KAMA UMEIPENDA HII NGOMA COMMENT CHOCHOTE 👇NASOMA COMMENT
@chibudenga89773 ай бұрын
Mwendo wa kukopa tu 😂😂
@dastopadady24023 ай бұрын
Usinigasi najuwa una nidai haaaa🎉
@CharlesNkanda3 ай бұрын
Naomba no yako
@sultanrichardson54873 ай бұрын
Ingenoga sana Kam nngeskia saut ya msukuma " hatariiiii ogopaaaa"
@paxog3 ай бұрын
Kabisa aki leta maneno tuna zurumu 😂😂
@Shedrackzackariamwanyula-rs6exАй бұрын
Hakika huyu jamaa atafika mbali sana mungu aendelee kumtunza nakupenda sana stevu mweusi pamoja sana Kaka yangu❤❤❤❤
@lilpblackofficial99503 ай бұрын
Namba Moja Mimi hapa kutoka 🇧🇮🇿🇲🍺🍻like zangu mnipe hata Tano tu zinatosha
@liberatusjackson50453 ай бұрын
Wakimbiziii mmekua wengii
@nathanvinny96983 ай бұрын
@@liberatusjackson5045 hahaha
@talilmluchagula4173 ай бұрын
😢😢😂😂
@JackeWest-cz1dd3 ай бұрын
Kwa mungu hakuna ukumbizi kuma la mama ako
@ramadhanijohoiddi28993 ай бұрын
Unatoka wapi mbona bendera sijui ya nchi gani hiy
@NYENJENDEU3 ай бұрын
Ngoma kali saan nilikuwa naisubilia saana dancer nyanda😂😂😂 from ruvuma tz gonga like zakutosha hapAa😂😂😂😂😂😂😂
@onestartz3 ай бұрын
goma kali🎉
@user-bk3wg3ir4b3 ай бұрын
Steve vimba kaka umetoboa hii imeenda imeenda 😊😊😊😊
@AlexWambua-ki5vg3 ай бұрын
Pia sisi Kenya tutawakopa nyinyi 😂😂😂 naomba like zenu wezangu
@mgulambwacharles3 ай бұрын
Aisee sijawahi pata like kabisa nipe hata tatu tu 😂
@vbvvbgcvvcvg3 ай бұрын
Steve nakupenda na Mii nitakuzulumu kutoka 🇧🇮🇧🇮 Burundi naomba like
@Jaydannychawaboy.3 ай бұрын
Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AugustinOftheParty3 ай бұрын
Nimpenda hii Ngoma
@JamesMeshack-y83 ай бұрын
Nilikuwa naogopa madeni Ila Steve mweusi kanitia Moyo Leo naanza kukopa👊👊👊👊
@MashaMbwana3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@imanuelysanga24933 ай бұрын
Jidanganyeee OGOPAAAA😂😂
@MaryMatereadvicer0113 ай бұрын
😂😂😂😂
@FarajaDamas-tw5rj3 ай бұрын
Future comedian piga apa like #2
@qaseed20013 ай бұрын
doooh nyimbo kali sana keep pushing this song for treading
@jaydon33613 ай бұрын
Mwamba ninae mkubal kwenye swala la burudan ni Stive mweusi tu
@DenisAlly-qj1ir3 ай бұрын
Wakwanza naombeni like zangu
@Oyo1223 ай бұрын
Simba kilaka nipe like zangu kutoka Burundi nataman kumuona 𝐀𝐦𝐚𝐝𝐢 𝐊𝐢𝐣𝐢𝐜𝐡𝐨 ❤❤❤❤❤❤
@QuiterberriVugitsa-if8un3 ай бұрын
❤❤❤love it from kk 🇰🇪 bado nairudia kuwatch
@Perfect-migomigo3 ай бұрын
Kumbe Steve anajuwa kuimba kiasicho 😅❤🎉
@MweriJosephАй бұрын
Hakika br uko vizur kinoma kweli we ni Simba kilaka haswaa God bless you😂❤🎉🎉🎉🎉🎉
@musicaslocais39205 күн бұрын
Moçambique temos cidade denominada pemba, Kama ulikuwa hujui, acha like, nitakueleza vizuri zaidi
@6x6BEagle3 ай бұрын
Hongera Sana Steve nakukubali sana Colme Eselo B Eagle 🤟 Mwami Wabami 👑🤴💵🇱🇷
@nathanvinny96983 ай бұрын
Diamond/ dulla makabila hapa hamjafika. Talent hii bana..pamoja mweusi
@BLACKJINI23 ай бұрын
Haupo😂Br
@jpsalumuAwazama3 ай бұрын
félicitations ongela mweusi miminimukongo nakupenda Sana
@bmpiscoboy56743 ай бұрын
The fist fan of Drc🇨🇩
@alyerungaantoinnet78513 ай бұрын
Stive na kubalisanaa pokea mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤🇨🇩😘🇺🇸
@erastojr11953 ай бұрын
Steve mweusi nanyoosha mikono ww unajua sana🖖🖖
@sultanrichardson54873 ай бұрын
Ingenoga sana Kam nngeskia saut ya msukuma " hatariiiii ogopaaaa"
@adraiprotas560513 күн бұрын
U made it @gisha boy on fire 🔥🔥🔥🔥
@NuruMustafa-mm6tf13 күн бұрын
Nilichopenda huu wimbo hauna majina safi sanaa,utaishi sana miaka na miaka
@frankmichael19683 ай бұрын
Kumbe nzi akitulia anatengeneza tu asali mzuri
@JustBlack-py3rtАй бұрын
Mimi nimeipenda kinoma yani. Alafu mii nishabiki wako kufa na kuzikana kk Steven
@RuhuneKabose3 ай бұрын
Kubeunajuwakuiba Stvemweusi Wenyenibala❤❤❤lo Love
@user-rs1me3tp2m3 ай бұрын
Dio adajua kuiba
@OmmyConscious3 ай бұрын
😂😂😂
@Justin-eb2xn3 ай бұрын
Video queen ngosha 🤗😆🏃🚴
@katabaroonlinetv96883 ай бұрын
Video queen tena 😂😂😂wa kiume huyo
@Damagemweusi2743 ай бұрын
Kama kweli umeipenda ngoma hii añgusha like hapa
@MgolaKatemboАй бұрын
❤nakuelewa sana stivu endeleza kipaji chako namziki usiuache tunakupenda sana ❤❤🌹🙏
@erickmaudi3 ай бұрын
Nakubali Stive fro south Africa cap town
@elsiekendi17923 ай бұрын
Moto wa pasi huu,,,,all the way from kenya
@Josamjosam83 ай бұрын
We steve ni mwamba kwer kwer nakazia🛠
@user-ro2xh6fp5s3 ай бұрын
Jaman unajua sana baby boy ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 kasaut wow amazing
@miraxxyAfricana3 ай бұрын
🎉🎉🎉 miraxxy artist from Tanzania
@RibadNation-nu8kj3 ай бұрын
😃ozah Tuko Pamoja brother Steve
@zachariahtinega36963 ай бұрын
All the way from Kenya Nairobi...kali kweli...kumbe Steve kapita wote..
@fearful254Ай бұрын
Umenichemsha aki Mimi ni muigizaji kutoka Kenya nawapenda jirani zetu
@user-yp6pq5qd7u3 ай бұрын
All the way from Malawi 🇲🇼, kali sanaa
@ringoclever72083 ай бұрын
Hapa nimefungulia mpk mwisho kwenye bufa mwenye wote wanauliza goma la Nan nawambia chizi Msafi apa 😊😊😊😊😊😊😊
@BonithNimpagaritse3 ай бұрын
Mtoa liziki ni mungu haki, nyimbo safi bro, hongela kutoka kwa jirani hapa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@user-gg8yn7yd6z3 ай бұрын
Kabisa Steve big up sana nakukubali kutoka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@AnthonyWafula-ql8ci3 ай бұрын
Kazi poa brother ♥️
@KeymanMpjeneous3 ай бұрын
Nyimbo Nzur Video Mbaya Apo kungekuwa na Ujalisia Mtu anakopa
@SwahiliAmbasador9543 ай бұрын
Production moja kali sana hiyu jamaa ni moja kati ya comedian na TikToker wenye talent kubwa sana ukiliona nikama nilifala frani lakin unaaambiwa jamaa anajua kujali sana katika maisha yake mi nakuombea tu Mungu akubariki na akutangulie katika kila kazi stive ❤❤🎉
@espoirkipanza10 күн бұрын
Yani kupitiya iyi ngoma mwanangu styve Simba kiraka nazurumu ata pasta kanisani
@user-ts4zn1sx7h22 күн бұрын
Waoooooooooooooooooooo upo pa1 na Msukuma kaz ❤❤❤❤
@saumodzumbo96713 ай бұрын
Steve utafika mbali sana hongereni
@SaraMoraa-ji9df3 ай бұрын
Number Moja nipee ata like 10 kutoka Kenya
@amiriathumani4130Ай бұрын
Oiya steve uku sasa ndo uwanja wa nyumbani.....tengeneza ingine.....unajua sauti unayo.
@user-um6bn7dt7v19 күн бұрын
Ngoma kali kinoma steven ❤❤❤❤
@mkusirashiddullah-ms3op3 ай бұрын
Ndaro yuapi jaman❤❤
@elinapetro71363 ай бұрын
Angalia mpaka mwisho ndio uulize mbona yupo
@mkusirashiddullah-ms3op3 ай бұрын
@@elinapetro7136 naongea na wew na uyu🤣🤣🤣
@Addinjr87743 ай бұрын
Kwenye comedian wote huyu jmaa ndio anajua ss kuimba 🔥🔥🔥
@ErikianendovuluAmisiАй бұрын
Na Pia @Darkid anajua 🎉🎉
@user-zv6jm9nh7g2 ай бұрын
Dah!. Uko vzuri kka
@MamaMushikeli3 ай бұрын
👍👍👍👍💕💕 tumeipenda kaka
@Nyandakabundi3 ай бұрын
Ni HATARI
@govadimusic3 ай бұрын
Ugopaa hizi ni zawachache wewe hiiiiiiii Like nyingi kwa Steve na Nyanda kabundi🙌🙌🙌
@OmaryGentleman-ql4sn3 ай бұрын
Ogopa
@mayungachristopher7443 ай бұрын
Nyanda kabundi saf sana msukuma mwenzangu unatuwakilisha
@andrew05023 ай бұрын
Ogopa! Hizi ni za wachache wew! Lkn Nyanda umewashtukia hawa? hawataki uondoke Dar hahahahaaa.....
@jengenimsuva3773 ай бұрын
Ogopaa
@user-ph7fl3nh7l3 ай бұрын
Kaka stivu unyama uooo kama diamond haposti iyi ngoma tunamufata paka kwekeee Kaka iyi noma❤❤❤❤ natokeya Congo 🇨🇩🔥
@IbrahimuPaulo-ni8lr21 күн бұрын
Hwawezi fata moto wako mondi we ni next level Mkubwa ni Mkubwa tuuuu 💪💪
@JailosLuhanga4 күн бұрын
Mmetisha ndugu zangu, Keep it up.
@HELMANMWINGIRA-ob4fu3 ай бұрын
Umetisha mweusi
@KirimiJustoo-hs8klАй бұрын
Nakubali 😅😅ngoma moooto
@jacobmasha68963 ай бұрын
Kazii poaa, congratulations ❤❤❤
@user-rs1qk2hn8r3 ай бұрын
Steve umetisha sana, naomba like zangu jaman
@johnnyikuri22663 ай бұрын
Bro hii umeweza,great job from Kenya
@IsaacNapudjo3 ай бұрын
Aaaah!!Steve kazana 🎉🎉bro.
@SamuelAloo-qv3kg3 ай бұрын
Steve mweusi nakupenda huku kenya 🇰🇪
@touches4lifeonlinetv463 ай бұрын
NAIONA KWENDA KUA HIT SONG🎉 NA NAMBA MOJA TZ💥
@aliomarsalimosalimo73773 ай бұрын
Kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿 naijoi na kopeni
@user-zw9fj1fo3f7 күн бұрын
Ngoma Kali ,dogo ibraah Hana baya
@FrancisMwita-yr9ij2 ай бұрын
Nice one Steve nitakutafuta man n heet na ww
@Stones_media3 ай бұрын
team Steve muko wapi? likes zenu jamaani🙏
@mtawazoomarimtawazo69413 ай бұрын
Me ntakopa Ata mganga🎉
@EvaRamso3 ай бұрын
😅😅😅
@DendeaLutelemlaАй бұрын
Wow kumbe Hawa jamaa ni wasanii wazuri
@EdiAboolo3 ай бұрын
Steve Wewe fire 🔥
@user-cs1ih6dx2x3 ай бұрын
Simb kirak umetich hap bab❤❤❤❤
@JosephAntony-ec7vs3 ай бұрын
Noma san..jamaa kaimba serious kweli yan nikajua atachekesha oyaa imeenda familia ndaro anapenda ujinga ujinga😂 nyimbonzima kaona yy akae kwenye mzurum 😂😂 #KOPA
@antonioafonsomachai755210 күн бұрын
Steve mbona uko mozambique wewe aupendi ata like🇲🇿🇲🇿🇲🇿?????
@user-iz6ck7qm5sАй бұрын
Mungu akuze kipaji chako❤❤❤❤❤❤
@Poppy_TOPS3 ай бұрын
Wakwanza 😱😱😱🫡
@DanielMagidinga-ef2vb3 ай бұрын
Nakubali
@nicksonshimenga3423Ай бұрын
Kazi safi pure talent simba kiraka
@user-ti1ol3ti9j22 күн бұрын
Poa kabisa bro naku miss sana kutoka 🇧🇮 ❤❤❤
@HidayaMota-o3u6 күн бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥🔥hongera ukovizur kak
@GravitTaboi3 ай бұрын
Aisee kumbe we mkali tu ivi❤❤❤❤
@MathewNnko-e8v3 күн бұрын
Unapambana sana kaka big up sana
@kaksman56363 ай бұрын
Steve br umetisha .Ngoma kali sana . 👍👍👍💥💥💥💯
@lysterrichard841716 күн бұрын
Madance wanajua🎉🎉❤
@Omaxboyyussunize-d9cАй бұрын
Umeuwa kk pamoja Na mozambique
@Rockstardontonny2543 ай бұрын
Kali umeuwa Steve🔥🔥🔥🔥
@BrysonAswani2 ай бұрын
Kazi nzuri brother napenda hii ngoma sana
@EmilykuvunaKonzi2 ай бұрын
Iiiiih naijua iyoo 😂🎉❤
@mengecitytotheworld3 ай бұрын
Steve you got talent my man 🎉🎉🔥🔥
@CollinMartin-q3q26 күн бұрын
Tamu adi kwA moyo an❤❤❤ sana
@OmarioHoussensalimOmarioHousse3 ай бұрын
Ngoma kali Naipenda kirasaa naigonga 👏👏✍️✊🏽
@user-rf5sf4wl4e17 күн бұрын
Poleni kwa kuwakumbusha vita na shafii kwa video ya mwalimu nikuvalishe Pete 3 kuna kuoga Haa na hii ya ya mwaka jana ushaidi tosha mngetoa huu
@DhärbÿMäthölïАй бұрын
Nafurayi sana Steven mweusi nipee namba Yako ya sim mimi natokea DRC kongo