaana huuu moto 🔥 nomaaa Sema jaribu kuachia vitu mapema brother please. ❤ support toka SOUTAFRICA
@user-no9hg9kr6v
@user-no9hg9kr6v 2 күн бұрын
Mpaka snake boy Kuna UBAYA UBWERA 😂😂
@yuleflexboy494
@yuleflexboy494 Ай бұрын
Wa kwanza leo kutoka Cape town
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic Ай бұрын
Waa Uko vzr clam vevo.....Wanisho from Qatar 🇶🇦
@user-yj4ld4gj5j
@user-yj4ld4gj5j Ай бұрын
Nipo Doha. Ww uko wap
@StevenMakanja
@StevenMakanja Ай бұрын
Duuu hatimae wametowa baada ya kusubili mda mrefu❤❤❤❤🎉🎉🎉
@bulimwenguichinge7431
@bulimwenguichinge7431 Ай бұрын
Tuna kukubali. Ila picha zako zinachukuwa muda mrefu kutoka. Hivyo utapoteza baathi ya waamgaliaji kuto tazama zingine picha zako. Baadaye ya hii kuisha. Jitaidi kubadilika. Ni feston toka MAREKANI.
@meresianaunami8337
@meresianaunami8337 29 күн бұрын
Nmependa kipara alvyopata mmbea zaid yke😂😂
@TitusMwange
@TitusMwange Ай бұрын
VEVO na team yako nzima mnanifurahisha sana
SNAKE BOY | ep 32 | SEASON TWO
41:00
CLAM VEVO
Рет қаралды 822 М.
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
CLAM VEVO
Рет қаралды 498 М.
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 8 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 35 МЛН
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 65 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full Episode /35/ #love
33:24
BabaJoan
Рет қаралды 353 М.
MKOBA WA BIBI |ep 1#clamvevo #kipalavevo #kakoso #mwakatobe #mwinyimkuu
20:58
AGANO (Ep 17)
25:43
ASMA COMEDIAN
Рет қаралды 26 М.
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
MAPOKEZI YA CLAM VEVO ALIPOFIKA CONGO 🇨🇩
3:39
CLAM VEVO
Рет қаралды 142 М.
NDUGU WA MKE WANGU EP 1
12:11
JICHO FAMILY
Рет қаралды 73 М.
MAGIC SCHOOL | ep 01 | FULL EPISODE
28:02
Dubu Tz
Рет қаралды 175 М.
MTOTO MTUNDU NASHEKHE WA MTAA
4:37
CLAM VEVO
Рет қаралды 262 М.
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 8 МЛН