Tazama Walichokifanya Roma na Stamina (ROSTAM) kwenye Jukwaa la Tigo Fiesta Kahama (HD)

  Рет қаралды 165,315

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Perfomance ya Roma na Stamina Tigo Fiesta Kahama 17 Sept 2018
#Tumekusomaa

Пікірлер: 114
@alexmerck2568
@alexmerck2568 6 жыл бұрын
awa majama kama unawakubari embu gonga like apa tendwe sawa
@ketsonempire
@ketsonempire 5 жыл бұрын
Wasanii wangu hawa show za huwa zimeshika kweli ... Naaamini ipo siku tutapangisha show mje mtetemeshe huku 254 #stamina #Roma #rostam
@soipei3359
@soipei3359 7 жыл бұрын
Wasanii Wangu wa all the time #ROMA #STAMINA #MR_BLUE hakuna Kama hawa jamaa kwenye show
@jongosudi8611
@jongosudi8611 11 ай бұрын
Rostam ndio settup ambayo ina kila kitu kama mtu anapenda mziki Wana wanamorali smart hawalazimish audience ku acept ni automatic vibe ina sense kwa mind set za audince yenyewee Itachukua muda kuipata settup ya hivi kwa aina ya wasanii waliopo tz kwa sasa ambao wana uchu na pesa kuliko kujiimarisha kwanza ili pesa iendelee ku flow kwao My all time artist mpka nakufa ni hawa mabwana hta mnijie na bastola hapa mniue tu Roma plus Stamina hawa jamaa ni incredible 🎉kila siku kila saa ntawaskiza hata nikiwa naumwa nikiwaskiza napoma fasta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌👍🇹🇿
@jacksonninja4380
@jacksonninja4380 7 жыл бұрын
mwakubal xnaaaa💪💪💪💪
@mosamossile9113
@mosamossile9113 5 жыл бұрын
2020 south Africa Cape town
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 7 жыл бұрын
Safi sana naaaminia hip hop ROM tishaaa mbaya.
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 7 жыл бұрын
romaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tisha sanaaa
@allybububu9757
@allybububu9757 7 жыл бұрын
rostam mmetishaaaa
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 7 жыл бұрын
This is braki aidiaa mmetishaaa
@johnjumatatu127
@johnjumatatu127 7 жыл бұрын
WAKALI wa tanzania forever
@teddykrekamoo1051
@teddykrekamoo1051 7 жыл бұрын
Aiseee show ilibamba ile mbaya 🙌
@jacklineoscar5049
@jacklineoscar5049 7 жыл бұрын
Noma can
@dullahmmbai9357
@dullahmmbai9357 7 жыл бұрын
hatareee sana
@jaystar1004
@jaystar1004 7 жыл бұрын
#Rostam🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@naomimajura7640
@naomimajura7640 7 жыл бұрын
Duuuuu show Kali adi raha
@alexchilendu5958
@alexchilendu5958 4 жыл бұрын
Saf sana %%
@mtoroonetv9621
@mtoroonetv9621 7 жыл бұрын
Noma sana
@hamismisana9300
@hamismisana9300 7 жыл бұрын
moto kama fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥👈👈
@ibndaxe11
@ibndaxe11 7 жыл бұрын
Perfect combo
@hawaomarabdishakuru4689
@hawaomarabdishakuru4689 6 жыл бұрын
Tisha kinomaaaaaaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@chidikenadeking8578
@chidikenadeking8578 6 жыл бұрын
Nawapenda stamina n Roma pia Mr.blue
@abdalathuman5037
@abdalathuman5037 7 жыл бұрын
Hatar sana
@buye5436
@buye5436 7 жыл бұрын
Rock. 🌟✨
@dalizotz9802
@dalizotz9802 7 жыл бұрын
Tishaaaaaaaaaaaa
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 7 жыл бұрын
me napita naenda zangu Ivi ni Zimbabwe au wapii nimeshasahau hata...
@lovenessmpuya7198
@lovenessmpuya7198 6 жыл бұрын
Nice
@malulujr
@malulujr 7 жыл бұрын
show Kali kinyama
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 7 жыл бұрын
Wanajua ku organize Sana show Hawa jamaa
@jacksonmgitaabwiro7681
@jacksonmgitaabwiro7681 7 жыл бұрын
Rostam...Nyie hatarii sana
@kalembojunior8834
@kalembojunior8834 7 жыл бұрын
rostam. hataree sana
@patrickmgata445
@patrickmgata445 7 жыл бұрын
Hatari sana
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 7 жыл бұрын
Roma kaka mlijuaje we na stamina mnaendana kupiga kaz, ni sheedah
@promramson80
@promramson80 7 жыл бұрын
wametisha
@mursilmursal
@mursilmursal 6 жыл бұрын
Hizi ndio ngoma
@victorsomba867
@victorsomba867 7 жыл бұрын
September 2018 ???? Mwandishi nimekuogopa ghafla tu
@joachimjohn1188
@joachimjohn1188 7 жыл бұрын
dah siku zote vibe la hiphop ni kwere
@kendothemusic8367
@kendothemusic8367 7 жыл бұрын
Tammmm iyoooooooo
@henrymasunga8992
@henrymasunga8992 7 жыл бұрын
,,,#rostam mmetishaaaaaaaaaa
@djb2kzer0
@djb2kzer0 7 жыл бұрын
Yaani tz bila hao hip hop zero in tz
@jaybchaponda6886
@jaybchaponda6886 7 жыл бұрын
Nawapenda je mie
@kekiklion5247
@kekiklion5247 7 жыл бұрын
Daaah.... Nilianza kwa mzuka nimemaliza kwa KULIA
@maxmilliangeofrey3957
@maxmilliangeofrey3957 7 жыл бұрын
roma ni hatari sana kwenye huu mziki
@danielnyambu2862
@danielnyambu2862 4 жыл бұрын
Huku ama kule Roma 💪 Stamina 👊
@MarickyTv
@MarickyTv 7 жыл бұрын
2018?
@saskowell4061
@saskowell4061 4 жыл бұрын
Rostam Ni Hatari Sana
@juvenalymnyama735
@juvenalymnyama735 7 жыл бұрын
Rostam ni sheeedah viva hip hop
@georgepoka7446
@georgepoka7446 7 жыл бұрын
Fiesta bila rostam .....ainogi
@kasaloojunior5939
@kasaloojunior5939 7 жыл бұрын
Kiukweli Kwa Upande Wangu Nafikiri ROMA Hii Apa ALIIPANIA Sana KAMA Anashout Hivi Sio Kwa UBAYA Mi Naona Hivi..
@anthonyluganje8367
@anthonyluganje8367 4 жыл бұрын
Roma mkali namkubali Sana Rostam
@hansclever334
@hansclever334 7 жыл бұрын
Hip hop ndio mziki show Kali na ya kibabe
@dicksonmarwa3245
@dicksonmarwa3245 7 жыл бұрын
Romaaaàa
@yusuphkirungi373
@yusuphkirungi373 7 жыл бұрын
Roma ni nouma ktk jukwaaa
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 жыл бұрын
Mmetisha kweli simba na yanga
@georgerubeni3605
@georgerubeni3605 7 жыл бұрын
rostam big up san
@sabrasaid6842
@sabrasaid6842 7 жыл бұрын
Moro iweza moro mororoo hip pop on fireeee
@samwelmbeye3390
@samwelmbeye3390 7 жыл бұрын
DAT we call real hiphop
@swidatyomary1380
@swidatyomary1380 6 жыл бұрын
Njoon bukoba jamn
@abrahammnyavanu4444
@abrahammnyavanu4444 7 жыл бұрын
romaaaa mzukaa eeeeeeeh
@senzojackson3899
@senzojackson3899 7 жыл бұрын
kama roma yupo na stamina lazima nitinge mwanza
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 7 жыл бұрын
DJ unamzuka mpaka mzuka Mara paaaaaaa tunaisubiri Swanga aka swax city Sumbawanga
@gervaspaul2018
@gervaspaul2018 7 жыл бұрын
Stamina sjampatia picha
@alexkilolo5032
@alexkilolo5032 7 жыл бұрын
hatari sanaaaaaaa hawa raia
@castormpunga528
@castormpunga528 7 жыл бұрын
performanc nzur kinoum
@saviongaila3546
@saviongaila3546 7 жыл бұрын
100%
@hamisiseleman5426
@hamisiseleman5426 7 жыл бұрын
Dunia khatar
@fdkdonard8489
@fdkdonard8489 7 жыл бұрын
hakuna fanani bila ya hadhira #rostam mmeua
@pascalnguruka9984
@pascalnguruka9984 7 жыл бұрын
Kwenye jukwaa wanaojua kulishambulia vilivyooo ni Mr blue Roma Stamina
@official_ya13
@official_ya13 7 жыл бұрын
Stamina cku nyingine mlete killer msodoki maan mkiw wa3 itakuw hatar saaaaana
@ernestkiluti5986
@ernestkiluti5986 6 жыл бұрын
ndo najua kua roma shda
@husseingwanone7887
@husseingwanone7887 7 жыл бұрын
Roma muacheni
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 7 жыл бұрын
Kumbe Shetani anamashabiki Weng, sana
@mango.jayzo.
@mango.jayzo. 7 жыл бұрын
hta wew ni muongoni
@mtoroonetv9621
@mtoroonetv9621 7 жыл бұрын
Mbugo Kilonda Una maana gani ndugu
@mwebraniaonline7001
@mwebraniaonline7001 7 жыл бұрын
wemwenyewe nishabiki ndomana umeangalia.!!!!!!!!!!!!!!!
@mwinyihamisidee5813
@mwinyihamisidee5813 7 жыл бұрын
Mbugo Kilonda wewe wafanyaje
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 7 жыл бұрын
+Masangu John Dee Mimi niko na mungu muda wote, swala 5: Ujinga Kama huu Siwezi kuusaport hata kidogo
@newsconnect1763
@newsconnect1763 6 жыл бұрын
Hakika CLOUDS FM imekuwa Media kubwa kulingana na uongozi wake wandani na nje nawapongeza kwakweli kwakuleta mabadiliko makubwa katika Tasnia ya Habari mbali mbali#Mimi naitwa Meshack mitimali Makazi yangu naishi Mbeya jijiniNi muandaaji wa Hadithi zinazoishi za kale,za sasa na wakati mwingine naandika hadith za kufikilika sana Katika kazi yangu hiii nimeifanya miaka 8 sijapata mafanikio yoyoteSiku wakati naandaa Hadith yangu mpya Nikapata pia wazo ambalo ndilo hili naomba waungwana wangu mnisaidieNimeandika Story ambayo itaitangaza Tanzania kwenye uwanda wa film TanzaniaKaka zangu na Dada zangu naomba msikilize kilio changu Nina hadithi/cinema nzuri ambayo nahitaji kuifanya Msaada wenu naomba jamani Meshackmitimali@gmail.com0712888981
@missagatha1756
@missagatha1756 7 жыл бұрын
Hahahaaa eti wanajidai marasta halafu wanakula hadi nyama ya chura nomaaa sanaaa
@denismakweba3870
@denismakweba3870 7 жыл бұрын
yan nkubali show ya Roma+ Stamina nibalaaaaaaaaaah Regret ukikosa show zaoooooooh
@AugumtuiRemmy
@AugumtuiRemmy 4 ай бұрын
Tuleeten hawa watu pamoja tena.tumewamiss jukwaa moja
@shaibumahanda6501
@shaibumahanda6501 7 жыл бұрын
rostam inaua makund yote ya hiphop tz hamna weus wala weupe hapa n rostam2
@missagatha1756
@missagatha1756 7 жыл бұрын
Shaibu Mahanda Hahahaaa umeona eee wala wekundu hakunaa
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 4 жыл бұрын
Ingekuwaje kama angekuwa Roma + Darassa=RoDa
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 7 жыл бұрын
wanatisha hapa nje ila mbona hawatoki nje ya nchi ? wakapige show
@mswahilidsm9213
@mswahilidsm9213 7 жыл бұрын
claus tuleteen ivo viumbe DOM CITY N SHEEEDAH NAZEE
@JonathanChuwa
@JonathanChuwa 7 жыл бұрын
Mi ukinikata damu yang ni Lowassa mtupu..... Shangwe la hapa duh
@enockaugustino9367
@enockaugustino9367 7 жыл бұрын
sema nn.. hawajamaa wananipa fumbo moja hivi.. vip youngkiller & youngdee wakipanda jukwaani itatokea nn
@livionemwangemile4950
@livionemwangemile4950 7 жыл бұрын
roma wewe atali unatisha
@Kingvictorentertainment2023
@Kingvictorentertainment2023 6 жыл бұрын
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz
@promramson80
@promramson80 7 жыл бұрын
shoo ndowanaibeba hawa
@cholokanji7139
@cholokanji7139 7 жыл бұрын
simba inawashabiki wengi tz
@kodipukupuku5340
@kodipukupuku5340 7 жыл бұрын
mkopoa wazee
@wilhelmibaganisa8143
@wilhelmibaganisa8143 7 жыл бұрын
#Lowasaaaa kapata shangwee hatari
@qaraiserq6532
@qaraiserq6532 7 жыл бұрын
Hawa ndo wasanii wa kulipwa pesa nyingi
@kodipukupuku5340
@kodipukupuku5340 7 жыл бұрын
wala kijani
@hemedytz3013
@hemedytz3013 6 жыл бұрын
jaman sapot zenu tunaimba lakin 0655177067
@alhajisalehe5126
@alhajisalehe5126 7 жыл бұрын
Hilo shangwe baada yakutajwa Lowassa ndo imenichosha tu
@patrickjohn2516
@patrickjohn2516 6 жыл бұрын
Kwa nn brooo
@michaelmchodo4887
@michaelmchodo4887 7 жыл бұрын
stamina mzuka unakuzidi kiasi flani mpaka mashabiki wanakua hawakuelewi
@abdalathuman5037
@abdalathuman5037 7 жыл бұрын
Munaelew mnacho kifanya
@baddynapenya7815
@baddynapenya7815 7 жыл бұрын
Najitaidi kunusia munamopita hadi kiyeleweke
@allystandardtz8017
@allystandardtz8017 6 жыл бұрын
Wcb chuma chaleli
@didamugya6039
@didamugya6039 7 жыл бұрын
leta difenda,... leta wajeda
@monicasweetbert958
@monicasweetbert958 7 жыл бұрын
dida mugya nice
@tripple_jonline5741
@tripple_jonline5741 7 жыл бұрын
Mafundiiiiiiiiiiiiiii
@januarykanijo1245
@januarykanijo1245 5 жыл бұрын
kakawa
@barnabasdavid848
@barnabasdavid848 7 жыл бұрын
m.kzbin.info/www/bejne/j2W2p6F9ebN-jtU kama shabiki wa ROSTAM bonyeza link hii ujionee balaa
@joohcloudy738
@joohcloudy738 7 жыл бұрын
apo mbn kwenye lowassa na simba shangwe jingi....ila me yanga na simwelew john kimambi
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 7 жыл бұрын
Hakuna cha difenda watimba na Noah ukasanda broo
@tinajohn5260
@tinajohn5260 7 жыл бұрын
Noma sana
@Kingvictorentertainment2023
@Kingvictorentertainment2023 6 жыл бұрын
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz
#ROSTAM watunishia kwa Maua #Arusha
16:58
VIVAROMA
Рет қаралды 27 М.
ROMA : MKE WANGU ANAAMSHA SANA!
8:48
Jonijooo
Рет қаралды 710 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
CHID BENZ ALIVYOUCHAFUA UWANJA KWA DAR ES SALAAM STANDUP
16:04
Wasafi Media
Рет қаралды 197 М.
Fid Q Ampandisha Stamina | Imepigwa Free style battle Uspime
23:57
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 123 М.
DJ Zero Awapambanisha "ROSTAM" Kwenye Tigo Fiesta Moshi
23:03
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 34 М.
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030
35:25
Millard Ayo
Рет қаралды 805 М.
Eminem - Lose Yourself • LIVE • The 92nd Academy Awards • Oscars 2020
4:07
Просто канал
Рет қаралды 32 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН