The Mboni Show - Binti Kiziwi " Biashara ya Madawa ya kulevya yalinifanya nifungwe gerezani Miaka 8

  Рет қаралды 31,464

The mboni show

The mboni show

Күн бұрын

Пікірлер: 87
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 4 жыл бұрын
Pole sana binti kiziwi. Umejifunza kutokana na makosa. Na umewafumbua macho watu wengi wenye uchu wa mali. Hongera pia mtangazi Mboni kwa mahojiano mazuri
@asanatimrisho1816
@asanatimrisho1816 4 жыл бұрын
Hii interview imenigusa kuliko zote alizowah kufanya bint kiziwi, hongera da Mboni, pole mdg angu hilo ni funzo Kubwa ktk maisha yako sidhan kama utarudia kufanya tenaa hiyo kitu Mungu akusimamie
@anabmahmoud9072
@anabmahmoud9072 4 жыл бұрын
Mboni big up umefanya interview nzuri sana inamafunzo ndani yake
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Mtangazaji mwana dada kwa kuoji wewe jembe unatosha mungu akubaliki na kazi yako azidi kukupa wahaai mrefu na afya njema
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 жыл бұрын
Loooh umeniliza ndugu yangu..😭😭😭😭🙉 Alhamdullilah umerudi SALAMA KWA WAZEE WAKO NA MTOTO WAKO.. na kwenye nchi yako. Please ishi kwa salama.
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Pole sana dada yangu yote ayo ni mitiani ya maisha mshukuru mungu umemaliza salama na mpaka sasa upo nyumbani ni jambo la kumshukuru mollah
@queenandchill91
@queenandchill91 4 жыл бұрын
Safi sana Mboni ...maswali uliyouliza umetuwakilisha tuliotaka kujua hasa what happened...Sio kama Interview zingine walimuuliza maswali ya kipuuzi tu
@xkingx8041
@xkingx8041 4 жыл бұрын
Umeonaee!!
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 4 жыл бұрын
Kabisa hii inter vew ni nzuri sana kuliko zingine zooote
@elizasamweli500
@elizasamweli500 4 жыл бұрын
Pole sanaa dadangu hata mm nmejifunza kitu mungu akubariki naakupe nguvu yakusimama tena nautafanikiwa sanaa
@mariamrashid3252
@mariamrashid3252 4 жыл бұрын
Uwiii😭😭,nimelia kama mzazi cjui yy aliumia kiasi gani baada ya hy barua,ila yamepita mshukuru Mungu songa mbele.
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Inauma sana aisee Mungu atutetee katika maisha yetu ya kila siku 😭
@catherinecharles932
@catherinecharles932 4 жыл бұрын
pole sana nduguyangu nimejikuta nalia tu mimi😭😭😭
@btylove1870
@btylove1870 4 жыл бұрын
She's so beautiful Mashaallah! Kutenda kosa sio kosa mama bali kurudia kosa. Pole sana
@loveelooh1964
@loveelooh1964 2 жыл бұрын
Nilipita Thailand ile sehemu Ya kuondokea kuna Mashine kubwa Ata Kama umemeza madawa yanaonekana, na Wakiona mwafrika ndo kabisa wanamkagua sana
@benardbayakazungubaya8768
@benardbayakazungubaya8768 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu badoo anampenda xanaa .we learn thorough mistakes
@veevictorius5116
@veevictorius5116 4 жыл бұрын
Kurudia kosa ndio kosa. Binti maisha yatakuwa Sawa mwamini Mungu
@mateusjoao5584
@mateusjoao5584 2 жыл бұрын
Nampenda sana uyo dada
@khadijahali4837
@khadijahali4837 4 жыл бұрын
Mboni ww ndo umejua kumuhoji ktk mahojiano waliomuhoji
@takyatupu6839
@takyatupu6839 4 жыл бұрын
Mashallah sis umemuoji vinzuri sana hongera sana😍🔥
@bakarisakawa6979
@bakarisakawa6979 4 жыл бұрын
Nashindwa kuelewa hadi sasa nchi za nje wanapohotaji mkalimani wa kiswahili ni lazima achukuliww mkenya hivi kiswahili wa tz hawajui ama wakenya ndo wamahiri zaid
@prisscakalasa4996
@prisscakalasa4996 4 жыл бұрын
Nice interview, mmetulia muuliza na muulizwa,I like it,keep it up da mboni
@ahmedmazinge4075
@ahmedmazinge4075 4 жыл бұрын
Umeitendea haki hiyo taaluma,hongera tumepata majibu ki ufasaha
@winnieseme4944
@winnieseme4944 4 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza. Barua ya mtoto imenitoa machozi😭
@nurumanyota416
@nurumanyota416 4 жыл бұрын
Kweli my
@SPrivy
@SPrivy 4 жыл бұрын
Sandra nakupenda❤️❤️❤️❤️🥺🥺🥺🥺
@almasiyusuph1275
@almasiyusuph1275 4 жыл бұрын
Nice interview......Sandra just look forward....yaliyopita c......!!!!
@aisatahaisatah2612
@aisatahaisatah2612 4 жыл бұрын
Wafanye kazi kweli
@rehemamustafa8134
@rehemamustafa8134 4 жыл бұрын
Barua ya mtoto jaman ndio imeniliza!
@orestermartin8899
@orestermartin8899 3 жыл бұрын
Daah mpaka nimelia😭😭😭😭😭
@suleimanislam7777
@suleimanislam7777 4 жыл бұрын
Hii interv kweli imeniliza sana pole sandra umeeleza ukweli
@yudatadeshayo4434
@yudatadeshayo4434 4 жыл бұрын
Fundi mboni wewe ndo umejua kuchimba vizuri
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Enz hizo nyimbo ilivuma sana nilikuwa sjui kama ulikuwa nje pole sana madam ndo mapito ya dunia
@jojokweka1902
@jojokweka1902 4 жыл бұрын
Nice interview
@mumranjuskaranja8216
@mumranjuskaranja8216 4 жыл бұрын
No comments.. Ilitolewa kwa Jia ya choo
@أمينهالحبسي
@أمينهالحبسي 4 жыл бұрын
Dambon upo vzr sana kimaswari
@nurumanyota416
@nurumanyota416 4 жыл бұрын
Jamani, alikuwa gereza moja na jack
@islandgirl4578
@islandgirl4578 3 жыл бұрын
Hapn
@nurumanyota416
@nurumanyota416 4 жыл бұрын
Da mboni mimi nilikataa hicho kipindi na mimi nilikuwa na shawishia sana.
@mohamedbakari9399
@mohamedbakari9399 4 жыл бұрын
Subra ni kitu kikubwa sana. Nan angejua baada ya miaka 10 ungetoka ukiwa mzuri kuliko zaman. Tusikate tamaa ukipita kwenye jaribu lolote kuwa na subira
@Dr.zaidi4
@Dr.zaidi4 4 жыл бұрын
Anajibu maswali kijelajela.Its like she doesn't want to implicate herself yet she's served her sentence
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Mim naogopa sana iyo ishu yaan nikisikia tu mtu kashikwa mavi yanabana kiukweli pole Sana ndugu
@thedeo472
@thedeo472 4 жыл бұрын
Mzigo unatolewa kwa njia ya aja kubwa. Eti no comments!! Ujinga Tu.
@SPrivy
@SPrivy 4 жыл бұрын
Tulia kaka💀💀 mdomo chuchunge mwanaume mzima
@pendomariki6562
@pendomariki6562 4 жыл бұрын
Madawa ukimeza unatoa kwa haja Kubwa that is the comment
@jastinimgidula8976
@jastinimgidula8976 4 жыл бұрын
Asante da mboni.
@SetGozo
@SetGozo 4 жыл бұрын
great
@mamapeace6730
@mamapeace6730 2 жыл бұрын
Inasisimua mwili
@homan_nkwama
@homan_nkwama 4 жыл бұрын
We'll come back
@esterfred3980
@esterfred3980 4 жыл бұрын
Sandra mpole Sanaa yote katika utaftaji pole sanaa mpenz
@أمينهالحبسي
@أمينهالحبسي 4 жыл бұрын
Pole sana sandra mungu akupe wepes
@sandekanyamala2832
@sandekanyamala2832 4 жыл бұрын
Kiti umesema kweli kabisa
@SPrivy
@SPrivy 4 жыл бұрын
Na uyo wastara mtumzima ovyo😹😹💀💔
@salimashur9678
@salimashur9678 4 жыл бұрын
"Inatolewa na wapi huo mzigo"no comment....si useme tu mkun........ni haha alafu ndio utuambie samahani!!!!
@miriammacha5526
@miriammacha5526 4 жыл бұрын
Sasa kumbe unajua akuambie ili iwaje ?unahisi kila unacho weza kukitamka wewe kila mtu anaweza kukitamka ?????
@dalancydevin4302
@dalancydevin4302 4 жыл бұрын
😂😂
@halima23862
@halima23862 4 жыл бұрын
Only America Zico hivyo inaitwa Family day
@rechomwaijande3273
@rechomwaijande3273 4 жыл бұрын
Mbona kama nimchina mchina kangozi kazuli ungefungwa gereza za Tz tungekupotea Ali yauchimi sasaivi bola ungebaki uko uko tu kuenderea kujifunza kushona
@islandgirl4578
@islandgirl4578 3 жыл бұрын
Wew homu ni homu tu asikwambie mtu
@joynko4450
@joynko4450 4 жыл бұрын
I missed t show
@muniradaudi440
@muniradaudi440 4 жыл бұрын
Humo mulimo ni ndani ya ndegee au hhhh
@elizalwakatare8070
@elizalwakatare8070 4 жыл бұрын
Kwenye boti kwa hujaangalia mpaka mwisho
@glorianikiza6033
@glorianikiza6033 4 жыл бұрын
Kipindi kizuri saana
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 4 жыл бұрын
Mboni bwana hahahaha Mwanamke wa Kiislamu unajua kufunika Kichwa Nywele umeziziba ila sasa Miguu yote na Magoti Karibia na Mapaja yapo nje🤦‍♀️🤦‍♀️
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
😆😆😆
@aishanatamaniningekuepoktk5062
@aishanatamaniningekuepoktk5062 4 жыл бұрын
Mbona humuulizi hao waliomtuma baada yakupata matatizo walimsaidiaje au hawakumjua tena
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 4 жыл бұрын
Muhimu ndoa sandra msikae mkizini
@suezanna2690
@suezanna2690 4 жыл бұрын
Huyu dada alijua ni nini amebeba na wapi anaenda st the age of 22 ati huji nini
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Mkenya mmoja amefungwa miaka 25
@jumbompondela5045
@jumbompondela5045 4 жыл бұрын
Pole my dear
@dianaroserusimbi6003
@dianaroserusimbi6003 4 жыл бұрын
Hajui kujib maswal ata, ili bidi wamfundishe jins yakuhadithia
@zakiahamisi9840
@zakiahamisi9840 4 жыл бұрын
Tamaa mbaya, faida yake ndiyo mi sioni sababu ya kukusikitikia mana ulifanya kwa makusudi kutaka kuharibu wengine kwani ulikuwa ujui madhara ya madawa wangekupa kama 20years
@lisasalum2462
@lisasalum2462 4 жыл бұрын
Wewe ni kuma na hujui maisha msenge kweli
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
@@lisasalum2462 Asa matusi ya nini na Dada wa watu kaongea kitu true hivi angetusua hapo angetuangaliaje uswazi kama sio kwa kujimwambafai zaidi Tena hata iyo 20 midogo akomeeee Maisha ndo yanakufanya uharibu watoto wa wenzio mbona sie tunauza vitumbua na maisha yanaendelea tamaa zake tu
@farhatsuleymaan5625
@farhatsuleymaan5625 4 жыл бұрын
Sikilizeni nyie.. Siku zote tunaambiwa Usishangirie kabla refa hajatoa maamuzi. Ikiwana na maana usifurahie ingawa bado mapema... Hujui lini yatakukuta. Msianze kushusha lawama ikiwa hayajakufika. Bora mnyamaze tu.
@lisasalum2462
@lisasalum2462 4 жыл бұрын
Ndio nyie nyie mnatiwaga tu vidole nyumbani yani kula kulala hakuna unachoelewa tuliza kisimi fala wewe...... mtu ana omba msamaha na kujutia makosa yake wewe mkundu unakuwasha nn mnakera wasenge
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
@@lisasalum2462 hakuna tusi jipya labda likageuza mbingu au likazima jehanam hapo msamaha Anamuomba Muumba wake ila ukweli utabaki kwamba akomeeee angetutusua huku uswahilini tusingekunywa maji Tena akomeeee angepata Ata kifungo cha maisha hakuna maajabu Kuna mtu anaeomba msamaha kabla halijamkuta angewin angeomba msamaha msituchoshe hapa Tunauza vitumbua tumepanga vyumba tunasomesha watoto na maisha yanaendelea hebu tupishane hapaaa
Desert: tortul Pavluva
3:43:57
Vorbitorincii
Рет қаралды 95 М.
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
AWS Certified Cloud Practitioner Training 2020 - Full Course
3:58:01
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 6 МЛН
DAKIKA KADHAA NA BINTI KIZIWI : NAUMIA MTOTO WANGU HANIPENDI
11:14
Gangana Info Channel
Рет қаралды 89 М.
لماذا تحريرها كلها ممكن؟ - بودكاست مع تميم
3:46:56
Katt Williams Unleashed | CLUB SHAY SHAY
2:46:05
Club Shay Shay
Рет қаралды 80 МЛН
كيف تنجح العلاقات مع ياسر الحزيمي | بودكاست فنجان
3:03:09