Nimekuwa nikisoma comment kila siku, siku zote naona kila mtu anaomba like, huwa sijuwi zina msaada gani kwao, hebu na mmi leo nipeni hizo like, pengine nikaamka na like ya kunywea supu morning
@GeorgeEdward-mu1xgАй бұрын
😂😂
@NuhuMabena-gh1woАй бұрын
😂😂
@user-qx7so1gu2rАй бұрын
😅😅
@MukamiNancyАй бұрын
😂😂😂😂
@MuhidiniLeebaАй бұрын
Zinasaidia kukuza mbunyeto
@abdallahathuman50466 күн бұрын
Namkubali sana huyu jamaa unatufundisha mengi sana kama tupo p1. Like mbili
@abdallahathuman50466 күн бұрын
😅😊😅
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
❤prof April hapa duniani kuna watu wanaakili Sana mtu mmoja kuwaumiza vichwa FBI ila wenzetu wako mbali Sana sisi huku tunaishi kimazoea Sana shukurani kwa story book❤
@Shadadihamis25Ай бұрын
Kwenye group lazima jinga moja liwepo Nimekasirika sana
@YangaNews26 күн бұрын
😂😂
@allyhamic125518 күн бұрын
😅😅😅
@yusufuheri6524Ай бұрын
Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam kwa hakika the story book imekua darasa zuri sana
@abouburry3674Ай бұрын
My all time favorite story teller big up Mr jamaaal🤝❤️
@user-bk7de1jv3wАй бұрын
Napenda kazi za ujambazi sana Sema bd sijapata mwongozo mkn na mbinu yakinifu
@AngelJaphet-sg7rf15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@yustomwaisomania2587Ай бұрын
Salute kaka tupo pamoja tunazidi kukusapoti comrade wetu we love you ❤❤ kama unamkubali Jamal like here tusonge💪💪💪
@judychepkirui5313Ай бұрын
This is the kind of story book i like,, yaani Jamal anasimulia hadi unajiona kama uko ndani ya hao watu,,
@belitomanuel6240Ай бұрын
Trustable Man ♂️
@zanaworld111Ай бұрын
From Uganda much love
@allahisone6386Ай бұрын
WAELEWA KISWAHILI?
@bakari-si1pwАй бұрын
Ata uwibaji huu Mungu mwenyewe anakupa like safi sana🔥🔥
@ngido255Ай бұрын
Dah 😂
@omarhamad1253Ай бұрын
@@ngido255 duniani kuna vijana wa ovyo sana
@michaelfortune529420 күн бұрын
Kufuru
@jeffintabo90Ай бұрын
I really like the way Jamal explains to his audience..kongole professor🙏🙏
@emojimakopakopaАй бұрын
Ongera Teacher Jamali unajua kusimulia vizuri sana
@issajoseph660329 күн бұрын
Namimi naomba like jamani japo moja
@user-nh3cy2td6fАй бұрын
Jamal jins unavo pangilia stor blessed snaa mister ❤🎉
@enockochago6468Ай бұрын
Naipenda kazi ya Professa. Tokea Kenya.
@blassiusishengoma6058Ай бұрын
Unaiweza?kama jibu ni ndio....anza taratibu kurekodi na kuwatumia marafiki zako baada ya hapo omba kipindi kwenye radio yoyote.
@joemouly7877Ай бұрын
Nakubali kaka🫡 Unajuwa simulizi saana Tunakuomba utowe iyo ujambazi wa huu mwaka 2024 ulio vunja iyo record ya kuibwa pesa nyingi
@PatrickLumumba-qs5weАй бұрын
Hongera sana professor, one of My best storyteller ever, love you so much from great nation of 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakupa 💐💐💐 Yako uko vizuri , hongera sana professor
@ronofestus99Ай бұрын
Following from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@PolycarpBogonkoАй бұрын
Huwa nashinda hapa KZbin kusubiri another story book .. u real open my mind... Nani ako na kampuni ya kusafirisha fedha tuusuke mpango wa wizi😂😂
@Stylistic310Ай бұрын
This is the best stories for jamal april.... 🔥 he should keep this taste
@henrylugendo280Ай бұрын
Safi Sana jamal❤
@JamaliTuchomeАй бұрын
One of the best story tellers in east africa
@honeyflower254Ай бұрын
Natazama nikiwa eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunajifunza sana
@emojimakopakopaАй бұрын
Ongera Teacher Jamali
@jaqlon6680Ай бұрын
on hit❤
@LucasMbingaАй бұрын
Jamal April de Genious man 💪🏆
@WillybardMwandaАй бұрын
brother you are really Quick -witted and smart feller
@sumakitengo1356Ай бұрын
Watu weusi ni noma san
@topfan9951Ай бұрын
A good story teller @ jamaal, much love from Kenya
@jameskinuthia4480Ай бұрын
Mkali wao Professor 💯💯💯 best of the best
@ASALABOYАй бұрын
Mimi naamin kwamba ata Nikitaja Jina tu Jamal prof. Napata Like sab amuna Rohombaya.
@EsterElia-wj1xbАй бұрын
Sijawahi kuwa na mashaka na kazi yako professor🎉🎉
@IsmailSaid-wb7rhАй бұрын
Kaz nzur professor Jamal ♥️♥️
@nasryiddy9855Ай бұрын
Me mwenyew c elewag izo like ni za nn
@PalomaMshanaАй бұрын
Salute 🙌 Asante nimeionaa hii nikiwa gym jmoss nikasema siigusi mpk j2 yn Leo niifaidi story nikiwa nafanya usafi 📈📈📈 yn ww mtu Dah nikimaliza story YAKO huwa narudia Za Zamani 😂 mpk ntakapomaliza Kazi zangu 😮 siku wasafi wakiruhusu audio book I will be the first one to buy it😢
@chelseafc3990Ай бұрын
Kama tunapenda utrndaji kazi wa jamal jmn bipeni like zanguu ziwe nyingi kuliko wote
@user-ii1iw1mf3mАй бұрын
Tujuane wana story book
@collinskefaАй бұрын
Napenda sana simulizi ya story book April hunijengea siku🔥🔥
@user-cm6bm7wd1oАй бұрын
Kazi safi sana 🎉🎉 tupee pia story ya the book of enoch
@ShedrackBishaza-qd4vqАй бұрын
M nakubali San sauti Yako na akil kubwa sana unayotumia kuelimisha
@THEPHENKO1Ай бұрын
Jamal you’re the best ❤😮
@user-xv5xo9pd7iАй бұрын
Na m respect Prof. Jamal big up broo
@jumannemohamedy1456Ай бұрын
Akili mingi sana kwa alen
@DativaMbowe57 минут бұрын
Ila Allan
@captainb.o.b568Ай бұрын
Hivi like zinafaida gani au ni hela, story nzuri sana jamal professor 💯
@eldricrichard9072Күн бұрын
Pia Mimi nipe like👍
@sharifahabsi5004Ай бұрын
Pamoja frome Oman 🇴🇲
@MuhammadRamadhan-kz7owАй бұрын
Hlw mambo sharifa
@baranyikwamohammed628Ай бұрын
Aaah tamaa mbayaa kweli,bwana yujin,alen nae wangecoma pesa zote mpya wakiwa pamoja
@user-nm2db7gg2xАй бұрын
Nice professor
@TwalibAbdallaАй бұрын
Waomba like munazingua hii ni sehemu ya maoni bn izo like munapelek wp
@babaaskofu9814Ай бұрын
Labda kuna namna wanabadilisha ziwe bunda ase😂😂😂
@GRIZZGUZMAN-v4j13 күн бұрын
Gid up Jamal april,nice one💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏
@user-gh7pm1ke5lАй бұрын
Napenda sana the story book
@user-my1gy4nf3mАй бұрын
Daaah nimesikitika sana hyo mshez kawauza wenzie
@zawadidaniel4163Ай бұрын
Pamoja sana
@leokadiajames4050Ай бұрын
Proffesor❤
@Halphan-cw3deАй бұрын
Naombeni ka like kamoja nami nimechelewa
@jonathannndombi369429 күн бұрын
Heko, profesa Jamal. ❤from Kenya 🇰🇪
@IrineJulius29 күн бұрын
Professor jamal nakukubali sana kaka unafanya kazi nzuri sana
@DallizukAprilАй бұрын
Nimengoja simulizi nyingine kila siku ,walau Leo imefikia,Jamal 🤝
@malikzafarani172Ай бұрын
Daah nouma sana
@alexandersangi1724Ай бұрын
Jamari umetisha sanaaa mzee wangu.
@marcoharuniАй бұрын
Professor
@sultanmedia.666Ай бұрын
Brother your are the Best, salute sana kaka. I wish nipate fursa ya kujifunza kwa ukaribu zaidi kwako brother.
@tonyenrique3208Ай бұрын
Profesa
@LukmanRashid-nc8ezАй бұрын
Jamaaa anajua sana akili kubwa safi
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Bom trabalho irmao ❤❤❤❤
@makambosafari2746Ай бұрын
Pongezi sana kiongozi
@AntonyStarboy5 күн бұрын
Kama unamkubali Jamal nipee like
@HassaniRashidi-wv5nt29 күн бұрын
Nipeni like basi na mimi
@collinskipkoech2626Ай бұрын
+254 representing
@CollisBill-mu3zpАй бұрын
it's like The stop watch Gang🎉🎉. Simulizii kama izii ndio nazpenda za watu wanao tumia akilii mingii🎉🙏👏👏🔥🔥
@immasaid2938Ай бұрын
😂😂
@kamochgraphicsАй бұрын
Pita na likes 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-mi3wf1zo7vАй бұрын
Oya tulete iyo ya mwaka huu mzee baba😢😢😢
@ld264712 күн бұрын
Big up sana 👏🏾 rick d, rick sound..ngoma kal sana hii pambana ipush ifke mbal ikufungulie milango mingine
@dianarojas3112Ай бұрын
Ni Mimi tu nakua relaxed nikisikiliza the story book au kwa wote 😊
@cooldave9862Ай бұрын
Shukran sana jamal unasimulia story vizuri kama series yaaani sibanduki...sasa tulitee story ya tukio la Easter Sunday Heist..shukran
@justinemanyasi91706 күн бұрын
Amazing real story i like it, genious jamal i ppreciate u
@djmseventzАй бұрын
Like za mavii
@erickmkwera2784Ай бұрын
Majambazi wa Tanzania 🇹🇿 na walinzi wa kusafirisha pesa wanadakwa kila siku akili ndogo wajawahi fanikiwa katika uharifu don't try this utapigwa shaba utakufa tutazika I love ❤ jamal intelligence man
@lewispilipili1115Ай бұрын
Kenya tupo site .......😅
@SamsonHamis-hw5xbАй бұрын
Ujambazi unalipa
@GwakisaMwaisanga-th7uzАй бұрын
Hasa usipokamatwa
@sangomamourice3539Ай бұрын
Nilichogundua hawa majambazi wa ulaya sio wa bongo move wanaakili sana
@antazypoka3752Ай бұрын
Sasa bongo Kuna Cha kuiba kwa kutmia akil kias iko😅
@abiudfidelis4763Ай бұрын
😂😂 labda waibe umbea
@johnmeshack4431Ай бұрын
@@abiudfidelis4763 dotto magari 😅😅😅😅
@kashiririrkaasongwisye9487Ай бұрын
Hapo nimekwelewa
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Wa ulaya wamesoma na elimu juu ila wa huku ni wavuta bangi na malezi mabovu kutoka kwa wazazi au walevi(asilimia kubwa).
@RAPHAELGOBRE16 күн бұрын
Daaahh watu wana Akili sana
@sinatatizonamtuАй бұрын
Mimi Sio Mtu Wa Ku Coment Sana Ila Ningeomba Utuletee STORY BOOK YA MALAYSIA AIRLINES FLIGHT 370
@robertmigabe872127 күн бұрын
Uyu jamal najua kasomea sayansi na inaonekana alikuwa na akili Sana darasan kama Mimi vile,..uyu jamaa anawez ata kuwa mkaguzi mkuu wa serikali akili nyingi wasafi hakuna mtu mbovu .ukiwa mbovu tunawagawia wabovu wenzio😂😂😂
@grandy254Ай бұрын
Likes zi kam
@Im__hdmiАй бұрын
WA KWANZA 🙌
@LouisianaRiriАй бұрын
Don’t settle for average
@user-er3cb9mb9mАй бұрын
Much love from Kenya guys like back wapi like za jamali mafanis wa jamali tujuane kwa like hapa gonga like ❤️👇
@AbdilahNkuloАй бұрын
Tuletee hii ya ujambaz wa mwaka huu💪
@saadaperec2706Ай бұрын
kuna mmoja kwenye michongo km hiyo lazima aharibu mambo
@vicenthendry6051Ай бұрын
EUGINE HUWA NI WAZEMBE SANA💔
@user-cl3uy5oy4xАй бұрын
Nime wakubali sana awa majambazi ina itajika bidii kubwa sana na courage mingi nawa eshima sana awa ma jambazi
@hamzafishten9560Ай бұрын
Upo vizuri sna
@erickmkwera2784Ай бұрын
Pamoja tunaweza
@mohamedidd7385Ай бұрын
Niko ndani tayari kushiba chakula Cha akili kutoka kwa Proffesor Jamal
@MzeewaYanga-wj4ttАй бұрын
Duh uyo jamaa master sana nakubali😂😂😂😂😂😂😂😂
@StanleyMgoba-ib6cz28 күн бұрын
Nakubali bro
@samirarsan2024Ай бұрын
leo hapa ndo penyewe hasa professa hizi ndo story zangu pendwa