Pole sana binti kiziwi. Umejifunza kutokana na makosa. Na umewafumbua macho watu wengi wenye uchu wa mali. Hongera pia mtangazi Mboni kwa mahojiano mazuri
@asanatimrisho18164 жыл бұрын
Hii interview imenigusa kuliko zote alizowah kufanya bint kiziwi, hongera da Mboni, pole mdg angu hilo ni funzo Kubwa ktk maisha yako sidhan kama utarudia kufanya tenaa hiyo kitu Mungu akusimamie
@anabmahmoud90724 жыл бұрын
Mboni big up umefanya interview nzuri sana inamafunzo ndani yake
@anuaryally61774 жыл бұрын
Mtangazaji mwana dada kwa kuoji wewe jembe unatosha mungu akubaliki na kazi yako azidi kukupa wahaai mrefu na afya njema
@awatifalghanim11064 жыл бұрын
Loooh umeniliza ndugu yangu..😭😭😭😭🙉 Alhamdullilah umerudi SALAMA KWA WAZEE WAKO NA MTOTO WAKO.. na kwenye nchi yako. Please ishi kwa salama.
@anuaryally61774 жыл бұрын
Pole sana dada yangu yote ayo ni mitiani ya maisha mshukuru mungu umemaliza salama na mpaka sasa upo nyumbani ni jambo la kumshukuru mollah
@queenandchill914 жыл бұрын
Safi sana Mboni ...maswali uliyouliza umetuwakilisha tuliotaka kujua hasa what happened...Sio kama Interview zingine walimuuliza maswali ya kipuuzi tu
@xkingx80414 жыл бұрын
Umeonaee!!
@sophiasophia69454 жыл бұрын
Kabisa hii inter vew ni nzuri sana kuliko zingine zooote
@elizasamweli5004 жыл бұрын
Pole sanaa dadangu hata mm nmejifunza kitu mungu akubariki naakupe nguvu yakusimama tena nautafanikiwa sanaa
@mariamrashid32524 жыл бұрын
Uwiii😭😭,nimelia kama mzazi cjui yy aliumia kiasi gani baada ya hy barua,ila yamepita mshukuru Mungu songa mbele.
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Inauma sana aisee Mungu atutetee katika maisha yetu ya kila siku 😭
@catherinecharles9324 жыл бұрын
pole sana nduguyangu nimejikuta nalia tu mimi😭😭😭
@btylove18704 жыл бұрын
She's so beautiful Mashaallah! Kutenda kosa sio kosa mama bali kurudia kosa. Pole sana
@loveelooh19642 жыл бұрын
Nilipita Thailand ile sehemu Ya kuondokea kuna Mashine kubwa Ata Kama umemeza madawa yanaonekana, na Wakiona mwafrika ndo kabisa wanamkagua sana
@benardbayakazungubaya87684 жыл бұрын
Mwenyezi mungu badoo anampenda xanaa .we learn thorough mistakes
@veevictorius51164 жыл бұрын
Kurudia kosa ndio kosa. Binti maisha yatakuwa Sawa mwamini Mungu
Mashallah sis umemuoji vinzuri sana hongera sana😍🔥
@bakarisakawa69794 жыл бұрын
Nashindwa kuelewa hadi sasa nchi za nje wanapohotaji mkalimani wa kiswahili ni lazima achukuliww mkenya hivi kiswahili wa tz hawajui ama wakenya ndo wamahiri zaid
@prisscakalasa49964 жыл бұрын
Nice interview, mmetulia muuliza na muulizwa,I like it,keep it up da mboni
@ahmedmazinge40754 жыл бұрын
Umeitendea haki hiyo taaluma,hongera tumepata majibu ki ufasaha
@winnieseme49444 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza. Barua ya mtoto imenitoa machozi😭
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Kweli my
@SPrivy4 жыл бұрын
Sandra nakupenda❤️❤️❤️❤️🥺🥺🥺🥺
@almasiyusuph12754 жыл бұрын
Nice interview......Sandra just look forward....yaliyopita c......!!!!
@aisatahaisatah26124 жыл бұрын
Wafanye kazi kweli
@rehemamustafa81344 жыл бұрын
Barua ya mtoto jaman ndio imeniliza!
@orestermartin88993 жыл бұрын
Daah mpaka nimelia😭😭😭😭😭
@suleimanislam77774 жыл бұрын
Hii interv kweli imeniliza sana pole sandra umeeleza ukweli
@yudatadeshayo44344 жыл бұрын
Fundi mboni wewe ndo umejua kuchimba vizuri
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Enz hizo nyimbo ilivuma sana nilikuwa sjui kama ulikuwa nje pole sana madam ndo mapito ya dunia
@jojokweka19024 жыл бұрын
Nice interview
@mumranjuskaranja82164 жыл бұрын
No comments.. Ilitolewa kwa Jia ya choo
@أمينهالحبسي4 жыл бұрын
Dambon upo vzr sana kimaswari
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Jamani, alikuwa gereza moja na jack
@islandgirl45783 жыл бұрын
Hapn
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Da mboni mimi nilikataa hicho kipindi na mimi nilikuwa na shawishia sana.
@mohamedbakari93994 жыл бұрын
Subra ni kitu kikubwa sana. Nan angejua baada ya miaka 10 ungetoka ukiwa mzuri kuliko zaman. Tusikate tamaa ukipita kwenye jaribu lolote kuwa na subira
@Dr.zaidi44 жыл бұрын
Anajibu maswali kijelajela.Its like she doesn't want to implicate herself yet she's served her sentence
@pendooscar93223 жыл бұрын
Mim naogopa sana iyo ishu yaan nikisikia tu mtu kashikwa mavi yanabana kiukweli pole Sana ndugu
@thedeo4724 жыл бұрын
Mzigo unatolewa kwa njia ya aja kubwa. Eti no comments!! Ujinga Tu.
@SPrivy4 жыл бұрын
Tulia kaka💀💀 mdomo chuchunge mwanaume mzima
@pendomariki65624 жыл бұрын
Madawa ukimeza unatoa kwa haja Kubwa that is the comment
@jastinimgidula89764 жыл бұрын
Asante da mboni.
@SetGozo4 жыл бұрын
great
@mamapeace67302 жыл бұрын
Inasisimua mwili
@homan_nkwama4 жыл бұрын
We'll come back
@esterfred39804 жыл бұрын
Sandra mpole Sanaa yote katika utaftaji pole sanaa mpenz
@أمينهالحبسي4 жыл бұрын
Pole sana sandra mungu akupe wepes
@sandekanyamala28324 жыл бұрын
Kiti umesema kweli kabisa
@SPrivy4 жыл бұрын
Na uyo wastara mtumzima ovyo😹😹💀💔
@salimashur96784 жыл бұрын
"Inatolewa na wapi huo mzigo"no comment....si useme tu mkun........ni haha alafu ndio utuambie samahani!!!!
@miriammacha55264 жыл бұрын
Sasa kumbe unajua akuambie ili iwaje ?unahisi kila unacho weza kukitamka wewe kila mtu anaweza kukitamka ?????
@dalancydevin43024 жыл бұрын
😂😂
@halima238624 жыл бұрын
Only America Zico hivyo inaitwa Family day
@rechomwaijande32734 жыл бұрын
Mbona kama nimchina mchina kangozi kazuli ungefungwa gereza za Tz tungekupotea Ali yauchimi sasaivi bola ungebaki uko uko tu kuenderea kujifunza kushona
@islandgirl45783 жыл бұрын
Wew homu ni homu tu asikwambie mtu
@joynko44504 жыл бұрын
I missed t show
@muniradaudi4404 жыл бұрын
Humo mulimo ni ndani ya ndegee au hhhh
@elizalwakatare80704 жыл бұрын
Kwenye boti kwa hujaangalia mpaka mwisho
@glorianikiza60334 жыл бұрын
Kipindi kizuri saana
@hazelbrown47124 жыл бұрын
Mboni bwana hahahaha Mwanamke wa Kiislamu unajua kufunika Kichwa Nywele umeziziba ila sasa Miguu yote na Magoti Karibia na Mapaja yapo nje🤦♀️🤦♀️
@lizzybahati98333 жыл бұрын
😆😆😆
@aishanatamaniningekuepoktk50624 жыл бұрын
Mbona humuulizi hao waliomtuma baada yakupata matatizo walimsaidiaje au hawakumjua tena
@khadijasalum23024 жыл бұрын
Muhimu ndoa sandra msikae mkizini
@suezanna26904 жыл бұрын
Huyu dada alijua ni nini amebeba na wapi anaenda st the age of 22 ati huji nini
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Mkenya mmoja amefungwa miaka 25
@jumbompondela50454 жыл бұрын
Pole my dear
@dianaroserusimbi60034 жыл бұрын
Hajui kujib maswal ata, ili bidi wamfundishe jins yakuhadithia
@zakiahamisi98404 жыл бұрын
Tamaa mbaya, faida yake ndiyo mi sioni sababu ya kukusikitikia mana ulifanya kwa makusudi kutaka kuharibu wengine kwani ulikuwa ujui madhara ya madawa wangekupa kama 20years
@lisasalum24624 жыл бұрын
Wewe ni kuma na hujui maisha msenge kweli
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
@@lisasalum2462 Asa matusi ya nini na Dada wa watu kaongea kitu true hivi angetusua hapo angetuangaliaje uswazi kama sio kwa kujimwambafai zaidi Tena hata iyo 20 midogo akomeeee Maisha ndo yanakufanya uharibu watoto wa wenzio mbona sie tunauza vitumbua na maisha yanaendelea tamaa zake tu
@farhatsuleymaan56254 жыл бұрын
Sikilizeni nyie.. Siku zote tunaambiwa Usishangirie kabla refa hajatoa maamuzi. Ikiwana na maana usifurahie ingawa bado mapema... Hujui lini yatakukuta. Msianze kushusha lawama ikiwa hayajakufika. Bora mnyamaze tu.
@lisasalum24624 жыл бұрын
Ndio nyie nyie mnatiwaga tu vidole nyumbani yani kula kulala hakuna unachoelewa tuliza kisimi fala wewe...... mtu ana omba msamaha na kujutia makosa yake wewe mkundu unakuwasha nn mnakera wasenge
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
@@lisasalum2462 hakuna tusi jipya labda likageuza mbingu au likazima jehanam hapo msamaha Anamuomba Muumba wake ila ukweli utabaki kwamba akomeeee angetutusua huku uswahilini tusingekunywa maji Tena akomeeee angepata Ata kifungo cha maisha hakuna maajabu Kuna mtu anaeomba msamaha kabla halijamkuta angewin angeomba msamaha msituchoshe hapa Tunauza vitumbua tumepanga vyumba tunasomesha watoto na maisha yanaendelea hebu tupishane hapaaa