Vyombo vya habari msaidieni huyu binti kwa kutoa update kila siku ili wananchi wapate kujua hatima ya hawa washenzi
@leokamil6284Ай бұрын
Wazee wa Minyama msiache kuongea hili suala mpaka kieleweke .Kweli ya Sativa yameishia chini kwa chini
@JaneEmmanuel-v4bАй бұрын
jamani masikini atuna haki atuna samani alichoma pch alikamatwa wanafanya wanavyo taka wako hatakama. nijeshi tumechok
@melch3097Ай бұрын
Welldone guys, leo taluma yenu mmeitendea haki
@GraceMhoja-bu3ce28 күн бұрын
Mungu tusaidie
@edinnafesto24 күн бұрын
mungu awajalie viongozi wetu kutenda haki maana hata yule albino liliishia hewani
@luckiiinuswe1725Ай бұрын
Mkiendelea kukazia suala tutasikia mtangazaji x katekwa na watu wasio julikana
@MunirAbdullah-sy8ksАй бұрын
Ila Leo Kwa Mara ya kwanza niko pamoja na nyinyi
@kingrichboeАй бұрын
Hii ngumu sana RIP MAGUFULI 😭😭😭
@Zaynab-ny6grАй бұрын
Mungu awabariki kaka zangu from ughaibuni
@kekiplus1andonlyАй бұрын
Dah!!hope hili swala linashughulikiwa kweli.
@MohammedAlly-hp8fgАй бұрын
hkn kitu ndg yngu
@davidsibejo4916Ай бұрын
Jamani Hawa majama tunaomba waongezewe na mshahara yanajua kupaza sauti
@rithaurassa26 күн бұрын
Watangasaji ongeeni mnavyotaka ila haichukui dk kuwapata. Mtoto wamwenzako ni wako.
@chikuluchidodokochiitingan340Ай бұрын
Shidaa nchii kubebana kumezidii etii uchunguzi mtuu umemkutaa na sigara unasema kashika maji kweli ni utengenezaji rushuaa tuu
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Hatakama mha nimpike yupo mwenye kumsaidia na kumlinda inshallah allah atajibu maombi ya mja wake kikubwa suah subra ba ustahamilivu
@jumanneally3303Ай бұрын
Hatutaki uyo mtu wa kusambaza.tunataka wabakaji kwanza yani inchi ngumu sana vinaitajika vitu hamfanyi na mnafanya vingine sijui hamjisikii mnayaongea
@matridamwalyoyo1735Ай бұрын
Mhhh wanasheria wenu wapo wasizime cm
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Kikubwa vitendo si maneno
@sumatraveler1957Ай бұрын
TZ nchi nzuri but viongozi wanaiaribu sana nchi , ukiwa na cheo serekalini basi unaweza kufanya chochote na ukabaki salama .
@masoudjuma8169Ай бұрын
Excellent sounds
@prosperiamaniАй бұрын
uchunguzi wanini jaman hakuna cha uchunguzi
@josephlemi8084Ай бұрын
Angekuepo uncle maguu JPM hyo sio kesi yakufanya tupige kelele kila siku bila mwafaka ambao raia tunahitaji kisa wao wanajeshi ndio wafanye haya nimelia san😢 hii nchi usalama hamna tena tunaishi tu mungu ndo anajua hatima zetu
@davidsalikoki6319Ай бұрын
Means wakuu mmeiona!
@Pfmredio96.9DomcityАй бұрын
Jamii inaitaji kujuwa vifuatavyo 1) aliye tuma ninani 2) aliyetendewa afya yake 3) kwa nn uchunguzi unatumia muda mrefu 4)je atuwa gani zitachukuliwa thidi yao
@user-sr8tc8ke6qАй бұрын
Binti wa mwanza Daah, kashaisha😢😢😢
@hassanhussein-ow7qhАй бұрын
We unamjua afande wewe😂😂
@CristovaoMarioJaimeJaimeАй бұрын
Nasiku zote mngesimamia msimamo wakauri zenu kama mlivyo triple 3 bila kujiegemeza kuwa ipo siku mnaweza pewa ukuu wawilaya leo Inchi hii tungekuwa mbali saana , nakumbukukeni nyie na mikataba na WASAFI nawala hamna mkataba na Mwenyezi MUNGU, egemeeni haki daima
@Gamba81Ай бұрын
Good good minyama 👍🏾
@jei_maimu6957Ай бұрын
Wazee wanavyosema ndo ivoivo kesi kimya kimya itaishaa hivyoo💔
@sylvestercameo6263Ай бұрын
Kitenge nimemkubali, polisi wanatuambia tuwe na subira, mbona wabakaji hawakuwa na subira mpaka wakajirekodi ... Point!
@stym12345Ай бұрын
Aooo ni waalifu sio jeshi la wananchi
@user-sj9ob8vb3sАй бұрын
hakuna midia yenye kipindi bora kama hiki cha mzee wa minyama 🎉 naona saut ya umma
@piusbaruhuwundi8987Ай бұрын
Na hata ikitengenezwa skendo ya kulipoteza hili msikupoteza hii news
@Pentecost598Ай бұрын
Tatizo uhuru wa kusema umefinywa sana hapa nchini
@salmyhussein6255Ай бұрын
Tuedeleeni kupaza sauti
@MohammedAlly-hp8fgАй бұрын
nilipockia rais amegharamia matibabu ya sativa nikajua hkn kitu kingine kitachoendelea na kuwatoa watu kwenye reli ikaja mambo ya sgr mchezo ukai Shia hivyo
@Pfmredio96.9DomcityАй бұрын
Tutapambana
@sarahminja7255Ай бұрын
ni kweli zembwela unalolisema huyo binti angekuwa ni mtoto wa waziri hao wameshaonyeshwa
@GabrielSky64Ай бұрын
Hii Nchi duuh😢
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Seadakta haki bdo muhinu sio kudhulum haki ya mtu
@user-zp3ki3cm8nАй бұрын
Hili litashusha thamani na heshima ya jeshi letu kwa wananchi wake kama halitoshughulikiwa, mliopo kwenye nafas za kusema na kumsaidia msaidieni huyu dada maana sidhan kama kuna familia wangeridhika kitendo hichi kufanyiwa ndugu yao
@ShaqharMagramАй бұрын
Imetuumiza Sana nawakubali wanangu from sauth port elizabert
@AminaOmary-sm4wlАй бұрын
Wanyongwe kama ni maafande wapo wangi na wengine wanakifunzq hawapunguz chochote hapa nchin
@Zaynab-ny6grАй бұрын
Hapo mmena wakuu
@MusaJuma-jr7wbАй бұрын
Mbona huyo aliezusha hatukuambiwa tuwe na subira watuhumiwa tunambiwa tuwe na subira kunanini
@MohammedAlly-hp8fgАй бұрын
jeshi la police la tz lipo kwa ajili ya watu wachache iko wazi kbsa matukio mengi ynatokea nakupotea kimya kimya sijawai hta siku mmoja kuliamin jeshi la police la tz