Tacimotolwa_Bernard Baru (Official Video)

  Рет қаралды 81,659

Bernard Baru

Bernard Baru

Күн бұрын

‪@Spotify‬ ‪@BoomplayMusic‬ ‪@AppleMusic‬

Пікірлер: 266
@directorsebastin
@directorsebastin 2 ай бұрын
Sb clever Support it
@2PackSauza
@2PackSauza 2 ай бұрын
Bora wewe umesema unatusaidia sana kwa sababu atutakuwa tunasema Tena Sikiliza song 🎵 ya baru Asante 🙏🙏😭😭😭😭
@DeboraAsukulu
@DeboraAsukulu 2 ай бұрын
✍️❤
@benjaminabisemba5331
@benjaminabisemba5331 2 ай бұрын
Umeona bro 😂😂😂
@Taxmbwex-Inne
@Taxmbwex-Inne 2 ай бұрын
Sio kweli 😂😂😂😂
@BlaiseLesage
@BlaiseLesage Ай бұрын
Anasema kweli
@lemonumentvivantkajole4008
@lemonumentvivantkajole4008 2 ай бұрын
Wimbo nzuri sana kijana ambao unaelimisha wanduguzetu kuhusu pesa. Ta’ule a’te afalanga búlaya ❤👏👏👏👏
@VenasAbdallah
@VenasAbdallah Ай бұрын
Hongera sana grand frère Bernard baru , kazi kubwa sana iyi vraiment. Wimbo unao fundisha sana vraiment
@marrykigabimk
@marrykigabimk Ай бұрын
Kaka umehimba tena nyimbo inaujumbe mzito kwakifupi wewe mbunifu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@KizaFidele-mk2lo
@KizaFidele-mk2lo Ай бұрын
Tusapoti kazi nzuri ya mtoto wetu. Naipenda sana kazi yako nzuri. Umeigusa sana mioyo ya watu❤❤❤
@RizikiVincent
@RizikiVincent 2 ай бұрын
Ongeza zingine ebembe’yètù tataee atendeci aútana na bakyúngú ano
@patriceauma8224
@patriceauma8224 Ай бұрын
Mon frère Bernard, je tiens a vous féliciter pour cette chanson unique. c'est pour nous un plaisir de vous avoir dans notre communauté. " Tacimotolwa mwana wa tata, bandugu abajuwake vile mon cher" hata wanangu nitakuwa nawasikilisha hiyi nyimbo wajuwe kwamba iwe ulaya au mahali popote, kupata hela si raisi " Merci beaucoup Bernard, que notre Dieu te bénisse.
@bernardbaru
@bernardbaru 29 күн бұрын
Amen Amen 🙏🏻
@Byamangaamuri
@Byamangaamuri Ай бұрын
Uji tambuwe upo wapi uyo mdada unaye mweka ana tuumiza sana moyo kwa manene yake .tengeneza na mama ❤
@Hamisi.damas_sound
@Hamisi.damas_sound Ай бұрын
Nime kubali aki this is one of my favourite song of the year 🔥🔥✌️
@kiluvisluumbe7894
@kiluvisluumbe7894 2 ай бұрын
hii moja kali sana unacho kihimba ni kweli kabisa yani pesa zina toka mbali sana
@RizikiVincent
@RizikiVincent 2 ай бұрын
Bernard barikiwa sana baba wewe unaweza kutafuta jinsi gani unaweza anzisha mafunzo ya utunzaji bora wa maisha yanaweza kulelewaje kama semina kwa jamii yetu maana wanapataga maisha mazuri lakini awajui kulea kutunza na kulinda ndomana kila kukicha wanakuwa wakilialia ukosefu na wakati wao ndo wanakimbiza kipato kwakutokutunza wakipatacho ❤❤❤❤❤❤hongera sana ila tu napendaga nipate namba yako kaka yangu unatoaga nyimbo nzuri za elimu kwa jamii ila masikio yao ni magumu wakuwai kusikia na kuelewa wanavyoambiwa
@ABEDIAOCI
@ABEDIAOCI Ай бұрын
Mwakole mwana wa tata bibyo wakemba mkúnga wakemba mshiki netú twahungwa
@ABEDIAOCI
@ABEDIAOCI Ай бұрын
USA ATUOGOTI HELA WALA ATUPOKEE HELA SISI WATU WAJUMUIKE KUFANYA KAZI KAMA ZAMANI,macho inakuwa ulaya tu fanyeni kazi ndugu zetu 🎉
@ibba8082
@ibba8082 2 ай бұрын
Hata Bolaya Tacimotolwa,Taole Ate Afalanga !!!
@AtembojeanLuc-dc9bt
@AtembojeanLuc-dc9bt 2 ай бұрын
Messages bien capté cher frère Bernard , félicitations pour cette grande réflexion 🙏🙏🙏🇨🇩❤️
@zedy_hope-pd8kn
@zedy_hope-pd8kn Ай бұрын
Wimbo wenye mafunzo makubwa ❤❤❤❤
@ClaudeBulambo-s7q
@ClaudeBulambo-s7q 2 ай бұрын
Watu ni wabishi sana unahimba ukweli 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@VenasAbdallah
@VenasAbdallah 2 ай бұрын
Wimbo mkali sana ndugu yangu , ubarikiwe sana grand frère wangu. Bernard kipenzi cha watu unaga baya ndugu yangu 🇨🇩🇧🇮
@FarajaMangaikoFranck
@FarajaMangaikoFranck 2 ай бұрын
Wimbo huu una nikumbusha mbali kiasi chakutowa majonzi, sina lakusema ila na kuombeya baraka nyingi kwa kazi uliyo fanya
@newafricahorizontv1984
@newafricahorizontv1984 2 ай бұрын
Nitatumia wa ndugu zangu wote hii nyimbo. Big up my young brother!
@Gideon-v4y
@Gideon-v4y 2 ай бұрын
Katika kazi zako zote hii moja KALI kuliko n❤❤❤akumbali sana
@AdidjaBicuka
@AdidjaBicuka Ай бұрын
Mungu akubariki sisitunapata shida ataumwambie mtu sina akuelewi kabisa
@Paulmlambo327
@Paulmlambo327 Ай бұрын
Kazi nzuri sana 😂😂😂❤❤🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@koperawasona9551
@koperawasona9551 Ай бұрын
Hongera sana uzebe unasubuwa ndugu zetu uko
@ekyocimtambo5803
@ekyocimtambo5803 Ай бұрын
Jimbo za mafunzo mbalimbali ni sawa sana. Zisiwe tu nyimbo za mapenzi.
@ElieSinarinzi
@ElieSinarinzi Ай бұрын
Lwembo lwangene ndúko Like your song bro
@angezoweda-s3r
@angezoweda-s3r Ай бұрын
Naipenda sana iyi nyimbo mimi
@kifarumabulo
@kifarumabulo 2 ай бұрын
Duuh kwahali hii tutapata pesa kweli
@StephanoSony
@StephanoSony 2 ай бұрын
Msiofu ana tafuta kiki tu uyo.....ajawahi kuishi kambini na kujuwa shida za kambini AMULIZE KALUTA ndo anajua shida za kambini
@rozlysara-cy8qi
@rozlysara-cy8qi 2 ай бұрын
@@StephanoSonyajasema msitumiwe pesa ila anawakumbusha mkiwa mnasaidiwa isiwe two much mana aziokotwi uku 🇱🇷mkiwa mnasaidiwa muwe najongeza ata kwa proje mbali mbali, ila wengi wenu mnafikiri wanaziokota mnazimaliza nawanawake, pombe nafation tena mnavyo zipata kiraisi mnafiri wanaziokota kumbe niuruma yamtu tu, jiongezeni vijana
@rozlysara-cy8qi
@rozlysara-cy8qi 2 ай бұрын
@@StephanoSonyata ulaya kunashida kubwa tena bora shida zakambini kwasababu ukikosa pesa uwezi kosa pakulala
@JumaNyange-g1v
@JumaNyange-g1v Ай бұрын
​​@@StephanoSonyamuelewi wimbo kama umeshakula pesa ya ujenzi wa nyumba ya mtu wa ulaya huu wimbo utakungusa mpka utamchukia Bernard
@venasmpesa6413
@venasmpesa6413 Ай бұрын
Nyimbo ya mwaka ❤🎉
@albertwaolimba6917
@albertwaolimba6917 2 ай бұрын
Wewe sasa ndo Balozi wetu Ubarikiwe sana
@mbirizeomari515
@mbirizeomari515 Ай бұрын
Hiyo ni kweli, wanatuumiza sana
@0fficial_STARgirl
@0fficial_STARgirl 2 ай бұрын
HONGERA SANA MSANI WETU BERNARD. NIMEKUBATIZA KWA JINA LA NABII WA MAMBO YA NYAKATI❤ signé par Sango wa numbe
@belamimuka
@belamimuka 2 ай бұрын
Boom🔥
@MrGave
@MrGave 2 ай бұрын
Courage 🙌💪🏽
@WilsondeMalisawa
@WilsondeMalisawa 2 ай бұрын
Roi de musique uviroise 💥
@saidiaoci9572
@saidiaoci9572 2 ай бұрын
ongera sana kijana una sema kweli.
@emenaasongo
@emenaasongo 2 ай бұрын
Hongera sana kijana, umehinda kitu cha muhimu sana. Tangu Nampula, Mozambique .
@StephanoSony
@StephanoSony 2 ай бұрын
Uyo dg ni rofa sana ana imba na isiya kama ana ishi ulaya kweli ila mziki bwana
@akimbahekelwa373
@akimbahekelwa373 2 ай бұрын
Courage sana kakaangu, tupo nyuma yako, hatutachoka kuwasapoti, we're so proud of you❤🔥
@allykimanga6359
@allykimanga6359 2 ай бұрын
Hakuna Mti wa pesa hapa South Afrika hakuna Miti ya pesa tuna tafuta kwa Hali ngumu sana ndugu zetu Wana turudisha Nyuma sana elimu ya pesa Ina itajika ili kua na jamii inayo jua maana ya pesa
@EverineTamone-t9q
@EverineTamone-t9q 2 ай бұрын
Hongera sana kaka yangu wimbo mnzuri sana hatimaye tumepata mtetezi wetu
@kenzo-jungle9133
@kenzo-jungle9133 2 ай бұрын
NICE SONG AND VIDEO 🎉🎉🎉
@albertbululu1245
@albertbululu1245 2 ай бұрын
Goog job
@Lastbornecadet
@Lastbornecadet Ай бұрын
WIMBO WENYE MANTIC KWAKILA MPAMBANAJI 🎉🎉🎉
@DIEUNOUSAIME-m6m
@DIEUNOUSAIME-m6m 2 ай бұрын
Umeimba kweli Mungu akubariki. ❤.
@malengafataki1228
@malengafataki1228 2 ай бұрын
Nikwelii kabisa Asante sana 🙏🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️👏🏻👏🏻👏🏻
@amissijames1468
@amissijames1468 Ай бұрын
Vizuri sana bwana mudogo. Wandugu zetu wame turudisha saaana. Labda wata badirika wakisha sikiliza Wimbo huu. wengi wata kuchukiya kwa sababu ukweli una humiza saaana. Hendeleya kuchapa kazi na ku waweka wazi
@BakwaAsumani
@BakwaAsumani Ай бұрын
Huu wimbo umeuhimba kwa hisia sana, nikweli kabisa ila sema wanaokuelewa vibaya hawajitambui Umegusa hisia za wengi sana
@KABWEM
@KABWEM 2 ай бұрын
Message nzuri sana courage courage 😂😂
@TrueBoy-yg9ux
@TrueBoy-yg9ux 27 күн бұрын
Tunaangahikaga sana huku marekani mzee ila akunaga hela za bure huku buda🙏🙏🙏😭😭
@GASTONDesire
@GASTONDesire Ай бұрын
Like zangu wapi ♥️♥️♥️ 🇨🇩❤️ wimbo Huu unagusa moyo
@BonneannéeStephanoAbabeleSTEPH
@BonneannéeStephanoAbabeleSTEPH 2 ай бұрын
Courage sana frère.👏👏👏👏 hiyo ni kweli makuta kuhipata mpaka utumike. Merci sana kwawibo hiyi wimbo nzuri
@JeanNelly
@JeanNelly 2 ай бұрын
Huu wimbo ni jibu tosha kwa wale wanao sumbua kuomba pesa nitakuwa nawatumia wimbo tu 🙅🏾‍♂️🙅🏾‍♂️
@BARUANIALIMASI
@BARUANIALIMASI Ай бұрын
Nzuri sn iyo mapesa thanks so much bro you are so good song
@mitambaebobo6128
@mitambaebobo6128 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HusseinMmasa
@HusseinMmasa 2 ай бұрын
Ubarikiwe mzee. Ndugu zetu hinabidi wawe Makini sana, ili watu wawe nashahuku ya kuwekeza nyumbani
@VictoireKasanga-qh4yv
@VictoireKasanga-qh4yv 2 ай бұрын
Good job my brother 🔥🔥🔥
@saidiisaacwilpac5361
@saidiisaacwilpac5361 2 ай бұрын
Kazi nzuri sana❤❤❤
@EliasMbanduci-m1h
@EliasMbanduci-m1h 2 ай бұрын
Ndugu nimependa sana mungu akubarikiwe mwalimu
@DanielKirakaza
@DanielKirakaza 2 ай бұрын
Ubarikiwe, ila utowe ingine yakilio kama hiisauti uliotumia kwahii nyimbo itakua nzuri Asante
@KewaAsukulu
@KewaAsukulu 2 ай бұрын
Unajuwa Sana Brother 💯💯🙌🙌🙌🇨🇩🇨🇩
@AliKakozi-c7e
@AliKakozi-c7e Ай бұрын
Kazi zuri na imepatikana kwawakati mzuri
@Bernadettereinepretty
@Bernadettereinepretty Ай бұрын
Tacimotolwa tata ❤
@maderevamusicofficial1931
@maderevamusicofficial1931 2 ай бұрын
Courage kazi kubwa❤🔥
@yvonekabandilwa-un2lz
@yvonekabandilwa-un2lz Ай бұрын
Kazi nzuri sana kaka ubarikiwe
@MasumbukoRajabu
@MasumbukoRajabu 2 ай бұрын
Hii nyimbo inamafunzo mengi sana kwa walioko Africa 🌍 na USA pia
@Gudowabazoba
@Gudowabazoba Ай бұрын
Congratulations brooooo
@peterpromece6975
@peterpromece6975 2 ай бұрын
Hongera Ndungu. Nikweli
@mitambaebobo6128
@mitambaebobo6128 2 ай бұрын
Babililiye ukweli ndouho nakupeda bure❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@benjaminrashidi2407
@benjaminrashidi2407 2 ай бұрын
Congratulations for this song brother 🎉🎉🎉
@swallahboy9464
@swallahboy9464 Ай бұрын
Daaah !!! kweli bro nilikua sijaskia vizur 👊👊👊 nilitoa comment akati nilikua sijaskia daah bro unajua sana
@UseniMivu
@UseniMivu Ай бұрын
Congratulations 🎉
@KizaFidele-mk2lo
@KizaFidele-mk2lo Ай бұрын
Ukweli mtupu ndugu yangu❤
@ShabanNdambwe-w5b
@ShabanNdambwe-w5b Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 huyo mzee ame nifurahisha sana 🤣🤣 the way alivyo angalia hizo nyash🤣🤣🤣
@KizaHussein-o2g
@KizaHussein-o2g Ай бұрын
Mungu akubariki sana kijana wa mashairiki
@mrjeanwilo2178
@mrjeanwilo2178 2 ай бұрын
Congratulations bro ❤❤❤
@RaisiEnyonyi
@RaisiEnyonyi Ай бұрын
Good job bro
@JumaNyange-g1v
@JumaNyange-g1v Ай бұрын
Uvivu wakutafuta ndo unatufanta tuelewe wimbo vibaya 😢😢
@MauwaBenjamin-dd8pm
@MauwaBenjamin-dd8pm 2 ай бұрын
Kazi kubwa kakaangu 🎉🎉🎉
@justinbikyeombeJustin
@justinbikyeombeJustin 2 ай бұрын
Unaongeya lamana Sana ila maisha ndo shinda nasikia hadi uruma
@musafiriassuman3911
@musafiriassuman3911 Ай бұрын
Wandugu zetu walioko Africa wakijuwa hivyo basi tutafanya mambo sana sisi walioko huku America 🇺🇸, Australia 🇦🇺, Europe 🇪🇺 Asia huko Africa
@ApendekiMtambala-s8g
@ApendekiMtambala-s8g 2 ай бұрын
Ongera sana kaka
@WitangilaJeanclaude
@WitangilaJeanclaude 2 ай бұрын
Duhhh 😭 😭, ngoma hii
@Stephaboy
@Stephaboy 2 ай бұрын
Kweli kk 👏👏👏👏
@SAIDIMMUNGA-12
@SAIDIMMUNGA-12 Ай бұрын
Tatizo unaongeya kikongo mwimbo nzuri
@SAIDIMMUNGA-12
@SAIDIMMUNGA-12 Ай бұрын
Tatizi unaongea kikongo mwimbo nzuri
@rehanifataki5307
@rehanifataki5307 Ай бұрын
IYO NYIMBO IKO SAWA KAKA, AM GETING FROM KENYA
@GerrardHassan
@GerrardHassan 2 ай бұрын
Courage sana✊
@kiluvisluumbe7894
@kiluvisluumbe7894 2 ай бұрын
ww ambaye uko ulaya una jifunza nn kupitia winbo huu na miradi tunayo fanya africa kwetu towa jibu lako kwenye comment hapo chini
@lemonumentvivantkajole4008
@lemonumentvivantkajole4008 2 ай бұрын
usiaminie mtu
@kiluvisluumbe7894
@kiluvisluumbe7894 2 ай бұрын
umeongea point sanaaa❤​@@lemonumentvivantkajole4008
@RizikiVincent
@RizikiVincent 2 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafunzo hayo ❤❤❤❤❤
@Kaldovoicetompola-rj4bt
@Kaldovoicetompola-rj4bt Ай бұрын
Mmmmmmmh very good
@nyangeshaurilungwe3974
@nyangeshaurilungwe3974 2 ай бұрын
Big up bro 😎 ❤❤❤
@MwajumaRosette
@MwajumaRosette Ай бұрын
Nyimbo zako zote zime laaniwa mpuuzi kabs wew siuna ishi kwaajil ya pesa ambaz zip ulaya
@KizaFidele-mk2lo
@KizaFidele-mk2lo Ай бұрын
Wimbo huu hauna ujumbe mbaya
@JumaNyange-g1v
@JumaNyange-g1v Ай бұрын
Ahuna akili wew kama umeshakula pesa ya ujenzi wanyumba ya mtu wewe ni mjinga tu stupid
@BelugaOfficial-q2b
@BelugaOfficial-q2b 2 ай бұрын
NA BONNE ANNÉE IME FIKA IYI DUUUUH KWELI BARU KATU RUSHIYA NDEGE ZETU KWELI ATA TUWAHOMBE HELA WATA TU JIBU FALANGA TACIMOTOLWA😅😅😅
@JumaNyange-g1v
@JumaNyange-g1v Ай бұрын
Sio ivo mawazo ya maskini ni umasikini tosha
@SarriveSaRRIKeY
@SarriveSaRRIKeY Ай бұрын
wanao msema ni wapuuzi
@BwanzoBwanzo
@BwanzoBwanzo 2 ай бұрын
Hatimae Mtetezi Wetu Amepatikana 🎉🎉. Nifate In Box 🎁
@billkillmusic
@billkillmusic 2 ай бұрын
Bien joué, une très bonne chanson 🎶 les paroles sont très Bieen!!
@Alisa-wv6rh
@Alisa-wv6rh Ай бұрын
Mungu akubariki
@EsperenceAyumba
@EsperenceAyumba 2 ай бұрын
Kweli baba
@GermondeMpenda-jn6wy
@GermondeMpenda-jn6wy 2 ай бұрын
Ndio baba waambieee
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 2 ай бұрын
Big job
@uwezobenjamin699
@uwezobenjamin699 2 ай бұрын
Nice work goooood ❤❤❤❤❤😂
Bernard Baru_Epembwe 'Ya M'acana (Official Music Video)
6:50
Bernard Baru
Рет қаралды 157 М.
BREAKING: Angry Paul Kagame DECLARES WAR on south Africa over DRC conflict
17:11
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
Fally Ipupa - Mayday (Clip Officiel)
7:17
Fally Ipupa
Рет қаралды 70 МЛН
OMBE - ETO DUNIA FT SADI BABA (Oficiel Video)
8:41
Eto Dunia
Рет қаралды 150 М.
Best Zabron Singers video mix 2023
22:13
Lenny KE
Рет қаралды 262 М.
Unyaka wok' gcina
14:03
Govozile Music
Рет қаралды 114 М.
Dr Namandingo, Giddes Chalamanda - LInny Hoo
8:31
DrNamandingoVEVO
Рет қаралды 33 М.
Ondelele Mwana_Bernard Baru (Official Music Video)
7:24
Bernard Baru
Рет қаралды 410 М.
SERIOUS GOSPEL -NASUBIRI  (officiel  music video)
6:32
SERIOUS GOSPEL
Рет қаралды 664 М.
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН