Sawa sawa mheshimiwa p makonda popote pale panahitajika kuhubiri amani kwanza Kama unamkubari gonga like
@lacksonkamuugiwha98726 жыл бұрын
sawaaa kaka mweshimiwaaaa nakuku Bali sanaaa mungu aku baliki sana
@hasani5656 жыл бұрын
Makonda we dare-es-salaamist we are lucky to have you......na kweli wataisoma namba...from Ireland
@aishajeshemtengea98846 жыл бұрын
Nice baba Kegan.
@arafazakir41506 жыл бұрын
Umetisha baba yetu
@allyflavour80056 жыл бұрын
Jamaa yeye kazi ilani sehemu yoyote duuu hatali xanaaa nice
@vivianlenard36186 жыл бұрын
dah mkuu wa mkoa mjanja na shalubalo kuliko wote. amazing sana
@gracesakila43954 жыл бұрын
Nchi si ya babake bhana
@mxevenkeya33526 жыл бұрын
pamoja mkuu una show love @
@citizenstvlive89313 жыл бұрын
Nimelike, nikacomment na kusubscribe kwa channel yako. Naomba pia ufanye hivyo kwangu. Asante! KAZI SAFI SANA HII!
@tugesyegemwakatumbula81256 жыл бұрын
mtoto amekufurahisha sana mkuu naona umenenepa bila taarifa
@samsonkusupa68096 жыл бұрын
safi sana makonda hivyo ndio inavyotakiwa uwe kama kiongoz
@abeidmayanga8096 жыл бұрын
safi mzee kazi nadawa
@philemonviva71876 жыл бұрын
Very creative, 👨
@eunicejohn55206 жыл бұрын
nimeipenda hii viongoz wote kuwen hivi
@beatricehenry71016 жыл бұрын
Jipe raha mkuu wetu wacha walie tu
@agreymsemwa80216 жыл бұрын
Hatar sana
@cleopatraefatha38596 жыл бұрын
Nice makonda,,wanaokuponda walitaka uingie huku unaimba wimbo wa taifa.. nyooo et kitambi nyie mko kamili????????????matege we umemuuba nani?????
@rechoanjelo31736 жыл бұрын
safi sana
@priscambwambo10306 жыл бұрын
NAKUSIHI TU HAO MIGAMBO WOTE FUKUZA SIITAJI KUONA MTANZANIA MWENZANGU ANAPIGWA NA HAO WAJINGA YAANI MIGAMBO. NAWACHUKIA SANA HAWANA HEKIMA NA MAARIFA .WANAPIGA WATU KWA NINI??USAFI NI SAWA ILA TUMIA WATU WENYE AKILI USITUME HAO MIGAMBO NO VICHAA WAPELEKWE MILEMBE HAWANA SIFA YEYOTE TA KUMUONGOZA HATA PANYA! WAACHE KABISA KUPIGA WATU WANAICHAFUA SERIKALI YETU. TUNAIAMINI INA RAISI MZURI MWENYE HEKIMA.
@elizabethsaimoni45176 жыл бұрын
Kapendeza sana ila hyo cheza nmeielewa
@lilakhhassan98646 жыл бұрын
Sawa mkuu ume tisha sana mzee
@namchokondasaidi22994 жыл бұрын
Geuka mi sijaona
@namchokondasaidi22994 жыл бұрын
Anamiguu ya manka
@andrewmaganga5766 жыл бұрын
Ovyopoooooooooooooooooooo
@jahlmartine12106 жыл бұрын
Woyoooo
@assaandrew24116 жыл бұрын
wowowo
@Zainab-sq1tc4 жыл бұрын
Woyooo.... Mkuu wang mm nakupnda tyu
@twaibunyoni40206 жыл бұрын
Usimuhukum mwenzio kabla hujahukumiwaaaa. Hakuna aijuae kesho yakeeeee
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Ongeza sauti hawajaskia
@abuumansur90076 жыл бұрын
Twaghut finar jehanamu
@kitambimwanakitambi9754 жыл бұрын
Namkubli sanaa huyu jamaa
@Rashidmhedhery6 жыл бұрын
Ovyoooooooooo
@alexmatillya77676 жыл бұрын
Hii sio sehemu ya siasa au kampeni
@salumntulo15894 жыл бұрын
Halikuwa tamasha Bali kampeni
@nshutiedward37996 жыл бұрын
Kumbe ana matege.
@tumamwakurauka20296 жыл бұрын
NSHUTI Edward bc naona nimeona pekeangu😃😃😃😃
@michidardanipha85686 жыл бұрын
NSHUTI Edward nilijua nimeona peke angu
@mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын
NSHUTI Edward hahaha Mungu anakuona haifai kunichekesha hv
@salmasalim60556 жыл бұрын
NSHUTI Edward hana matege ana mafweku👀
@ahmedthelegentruelegend55236 жыл бұрын
hahahaaa safiiii
@mbwanalau576 жыл бұрын
Wanakuponda Kumbe unanwazuga Tu chukua Chako mkuu Mapema
@zumamarande29696 жыл бұрын
Mapajaa
@alexmatillya77676 жыл бұрын
Mawani hata usiku
@mbwanaomary75376 жыл бұрын
Hanaga makosa madogo madogo huyu jamaaa
@ليلىفاكي-ش2ش6 жыл бұрын
Ha ha ha inapendeza sana
@defashioner54996 жыл бұрын
kqcheza WAP sasa
@samusonibalazingiza36896 жыл бұрын
Duh
@barakaswedy78396 жыл бұрын
Kwahyo nani unamukomoa sasa
@faridasaid87246 жыл бұрын
viongozi wote muwe kama makonda
@eliasnsimba59766 жыл бұрын
Haaaahaaaaa kweli tumepatikana,watu wote hao hawajala na viongozi mpo tu
@zakariageorge86576 жыл бұрын
Elias Nsimba we nawe una hila tu kwan kuna aliyelazimishwa kushinda apo au unataka viongoz wafanyeje labda,kumbuka hapo ni sehem ya burudani tu sio hotelin au ghara la chakula!!!!!!!!!!!!!!!jinga sana
@pilijohn14784 жыл бұрын
Hahahaaa
@saidimpako51864 жыл бұрын
huyo ndo kioo
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
ukiwa na moyo wa upendo hata kwamungu utapokelewa makonda acha wakuseme uta fanikiwa
@jvhkbvjnvjkbcjbvcj28225 жыл бұрын
Hahaha Kama Diamond plat
@williammajani21526 жыл бұрын
Ukitoka hapo Useme Mimi nimeokoka Makonda wokovu sio siasa na unavipimo vyake na viwango vyake Jipime Msalabani
@eliasnsimba59766 жыл бұрын
Amani huku watu wana njaa
@namchokondasaidi22994 жыл бұрын
Na ndio mkoa unaoongoza kwa kuteka wasanii haohao
@zuwenahumud3054 жыл бұрын
Hhh
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
Konda punguza kitambi hicho baba
@benambise41806 жыл бұрын
unajua kucheza hahahahaha nimecheka sana
@modestaabeli33896 жыл бұрын
Kumbe nawe umo kwenye musc
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
Mbona kama njiwa hanapaa dah uku kucheza kwingine majanga
@idrisashaban81896 жыл бұрын
Fiester chali Cha mende luge jipange upya
@richardelias39526 жыл бұрын
acha wivu wewe.fiesta chali na wewe umefanya nini cha kusaidia hii nchi?
@idrisashaban81896 жыл бұрын
Tatizo la watanzania tulio wengi tunakurupuka bila kudadisi vitu kwa kina mimi sikumaanisha kua naichukia fiesta la hasha Bali ninavyoona kama muelekeo wa kuidhoofisha fiesta maana nimeona shelia ya kuweka matamasha usiku ya kufunga saa sita imekaziwa sana dar sasa wewe unaisi jiwe kapigwa nani ambae anaeweka tamasha kubwa dar usiku na kuchukua wasanii wengi kusoma ujui hata picha uoni?
@larickmtui28526 жыл бұрын
Fiesta ife maana niwanyonyaji walimuuwa ngwea kwa kumbe besha mavitu mazito
@eliahjohn55196 жыл бұрын
Unapewa vitu wewe
@valentinamussa42126 жыл бұрын
makonda mchokozi hahaha eti kanongonezwa wataisoma namba
@sembosayenda71826 жыл бұрын
Konda boy haahahaha
@marthamasue40096 жыл бұрын
Wivu kidonda ukishiriki uta...... Angekuwa amekondwana msingekosa çha kusema tena mngeweza sema mwathirika wa aids. Mwacheni kitambi chake kinawahusu nini? Oooo! Anamatege mnakosoa uumbaji wa Mungu nyie hata kinyago kuchonga hamwezi. Mh M Hapa kazi tu.
@idayakey68866 жыл бұрын
😂 😂 do nn ss dah tz kuna vituko 😂 😂
@pilijohn14784 жыл бұрын
Upendo ndio hazina yetu tuliopewa na mungu
@georgettetiemele82206 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😱😱
@bothinabothina36036 жыл бұрын
Bora nibaki omani nimilikiwe na mfalme
@mariammichael97736 жыл бұрын
Bothina Bothina nyumbani ni nyumbani hata km usiporudi sasa hivi ila ipo siku utarudi tu.. siku mkataa kwao mtumwa. .
@zakariageorge86576 жыл бұрын
Mpe mfalme akukatikie kabisa
@bothinabothina36036 жыл бұрын
Zakaria george weeeee usiseme ivo
@zakariageorge86576 жыл бұрын
Sawa
@bothinabothina36036 жыл бұрын
Zakaria george poa kwema lkn
@charlesased6 жыл бұрын
Kifutu 😀😀
@tereseamasawe81116 жыл бұрын
PENDEZA MKUU MAKONDA. RAIS WA DAR ES SALAMA.
@cassandraedward86636 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zang mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kanenepa vibaya na nguo zilivyombana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@irenematari62186 жыл бұрын
Hahaaaa
@pilijohn14784 жыл бұрын
Safi sana makonda
@zumamarande29696 жыл бұрын
Wapake mafuta kwa mgongo wa Chupa
@allyking3246 жыл бұрын
Utaletaje siasa kwennye burudan wewe unazngua m mkubwa kama una kaa mombasa
@ramadhaniabdulkadry2886 жыл бұрын
Ally King. Majungu hayo hapana ishu cyo kila mahali SIASA kufurai na watu pia ni ishu
@alihijiiddi89776 жыл бұрын
NAMAKONDA KUMBE ANAVAA SUWAKIZA KUBANA MAFAKO NA LIMWILI NENE HIVYO ANAONESHA MATAKO KWA NANI KAZIWACHANGUWO ANAVAA SURUWALI ZA ANAZOVAA KIKUKU ALAFU AKACHEZA DUUUUUUUUUUUUUUU MBONA KAKAA VIBAYA NYUMA NA MUNOLAKE LA MAFUTA AIBU HAJIONI AU KACHAGULIWA AVAE HIVYO APO AWACHI KUUVAA NGUOZAKE ZA KAWAIDA AMAKWELI KUFAHAMU MASOMO NI KUKOSA VYETI 😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@edsonndogoro31886 жыл бұрын
Ali hiji iddi umeandika ujinga! Na kuandika kwenyewe hujui, huo ni ugonjwa mkubwa sana, ujinga kama huo ungeandika na kuwatusi wazazi wako ndy ungeona raha zaidi, ww ni zuzu mpuuzi kabisa.
@kilembashirima55586 жыл бұрын
Huhuuu
@tanzanite99446 жыл бұрын
STUPID.. SIASA KWENYE STAREHE.. KILA SIKU RAIS, RAIS, HUNA JIPAYA KAZI KUPAMBA UGALI WAKO.