Simba nguvu moja asante MUNGU tumepata ushindi mzuri 🎉🎉
@chusseboywcb28082 сағат бұрын
Mpanzu shikamoo simba sasa tunakoerekea nikula kuku kwa mlijs💪💪💪✔️✔️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💕
@MwajumaNgaruma5 сағат бұрын
Iyo nyomi hatariiiiiii simba raha jamani❤❤❤❤❤wacha tujidai
@anthonymilinga86964 сағат бұрын
Uwanja umetapika aiseeeee
@FazzilaMussa4 сағат бұрын
Asate mungu kwaushindi llshaallah🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@HawaJuma-k9dСағат бұрын
Kama kweli wew ni shabiki wa simba na una mini auja logwa weka like hapa,👍👍👍🤪
@issahamisi79603 сағат бұрын
Simba nguvu moja
@mbaruksaid57753 сағат бұрын
Uwanja naona uko fully kweli tunashukuru kupata ushindi mnono ateba alikua anachukua hatrick kakosakosa latatu
@MosesEzekiel-v8x4 сағат бұрын
Daaah Simba burudani sanaaaaa Leo imekuja kuwa siku yangu ya furah asanteni sana simba
@muddseuc3 сағат бұрын
Siku zote mbu mwenye kelele ndio anayekufa mapema 🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@DeogratiusMagaimabwigaСағат бұрын
Simba naipenda sana tena sana tuu
@ShakiraBakari-z5c2 сағат бұрын
Nafurahi mpaka najikuta nalia jamani
@AishaAljadidi4 сағат бұрын
❤❤❤❤
@GraceMhoja-bu3ce5 сағат бұрын
Hv kiingilio Leo ilikuwa bei gani mana hawa tabora Leo wameingiza pesa kupitia simba
@jackdonwel58704 сағат бұрын
simba i have something to ask some of us are far from home why don't you guys post the full match after the match some of us are not at home ubaya ubwela simba nguvu moja
@Abtway132 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ferlixismail47896 сағат бұрын
Kamdomo kamdomo🤣🤣😋🤣🤣
@AlexMayobwa2 сағат бұрын
Mnyama oyeeee
@HawaJuma-k9d54 минут бұрын
Oyeeee
@SojaWaBrazil3 сағат бұрын
Kwani apo nyumbani kwa simba 😂😂😂
@DenissJulius3 сағат бұрын
Huyu ELIA MPANZU huyuuuù❤❤❤
@anthonymilinga86964 сағат бұрын
Sasa tunamtaka mwiko nyuma ! Safari hii hata akiwepo Kayoko Utopolo atakula nyingi sana.
@JumaMarejeta-f5j3 сағат бұрын
Bado tunaunda timu😂
@ShukuruMakoko5 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@edompicksen25506 сағат бұрын
Ubaya Ubwela popote
@ShabaniJuma-t1e3 сағат бұрын
Unyama 😂😂
@ABDULAZACKAUDAX6 сағат бұрын
Ubaya ubwela
@methodvicentkwihalije72975 сағат бұрын
Ubwela
@Mumlion26248 минут бұрын
Tabor wameingia namatumin😂😂 lkn walichokutan nacho kwa mnyama 😂
@emmanuelgeorge78523 сағат бұрын
Mwalimu anasema bado anajenga timu jamani😅
@EliyaMloy-lf7vpСағат бұрын
Kocha kumuanzisha Ngoma mbele ya Mavambo ni kumkosea Heshima Deborah Fernandez Mavambo, angalia tu kaingia kipindi cha pili lkn katikati na timu nzima ikabadilika kocha Fadlu kama karogwa aende aombewe Mavambo sio wa kuanzia nje
@swamadujumanne7954 сағат бұрын
Mnabebwa sana ila ipo siku mbeleko itachanika mtaanguka km mizigo yaani kila mechi mnayocheza lazima mfanye mipango na marefalii siku wakizichoka dhambi mtalia nakusaga meno
@voisaclassic18664 сағат бұрын
mwaka huu ni ubaya ubwela hatucheki na kima
@AlexMayobwa2 сағат бұрын
Ukiona unanyanyaswa namnyama kashitaki au vp
@molishamshamu62903 сағат бұрын
Hiyoo ndyoo maana halisi ya Ubaya ubwela
@swamadujumanne7954 сағат бұрын
Ushindi wa mang'amng'am kibu kacheza faulo refalii kaacha ateba kacheza faulo refalii kawabeba ila mchezaji wa tabora kaicheza km ile ya ateba refalii kaiona
@anthonymilinga86964 сағат бұрын
Unateseka ukiwa wapi? Kaa kwakutulia, tarehe 8 mwezi wa 3 sio mbali tutawazibua nyie nyuma mwiko hamta amini