TRC YAZINDUA KAMPENI SAFARI SGR DAR - DOM, NAULI DARAJA LA BIASHARA NA TRENI YA "MCHONGOKO" ZATAJWA

  Рет қаралды 10,973

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

TRC YAZINDUA KAMPENI SAFARI SGR DAR - DOM, NAULI DARAJA LA BIASHARA NA TRENI YA "MCHONGOKO" ZATAJWA

Пікірлер: 47
@MaghobaGeorge-lq4yg
@MaghobaGeorge-lq4yg 8 ай бұрын
Hongera Director Masanja Dogosa kwa kazi kubwa muliyo ifanya pia sifa zimuendee mkuu wa nchi kwa kuliona na kusuport mpk lilipofikia hongera Sana wote ila hamuna haja ya kampeni zozote nauri tuu mulizo panga ni kampeni tosha
@josephjohn2114
@josephjohn2114 7 ай бұрын
Jeshi litumike kulinda miundombinu ya reli isihujumiwe pesa nyingi sana zimetumika
@ELIREHEMATULO
@ELIREHEMATULO 7 ай бұрын
Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwamba hatimaye YAMEKUA
@3aliq
@3aliq 8 ай бұрын
Vipi mkiandaa videos zinazoonyesha kuanzia ukataji tickets Hadi wakati WA safari ili watu wakapata picha ya uhalisia WA jinsi ya kusafiri na treni za kisasa itawasaidia sna siku za kuanzia operations.
@vinny.morales
@vinny.morales 8 ай бұрын
Nauli zimeendana na uhalisia. Kila tabaka limeguswa kwendana na kipato. Kazi kwetu sasa👏🏿
@kambamazig02024
@kambamazig02024 8 ай бұрын
Tumkumbuke JPM na EMU moja iitwe JP-Magufuri Express ili kumuenzi kwa uthubutu wake!
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 8 ай бұрын
Mh Kadogosa, usafiri wa treni ya SGR kwa mikoa ya kusini na kazkazini. Lini utaanzishwa
@johnb.j.m206
@johnb.j.m206 8 ай бұрын
Tulitegemea tovuti yenu ingekuwa imeboreshwa na kuendana na mnayosema. Mtu akitaka kupata picha kamili ya akienda kwenye tiketi mtandao ataona maboresho. Ila sikuona maboresho yanayoendana na TRC SGR. Tazemeni tovuti ya Kenya ilivyokaa vizuri. Watu wa mtandoa wa TRC amkeni kumekuchaa.
@karyori69
@karyori69 8 ай бұрын
Masanja ana-bore!
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 8 ай бұрын
Kenya wajifunze kwetu bhana
@mduda_i
@mduda_i 8 ай бұрын
@@mwikamwika4851Kwenye ishu ya Online service na website sisi bado tujifunze kutoka kenya. Tumelala mno
@beatricefelix1271
@beatricefelix1271 8 ай бұрын
Wamezoea siasa hapo ni kisiasa zaidi sio biashara ndugu yangu. Biashara waiachie private sector wao wabaki kumange reli tuu
@dremmytz888
@dremmytz888 8 ай бұрын
Awa jmaa wapo ovyo kbsa yan wanasema t onlne ticket af hkuna chochote
@ibrahimsaid133
@ibrahimsaid133 8 ай бұрын
Ratiba za safari zikoje
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 8 ай бұрын
First class Tsh 120,000/- Safi sanaaaa.
@htx1873
@htx1873 8 ай бұрын
Guys we need to fix TAZARA
@abbumwaipopo2940
@abbumwaipopo2940 8 ай бұрын
Hongereni sana
@DanielMakunja
@DanielMakunja 7 ай бұрын
Mm nalia na serikali nadhani ingebaki kutengeneza miundo mbinu kama reli kisha uendeshaji ubaki kuwa wa sekta binafsi ili ipungeze uendeshaji
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 8 ай бұрын
Very reasonable
@SoudOmar-lu7we
@SoudOmar-lu7we 8 ай бұрын
1:01
@BarakaKitale
@BarakaKitale 8 ай бұрын
Escape from sobibo
@eddechriss2664
@eddechriss2664 8 ай бұрын
Inamaana kufika mwanza na mchongoko itakuwa 200k+ that mean it will be equal with flight, hapo wangosha tutachagua wenyewe ni utalii upi zaidi una faida kwa macho
@isackrichard6356
@isackrichard6356 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Bora utalii wa anga ndugu
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 8 ай бұрын
Acha kupotosha hizo nauli zina classes. Lazima useme ni class gani?
@eddechriss2664
@eddechriss2664 8 ай бұрын
@@mwikamwika4851 kwani wewe umeelewa nini kutoka kwenye maelezo ya Director Kadogosa
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub 8 ай бұрын
Kweli , nahic wameweka bei kubwa mno kwenye business na first class. Wanahitaji kuwa competitive na ndege , haswa kwenye safari za Tabora na Mwanza where there's direct competition. Hakuna mtu atapanda treni kwa bei ya ndege business class or otherwise !
@vinny.morales
@vinny.morales 8 ай бұрын
Nauli hizi ni kwendana na madaraja. Kuna daraja la JUU na daraja la KAWAIDA.
@ahmedkyama4734
@ahmedkyama4734 8 ай бұрын
Tiketi mtandao jamani
@allymohamed2724
@allymohamed2724 7 ай бұрын
LATRA nauli hii bado ipo juu, haipaswi kufanana na bus hata kidogo. Huu ni Usafiri salama na bei yake ni nafuu duniani pote. Nauli ya laki Dodoma lazima ipunguwe
@lameckkategile8657
@lameckkategile8657 8 ай бұрын
Sijaelewa hapo kwenye Treni mchongoko umetaja mwanzo Business umesema Elfu Sabini lkn Baadae umesema Laki Moja imekaaje hiyo mkuu?
@kisutabora5914
@kisutabora5914 8 ай бұрын
Laki moja business class kutoka Dar mpaka Dodoma kwa reli mchongoko, kama nilivyomsikia mkurugenzi Kadogosa. Hio elfu sabini ni business kwa treni ya express isiyo mchongoko. Laki moja na ishirini elf ni Royal class
@danielmutei-hw6dk
@danielmutei-hw6dk 8 ай бұрын
Kuna business class mbili business ya kawaida (70k) na royal business (100k)
@kambamazig02024
@kambamazig02024 8 ай бұрын
Kuna business (70,000) na royal business (120,000).
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 8 ай бұрын
Masanja tupe taarifa ya ujenzi wa vipande vingine.
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 8 ай бұрын
Vishabuma vile, japo niko kigoma naona tawi la kwenda burundi wachina wamejaa hapa uvinza washajenga kambi. Ila vile vipande ndani ya nchi vimebuma
@beatricefelix1271
@beatricefelix1271 8 ай бұрын
Train inazinduliwa kesho na hamsemi tiketi zinapatikanaje.....biashara tutaiweza kweli? No important information ambayo shirika limeinform mfano ratiba za safari zikoje?, usafirishaji wa parcel ukoje? how convinient its? tukae kibiashara ili ku usustain mradi otherwise few years to come itakuwa kama reli ya kati na Tazara tu
@beatricefelix1271
@beatricefelix1271 8 ай бұрын
Biashara serikali muiachie private sector, siasa na biashara haviendi pamoja
@beatricefelix1271
@beatricefelix1271 8 ай бұрын
maintenance
@kisutabora5914
@kisutabora5914 8 ай бұрын
Na kuhusu mizigo (mabegi) ya abiria imekaaje? Kilo ngapi zinaruhusiwa?
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 8 ай бұрын
Kilo ngapi kwani ndege hii😂
@vinny.morales
@vinny.morales 8 ай бұрын
​@@h.alshidhani8971Yes, kutakuwa na kiasi cha uzito utakacho ruhusiwa kisafiri nacho. Hili sio kama lile treni la zamani mnalopanda na mafurushi, hapana
@kisutabora5914
@kisutabora5914 8 ай бұрын
Kwa mfano una mabegi matatu makubwa, je unaingia nazo kwenye behewa au kuna sehemu ya kuhifadhia mabegi makubwa ndani ya behewa kama vile mabasi?
@mduda_i
@mduda_i 8 ай бұрын
@@kisutabora5914Parcel ndogo za chini ya kilo50 huwa inakua bure ila tusubiri tuone watatuambiaje juu ya hili
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 8 ай бұрын
Toleeni maelezo pia behewa za ghorofa lini zitaanza kufanya kazi?
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 8 ай бұрын
Kwanza acha ianze chini kwanza
@vinny.morales
@vinny.morales 8 ай бұрын
Tulia, isiwe na mchecheto
MRADI WA SGR TABORA KIGOMA WAENDELEA VIZURI
1:59
TRC RELI TV
Рет қаралды 9 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
WAKONGWE WA SHULE YA TABORA GIRLS WAKWEA SGR DAR DOM
10:35
TRC RELI TV
Рет қаралды 6 М.
TRC yaendelea na zoezi la utwaaji ardhi na uthamini Uvinza.
2:10
SGR YAVUKA MIPAKA YA TANZANIA SASA NI BURUNDI
8:01
TRC RELI TV
Рет қаралды 6 М.
WAJUMBE WA CCM WASAFIRI NA TRENI YA SGR
1:41
TRC RELI TV
Рет қаралды 2,2 М.
WAJUMBE WA CCM WAREJEA DAR KWA SGR
11:22
TRC RELI TV
Рет қаралды 1,8 М.
RELI YA SGR KUVUKA MIPAKA YA TANZANIA
3:49
TRC RELI TV
Рет қаралды 6 М.
USIYOYAJUA KUHUSU WAHUDUMU NDANI YA TRENI YA KISASA SGR
2:05
TRC RELI TV
Рет қаралды 1,1 М.
FAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MTEJA - TRC
13:59
TRC RELI TV
Рет қаралды 416