Jamani nimewapenda bure, huyo dada anacheka vizuri sama 😘😘
@hodanawale80244 жыл бұрын
mee tooo i like his voice and also his wife voice as well # big respect # fun no 1 from London
@JumaMabera-es7xj Жыл бұрын
Fresh sana mungu awabariki katika safari yenu ya maisha ya ndoa nimewapenda sana
@oliviaanatory44154 жыл бұрын
Jaman Hadi raha naomba Mungu anipe ndoa Kama hiyo nimewapenda sana bureee
@jacklinelyimo74075 жыл бұрын
Dada anacheka vizuri sana yaani mwanaume akimuona anapata faraja ya kuwa nae big up umepata mke kwa kweli
@sheilahluchombo65706 жыл бұрын
Baby sky my all time humble lady 😍😍
@SimuliziMix6 жыл бұрын
😢😢😢😢jamani nawatamani ...mnani inspire sana kwenye mapenzi #Baby&Sky na imani ipo siku tyuuuu na me nitatimiza aliyoyatamani #Baby final yamekuwa...u'm #MissBillion
@asiahmariam39426 жыл бұрын
Masha'allah nimewapenda sana mungu awalinde mpendane mpaka mwisho wa uhai wenu
@gloriousabraham1286 жыл бұрын
Naitamani furaha kama ya kwenu jamn mungu awaweke sna muendelee kupendana
@jasminefaith1516 жыл бұрын
Inspired by this Story very Much. 🙏💕👌👌👌🌸🌺 God Bless your Marriage Baby Sky 🌌🎁
@neemaloy8892 жыл бұрын
Hongera sana Baby sky nakupenda buree!!! Mungu awatunze
@ladymashaallahilikeuaadvis9976 жыл бұрын
Masha Allah, Sky na mke wake hongereni
@janethtunakukubalisanagera5465 жыл бұрын
nice
@rugejoel60584 жыл бұрын
Huyu mshikaji nampenda sana aisee yuko vzr sana na mke wake anajiamini na anajielewa
@husseinbakary19694 жыл бұрын
Huyu sky ni bonge la mtangazaji nimeanza kumfatilia tangu RFA mwanza ana sauti amazing
@y6y6hg776 жыл бұрын
Jamani dada mpaka naumwa hongera sana Mungu awabariki sana
@fofomohammed62536 жыл бұрын
Y6 Y6hg Aamin inshaaAllah
@pigapesa10136 жыл бұрын
Wote Mr & Mrs sky Wana sauti nzuri.
@Floribert511 ай бұрын
Na mimi hiyo imenikuta kwa ku like picture kidogo ni pirwe
@annewanjiku526 жыл бұрын
Yani hii nayo ni nyingine miaka kumi na miwili na ulimpata mume wako kwa kuipenda sauti yake na ukafanikiwa hii nayo ilikuwa imepangwa kutoka binguni barikiweni Sana
@salmaluhombero98094 жыл бұрын
Beautiful couple may God bless your family Mungu anawapenda sana na nimewapenda
@mako3316 жыл бұрын
I like honesty and transparency in this couple
@tausihamad51105 жыл бұрын
Nawapenda Sana wote
@Beatrice-mj4me10 ай бұрын
Mungu naomba MTU Sahihi kama sky mtangazaji
@hidayaramadhani80316 жыл бұрын
dada ww nmekupenda bure,tabia yako km yng,mm mwnyw nilianza maisha na mume wng Ana chumba kimoja tu,na vitu kdg,tunaendana sn coz tumeanza maisha pamoja,ktk maisha yng ckutaka kuolewa na mwanaume tajir nkiamin kua angeninyanyasa,lkn nafurah nilimpata mume sahihi kwng na saiv tupo vzr kiuchumi namshukur Mungu kw hilo
@nellyfrancis32296 жыл бұрын
hidaya ramadhani
@nellyfrancis32296 жыл бұрын
hidaya ramadhani
@halimasaid49776 жыл бұрын
Alihamndulillah
@anethngowi21144 жыл бұрын
Waooo naomba na me iwe ivoo
@المهلهلالحراصي4 жыл бұрын
Kumkuta mwanaume ana nyumba ana hela ana gari atakunyanyasa mpaka ukome yani.mimi binafsi mwanaume alie toka nimesha simtaki kabisa kheri ugali chumvi wa amani kuliko ugali nyama vitani
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Naminaitamani furaha yenu mashallah mwenyewe unacheka vizuri mwenyeweee hadi raha Allah awadumishee
@jonathanmataka76194 жыл бұрын
Awesome.....................Love
@rickyfyne77953 жыл бұрын
Wow" so inspiring. Great Mr sky.
@afidhusultan49676 жыл бұрын
nimependa sana uko vizr Dada nimekuelewa mungu akutangulie kwenye ndoa yenu
@faithjonathan38456 жыл бұрын
huyu dada ana uwezo wa kumuambukiza furaha mtu yeyote..anavocheka mpaka unatamani aongee tu muda😍😍😍
@Mambwendekhan7 ай бұрын
Ana nguvu ya ushawishi tena kubwa sna na ananyota kali sana
@azorindege76086 жыл бұрын
best couple japo nimeijua hivi karibun
@josephinelittle66234 жыл бұрын
Ulifanya vizuri Sana baby sky, ni vizuri kuuliza Mimi lini ukipata right person.
@yussufamour86316 жыл бұрын
safi sana m.mungu akuzidishieni upendo
@hafidhhemed15144 жыл бұрын
This girl is so sweet, and she looks so innocent
@daudisimwinga13246 жыл бұрын
Best couple ever seen before
@serianjamal82545 жыл бұрын
Yaani siku zote nampenda fedrick bundala hususan sauti ya huyu jamaa but also nampenda baby sky kupita kiasi sasa nikawa nataka kujua mke wa huyu jamaa then i found out baby sky ndio mke wake ni furaha ya ajabu niliyo nayo strong couple in town
@fareda18476 жыл бұрын
Nilikuwa natfta Hawa mbona km wasimuliaji wa simuliz ya saut yan huyu Dada napenda anavyoongea kumbe anaitwa baby waoo ilove so much my sister
@fareda18476 жыл бұрын
Mm cmuliz ya kimo mmeniacha njia panda
@clementrogart32163 ай бұрын
Ilikuwa ni interview nzr sn lakn kwa bahati mbaya sana wanaofanya nao interview hawana weled wa kazi niseme. Sio maneno mazur lakn i wish wangeojiwa na millard pengine
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
Allah bless ndoa yenu
@ummydaudi49406 жыл бұрын
😍😍😍😍best couple ever
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Bby ana tabasamu zuri sana mungu awabariki
@beautywithnay59745 жыл бұрын
Nawapenda sana walay baby sky na mumewe 😘😘😘😘😘😘😘
@ashurathomas4826 жыл бұрын
Dah jamani jamani huyu kaka nilikuwa nasikiliza sauti yako dah ilikuwa ananichanganya sana dah nashukulu nimekufahamu na pia nimefurahi kuona unamwanamke anayekupenda Mungu awazidishie Amani.
@ladymashaallahilikeuaadvis9976 жыл бұрын
Naam, Baby congratulation mapenzi sio pesa
@rizapeter16126 жыл бұрын
naomba mungu na mm anipe wakunipenda nisahau maumivu yote
@anneamor61926 жыл бұрын
Utapata dear Mungu hupeana haja za moyo wako
@cestlaviecestlavie46066 жыл бұрын
yoh zidi kumuomba Allah atakupa...
@hasanimikeyo88935 жыл бұрын
Chukuwa number yangu ya whatsapp +12088635077
@danielkiroka63314 жыл бұрын
Npo apa mamy nakuaid sana sitokumisa
@anicyaedward56054 жыл бұрын
Amina me too I wish 😢😢baby sky is like me jamoni akipenda kapenda analizikaw !!! May God bless you guys !! I love them 😍
@hidayaramadhani80316 жыл бұрын
kwel nmeamin ndoa hupangwa na mungu,mlikua hamjuan lkn mungu aliwakutanisha kw makusud kbs,Mungu awajaalie kila la kher ktk ndoa yenu
@elieshishamy99025 жыл бұрын
Sky nakukumbuka kitambo line police musoma pale Kwa bro wako na Radio Victoria badae ukasepa mwanza. Big Up Bro
@beckybericsm52896 жыл бұрын
I love u ths couple I follow thm thy work together well.
@LindaMbilinyi-n3n5 ай бұрын
Sema dada punguza kucheka sanaaa maana unaonekana km kahaba kaona noti
@shaphyvuai68056 жыл бұрын
Namkumbuka jamaa anajiita sky woka enzi zile RFA jamaa yuko vizurii sana sky
@festoedward19026 жыл бұрын
Nuhu Salim @ndiyo huyu huyu alikuwa rfa mwanza
@ramadhanimohamedisheshe70734 жыл бұрын
Ndio huyu...Fredirick Bundala...alikiwa RFA..
@ukhutfatumah11543 жыл бұрын
Mr&mrs nawapenda mno wallah Allah azidishe mausiano yenu........ 6/10/2021
@williamsonbais91316 жыл бұрын
big up sana sky woker. enzi hizo radio free katika ubura wake, akina fredwaa. godifrey kusorwa.hakika ilikuwa radio bora.
@fatmasalima38474 жыл бұрын
Mash Allah ❤
@akwelinajuma98196 жыл бұрын
sky na baby nawapongeza sana mahusiano yenu mungu ayabariki niliwahi kumpenda mtu lkn lengo tulipanga halikutimia popote alipo nimempoteza kisa wivu wangu nazani mungu anipe mbadala wake tupendane km nilivyompenda Samwel
@samwelipaul90142 жыл бұрын
Nipo hapa.
@chrispinandanu32966 жыл бұрын
jamon yan sweet story inafanana fanana na kastor flan iv cha mtu flan 😘
@esternzumbi18886 жыл бұрын
Duuh nimependa wanavyoishi mungu awabariki zaidi
@Floribert511 ай бұрын
Hatari
@Sisopotashiumz4 ай бұрын
😂😂😂nimependa saaana na kufurahii
@neemajames513729 күн бұрын
Dada mtunze sana Sky ni mtulivu sana.
@TheSalma19996 жыл бұрын
Umbea suna nimewapenda I wish ningepata mume mwema tukacheka kila siku hiyo ni baraka kubwa kutoka kwa Mungu
@youngassaidy78456 жыл бұрын
salma luhombero usjl inshaallah utampata
@kwzjkwz35326 жыл бұрын
Mungu ni mwema utampata
@lightjames91514 жыл бұрын
Utapata
@judithmkopoka92906 жыл бұрын
jamani adi raha mungu saidia nimupate wangu Na mimi
@ichukagaum97326 жыл бұрын
Nampenda huyo dada
@cadzabibu98715 жыл бұрын
Ukomuwazi kweli
@rosemahengenicemcpilpil33276 жыл бұрын
didaaaaa jaman nakupenda bureee
@jeffs90174 жыл бұрын
2020 na Sky
@maryamoman59265 жыл бұрын
Babey mzuri mashallah nasauti yake npenda sana
@magdalenandwete39053 жыл бұрын
They are so lovely 🥰🥰
@videlialabeka48994 жыл бұрын
Sauti ya baby♥️♥️♥️♥️♥️
@hamidahamadi36096 жыл бұрын
Kiukweli ukikaa n mtu kw mda mrefu unahisi kunamuda huwezi ishi bila yy
@evancekimath74053 жыл бұрын
I like that.... !!
@shuwanyotaclassc18496 жыл бұрын
unankumbusha mbalisana bro nmekusoma kwenye ofa ya Vonda com mupendane bhana tuna waombea sana
@maryamoman59266 жыл бұрын
Mashallah unakili wewe mwanamke
@ansuhlaly51406 жыл бұрын
Nawapenda sky na baby namuomba mungu atufanikishe mm na boy wangu tuwe kama wao
@mamafatuma1384 жыл бұрын
Ma sha Allah Allah awasimamie in sha Allah
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo sana
@pigapesa10136 жыл бұрын
SnS is the best in Tz blog.
@fabianjulius52746 жыл бұрын
Happy with this,, mtu hukuwah Mjua before anakuja Kua had marriage.
@judithmkopoka92906 жыл бұрын
jamani mungu nisaidie Na Mimi nimupate kama wangu
@khalfanmkumba50096 жыл бұрын
mashaAllah
@Sisopotashiumz4 ай бұрын
Dida muhuni noma saana😂😂😂😂nakupenda dida
@swaumumustaphamapondanga47076 жыл бұрын
Mashallah jamani hd raha ni full furaha mwenyezi mungu awafanyie wepesi kwa kila jambo inshallah
@gibsonjosephat63526 ай бұрын
Ila jamaa ana sauti Moja amazing Sauti ya kutangazaji.
@luciangeorge46426 жыл бұрын
dida hodari wa kusoma chuo na analipa ada yote lkn hamalizagi semister
@chainassnga18404 жыл бұрын
Mm namkubali sky tokea yupo radio 3 africa mwanza
@cherryprince34006 жыл бұрын
wow sweet couple jamani 😙😙
@ayshabayun90144 жыл бұрын
Tel them baby wanapenda wakute mabangaluu ma BMW x5 hawajui watu wametoka mbali isitoshe mume ulieanza naye maisha atakuheshimu na hawezi kukuacha kiwepesiwepesi see how sky talking on anavyomuheshim baby I..alhamdulilah
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Alafu anakuja eti kidumu nyoooooo! Watu wametoka mbali ati! Unaingiliaje couple kama hii
@rahmabenta83495 жыл бұрын
Ndo hapoo sasa
@dorisurio80014 жыл бұрын
Hongereni sana wanangu
@munam71044 жыл бұрын
Wow well done guy's
@ashuraabdallah44365 жыл бұрын
Mash Allah
@rosecharles2075 жыл бұрын
hongera dada upo vzr
@hassanparamana22153 жыл бұрын
😂😂😂 hatari sana maisha yana histori kali sana...!!! lkn powa
@t33pelos776 жыл бұрын
jomon me nawapenda sana mr&mrs sky
@tellymapito87266 жыл бұрын
Mimi ninamiaka ishilini na moja Nina mchumba nilikua naogopa kumpeleka mchumba geto coz Niko kwenye levo ya kitanda na kigoro cha siles ila mmen funza kuwa mapenz sio vitu vizur au pesa senxy
@samirahassan31546 жыл бұрын
MASHAA LLAH
@ashaahmedi79406 жыл бұрын
kweli Dada mapenzi sio pesa,mapenzi ya kweli ndo hayo,mungu awalinde zaidi
@abdulazizsharif29846 жыл бұрын
Samira upo?
@rutashubanyuma45466 жыл бұрын
Sema ana kaubonge fulani ivi kama ka rihamma bby sky ufanye mazoezi mwili huo utakuharibia
@verynicethifilmnuur1alrahb8874 жыл бұрын
Mashaallah ndoa yenu izid kudumu
@hidayaramadhani80316 жыл бұрын
story ya kukutana kwen inataka kulingana na yng na ya mume wng,tofaut ndogo sn,daah,mmenikumbusha mbali asee
@marykarebeti94106 жыл бұрын
Nimewapenda Sana kwa ukweli na uwazi wenu. Nimejifunza kitu hapo
@esthermnyasenga18086 жыл бұрын
acha kucheka Cheka ovyo
@williamiranga77154 жыл бұрын
Noted you SNA!
@thauratali36566 жыл бұрын
Mashallah wanaonesha wanapendana sana
@tumainimwaifunga38846 жыл бұрын
Baby umeongea vizuri sana, mabinti wa sasaivi wanataka mwanaume menye nyumba, gari zuri
@المهلهلالحراصي4 жыл бұрын
Cyo tunataka wanaume wenye hela na majumba na magari ambao hawana uwezo wa kaoe wapi