Safi sana nyerere waandishi wa habari n wanafik tu
@alimaalimaa60486 жыл бұрын
uyo mwana mke nimshenzi sanaaa
@stainasmkoko6046 жыл бұрын
Mwacheni akae peke yake mbezi mama kule si yupo anaona aibu mambo aliyofanya ya ajabu
@moringelangas72766 жыл бұрын
Halafu anasema anampenda sana marehemu mtoto wake;hata huko kuokoka kwake hakumsaidii k2 ni mnafiki sana.
@moringelangas72766 жыл бұрын
Huyu mwanamke wa ajabu sana,anamtesa mtoto kisa kulinda mchepuko.
@angelgodluck72406 жыл бұрын
Steve mmbea we we! Skupndagi mfyuuuu unanichefua
@tendatanzania83586 жыл бұрын
YESU kristo katika INJILI alisema; samehe saba Mara sabini Imeandikwa ; TAZAMA ya kale yote yamepita ya mekuwa MAPYA Mbona wewe MUNA huku samehe ulipo OKOKA Leo ndio unajidai kusema UKWELI Pole kwa ulokole jina YESU akirudi atawachukua walio wake. Msituaribie tulio okoka na kukombolewa.
@MemsapSaum6 жыл бұрын
Andrew John afadhali umfahamishe vizuri maana bado haja okoka ana ushetani dani yake
@fatumamwalimu57656 жыл бұрын
Stiven,wacha weee,sijakuewa ujue! Ila ongera hiyo kanzu imekupendeza
@queengee9886 жыл бұрын
Hngr steve
@zainabualtz14556 жыл бұрын
Inasikitisha Kuona msiba una zungushwa😭😭😭
@keifatuke996 жыл бұрын
Inavyoonekana mtoto ni wa Casto ila alikuwa amestilika kwa peter kwahiyo hata cheti kikaaandikwa Peter ila ukweli anaujua Mwenyezi
@tendatanzania83586 жыл бұрын
Wewe Steven NYERERE Unaingilia mambo ya MSIBA kama Nan.. Kama mwana familia Au ndio unatafutia KIKI kwenye misibani. Kanumba , masogange , Patrick n.k
@luckyvenance45766 жыл бұрын
Muna walimwengu hata uwe mchungaji utasemwa tu mama tulia na mwanao apumzike salama,
@angelemanuel85086 жыл бұрын
Safi Sana muna mpe mtoto baraka zaidi apumzike kwa amani. R.i.p patrick
@angelemanuel85086 жыл бұрын
Soma nilichoandika
@modestaabeli33896 жыл бұрын
Muna jipe moyo kwa kipidi hiki kigumu zikeni tu mtt wetu RIP pumziko la milele patrick
@elinahdaudi81956 жыл бұрын
Kwanini waandishi wanachimba sana maneno ya sio kuwa na maana jamani? Toka jana jibu limetoka kuwa msiba unafanyika Mwananyamala kwa Baba mzazi wa Marehem Patrick.Please guys tafuteni na habari zingine basi? What's so special here? R I P Patrick.
@luckyvenance45766 жыл бұрын
Steve ckupendi ya watu yatakuua
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
Mtu mfupi ila akili kubwa
@ismailhassanaly54206 жыл бұрын
Duh...huyu jamaa bhana
@majidmaryam54506 жыл бұрын
Group zinampoteza muna
@dianapeter95296 жыл бұрын
Kweli kabisa yaani anapotezwa mno
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Majid Maryam Exactly
@jumamiraji30816 жыл бұрын
Tatizo misiba yenu mnafanyia biashara bwa nyie ,mnagombea mwili wa malehebu wapuuzi wakubwa nyie mlazeni malaika wa watu sehemu salama alafu ndio muanze kumbea ushenzi wenu
@Sifam6346 жыл бұрын
SEREKARI YA TANZANIYA inabidi nayo ichukuliye hatuwa kwa wale wanaume wanao kataa mimba. Kwa kuwa Casto alikata mimba. Ni Yeye njo hanasababisha haya yote yatokeye. Ni haibu kubwa casto kushidwa kuzika mwanawe. Ikiwa mutoto ule hangerudi hangemushangaa. Baba yake muzazi.
@majidmaryam54506 жыл бұрын
Sifa Mug on go Castro anajua motto sio wake zile zikikuwa kiki muna ni mke halali wa peter
@mtaanitv39916 жыл бұрын
Muna ataoata tabu sanaaa
@zuhuramwalimushabani88366 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mtu mfupi Ana shida sana 😂😂😂😂😂Acha nizidishe maombi niweze kurefuka mie
@ashaali71546 жыл бұрын
Zuhura Mwalimu Shabani mrefu au mfupi kaumbwa na Mungu kama wewe kakupendelea basi mshukuru badala ya kukufuru.
@zuhuramwalimushabani88366 жыл бұрын
asha ali 😂😂😂😂😂😂kimekupata kipi na wewe looooh Umekosa la kufanya nikupe kazi? Kilikushinda nini ku comment mpaka ukajipenyeza kwenye comment yangu? Nenda katafute mwingine Acha kudandia trein kwa mbele
@josephinjoseph67996 жыл бұрын
jaman muna
@stainasmkoko6046 жыл бұрын
Ulokole huu hatari
@machelengamachelengafatuma68626 жыл бұрын
Huyoo.muna si.mumuachie tuu
@fazzikikuyu20886 жыл бұрын
machelenga machelengafatuma Salem 1
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
tatizo lako steve umebeba bango utafikili siku anabeba mimba alikuambia leo naena kulala na fulani alafu nipo kwenye siku za hatari mwachie mwenye muna muda ukifika wa kuongea ataongea kwani ukisema sijui chochote utabadilika jina au utapungua?
@happymwaseba94936 жыл бұрын
fatma fatma kweli umeongea.point hatuwezi jua muna ananini nawalifanyiana mini sisi tunaongea tu huwezi jua Hugo baba alimfanyia nini mpaka MTU kakomaa hivyo sindiyo
@jicholafursa70586 жыл бұрын
fatma fatma ?
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
+Dibam tz unataka nini na wewe
@selestineosoo50456 жыл бұрын
Muna wewe bado una trade na mtoto..
@kawawamamaya85436 жыл бұрын
selestine osoo yani kweli kabisa selestine uyu mama ni mfiwa lakini acha tu ni mtukane ( mshenzi mkubwa uyu mjinga eti limeokoka ovyo kabisa
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Alivyokuwa na wema alikuwa powa Sasaivi kajidai mlokole kapotea kabisa, ila muna utapata tabu sana
@mcisunga38226 жыл бұрын
Saumu Hassan unafikili Wema ndoo mungu Acha hizo bidada usimsujudie bidanadam mwezio kwa mungu kuna raha mpendwa
@furahanabaruma62396 жыл бұрын
Saumu Hassan kwani ulokole sio dini? mwenyezi Mungu hatachaguwa ulokole au uislam .matendo wamtu njo yatamutambulisha kwa mwenyezi Mungu nasiyo dini dada usididanganyeis
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Jane Edward Mwangomba kwani nimesema wema ni mungu, au ujui kusoma? Na umuoni asivyoeleweka kuna marafiki wanampoteza.
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Furaha Nabaruma Uislam ndio dini ya haki pekee kama ujui bac
@MemsapSaum6 жыл бұрын
Saumu Hassan analaana huyo sasa yani mpaka akalishwechini kwani mtoto hana babake ama kabasuka mtini huyo ni ibilisi sasa laana zake ndizo za muangaisha sasa yeye aluolewa ana cheti cha doa mtoto ana babake anacheti chakuzaliwa nini anachokalishwa chini kukubaliana nacho uwovu wake sasa wamponza mwenyewe ugonjwa wa mtoto alitaka ku ufanyia biashara sasa mungu kumuadhirisha amebaki hajielewi sasa
@rahima11126 жыл бұрын
Angekuwa mtoto damu ya Peter angekubali haraka atakama ulikwazana na mumewe lakn mtoto damu ya Castor peter kalea mimba2
@ashaali71546 жыл бұрын
Rahima 111 Usiseme usilolijua hayo ni maneno unayoyasikia waachie wenyewe wanaojua ukweli wayamalize mtapata dhambi zisizowahusu bure.
@prideofafrica_2546 жыл бұрын
Lakini mnataka kumbebesha muna dhambi mtoto ni wa castor mbona hamumuelewi muna??? Serikali ya Tanzania iko wapi?? Patrick kwa kweri sina say rest in Paradise baby
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
mama shree wee nae chenga kweli
@prideofafrica_2546 жыл бұрын
Hassanova junior am from kenya kweri sisi wakenya serikali inaingililia,muna for now she is confused,hata ingekuwa mimi mwenyewe ningechanganyikiwa ila naomba mtoto apumuzike Kwa amani
@jofymwaijofymwai21636 жыл бұрын
Tatizo renu mnakua kipaombere kamafuniko rachoo wewe nindugu au