SUGU: SPIKA NDUGAI ASITUZUIE KUONGEA/ SIKUMTUKANA RAIS/ NIKIDAI FIDIA SIKOSI BILIONI 6

  Рет қаралды 119,103

Wasafi Media

2 жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#MsumariWaMoto #JosephMbilinyi #Sugu

Пікірлер: 125
@salumugidion
@salumugidion 2 жыл бұрын
Nammiss sana jamaa alikuwa vizuri sana Bungeni. Kwanza alikuwa na akili sana kuliko wetu Bungeni 🙏
@arthurmushani4745
@arthurmushani4745 2 жыл бұрын
I like your song Haki big up Sugu it has a big msg.
@yojoruta3379
@yojoruta3379 2 жыл бұрын
Sugu is the Legend
@abeidmrengaofficial1792
@abeidmrengaofficial1792 2 жыл бұрын
Nimefurahi kusikia kaka Sugu akisema Alhamdulillah..Allah ukufishe Muislam in sha Allah.
@ramadhanilianje4048
@ramadhanilianje4048 2 жыл бұрын
Huwez kufanya biashara kama hauna akili,kwa kifupi huwez kumiliki pesa km hauna akili,noted!
@batistermbwana8440
@batistermbwana8440 2 жыл бұрын
Big up Mr 2 kwa interview nzuri
@shukranitv2971
@shukranitv2971 2 жыл бұрын
Excellent sugu
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
Yani tumekosa watu muhimu wakutuongelea mambo yetu binafs bungeni, maana anaeingia kwa kura halali huyu ndie chaguo la Mungu maana hakuna ushetani uliomfanya kukalia kiti, kwahio hata UTUMISHI wake unakua wa kimungu sio wa kishetani, hata maamuzi yake Yana hekima ya kiMungu sio maamuzi ya kishetani
@barakanatus5676
@barakanatus5676 2 жыл бұрын
Nataka niwakumbushe huyu ndo mbunge wa kwanza Tanzania kwa kupita kwa kura nying kutoka kwa wananchi wake, pia ndo mbunge wa kwanza kupendwa zaid na wananchi wake, pia alikuwa Karibu na wananchi.
@ibrahimgabriel4828
@ibrahimgabriel4828 2 жыл бұрын
Nimeipenda hii interview aisee
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 2 жыл бұрын
Safi jongwe
@effortmsossy4271
@effortmsossy4271 2 жыл бұрын
Interview nzuri sana...Jongwe yupo sawa
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 2 жыл бұрын
Sugu is really bright!
@jafarymkapa4905
@jafarymkapa4905 2 жыл бұрын
Heshima yako sugu
@josephatmakuka4860
@josephatmakuka4860 2 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema
@danielmwakitalima2118
@danielmwakitalima2118 2 жыл бұрын
Wa kwanza like
@misanyamisanya7499
@misanyamisanya7499 2 жыл бұрын
WATANGAZAJI MWACHENI MGENI AMALIZE KUJIBU SWALI NDIO MUULIZENI JAMBO LINGINE. INAKERA SANA SUGU BADO ANAELEZEA KISHA NYIE MNAMCHOMEKEA CHOMEKEA TENA VISWALI KATI KATI YA MAELEZO MNAUZI SANA. LIFANYIENI KAZI HILO
@ibrahimgabriel4828
@ibrahimgabriel4828 2 жыл бұрын
Jamaa Ana confidence ana talent ya hali ya juu Mungu Akuweke kaka mkubwa
@patelmpene3650
@patelmpene3650 2 жыл бұрын
Your on fire 🥂
@davidjackson700
@davidjackson700 2 жыл бұрын
✊ Sugu
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
umeongea point sana mh, mbunge wetu wa kuchaguliwa. sisi tunakutambua wewe kama mbunge wa mbeya na rais wa mbeya siyo huyo aliyeteuliwa na tume ya uchaguzi ya ccm na kutangazwa
@barack.A-Mtulo
@barack.A-Mtulo 2 жыл бұрын
Mh Mbunge ✌🏼
@apollojohn5698
@apollojohn5698 2 жыл бұрын
"siregret, nilichokozwa"😂😂
@nilisu1148
@nilisu1148 2 жыл бұрын
Saf sana
@georgeabel7830
@georgeabel7830 2 жыл бұрын
Sugu upo vizuri na nimegundua Chadema inawatu wengi sana hasa vijana wenye uwezo wa hali ya juu kuchambua mambo na kufanya mambo kuliko CCM
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 2 жыл бұрын
Safi sana kipind kizur
@iam_deo
@iam_deo 2 жыл бұрын
Excellent Interview Brother Sugu
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 2 жыл бұрын
Bless up JONGWE
@bengang3265
@bengang3265 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/paLVlGWHpqx7sMk
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 жыл бұрын
Ni kweli unatisha brother Sugu,hata Ndugai na tulia wanajua
@divothdomician4061
@divothdomician4061 2 жыл бұрын
🔥🔥
@zubermkumba3035
@zubermkumba3035 2 жыл бұрын
Uko vizur sana mbunge wa 2025
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Sugu safi sana. Ia kuh. Wamachinga ni suala la utofauti wa Uongozi period.
@mohamedvuaa1579
@mohamedvuaa1579 2 жыл бұрын
Sugu suguru #rpcmnoko#mzeeanakupenda “jomgwe jongongwe”**tumepunguza usela wa kisheria Bungeni ola sugu bro mia mwanangu ila usisahau kua CCM tunakukubali na tunakupenda
@anordelias
@anordelias 2 жыл бұрын
Kaka wile naomba unisaidie niwasiliane na sugu
@denisharris2889
@denisharris2889 2 жыл бұрын
Jamaa namkubali. Sijawahi kumsaliti. Mwanahiphop bora kuwahi kutokea nchini
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 жыл бұрын
Kuna tofauti ya kuwa na wanasiasa na wana harakati. Sugu ni aina ya watu wanaofanya harakati. Nchi ikiwa na watu wa namna hii husogea. Lakini ikijaa wanasiasa hakuna kinachofanyika, au hata kikifanyika huchelewa sana.. mwanasiasa ni mwepesi kubadirika na kujiangalia yeye na maslahi yake. Mfano ni Haji Manara, huyu ni kada mkubwa sana wa CCM.. kalelewa ki uana siasa. Ni shabiki na mwanachama wa Simba lakini kwa kua ana element za uana siasa leo yupo Yanga na anaihujumu hata Simba.. hizi ndio tabia za wana siasa hasa waliopikwa na CCM
@georgeabel7830
@georgeabel7830 2 жыл бұрын
We jamaa unaakili sana sana ngumu kuona watanzania wanafanya analysis kama yako. Upo vizuri kaka Mungu akupe weledi zaidi
@zedekchamagogo1223
@zedekchamagogo1223 2 жыл бұрын
Exctly
@gosbertrugaimukamu7383
@gosbertrugaimukamu7383 2 жыл бұрын
)
@danielsanga8459
@danielsanga8459 2 жыл бұрын
Jamaaa anakatiswa majibu pale anapo jipu swali la siasa mfano kushawishiwa kujiuunga na ccm kwann mnamkatisha
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 2 жыл бұрын
Kumbe naww umeona na kusikia Kama mimi!
@peterkileo3861
@peterkileo3861 2 жыл бұрын
Elegant presentation,respect to u Sugu
@nyotamy3678
@nyotamy3678 2 жыл бұрын
🤸💯👌♥️✌️
@festoasanga5572
@festoasanga5572 2 жыл бұрын
Baado ki roho huyo ni mbunge wa mbeya
@jovinkabyemera1703
@jovinkabyemera1703 2 жыл бұрын
Mwishowe wwtasemana walivyopindua meza kibabe uchaguzi Mungu namoenda anajua kuumbua wwnafiki hii 2022 inakuja na mengi
@NeneMedia
@NeneMedia 2 жыл бұрын
kipindi kizuri lakini camera works inabidi muiweke kwenye kiwango cha kipindi chenyewe...
@ibraton4071
@ibraton4071 2 жыл бұрын
hawa wamemuhoji SUGU alikua too much kwao mi naona wameshindwa SUGU mkubwa sana kumhoji wakina zungu maswali soft
@demankidu_0093
@demankidu_0093 2 жыл бұрын
big fact,uwezo wako wa kufikir nafikir unaendana namm,mahost ni wadogo sana,sugu ni legend flan iv
@hojabinafsi1471
@hojabinafsi1471 2 жыл бұрын
Muwe makini kwenye kupozi, kuswich na intervention isionekane kama mnapushiana na hii itawaletea mtiririko mzuri zaidi
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Zijuwe athari za kuwa na bunge moja ktk nchi
@stevenkayitare8955
@stevenkayitare8955 2 жыл бұрын
Sugu kaongea ukweli
@chalesallen8582
@chalesallen8582 2 жыл бұрын
Hamjui kuhoji muigeni miladi ayoo
@zarinatv2024
@zarinatv2024 2 жыл бұрын
Jaman me kiukwel huwa sijui chanzo hasa cha ugomvi kati Ruge na Sugu, anaejua naomba anieleze tatizo ilikuwa nini japo hata kwa kifupi tu🤔🙏
@mayaally2512
@mayaally2512 2 жыл бұрын
Sugu alipata dili la mradi wa malaria USA wa bilioni za hela Ruge akaidaka idea akawahi kwa kikwete wakazipata clouds hizo fedha
@tgeofrey
@tgeofrey 2 жыл бұрын
Sugu hajawahi you hai
@nilisu1148
@nilisu1148 2 жыл бұрын
Jembe
@fadhilimgalla271
@fadhilimgalla271 2 жыл бұрын
Saizi hakuna bunge
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Kitabu hicho kinapatikana wapi wajameni
@hojabinafsi1471
@hojabinafsi1471 2 жыл бұрын
bado mnashindwa kuweka mtiririko nzuri wa mahojiano mnaenda kama mmepotea njia, jipangeni kidogo sababu hivyo vipindi ni vikubwa sana na huwa vinapendwa na watu wengi.
@kingtiger4829
@kingtiger4829 2 жыл бұрын
Vingereza vingi, utawaza wasikilizaji ni wazungu.
@gilbertbaisi5225
@gilbertbaisi5225 2 жыл бұрын
August anajitahidi....
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 2 жыл бұрын
Watangazaji ni wa wili ila umoja ana onekana ana umimi, Zungu ame kua kama mtazamaji tu huo sio utangazaji , Zungu katumia muda mdogo sana ina maana hakuwa na ma swali ?
@mayaally2512
@mayaally2512 2 жыл бұрын
Laizma kuna mtangazaji kiongozi kiongozi ni ethics tu za kazi
@khalidimsuya4165
@khalidimsuya4165 2 жыл бұрын
Sugu Kama sugu weee ni mwamba
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 2 жыл бұрын
Ok
@happymackjacob3480
@happymackjacob3480 2 жыл бұрын
Rais
@peterbuju5216
@peterbuju5216 2 жыл бұрын
Nakubaliii chaziiii
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 жыл бұрын
Wananch tunataka katiba mpya ndio itakuwa mwisho wa uonevu...miaka 60 ya uhuru maji shida umeme tabu jama..we are all tired 😫 for this shit
@kareisindilo2776
@kareisindilo2776 2 жыл бұрын
police mnoko 🚔🚔😂😂😂
@barack.A-Mtulo
@barack.A-Mtulo 2 жыл бұрын
😂😂😂🙌🏼
@shukurumwagisa6931
@shukurumwagisa6931 2 жыл бұрын
Master plan
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Yule mama tulia akson alituahidi wana mbeya atatengeneza barabara njia nne hapa mjini kwenye kampeni za 2020 hizo barabara wala hatuzioni tunajua ccm hawawezi kutengeneza zilikuwa ni sera za kupatia kura japo kuwa hakushinda alitangazwa tu na tume ya taifa ya ccm. mshindi alikuwa ni Joseph mbilinyi rais wetu wa mbeya
@ramadhanilianje4048
@ramadhanilianje4048 2 жыл бұрын
Utazionaje kat aliyemteua hayupo
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 2 жыл бұрын
Hivi hawezi akaludia tena kugombea ubunge
@collyalinani2407
@collyalinani2407 2 жыл бұрын
Kweli HUYU NI SUGU.
@ukweli255
@ukweli255 Жыл бұрын
24 January 2023
@michaeljeremiah5364
@michaeljeremiah5364 2 жыл бұрын
Wanoko dah!!😂😂😂😂😂
@bengang3265
@bengang3265 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/paLVlGWHpqx7sMk
@pauloalfayo1868
@pauloalfayo1868 2 жыл бұрын
Labda mwambie tunatexeka maana wabunge ni watatifu kama mdee na wenzake
@renathaapollo3124
@renathaapollo3124 2 жыл бұрын
Mtu na nusu
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 2 жыл бұрын
Suuuquw
@simonngilisho887
@simonngilisho887 2 жыл бұрын
Gombea 25 utashinda mimi democrasia makini arusha
@majeyvision4526
@majeyvision4526 2 жыл бұрын
show nzuri lakini audio mbovu af media kubwa mnazingua....set mic vizuri zuia upepo
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 жыл бұрын
NDUGAI NINANI HUYO KWANI? KATIBA NDIYO MSINGI WAMAENDELEO
@kennedyessau5169
@kennedyessau5169 2 жыл бұрын
Zungu
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Mafisi wamejitahidi kuua upinzani .
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 жыл бұрын
Sugu bado uko juu wanaMbeya hawatakuacha we subiri ifike 2025 tuone huyo modo wa Magu nani atamhonga tena ubunge
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 2 жыл бұрын
Aisee mafuta ya magari hashikiki. Nimenyoosha mikono. Hivi wanene mbona mnawatupa wa Tz? Mama mmoja alinunua umeme wa tsh 7000, akakatwa 6000( matozo) akabaki na buku. Alisusa na Hadi leo analala Giza!! Hii ni ya KWELI.
@saidhussein5212
@saidhussein5212 2 жыл бұрын
Mwamba 2025 tunakuitaji urudi tena nafasi bd unayo
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 жыл бұрын
Halafu nyie wasafi hayo mabikari na pembe tatu kwenye background yanamaanisha nini? Au ndo feel free church ?
@aloyceiluminata3650
@aloyceiluminata3650 2 жыл бұрын
Sugu mhuni saana..eti shavu dodo🤣🤣🤣🤣
@shau78
@shau78 2 жыл бұрын
Sugu relax man. tunaponyanyasa wengine tujue kwamba we are mortal and powerless. ndio maana tumefukia watu watu waliodhani ni wababe kwa kulazimisha mahakama ziwaadhibu wapinzani wao
@azizabdallah585
@azizabdallah585 2 жыл бұрын
Haya mambo ya kununua Wapinzani....kuwahonga Wapinzani....kuwatisha na hata kuwafunga jela Wapinzani....ni mambo ambayo yameweka 'doa kubwa jeusi' katika utawala wa hayati JPM!
@directoremod8075
@directoremod8075 2 жыл бұрын
Hawa jamaa hawajui kuhoji wanarukaruka tu.
@jumannenasoro939
@jumannenasoro939 2 жыл бұрын
Jongwe lembrus
@e-mzambuli6647
@e-mzambuli6647 2 жыл бұрын
Mfugwa mbal sanaaa
@danielsanga8459
@danielsanga8459 2 жыл бұрын
Huyu zunguu jitaihidi kuongea kwa utalatibu
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 2 жыл бұрын
@Daniel NIHILO TU🤷‍♂️???
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Washachukua ten pacent wanalazimisha ujenzi bagamoyo
@ndogoroedson9438
@ndogoroedson9438 2 жыл бұрын
Alisaidia nn ndani ya miaka kumi? Hakuna mnachojua hapo!
@saidramadhan5396
@saidramadhan5396 2 жыл бұрын
Kwani hao wengine wanasaidi Nini zaidi yakutajwatuu wabunge ni wawakilishi na serikali niwatendaji bwege wewe
@walterngowi5835
@walterngowi5835 2 жыл бұрын
Choko wewe hujui uonalongea
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 2 жыл бұрын
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
HUYO NDO MBUNGE WETU, TULIYE MCHAGUA WANANCHI. HATUUTAMBUI KAHABA WENU
@learnandenjoy2373
@learnandenjoy2373 2 жыл бұрын
english ya kubandika na gundi ya maji
@hojabinafsi1471
@hojabinafsi1471 2 жыл бұрын
Msumari wa moto kwa style ya mahojiano, I am not sure kama lina fit, unless otherwise
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 жыл бұрын
Mpango Haramu Ep20 kzbin.info/www/bejne/iKPbm3mqrah8g6c
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 2 жыл бұрын
Sugu inakubalika usiwachie kamba
@khalidimsuya4165
@khalidimsuya4165 2 жыл бұрын
Magufuli alituondolea watu makini sana bungeni hivi Sasa bunge limekua la hovyo tu kila kitu ndi ata clipendi
@samesmille7701
@samesmille7701 2 жыл бұрын
taita jongwe
@nezablendah7206
@nezablendah7206 2 жыл бұрын
NIBA URI UMUGABO CG UMUSORE UKABA UGIRA IKIBAZO CYO GUCIKA INTEGE , KURANGIZA VUBA NO KUBURA UBUSHAKE MUGIHE CYO GUTERA AKABARIRO TANDUKANa NABYO BURUNDU UKORESHEJE REVIVE CAPSULES BIGUHE UMUNEZERO*Kubindi bisobanuro nyandikira kuriyi email
@stevenkayitare8955
@stevenkayitare8955 2 жыл бұрын
IBINTU uvuze bihuriye hehe na topic
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 жыл бұрын
Mweje wake ni hela
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 жыл бұрын
Mpango Haramu Ep20 kzbin.info/www/bejne/iKPbm3mqrah8g6c
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Фильм про побег от родителей
0:59
Holy Baam
Рет қаралды 3,3 МЛН
Арбузорезка 🍉
0:42
Сан Тан
Рет қаралды 2,6 МЛН
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 880 М.
Oi Oi Oi & E E Ei Meme Looking For a Girlfriend
0:26
Mischief time
Рет қаралды 35 МЛН
БУКЕТ МЕЧТЫ НАСТОЯЩЕЙ СЛАДКОЕЖКИ😂😂😂
0:19
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 3,6 МЛН
Гаджеты вредно!!! ☎️😳😡 #funny #comedy
0:26
Fast Family LIFE
Рет қаралды 943 М.