Simba ni timu nzuri sana tuache ushabiki wa upofu sote tumeangalia mpira ukiacha goli tu simba km timu imecheza vizuri sana matokeo ya mpira muda mwingine hua km bahati hatujafungwa kwa hali ya unyonge🦁❤❤❤
@agripamwakapesa3869 сағат бұрын
Subili mechi nyingine
@AshimuMuhammad8 сағат бұрын
We muongo kweli simba wamecheza Mpira Gani sasa wakati walicheza dk 20 za mwanzo tu bas then mechi yote kachukua ynga
@mjanthony48646 сағат бұрын
@@AshimuMuhammad unajua mpira kweli wee jamaaa..
@deogratiusmgute59833 сағат бұрын
Mpira ni mipango na tactics unaweza posses 80% na ukafungwa
@AminaTapwale-e5t2 сағат бұрын
Kipindi cha pili ulilala ujacheki..simba kuanzia dk25 ndo walicheza kabda ya gori simba walikua wanashambuliwa sana simba no fitness
@amadeucdenis42947 сағат бұрын
Muro aisee unajua brother kuchambua 🎉
@Robert-ev5hp9 сағат бұрын
Well said Muro
@SirajiZacharia3 сағат бұрын
Vijana walichoka kabra ya wazee😂😂
@ambakisyemwanjemba57874 сағат бұрын
Tuwaamini wachezaji wazawa maana baada ya wao kuumia timu ilipotea
@JonasManeno-n1l17 сағат бұрын
Simbaaaaa naiamin sana pamoja nayote tunapoelekea ?watatafutana sanaaa
@musamshema783817 сағат бұрын
Kwani wakatihuo yanga watakuwa wamesimama?
@georgegregory841416 сағат бұрын
Ndiyo maana koyoko siku zote hizi alikuwa amefungiwa mechi, anakuja na mahaba uwanjani hafai mpira wa Tanzania hautakuwa Kwa namna hii
@MussaMarwa-r8g16 сағат бұрын
Simba shida yao kumbwa wanatumia san ela nyingi san kuchajili wachechaji wengi wakati Wachukue wachechaji wachache ili wawe w a zuri hila w a napenda kuchajili wachechaji wengi awaweleweki😊
@melissa_garden15 сағат бұрын
Aiseeee Mungu siyo Kayoko yatakwisha tu
@melissa_garden15 сағат бұрын
@@MussaMarwa-r8gnyie si mnajua pesa zenu nyingi mnapeleka Kwa Marefa
@goldmansun58596 сағат бұрын
@@melissa_gardensimba wa kulilia marefa?😂😂😂😂,hebu angalien mechi zenu zote ,au mmezoea kubebwa siku mkikaziwa mnalia
@NassibAbdalla16 сағат бұрын
Kayoko mungu atakulipa kwa kuibeba yanga
@jangwanjaphet940015 сағат бұрын
Hajaibeba YANGA hata Mara 1
@issaabdi91297 сағат бұрын
Amewasaidia Mara mbili. Ile ya Dube beki alikuwa apewe red card maana alimfanyiavrafu akiwa the last man defender na ya pili goal kipa wenu kumuangusha musonda kumuangusha akifunga.
@JastinCharles-n6w6 сағат бұрын
Kayoko mungu akulipe sana penart2 za waz
@EnockHamis-q6r16 сағат бұрын
Ira kayoko daaaaaaaa😭😭😭😭😭😭
@RashidsaidLikanawandu15 сағат бұрын
Refa wa kibongo jau sana
@Asia-p5r8 сағат бұрын
Mmezoea marefa wenu wa mchongo waliowapa penalty dhid ya dodoma jiji
@kubuleabdul603215 сағат бұрын
Refa inabidi mumshauri awe fair
@OstenNikolai8 сағат бұрын
marefa wakibongo machokolaa
@thehustlerafrica43685 сағат бұрын
Kwanza faulo tulichezewa sisi
@JastinCharles-n6w6 сағат бұрын
Sawa bado mmetuchezea fault nying sana ila kayoko kuma kabisa
@NassibAbdalla16 сағат бұрын
Kayoko katumwa na nani kwani aje atunyime penalti
@mckobatz586116 сағат бұрын
Kashamba sana kale kajamaa yaani kanaudhi mnooo sijui ndio hela au ushabiki wake kwa uto maana kila siku kanatukamia sisi na sisi mashabiki hatuwezi kukatia presha kama ambavyo mashabiki wa uto walivyomtia presha Arajiga
Fungeni midomo kwanza nyie makolo ndo mtaifunga yanga
@DicksonMaganda5 сағат бұрын
Mpira ulidunda nje hivyo ilistahili kuwa kona lkn Kayoko alikuwa anachati tu na wachezaji wa yanga kwa kupeana mikono
@mazengojohn20909 сағат бұрын
Kila refa mbaya kwenu hamuoni aibu refa refa
@AljuhaniAllyy-dg4ld13 сағат бұрын
Yanga wanaweza rafu tu hawana lolote utopolo tu
@greysonkisinda73908 сағат бұрын
Nyie rafu hamjacheza? Kweli shabiki bumbuwazi hawa
@SylvesterKameo8 сағат бұрын
@@greysonkisinda7390Hakika huyu ni shabiki pumbuwazi!
@greysonkisinda73908 сағат бұрын
@@SylvesterKameo 🤣🤣 leo ndo wanaona hata marefa ,siku ile wamecheza na dodoma wakafanyiwa uhuni dodoma jiji walisema tunalalamika leo zamu yao
@SylvesterKameo4 сағат бұрын
@@greysonkisinda7390 Si Dodoma Jiji tu, hata michezo iliyotangulia wamekuwa wakifunga magoli ya off-side huku yakitetewa na wachambuzi uchwara.
@rajabujohn137316 сағат бұрын
Sasa kwauupande mmojatu Tena wasomba alizamilia kutuamga miza
@allyjuma96617 сағат бұрын
Guys msitukane wachambuzi na waamuzi mnakosea sana hizi comments zenu zinasomwa na watu wengi na wenye umri mkubwa kwenu
@franktarimo2714 сағат бұрын
Ubarikiwe sana kwa hekima yako
@georgenyoni98792 сағат бұрын
Kwa maana yake kayoko alifunika penalt
@AlanMbilinyi4 сағат бұрын
Goli la SIMBA,alichomoka KATIKA KUPIGA kichwa AKAPATA goli narefa aliibeba YANGA.
@NoamieNtumba4 сағат бұрын
Hahahaha Simba wana mpira mzr mnooo yanga wamebebwa next time inshallah tutakutana tena
@onesmothimos26357 сағат бұрын
Ebu angalieni vizuri kabla okejepha auja mfikia mpira na ikawa faulo mbona Kuna mchezaji wa yanga kaucheza na mkono mbona amu iongelei
@JoseMwaniswa4 сағат бұрын
😂😂😂 bado hamjasemaa nyie simba kwa yanga bado sana, achen kulia kama ma last born.
@PaschalJumanne-nn3lh4 сағат бұрын
Yanga hakunapotimu kunasiyasa kayokonigekuwamwenyekitiwasimba nigemunyosha asigesahau maishayakeyoteyahapaduniani lakinimwenyekitiwetuhanamachungu natimuyetu legal anafanyakaziyakekwa maelekezo inahitajikumuadabishalefa wa jana aliyechezesha simbanayanga
@georgenyoni98792 сағат бұрын
Sub ya kagoma iliwainua yanga kipindi cha pili inshort yanga ilikuwa aichezi first half
@ramadhanihabibu-xp3wd7 сағат бұрын
Chasambi chasambi chasambi anatatizo gani na kocha
@bakarihusen515616 сағат бұрын
Mwambie mama ako akacheze ndondo
@kubuleabdul603215 сағат бұрын
Muro mbona mmeshindwa kuchambuwa penalty 2 za simba kwenye azam Tv
@Asia-p5r8 сағат бұрын
Hazikuwa penalty usilazimishe mchanga kuwa sukari
@MADINAKITEMO3 сағат бұрын
Naipenda sana simba yangu
@RayaAli-y9j15 сағат бұрын
Mpra ulitoka
@DIVINEPROMISE-c1n9 сағат бұрын
Wachambuzi wachache sana wanaochambua mpira
@miangijunior43587 сағат бұрын
Kwanini mchambuzi wa mchongo kashindwa kuzungumzia faulo alizofanyiwa Kibu Denis Vipi amepaka ukakasi kwenye Hilo ilhali matukio mengine ameyazungumzia!!!? Hacheni unafiki."
@raphaelkessy73604 сағат бұрын
Simba hakuna kitu na bado ita fungwa tena na ubingwa hampati.💛💚💛💚🔥Yangaaaa Daima Mbeleeee
@JohnJoseph-qq7ow16 сағат бұрын
Sama nini,kayoko na arajiga ni marefa wa yanga huo ndio ukweli
@MLEGULA11 сағат бұрын
Mechi ijayo achezeshe Ahmed Ally na Mangungu
@JamesBwire-j4s15 сағат бұрын
Mpira ulitoka ilitakiwa iwe kona
@MLEGULA11 сағат бұрын
Mechi ijayo utachezesha ww
@KASSIMSHEHEMBA14 сағат бұрын
Ipo siku tutakuja kuua mwamuzi Kwa hizi rushwa na njaa zao unakataa penati mbili Yanga wanafunga goli refa unacheka ?
@Asia-p5r8 сағат бұрын
Ulitaka alie kwan ye ni shabiki?
@SylvesterKameo8 сағат бұрын
Alicheka kwa jinsi Simba walivyohangaika kujifunga!
@nicholauskilosa53368 сағат бұрын
Simba itafungwa mara 10 mfululizo
@barikimollel78907 сағат бұрын
@@nicholauskilosa5336Ni kweli Kwa kuwa Maelekezo lazima refa ayafuate
@IbrahimuMollel-d7e8 сағат бұрын
Marudio inasaidia nn ww
@MADINAKITEMO3 сағат бұрын
Kayoko anatakiwa asomewe halalbadri ili aokote makopo
@mwajumaseifu2168 сағат бұрын
Walipanga kutuumizia wachezaji wetu
@Rahma-t5t16 сағат бұрын
kayuko ni kuma
@thehustlerafrica43685 сағат бұрын
Kayoko anafirwa
@LucianaSintufya17 сағат бұрын
Wanawaumiza wachezaji wanaoona kikwazo na refa wao kuma la mama yake
@taseleli918116 сағат бұрын
Matusi sio sehemu yake pls tuwe waungwana kidogo tusifikie huko kwenye kutusiana.
@AlfaCharles-e8h16 сағат бұрын
Matus sio sehemu ya ushabik, af ni mwanamke ww tambua acha hzo
@LucyVictor-c9c6 сағат бұрын
Tatizo mnaongea sana.....hakuna mtu aliyeumizwa kwa kusudi....mpira umepigwa mwengi sana...kuni zimevunjwa sana pande zote......ila quality imeamua......bahati ilikuwa upande wetu tu,...maana waezaji wetu wengi hawakupata muda mwingi wa kupumzika after FIFA break, na wengi alikuwa na majeraha, na wengi wamecheziwa faulo za hatari sana kuliko upande wa pili.....Goli ni gili halali kabisa hakuna mpira uliotoka nje,...kubalini tu mmepoteza mbele ya timu bora, mwamuzi hajapendelea upande wowote, haha tofauti na Elisasi....coz Yanga wanasema simba alistahili Red cad lakin ikafinywa....na Simba anasema kanyimwa penalty lkn ikafinywa....yote kwa yote michezo yote mliocheza like kuu kabla ya kukutana na Yanga jana, ulikuwa na makosa mengi sana ya Waamuzi,..tena simba Alibebwa kwa asilimia kubwa kulinganisha na timu nyingene zote alizocheza nazo,.. Majoli ya Ofside na bado mlifurahi sana...Leo mnalalamika Kayoko mbaya.....kubalini tu Simba mbele ya yanga bado....wamewafunga mara 4 mfululizo na marefa 4 tofauti,...tatizo ni nyinyi wenyewe sio marefa.
@AlfaCharles-e8h6 сағат бұрын
@@LucyVictor-c9c wamekusikia
@LucyVictor-c9c2 сағат бұрын
@@AlfaCharles-e8h Sawa mkuu
@RushenVicta8 сағат бұрын
simba amnakitu kaka
@sylivanusbernard33257 сағат бұрын
Hamna kitu??wewe ndio una kitu?
@MLEGULA11 сағат бұрын
Simbwa ni timu ndogo sana, halafu punguzeni mdomo
@EmmanuelMandela-f7k7 сағат бұрын
Kama nidongo niambie mchezajiwako Alie ifunga goli jana
@PendoMatemba-ql1ng5 сағат бұрын
@@EmmanuelMandela-f7kkuna muda wawe wa kweli tu Akuna walichofanya jana wamshukuru kijili tu hicho ndicho wanapaswa kushukuru
@sarahmichael-on8vi16 сағат бұрын
kayoko ni kuma la mama akee
@ramadhanihabibu-xp3wd6 сағат бұрын
Camara sasa apumzishwe kidogo kama mechi kumi hivi atafakari maana sifa zimemlevya
@AbubakarSufian-z4w6 сағат бұрын
No brother çamara bado ana important kubwa sana
@fargakoigip60298 сағат бұрын
Mbona hamuisemi offside ya Dube kipindi cha kwanza nyie wachambuzi mnaongozwa na editing za Azam TV ...ilikua sinoffside na goli lingeweza kupatikana
@FrankMwisuwa16 сағат бұрын
Mtasema yote 😂😂😂😅😅mmepigwa
@mckobatz586115 сағат бұрын
Na kale karefa kenu ka Kayoko
@PendoMatemba-ql1ng5 сағат бұрын
@@mckobatz5861Akuna mlichotupiga mshukuruni kijili tu hilo ndilo la kushukuru
@yesayalori42765 сағат бұрын
Mpira baada ya kamara kukamata ulidunda njee ya uwanja. Hapo ndiyo VAR inahitajika
@RosePetro-ck8pt5 сағат бұрын
Ujasema bado,simba haina uwezo wakushindana namabingwa hawa,waulize mamelod
@PendoMatemba-ql1ng5 сағат бұрын
@@RosePetro-ck8ptAkuna mlichofanya mshukuruni kijili kwa kuwapa goli yani sijaona jipya kwenu
@SaddamBudi16 сағат бұрын
Simba bado san
@YamoraDidi16 сағат бұрын
Mpira wetu umekua wa pekee sana ILa safar ya ubingwa kwa Simba siioni
@EnockMbuna16 сағат бұрын
Mapema Sana kusema ivoo
@AlfredDeodatus16 сағат бұрын
Nyinyi simba ni wabovu tu ateba akacheze ndondo
@godfreyapolnary585615 сағат бұрын
Kwani kwa yanga nani kafunga
@MuyaHussein-v2r15 сағат бұрын
Nenda kacheze mwenyewe kama unaweza
@MuyaHussein-v2r15 сағат бұрын
Msenge ww
@AdamRashidi-n9g8 сағат бұрын
Mbovu mama kuma weeer
@Rahma-t5t16 сағат бұрын
nitamuombea dua afe
@SylvesterKameo8 сағат бұрын
Kumbuka dua ni msumeno inakata kotekote. Ukimwombea mwenzako mazuri au mabaya mnagawana nusu kwa nusu! 0:04
@LucyVictor-c9c6 сағат бұрын
Acheni kufanya mzaha na Sala ( DUA).....huu ni mpira tu.....Jiulize wewe unastahili kuishi mpaka sasa kwa ulivyowafanyia watu katika maisha yako!???kama na wao wakiomba dua ufe je utatoka salama!!??? by the way Mungu wetu ni mwaminifu sana...anafanya atakcho yeye na si tutakacho sisi..... la sivyo tusingekuwa hai muda huu sote mimi na wewe.....coz kuna watu tumewakosea bakubwa sana na huwezi jua alichukua maamuzi gani juu yetu. Kwa hiyo....weka akiba ya maneno siku nyingine.(USINENE UKAMALA).
@SylvesterKameo4 сағат бұрын
@@LucyVictor-c9c Umenena kwa uvuvio wa Roho wa Bwana!
@LucyVictor-c9c2 сағат бұрын
@@SylvesterKameo Asante sana
@DottoJohn-ku9fq5 сағат бұрын
Kayoko kuma ya mama yake
@AlfredDeodatus16 сағат бұрын
Nyinyi simba ni wabovu tu ateba akacheze ndondo
@ballackmasungura675316 сағат бұрын
Uyu mchambuzi yenyewe nisimba uwezi sikia akiongelea timu nyingine zaidi yasimba akuna uchambuzi wakitaalam ukitaka uchambuzi wampira ni mmoja tu bwanuke
@AljuhaniAllyy-dg4ld13 сағат бұрын
Kuma la mama yako ndio libovu
@SylvesterKameo8 сағат бұрын
Ushabiki wa matusi ni wa nini? Ukimtukania mwenzako matusi ya nguoni usisahau ya kwamba hata wewe umezaliwa na mama!
@ramadhanihabibu-xp3wd6 сағат бұрын
Mchambuzi ni Simba na wewe ni yanga Kuna kosa hapo@@ballackmasungura6753