KONDEBOY WA MCHONGO ALITAKA KUONA SHAPE ZA WAREMBO | WAMEMSUSIA NA KUONDOKA STEJINI S04EP14

  Рет қаралды 68,313

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 151
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 15 күн бұрын
Garby Wee ni Mwamba kwelii Brot Brot nakukubali❤
@LettyLussi
@LettyLussi 5 күн бұрын
Mwijaku kwa harmonize tena😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kwaiyo lazima kila mtu aseme harmonize
@shedrackboniphace7755
@shedrackboniphace7755 9 күн бұрын
Mungu aturehem coz shetan yupo serious na anakasi ya jabu Sana👉🏻👉🏻👉🏻Mjue Sana Mungu ili uwe na Amani ndipo mema yatavyokujilia🙏🙏🙏
@TabizaAa
@TabizaAa 6 күн бұрын
kabisa
@LukaJoas
@LukaJoas 13 күн бұрын
Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.
@Mgmweustz-p9u
@Mgmweustz-p9u 11 күн бұрын
@@LukaJoas we ndyo unamaisha magumu acha kudharau watu wew
@uwimanaLatifa-q4u
@uwimanaLatifa-q4u 9 күн бұрын
Kasema kweli bwana😂😂😂😂😂😂😂
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 15 күн бұрын
Hii style ya mr right kubadili style naipenda sana sana kuliko from 🇭🇰
@geagbtv5949
@geagbtv5949 15 күн бұрын
Hongera sana galaby umefanya vizuri . Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana . In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.
@Zahara-l3l
@Zahara-l3l 15 күн бұрын
warembo Wana msimamo kwakweli jamani😂😂😂😂😂nimewamiss sana 🫶🫶🫶🫶🫶🫶
@ValenciaJacob-o1t
@ValenciaJacob-o1t 9 күн бұрын
Namkubali sana konde wa mchongo
@EvaristeTchinkoma-oi5rq
@EvaristeTchinkoma-oi5rq 7 күн бұрын
GRB unajuwa jukumu lako quiet clever. Maana warembo wana ona mr Right chini juu nyuma mbele, Kwa iyo nivizuri warembo pia kuonwa nyuma, mbele.❤
@SamsonNzige-np9up
@SamsonNzige-np9up 3 күн бұрын
Hyo dda siwema mbna kla kpnd namuon shda anakbur san
@flm1530
@flm1530 15 күн бұрын
😂hawataki kuchaguliwa wameenda kufanyeje watu wanachagua kama nyama unaenda kula ukishiba unafwata ingine😂 hao ni kama machangudoa
@nicholasmiano8424
@nicholasmiano8424 15 күн бұрын
Ukweli fulani ndani yake
@PatrickSounda-r2i
@PatrickSounda-r2i 13 күн бұрын
@@flm1530 hi
@greydonalds4286
@greydonalds4286 12 күн бұрын
Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 12 күн бұрын
Kabisa
@restitutapeter-e1v
@restitutapeter-e1v 9 күн бұрын
Hawajielew
@jamilazahran4571
@jamilazahran4571 14 күн бұрын
Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽‍♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 14 күн бұрын
Kondeboy wa mchongo 😂😂😂jeuri😅😅
@LovenessWaibe
@LovenessWaibe 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mwijaku umeongea point sana yaan kimtu kinaiga na wakati hata hafanani hamo jamaniii
@EdwarJackson
@EdwarJackson 3 күн бұрын
Nakubali mr right
@Vigilancewambughamwaisaka
@Vigilancewambughamwaisaka 12 күн бұрын
Yes iko kenya,kitale
@LeylaSaria
@LeylaSaria 11 күн бұрын
Mwanaume mwenyew sas 😂😂et anajishaua kbsa na yey😅
@meedyshow8807
@meedyshow8807 12 күн бұрын
Nice gala b hakuna kubembeleza U T I izo 😢
@SalomGahi
@SalomGahi 11 күн бұрын
Gara b were ni king umenifurahisha
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 14 күн бұрын
Garabi anahekima 🎉🎉🎉🎉kwl
@Oman-k4j
@Oman-k4j 15 күн бұрын
Lulu hem jisitir baada ya uhai kuna kufa ee mja weee
@ajuwazaglodim7645
@ajuwazaglodim7645 12 күн бұрын
Yuko sahihi, Kitale is a town in Kenya
@FrançoisButoto
@FrançoisButoto 15 күн бұрын
Safi sn🎉🎉🎉
@JosephinaMsagala-m1l
@JosephinaMsagala-m1l 12 күн бұрын
😂😂😂 gara B ,bhna eti tutampata kajala ,
10 күн бұрын
Gala B wewe ni mwamba bro 💪🙏
@frankofficial53
@frankofficial53 15 күн бұрын
Wow i'm the farst person to watch and comment from Kenya mnipe like jamani
@STBONGOTV
@STBONGOTV 15 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@lavidaloca_255
@lavidaloca_255 10 күн бұрын
Si mlisema kenya mnajua kiingereza, farst maana yake nn sasa!?😢
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 15 күн бұрын
Safi garabi hawajuwi kazi
@Ym_classic_tz
@Ym_classic_tz Күн бұрын
Eti siwaoni😢😢😢😢
@AUTVEVO258
@AUTVEVO258 11 күн бұрын
Sijapenda sana gisi ao warmbo wamekata jamaa 😢😢😢😢
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 6 күн бұрын
Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano
@OmegaMatela
@OmegaMatela 10 күн бұрын
😅😅😅waremboo wanamsimamooo jamanii😢😢
@barakanyobeye6807
@barakanyobeye6807 4 күн бұрын
Katisha sanaa
@félixxjoséruto
@félixxjoséruto 2 сағат бұрын
Naishi mitume bro..duka lako liko wapi
@AmosShija-w2o
@AmosShija-w2o 14 күн бұрын
Bora kamekataliwa kana sifa mno😂😂😂😂
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 12 күн бұрын
Vichangudoa tuu hivyo vimeshajiuza vimechoka.😂😂😂😂😂😂 Vitoke mbele
@FrançoisButoto
@FrançoisButoto 15 күн бұрын
Merci beaucoup 14:13 ❤❤❤🎉
@SalomGahi
@SalomGahi 11 күн бұрын
Mwijaku mwijaku kiboko yaooo
@EmelyneManizana
@EmelyneManizana 15 күн бұрын
Mr Right wa leo shida kabisaaa 😅😅😅
@JustineMhagama
@JustineMhagama 9 күн бұрын
Hii ya leo nimependa shuka chini😂😂😂😂
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 14 күн бұрын
Hawa madem wa podiums dharau😅😅😅😅
@FaustineJanes-x3p
@FaustineJanes-x3p 8 күн бұрын
Uti ni noma xan
@AmmullyMonica
@AmmullyMonica 7 күн бұрын
Natamani angekuwepo dr Kumbuka😂wangechambwa hao wadada hadi wajisikie vibaya😂
@MwitaMarwa-s6u
@MwitaMarwa-s6u 10 күн бұрын
machangudoa walio changamka😂
@gracemugozi8436
@gracemugozi8436 Күн бұрын
Nimependa msimamo wa viongozi umenyoka
@nzeyimanaabdallah131
@nzeyimanaabdallah131 12 күн бұрын
Gara B mwanaume na nusu bro🫡
@bukurufreddy28
@bukurufreddy28 15 күн бұрын
Nimecheka leo😅😅😅😅
@Bether-w3i
@Bether-w3i 10 күн бұрын
Warembo wko vzr sana kwakweli I.
@rayahamisi118
@rayahamisi118 15 күн бұрын
Wanaume wanevaa eleni msikate tamaa ipo siku mtavaa pedi😂😂😂
@MaryanMaryam-lc1et
@MaryanMaryam-lc1et 10 күн бұрын
Kwakwel😂😂
@jameskiokote
@jameskiokote 7 күн бұрын
hahahhahah kama kweli vile
@avinkajuna708
@avinkajuna708 11 күн бұрын
Sasa wadada wenyewe viburi alafu wanataka kuolewa😂😂😂😂
@khasanaryhamady3968
@khasanaryhamady3968 10 күн бұрын
ww kama wanataka mume wakaubaliane na kila kitu kwa msakata cha uvunguni shart unamee kwan wamekuja kfanya nn apo waendelee kudanga
@Janeth-q7l
@Janeth-q7l 14 күн бұрын
Uyo jamaa analinga sana . 2
@Smilemaker_KE
@Smilemaker_KE 7 күн бұрын
Huyo n mwongo hana duka huko kenya😅
@ALYLUHUNDE
@ALYLUHUNDE 12 күн бұрын
Mwijaku mwenyewe ni mwanamke tu
@lakutsakizamedia5144
@lakutsakizamedia5144 5 күн бұрын
Daah hii show ina challenge mbaya
@kakururubambula7270
@kakururubambula7270 15 күн бұрын
Hapo kuna mdada anaitwa kyka daaa umeniua hatar
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 2 күн бұрын
YAANI WANAWAKE MNAJIDHALILISHA HIVI KWELI😂😂😂, KAMA ANACHAGUW NYANYA SOKONI😂😂😂😂, HAYA NDIO WANAWAKE MLIPOTAKA MFIKISHWE SASA NA MTAKOMA ZAID KILA SIKU ZIKIENDELEA, NDIO HAKI ZENU HIZO SASA YA MWANAMME MMOJA ANAKUBERUZENI KISHA ANAKUAMBIA HUFAI 😂😂😂, HIVI WANAWAKE HUWA HAMNAGA AIBU?!!!😂😂😂
@verowilly5822
@verowilly5822 11 күн бұрын
tatizo wanawake hawapendi hivo..mkak mambo mengi mikofia miwani yani muonekano mbayaaaa😂😂
@MzirayDunga
@MzirayDunga 7 күн бұрын
Hii imekaaa sawa😂😂wao wanapata nafax yakukuona vizur Alf ww unawaona uso tu
@SharifaHaruna-f3g
@SharifaHaruna-f3g 11 күн бұрын
ahahhahahah miez mitatu kaondoka na pia hiyo hiyo ndan ya miezi mitatu x wake kaolewa pia na mtoto juuu ahahahhahahah
@AllenSemkiwa
@AllenSemkiwa 3 күн бұрын
Hao waliyo baki wameonyesha heshima ya wanawake Tanzania
@goodluckrkterry7767
@goodluckrkterry7767 11 күн бұрын
😂😂wanajikuta ma kwini pumbavu zao wanaharibu shoo wamekaidi wamekuzalau
@VailethMushi-d3o
@VailethMushi-d3o 11 күн бұрын
We doctor gani na unatibu nini? Kuwa unavaa nguo basi!!
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 2 күн бұрын
Makwini au wazalilishwaji 😂😂😂. Mwanamke kama unachagua nyanya sokoni lingine linaachwa au hawa wanawake WENZENU wana roho za ngurue hawana aibuuuuuu😂😂😂, mie hua nawafananisha na wanyama tu type ya wanawake hawa.
@Aphrodite_1122
@Aphrodite_1122 8 күн бұрын
Mwijaku NdumilaKuwili😂😂 Mazafaka
@Yournextex123
@Yournextex123 4 күн бұрын
Huyu kaka kama kanywa jembe plus Kajeuriiii
@lakutsakizamedia5144
@lakutsakizamedia5144 5 күн бұрын
Yah ni Kweli Trans nzoia county na Kitale ndio mji
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 2 күн бұрын
Hawa wadada wanakiburi nani atawaowa sasa wanajitangaza halafu wanaringa tena
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 6 күн бұрын
Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA 12 күн бұрын
Wee lulu huyo jamaa anasema kweli kitale kwetu
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA 12 күн бұрын
Mimi mkenya napajua huko ako sawa kabisaa 🫡
@HalimaSwaleh-i9o
@HalimaSwaleh-i9o Күн бұрын
𝐌𝐡𝐡𝐡 𝐡𝐮𝐲𝐮 𝐦𝐫𝐨𝐧𝐠𝐨
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 6 күн бұрын
Lkn mnataka wenyewe kuzalilika mnafata nn hp
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 12 күн бұрын
Sasa si mnajiuza kwanini hamtaki kutoka mbele,,kwenda hapo tu CV ishashuka
@harunayusufu3226
@harunayusufu3226 14 күн бұрын
Kaka napenda sana maamuzi yako gara b ww nimwamba
@HijjaanamsaidOneman
@HijjaanamsaidOneman 7 күн бұрын
Sa wamekuja kifanya nn kama hawataki kuonekana jamaa yupo Sawa huez chagua MTU anaonekan kichwa
@LettyLussi
@LettyLussi 5 күн бұрын
Eti kichwa😂😂
@mosessimiyu6954
@mosessimiyu6954 8 күн бұрын
Hilo duka linaitwaje Niko hizi sehemu ya kitale mitume
@GeorgeWamalwa-z2y
@GeorgeWamalwa-z2y 8 күн бұрын
Kitale ndio mji mkuu wa Tranzoia County. Mitume ni baadhi ya miji midogo za tranzoia county
@agnatusbonephace1183
@agnatusbonephace1183 8 күн бұрын
Ivi kwanin hao wadada hawato story zao za maisha kama mr light, Maana wengne wameflash sana au wana watoto uko ubibini
@lavidaloca_255
@lavidaloca_255 10 күн бұрын
Tenki yu olzi bayi😂
@zenahasan7603
@zenahasan7603 12 күн бұрын
NIVIZURI. WAONEKANE. CHINI. HADI. JUUNA. IO. PASPOT. SAI🇮🇹🇹🇿
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 12 күн бұрын
Wanawake wenyew njaa kibao afu wanajikuta kama wanajiona wamaana sjui apo walikuja kufanya nn,nyalaida guririe
@godfreybernard5283
@godfreybernard5283 10 күн бұрын
Nimefuraha na garab umefanya niwe nafatilia mara kwa mara thank for all
@deamber775
@deamber775 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂mwijaku
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 15 күн бұрын
Mwijaku ni musalti kweli.. Âme saliti dogo wake😂😂😂
@officialbwoywalandlord1896
@officialbwoywalandlord1896 12 күн бұрын
Mcongo uyo jamaa
@shangweyussuf640
@shangweyussuf640 11 күн бұрын
Kitale siyo jiii la Nairobi. Ni nchi ya Kenya. Hapo mitume sijui
@Mikel-o9d
@Mikel-o9d 13 күн бұрын
Jamaa anaiga sana ukonde gang ni shida iyo 😅
@agnatusbonephace1183
@agnatusbonephace1183 8 күн бұрын
Duuh mbona sheria kali maana nikama nawana dharau ivi
@JohnBernad-r7z
@JohnBernad-r7z 15 күн бұрын
Brother ukipat demu niite CHOKUU 😂😂😂😂😂😂
@STBONGOTV
@STBONGOTV 15 күн бұрын
😅😅😅
@Mikel-o9d
@Mikel-o9d 13 күн бұрын
Kimemramba😂
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 6 күн бұрын
Sf sn kqnn awazarau ivyo kwa kuwa wao ndo wnashuda mnamchekea nn uyo jamaa anazarau
@nuriatihdjasumin1548
@nuriatihdjasumin1548 15 күн бұрын
Jamani kwa kweli leo sijapenda uyukijana hana heshima hata kidogo na anamazarau sana nahatofika fasi ametushusha heshima sisi wa dada 😭😭😭🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 12 күн бұрын
Hata kusimama kwenye podium ni kujidharau, kujidhalilisha, na kukata tamaa pia. Kwahiyo km ni dharau wanajidharau wao wenyewe
@JemesNIMBONA
@JemesNIMBONA 12 күн бұрын
Anahaki Kwanzaa mbona wamegoma!
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 9 күн бұрын
Muwazoom tuwaone vizuri wanavyoringa vinaendana?
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 15 күн бұрын
Walotoka walipwe bure ni sawa sana hii game
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 12 күн бұрын
Lulu kama kamwagiwa maji ya baridiii
@LettyLussi
@LettyLussi 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 15 күн бұрын
Ila huyu meujaku sio ahapo lol 😆 😂 🤣 mzee wa utata
@ericksonnabiswa2438
@ericksonnabiswa2438 8 күн бұрын
Mi mkenya ,mahali jamaa anasema ni nyumbani kabisa na maelezo yake yapo kamili
@JemesNIMBONA
@JemesNIMBONA 12 күн бұрын
This ladies I don't think they really want a man. There behavior shaw all!! So sad
@AshaRamadhani-r2o
@AshaRamadhani-r2o 15 күн бұрын
Apunguze sifaa
@SusanWangoi-l3r
@SusanWangoi-l3r 13 күн бұрын
Mwijaku ndio hananimaliza mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 15 күн бұрын
Hapo Gara B nimekusifu san kuonyesha msimamo huo
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 11 күн бұрын
Mnajikuta ma bikila maria yaone
@TatuJumanne-g6c
@TatuJumanne-g6c 8 күн бұрын
Uyu jamaa anawachkuliaje hawa
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 15 күн бұрын
Majaji mme feli mwusho kumsema jamaa huyo km hami looking lkn km hapa tayari mme fungiwa
@SamweliHozza
@SamweliHozza 15 күн бұрын
Hapo hakuna mke hapo kuna wakujipigia na kusepa Wadada dharau nyingi mmh
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Kipofu Awaliza Majaji; Tazama Hapa
4:15
Nyota Shine Tv
Рет қаралды 9 М.
GIGY MONEY THE REALITY - EPISODE 06
24:09
ZamaradiTV
Рет қаралды 19 М.
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
SALUH AKIIMBA SEYA BSS | MAJAJI WAKOSA LA KUSEMA |
5:27
SALUH Tz
Рет қаралды 123 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН