SPIRITUAL TECHNOLOGY OF ALTARS [PART 1] || APOSTLE JOHN KIMANI WILLIAM
Пікірлер
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Waiting
@gladysmwaura-cm5ul6 күн бұрын
Tuned in 🙌 Diaspora
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Thankyou Lord
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Asante kwa wema, wako Asante kwa nehema na kibali.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Thankyou Jesus Christ for being with us , no matter what challenges we have faced Lord you never forsaken us.
@sarahwambui6256 күн бұрын
Thank you God
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Mungu wangu nilikua nimezuiliwa miaka mingi, mwaka Bwana ulitupa ufunuo kupitia kwa Mtumishi wako, naomba unibariki mwaka huyu na uniinue kwa viwango vingine katika Jina La Yesu.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Kama sio wewe Mungu sisi atungelikuepo, sisi tugeangamia but umekua pamoja nasi. Asante Bwana
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Mungu nakuomba tunapomgoja Mtumishi wa Mungu Naomba unitakaze roho yangu, pia unisamehe dhambi zangu asubuhi ya Leo, najiachilia mbele zako ee Bwana.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Asante Bwana Yesu
@annmueni-q8n7 күн бұрын
You are Mighty God I bless your Name 🙏
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Have mercy on us, touch our lives this year Ooooh God
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Thankyou Jesus, i love you so much
@annmueni-q8n7 күн бұрын
I worship you and give you the glory
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Bwana Yesu nakuomba unisaidie na unipiganie kwa hawa Maadui wanashindana nami.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Umekuwa Mwaminifu kwangu eeh Bwana.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
God as we are waiting for the word of God, I pray to visit me and intervine into my life.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Asante Bwana
@preciousjewelofficial6 күн бұрын
Umeniona BWANA
@annmueni-q8n7 күн бұрын
God help me this year oooh God i pray.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nisaidie Eeeh Bwana, nifanye jinsi upendavyo Eeeh Bwana.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nitakuabudu milele na milele.
@LawrenceKirimi-y4y6 күн бұрын
Uliniurumia bwana yesu ukaniokoa
@WinnieFelix-c2n6 күн бұрын
My God help me to know you more ameo
@WinnieFelix-c2n6 күн бұрын
Amen
@WinnieFelix-c2n6 күн бұрын
I receive the grace in Jesus name
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Mwakq huyu Bwana tuondolee kila malango yanaonizuiliwa katika Maisha yangu, katika kipawa changu, katika kazi yangu, naomba hayo malango yaondoke kwa Jina la Yesu.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Sisi hatutazuiliwa tena, Bwana najua unaenda kutuinua kifedha atuwahi ng'ang'ana tena, nmekataa roho ya stagnant iondoke kwangu katika Jina La Yesu.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nisaidie kudumu kwa neno lako na kulisoma kila wakati.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nijaze kwa Nguvu zako Eeeh Bwana naomba
@annmueni-q8n7 күн бұрын
I surrender before you Ooooh God
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nami nasema ntakutolea sadaka ya shukurani kwa yale yote umenitendea, pamoja na kunipigania.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Ijapo ya kutharauriwa na kutengwa na kuchukiwa bado wewe umekua pamoja nami.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Niumbie Moyo Mpya nakuomba.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Nakupa sifa zote asubuhi ya leo, uidimiwe ewe Bwana, upewe sifa zote maana ni zako.
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Mimi na Mwanangu Dancan tutakutumikia katika Maisha yetu yote.
@Ninawan-lb9jo6 күн бұрын
I'm a carrier of supernatural ministry
@annmueni-q8n7 күн бұрын
Mwaka huyu hatutazuiliwa, najua unaenda kuinua Biashara yangu.
@gabrielsimasi77916 күн бұрын
Amen Apostle 🙌 Kama Hiyo madhabahu ingekuwa ya kipepo Jacob angenyongwa...😂😂😂🤣🤣🤣 The alter was raised with Abraham.... 🤔