Kama wote tunaamini mungu ndie mwenye uwezo wakumfanya mwanadam chochote gonga like hapo
@allyramadhani90813 жыл бұрын
Xijawaiii pata like aixeeee manzeeee embu fanya kama unapita chap nalike wadau wng
@drraizkidume8674 жыл бұрын
Tangu nianze kukomenti story book sijawai kupata like 😭😭😭.. From Mozambique..
@shaelscott7794 жыл бұрын
Aya sasa sherekea 🤗🤗
@joycedecostas76104 жыл бұрын
Moz hapa 🇲🇿❤️
@samkg63374 жыл бұрын
Likes zina maana gani?
@alinemauwa47804 жыл бұрын
Haya kazipike kwenye kisamvu
@matugatm6954 жыл бұрын
Hizoooo
@amosmwanga40273 жыл бұрын
Kama una amini wasoma comment ni wengi kuliko watoa comment like Hapaa🤣 👇
@deborahdavi65934 ай бұрын
Binadamu hawakosangi madharau😂😂😂
@NiaKelly-sh4hj3 ай бұрын
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯
@Isack_Leo4 жыл бұрын
Daaah...angeomba msamaha Mungu angemsamehe na kumponya ...sisi wanadamu bhana daaah Mungu si wa kuchezea
@deopende82023 жыл бұрын
Tuogope Mungu,tusichanganye mambo yetu na Mungu,tufanye yaki binadamu na ya Mungu yabakiya Mungu, ubarikiwesana kwa kipaji chako ambacho Mungu amekupa wandelee hivyo hivyo barakaza Mungu ziwenawe,siku zote.
@musampate2794 жыл бұрын
Jamal, jamal, Jamal nimekuita Mara tatu bro uko juu mpaka sasa walikukataa mwanzomwanzo ila sasa wameanza kukuelewa big up bro kweli umejua kunyamazisha watu
@sammanexofficial15112 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa mungu milele na milele🙏🙌
@ngachezsammy5893 Жыл бұрын
amen
@elishafanuel4 жыл бұрын
Bora Kama ume jua kua Mungu wa kweliii yupo mmoja tu alie juu
@zainabmohamed91244 жыл бұрын
Hakika mungu yupo😭😭
@dornadamos90253 жыл бұрын
N
@dornadamos90253 жыл бұрын
Daah kwa neema ya mungu tuokoe wanako tunateseka na dhambi tufanyazo
@abuubakarali30903 жыл бұрын
Vye ma
@simontamba12853 жыл бұрын
Hakika
@venancemwasakipala2564 жыл бұрын
Jamal Jamal Jamal nimekuita Mara Tatu jamaa nimekuekewa una fact na unaeleweka, keep moving bro
@hassanyussuph44074 жыл бұрын
Jamal namkubali sana
@AmCool_4 жыл бұрын
Mlimponda sana mwanzoni kisa Mtiga, mtaelewa tu
@nawwarsultwaan64043 жыл бұрын
@@AmCool_ wacha majungu
@boysmile64052 жыл бұрын
@@hassanyussuph4407 r
@princesanita46 Жыл бұрын
Kibri siyo kitu kizuri na kujikweza itatuweka sehamu mbaya milele tumshukuru alie juu siku zote 🙏🙏
@mossesjr49904 жыл бұрын
Hii ki2 ni fire namkubali sana uyu jamaaa km na wewe upo pamoja nami gonga like apo iwe ishara yakuwa 2namkubali
@allymbogoally74512 жыл бұрын
You're the best to narrate the history, Well done my brother?!.
@vanessaemanuel849 Жыл бұрын
Aise mwenyezi Mungu ndiyo muweza wayote na pia Mungu nimwema kilawakati🙏🙏🙏
@lydiaingolo16784 жыл бұрын
Jamani kuna Mungu mkuu mwenyewe uwezo wa ajabu na nguvu na mwenye mamlaka, atukuzwe milele baba yetu aliye mbinguni
@jacksonjosephkungunde63374 жыл бұрын
Amen
@iraqgirl21434 жыл бұрын
Ameen
@mweucchunda42443 жыл бұрын
Amen
@mwantumuakida243 жыл бұрын
She he shafii
@papaesco51984 жыл бұрын
Tulidhani story book ingeisha pale alipotoka mtiga but Jamal Ametuhakikishia kuwa anaweza big up mzee baba
@geoffreymakana5677 Жыл бұрын
I like how this guy puts his story
@ShawnBeatz4 жыл бұрын
Jamal umekuja na sauti yako mwenyew, so unique cdhan Kuna mtu anaweza kuiga hii saut
@aminaanatuwaziamemavivian49784 жыл бұрын
Chezea vituvingine sio mungu
@samehemwakisale43752 жыл бұрын
Kweli nimrodi Huyu bwana Alikuwa n zooba 😊😋
@ummyazizkimaro63782 жыл бұрын
I just came across THE STORY BOOK today and i loved it i cant wait to listen to the rest of the stories
@mrlimixfilamu10 ай бұрын
❤❤❤God creat us in order to pray for him❤❤❤
@rezikomer95523 жыл бұрын
Mashallah story tamu sana haya wenyekiburi hi ni funzo zuri kwawenzetu subhanallah
@stansilauseliasi78834 жыл бұрын
Tunaomba muwe mnawaisha. Hiki kipidi tunakipenda sana mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi
@abdulrahmanallykipanga5338 Жыл бұрын
Kwan Hiko kipindi kinaitwaje na kinapatikanaje na wapi na lini
@khaijakadija20822 жыл бұрын
Subhna Allah Mola wetu tuhifadhi na kibri
@sharifaallan23864 жыл бұрын
Allah atunusuru tusije kukufuru
@alawiali34753 жыл бұрын
Amin
@mengimatiku71673 жыл бұрын
Stori ina ukweli na uongo
@mwalimubaydah67554 жыл бұрын
Historia zako nakupenda sana Allah akupe mwisho mwema na akuzidishie elim na akukinge na dunia na vilivyomo
@simontamba12853 жыл бұрын
Sote ni wtoto WA Baba mmoja Na Hakika Mungu ni Muweza Tupendane
@siasamweli3723 жыл бұрын
Mungu hazihakiwi!Nakupenda Sana mungu wangu
@clintonbleya16344 жыл бұрын
Hakuna Kama Mungu Mungu Anaweza Mungu Samehe Zambizetu Sisi Ni Waovu Hakuna Mkamilifu Mbele yako 🙏🏽
@sieleclaus44303 жыл бұрын
God is greater than anything nothing can be compared with him😁😀😀😀😀
@shabanimwinchea26964 жыл бұрын
Tumuogope Allah .
@sariyaissa24973 жыл бұрын
Kweli
@Erryboy_brahck_tz3 жыл бұрын
Mungu ndie mkuuuu kuliko chochote ameniiii
@mwanzashinyanga80602 жыл бұрын
acheni mungu aitwe mungu 🙏
@abdulkadiryusuf7213 Жыл бұрын
Mungu ni mkubwa na mwenyewe nguvu💪
@vannesaClaudeАй бұрын
Mungu hafananishwi na chochote daima matendo yake n makubwa
@mwinyimkuu20234 жыл бұрын
KAMA UNA AMINI MUNGU WETU MWENYE HURUMA SEMA CHOCHOTE KWA KUTUPA PUMZI🙏🙏
@fatimaabdulla13204 жыл бұрын
Kubwa nitasema subuhanaka ametakasika mfalme wa azi alhamdulillah
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@rehemafungo50424 жыл бұрын
Aaamina
@victoryustas18474 жыл бұрын
Ni wewe tu
@danielsamson10134 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@sifajacky77793 жыл бұрын
Tumuombe Allah wetu mtukufu Subhanah wataala atupe mwisho mwema inshaalllah
@jojobae7393 жыл бұрын
Inshallah
@user-lk6ms2py7k11 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu kila wakati
@Yuzzowgrapher4 жыл бұрын
dah jamaa anajua sana.....kama unapenda kuwa na IQ kama ya huyu jamaa weka like yako hapa
@nextlevelmusic92764 жыл бұрын
thestorybook
@AishaAisha-fy1pl4 жыл бұрын
Zuchu safi
@tundurustorkitaa53784 жыл бұрын
Nakukubali Adi bsi....daaaaaa
@celvinevod83914 жыл бұрын
Kf
@mu-crzymahez92294 жыл бұрын
u y u zunch kwel au
@davidevarist83454 жыл бұрын
@@mu-crzymahez9229 sio mwenyew uyo
@jacquelinealinanuswe96393 жыл бұрын
Ukuu wa Mungu God is so merciful
@sumaiyamahamoud24884 жыл бұрын
Mungu tupe imani daima tuamini uwepo wako
@mweucchunda42443 жыл бұрын
Amen
@tonnymkoya87902 жыл бұрын
Napenda kufuatilia historia yako.Great
@godfreystephano49924 жыл бұрын
Jamal nakubali nakubali.. Fanya kushusha na kitu cha Ghekis khan wa mongol empire
@polytarimo3244 жыл бұрын
Daah hii simulizi nimeipenda niliisikia kwa mbali ikirushwa kwenye wasafi tv jana nikaitamani hatari
@josephkalamazoo79794 жыл бұрын
Napenda saana uongezi wake na historia zake big up Jamal, congratulations keep it up nice job
@amosfabian83264 жыл бұрын
It's very potential, this video has helped me expand my knowledge
@christopherfadhili53124 жыл бұрын
Kama na wewe nii mpenzi wa hichi kipindi namba like hata 30 tuu jman
@allymwachuma31324 жыл бұрын
UMEJITAHIDI LKN HAPO KWENYE KUUWAWA WATOTO WA KIUME NI ULIKUA UTAWALA WA FIR AUN NA UTABIRI YALIKUA NI MAZAZI YA NABII MUUSA ALAYHI SSALAAM.
@monicahovda45244 жыл бұрын
Ni kweli. Kumbe Biblia inalingana sanaa na Koran
@janethsamson91233 жыл бұрын
Naipenda sana stoli zake
@bakaryhamza73773 жыл бұрын
@@allymwachuma3132 kweli
@sturidamsesa79583 жыл бұрын
B. N
@glorrineshoo24444 жыл бұрын
Mungu ni fundi jmn apo kwenye kuwapotezea kwa lugha
@mjuba4 жыл бұрын
Acheni MUNGU aitwe MUNGU🙏🙏
@mosesmwasi47954 жыл бұрын
Jamani watanzania toeni maoni, badala ya kuomba likes!
@JaphetCaptain-tq2dv11 ай бұрын
Thank ya 🙏 congratulation 🥳
@mayamerali92644 жыл бұрын
Allah is the one,, hashindwi kwa kitu alichokiumba yeye.
@salehabri6957 Жыл бұрын
I am proud to be Muslim, peace and mercy up on you..
@yustomwaisomania25879 ай бұрын
Ni utumwa kuwa hivo
@josephsamuel10734 жыл бұрын
Mpaka nimemsahau mtiga abdalah,story book imenoga sana
@nomatter12394 жыл бұрын
Oya kam unaanza kumuelewa jamal mpe lik zk hp zifike 30 tt atafurah snn
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Hakuna namna lzm tuelewe tu,
@nomatter12394 жыл бұрын
@@queenwinnie256 ahhh p moj jam mkali
@daudisamson89814 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kutukumbusha
@daudisamson89814 жыл бұрын
Usicheze na Mungu aisee
@ezraezron20173 жыл бұрын
Yuko vizuli
@jumampony43464 жыл бұрын
Unafanya vizuri jamal
@estachengula54994 жыл бұрын
Sauti ya Jamal April ni nzuri lakini inanitisha nikiisikia love u
@zillahmgozira10064 жыл бұрын
Ata yang pia n nzur cjui na mm utanipenda
@salmamussa7863 жыл бұрын
Ata mimi inanitisha
@clementpeter89184 жыл бұрын
Daaaaaa hiii The storybook ni nzuriii snaa semaa mnachelewa kuiwekaa online tengenii sikuu ilii tuwe na siku mahalumu ya kuifatiliaa jmn
@Ngangabwite3 жыл бұрын
Mke wa Tera hakuwa Sarai, Sarai alikuwa mke wa Ibrahim
@gramsraymond46434 жыл бұрын
Me nataka like tu
@hadijasalimu54814 жыл бұрын
MUNGU hazihakiwi wakuabudiwa yeye SIFA na UTUKUFU nizake milele
@mtorosaidkassim95874 жыл бұрын
Hakika
@henrynganga83364 жыл бұрын
amen forever
@henrynganga83364 жыл бұрын
MUNGU
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Ameen
@minabuelysee83 жыл бұрын
ndio maana kila anaye abudi kinyume na Mwenyezi Mungu atapata adhabu kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu
@samirasadasalum5974 Жыл бұрын
Shukrani sn kwa simulizi mzuriii sna MUNGU atuhifadhi tukiwa wenye kumkufuru ktk hali yeyote Amiina.
@MasudiKisumo-lf1dn11 ай бұрын
I like it
@daudisulle84103 жыл бұрын
Kiburi Cha imani ni hatari sanaa,tunatakiwa kumwamini MUNGU tu,ametuumbaa kwa kusudi inatupasa kumweshimu na kuishi katika kusudi lakee 🙏🙏
@issamwenda68132 жыл бұрын
Very good professor
@juliaayieta25784 жыл бұрын
I love the story book 📖 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@eliuskamwelwe10184 жыл бұрын
muandaaj ,mtafiti , muandishi na msimulizi 💪🏿💪🏿
@samwelylaurent43014 жыл бұрын
Bro nakukubali sana japo mwanzo w2 walikuponda sana lkn nimeamin maneno ya dimond platnum alisema ukiwa na juhud katika kaz zako bac unanafac kubwa yakufanikiwa na pia ukikataliwa na jamii ndo neema inaingia leo hii nimejifunza k2 kwa jamali maana mwanzo alikataliwa na kila m2
@neemamayco32384 жыл бұрын
Alikua anatangaza chanel gan?..
@petrolambe4 жыл бұрын
Jamal ndo alikua anaandka zile story alizokuwa anatusimulia mtiga kwahyo ndo alkuw mkuu wa kitengo
@jamesmbegeze41224 жыл бұрын
Kwa kweli
@neemamayco32384 жыл бұрын
Asante petro
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Samwely Laurant ndio maana ukaambiwa mwanzo mgumu
@nomoboy1524 жыл бұрын
Sema unajua kusimulia kinoma chukua namba1
@fasanitzfasanitz96314 жыл бұрын
Kama unamkubali jamary April like hapa👍👍👍
@jonnesmongare5530 Жыл бұрын
Always put your trust and faith in God 🙏 and we shall never compire ourself with our creater who is heaven course he knew us before we were born and he can finish us anytime anywhere 🥰🥰🥰
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
( وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ لِأَبِيهِ آزَرَ أَتَتَّخِذُ أَصْنَامًا آلِهَةً ۖ إِنِّي أَرَاكَ وَقَوْمَكَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ) الأنعام (74) Al-An'aam (Na pale Ibrahim alipo mwambia baba yake, Azar: Unayafanya masanamu kuwa ni miungu? Hakika mimi nakuona wewe na watu wako mmo katika opotofu ulio wazi) Huuu ni ushahidi wa Quran
@wivinemwamini91103 жыл бұрын
Munguwetu nimwema
@bintichausa47443 жыл бұрын
Allah akbar ... Subhanakallah inkuntumina dhwalimiin
@dicksonlwiza4 жыл бұрын
Nakubali jamaa upo vzuri tupe mastory ya kutosha nataman kupata story za Mambo ya historia ya Vita za majimaji na ushujaa wa watemi wetu Kwa indani zaidi namna wazungu walivyo tulaghai Kwa mikataba mibovu
@Bigboy-nx3nc4 жыл бұрын
Unajitahidi thumbs Up 👍
@user-cw8zn2dn6m5 ай бұрын
Mungu ni Mungu. Amen.
@mawazoboniface63704 жыл бұрын
We jamaa unajua hadi unapitiliza aisee,pamoja sanaa
@KILLERGAMER0094 жыл бұрын
kama ww unaamini dini ya kislam gonga like hapa
@allpotentials84204 жыл бұрын
Acha udini ndugu yangu, mbona nyie mnajifanya ni watu Bora Sana kuliko wenzenu. Cc wote ni wamoja uislam na ukristo zote ni dini nzuri lakini majitu yasiyo na akili Kama wewe ndo yanaleta migawanyiko pumbavu Sana.
@salehkhalfan73454 жыл бұрын
@@allpotentials8420 Tunakuw saw kiubinaadamu tu ila kiidini hatuwez kua saw Uislami na ukisristo sio saw
@rehemafungo50424 жыл бұрын
@@allpotentials8420 amina kakaangu
@hamadamaan98004 жыл бұрын
@@allpotentials8420 hakuna dini ukiristo
@allpotentials84204 жыл бұрын
@@hamadamaan9800 sawa lakini me naamini hata mtume muhamad sws anaamasisha umoja baina ya watu wote lakini mabinadamu fedhuri Kama nyie ndo always mnaaribugi hata twaswira ya dini yenu wakati ni dini nzuri tu, kwa kuleta migawanyiko. shame on you all.
@maryamfaraji23643 жыл бұрын
Binadam sisi ni machizi eti waende wakampige mungu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ALLAH AKBAR umetakasika Mola wetu😢😢😢😢😢😢ALLAH AKBAR😢😢😢😢😢😢
@ronnyprisc21752 жыл бұрын
Inshaala mungu akutende mema jamal ufike mbali zaidi proffesor
@salmaluhombero84664 жыл бұрын
Unajua sana kuhadithia kiswahili ni lugha tamu duniani najivumia story mno asante
@stanslaus77754 жыл бұрын
Vitamin Story ✨ 'God is the Greatest'
@issaduncan51463 жыл бұрын
Cc
@sheemaryam Жыл бұрын
Wallahi Allahu wakbar (God is great)
@derickrozy32134 жыл бұрын
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU
@elishamwita22764 жыл бұрын
acheni MUNGU aitwe MUNGu
@ezrasituma8224 жыл бұрын
Amen
@turantv33924 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA🙏💯💥⭐👑
@jojobae7393 жыл бұрын
Bila shaka mwenyz mung ni mkubwa
@stansilauseliasi78834 жыл бұрын
Oya unajua sana mtinga hawezi kujua hivi vitu hadi uwe mwamba
@abubakarsalimu69304 жыл бұрын
Stansilaus Eliasi we ni boya2 haandai yeye story boya ww mtiga mtu mwengne ww mbwa
@mwinyimussa1674 жыл бұрын
Hahahaha jidang'anyeee
@ezekielmanyesela38464 жыл бұрын
@@abubakarsalimu6930 huyo mtiga mwenyewe unayemsifia alikuwa anaandikiwa na Jamal Kama hujui
@peterpaulinuce43164 жыл бұрын
@@abubakarsalimu6930 mtiga alikuwa anaandikiwa na Jamal fuatilia story book za nyuma mkuu acha matusi
@greysonchogga46364 жыл бұрын
@@abubakarsalimu6930 unakosea mtiga yeye kazi yake nikusoma story tu lakini Jamali yeye anaandaa story na anasimulia story
@sabatoelia3124 жыл бұрын
Kama unachanganyikiwa na majina ya kiislam na ww ulisha sikia stori hii kwa biblia kwa majina tofauti kama mm .. gonga like hapa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@barklesbarkles77334 жыл бұрын
Nani hajawai hata..kusikiza.. legendary. THE STORY BOOK
@barklesbarkles77334 жыл бұрын
Mimi
@rehematawalani733 Жыл бұрын
HASANTEE Hii story inanikumbusha mbali sana mamayangu alikuwa anatusimulia wakati tupo wadogo
@jumamofu95734 жыл бұрын
Thanx kwa hii nimependa nimetazama leo 02/June/2020
@jacklinendinda78513 жыл бұрын
God his God Alpha and Omega we trust in him amen 🙏🙏🙏
@christabelathiambo30382 жыл бұрын
Amen
@user-hi2el8ll5j2 жыл бұрын
@@christabelathiambo3038 a🙏🙏🙏🙏🙏
@Allykoroshotv4 жыл бұрын
The story book inaelimisha sn
@papaesco51984 жыл бұрын
Kabisaaa Korosho
@Ngangabwite3 жыл бұрын
Kuweni makini na mafundisho ya kisisimu, mengi hayana ukweli ila misisimko
@joleenmasha4 жыл бұрын
Mwacheni mungu aitwe mungu Bwana hakuna kama yeye
@sophiajunery64314 жыл бұрын
Great let's have 💯 likes for Jamal April
@joobrizy14364 жыл бұрын
like zenu jaman tujuane wale wa story book
@tinasamo24033 жыл бұрын
You are great GOD🙏
@khayratsuleiman53463 жыл бұрын
ALLAAHU AKBAAR. LAAILAAHA ILLA LLAAAH WAHDAHUU LAA SHARIKA LAH LAHULMULKU WALAHULHAMDU WAHUA A'LAA KULLI SHAIN QADIIR. YAA ALLAAH SW TUEPUSHE NA KIBRI NA GHURURI ZA DUNIA WAJA WAKO CC NI DHAIFU MBELE YAKO. INNIY A'BDUKA WA ANTA RABBIY
@nourathossein12043 жыл бұрын
Uko vizuri mashaalla allahvakupe umri na afya kutupa elim
@captainswaicomedian84844 жыл бұрын
Nimechelewa kiduchu likes zangu dadeki sana sana zitokee nje ya Mwanza
@jayfourjofrey71294 жыл бұрын
Kama unakubalu the story book Kama Mimi weka like✌️🔥🔥
@fadhilisanga33844 жыл бұрын
Wanakwambia huku hakupoi hata siku moja kila siku chuma kinazidi kupata joto tena kimebadilika na rangi chuma kimekuwa chekundu je cha kijani huko kinaendeleaje ??? Safi sana bro tumesha kuzoea saizi
@silverminjal51084 жыл бұрын
Dah bro irespect you hatari!Watu walisema mengi lakini ukujali nahisi ulijua ndo tabia ya watanzania wengi tulivyo na ukaendelea kufanya yako paka sahvi wanakukubali.Umenipa fundisho nzuri,ukitaka kufanikiwa acha kufatilia watu wanaokukatisha tamaa.Keep it up tunasubir nyingine nyingi zaidi.The story book ni fireeeeee💪💪