Рет қаралды 63
Usafirishaji wa mazao ya misitu ndani ya nchi na nje ya nchi (Tanzania) unaratibiwa na Sheria ya Misitu Na. 14 ya mwaka 2002 pamoja na kanuni zake. Fuatilia makala hii fupi uweze kujaua taratibu za Usafirishaji wa mazao ya misitu ndani ya nchi na nje ya nchi