Nkela sikuon kazin Huwa nakukubali Sana we mdada kwakilia tu na Huwa unatumbo la uzazi Sana Rudi kazin nakuomba
@Moseskasongo-w6o14 күн бұрын
C'est très bien merci pour votre travail ❤
@JoboJoseph14 күн бұрын
Safi mung bless
@FreddyKasongo-c2h14 күн бұрын
Kali sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@NoorEesa13 күн бұрын
Hoyeeee waliomuona babake Tasha wa house girl tujuane hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤
@FatumaAthuman-p7c14 күн бұрын
Tanu ndevu zako ziweke sawa bhana😂😂😂
@FatumaYuwa14 күн бұрын
Nawapendaga sana nyie watu mnaweza 🔥💯
@SophieMogiti14 күн бұрын
Tuletee mkoba la mama ❤❤
@AdelaMsigwa-q4p14 күн бұрын
Lulu we2 jaman
@CelestinIlunga-z1n14 күн бұрын
Nime kubali ❤❤
@wollfitoverdozenyairo3024Сағат бұрын
Mzidole kidoleee,salute sana kaka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ZZawadi-s5v14 күн бұрын
Mauua kwa nyaso jamani 🎉🎉🎉🎉🎉
@fatumaselemani380711 күн бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu
@ZAKAYOFILM13 күн бұрын
Nyaso nakubali sana
@RizikiZiki14 күн бұрын
Kazi ikopowa
@MonicaMkombwe13 күн бұрын
Wewe tena na huku
@MKOLOSAIZENGO14 күн бұрын
Kaz kal sana
@Lena-y2s14 күн бұрын
Nafurayi kumuona Vaito 🎉🎉🎉🎉🎉Tanu tengeneza ndevu zako❤❤❤❤❤ sana
@MonicaMkombwe14 күн бұрын
Sasa mbona we mwanji kila siku mateso jamani 😢😢😢😢😢😢
@bhponlinetv500014 күн бұрын
Movie kali sana. Keep it up Mwanji
@mwanjifilms12314 күн бұрын
👏👏👏
@user-kb2sw2so6h12 күн бұрын
Mwanji ume tisha sana mpendwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwanjifilms12312 күн бұрын
Asante sana
@fredricklukumay832814 күн бұрын
Kazi nzuri sana keep up bro
@RichardJonas-w7b10 күн бұрын
Hongera nyaso Kaz nzur
@CharlotteMutambala14 күн бұрын
Kazi nzuri San kaka 🎉🎉
@AdelaMsigwa-q4p14 күн бұрын
Lulu we2
@MonicaMkombwe13 күн бұрын
Asante mwasi acha tutafute pesa
@EvelyneKweikya14 күн бұрын
Keep it up Nyaso umeua sanaaaa❤❤❤❤
@AlphonceAloyce-g3h11 күн бұрын
Mwasi nakupenda❤❤
@Masterstevemedia-kb5oc14 күн бұрын
kazi nzuri
@abubakarkomora472713 күн бұрын
Vaito😂😂. Much love from Kenya
@vaitomasta13 күн бұрын
Thanks for all
@JojoSrena13 күн бұрын
Nzuri ❤❤
@muhtalent124014 күн бұрын
Kubwa sana ii nimerudia ad natamani part 2 Sasa
@aminakatana872114 күн бұрын
Vaito we really love❤❤❤❤❤😂😂😂
@vaitomasta13 күн бұрын
Thanks 🤜🤛
@GraceJohn-b7z11 күн бұрын
Nyaso hongera dada❤❤
@MWASIKAKOSOOG14 күн бұрын
Pamojaaa familia
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Asante sn tajiri
@TantineZuzu13 күн бұрын
Mafunzo mazuri🎉🎉🎉❤❤❤
@Evodiangalimwa14 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉yako hayo kaka mwanji mungu akutunze kwaajili yetu si mashabik wako
@mwanjifilms12313 күн бұрын
Asante sn
@ibrahimalex497813 күн бұрын
Inabidi move nyingine ufanye ya ki boss, angalau upumzike mateso
@mwanjifilms12313 күн бұрын
Nahis hivyo maana nihatatali
@EstherMorice14 күн бұрын
Ank mwanji jmn mungu akutie nguvu 🙏🙏🙏
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Amina
@WandaGidion14 күн бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yako
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Amina
@ChristineAsifiwe12 күн бұрын
Hiii naiona kbs kupamba moto maana mmeungana watu ninao wapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwanjifilms12312 күн бұрын
Asante
@fahruq448614 күн бұрын
Safi sana kaka ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Lena-y2s14 күн бұрын
Waganga wa kwenye mkoba wamo umu namuona namzidole ❤❤❤❤sana kadri siku zinaenda unaongezeka uzuri mwanzo ulikua kama shetani wakati nakuona kwenye muvi ya kufuri ulikua mmbaya ivi umependeza yani ulikua mzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@JaphetKarisa-d4g14 күн бұрын
Vizur
@nelsonandanyi14 күн бұрын
Ndo naanza kufatilia..... Mwanji mwamba
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Asante
@rukiarashid371614 күн бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️😚😚😚😚
@PilatoJulius13 күн бұрын
Mwanji mwanji mwanji
@mohdsaad273614 күн бұрын
❤😊😊😊😊😊
@jidaymedia967414 күн бұрын
Kazi nzuri kaka umeupiga mwingi🎉🎉🎉
@SaudaIbrahim-xr4fw14 күн бұрын
Inaonekana 🔥🔥🔥🔥🔥
@AishaModi-eg2vq14 күн бұрын
Kazi nzuri sana ila uyu mwanji kwani aliumbiwa mateso tu❤❤❤❤
@JaphetKarisa-d4g14 күн бұрын
Eeh
@MonicaMkombwe13 күн бұрын
Uliza wewe Wenda utajibiwa wengine tumeuliza tunaoneka wanafiki😢
@JeanPierreKanyangunda13 күн бұрын
Munadjuw vraiment
@GloireBanane14 күн бұрын
Aaaah kumbe mzee wa miuno mgando yupo ndani !!!mzidole, mzidole, mzidole...naku kubali sana ❤
@UrlichIninahazwe-b4m14 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@Peterfrancis-n9r13 күн бұрын
Kazi nzuri saruti Mungu azidi kukuinua kipaji chako ufanye vinzuri zaidi.
@KgBoyGeitaNyumbani13 күн бұрын
Bro mwanji hongera sana pia hongera Kwan wasanii wote mlio shiriki nawapenda Sana nyaso,makanik sodo nawafatolien Sana Sana Sana Mungu awatie nguvu wasanii wote madam mwasi nakupenda Bure nilipata muda nitakuja nikuone pokeeni maua aaaaaaa yenu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@mwanjifilms12313 күн бұрын
Asante sn
@anitakerubo942914 күн бұрын
Safi sana mwanji🎉🎉🎉❤
@tanuplus14 күн бұрын
Kazi kubwa
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Asante sana kaka mkubwa
@MWASIKAKOSOOG14 күн бұрын
Inaachaje kuwa kubwaa mafundi wamekutana😂😂😂😂😂
@RizikiZiki14 күн бұрын
😂😂😂😂mnamambo nyiye@@MWASIKAKOSOOG
@MaliamDevid13 күн бұрын
🎉🎉🎉
@عليسالم-ظ7غ14 күн бұрын
😢Unajitaidikabisa
@khanstarjuma14 күн бұрын
Saf kaka story nzuri🎉🎉
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Asante sn
@MonicaMkombwe13 күн бұрын
Mwamba baby mzidole 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HayladyYusuph14 күн бұрын
Utafika mbali sana kwa uwez wa mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Amina sn
@ZAKAYOFILM13 күн бұрын
Kazi safi
@AshuraHassan-w3s10 күн бұрын
Jmn mtu na pesa zake leo anadhalilika 😅😅😅😅😅
@christinaharrison224414 күн бұрын
Kumekucha🔥🔥
@mwanjifilms12314 күн бұрын
❤❤
@christinaharrison224414 күн бұрын
My wangu❤
@rehemamutua4413 күн бұрын
Mwasi anawaza pesa😂😂😂kina team strong tukutane uku😂😂😂❤🎉
@JaphetKarisa-d4g14 күн бұрын
Nyasoooo fusiliers tena kama mwanji anakutesa njoo kwangu ufurahie😂😂😂
@EverlyneVuhasiu13 күн бұрын
Mwanji kazi nzuri
@omarbosiomar860814 күн бұрын
salute mwanji
@JaphetKarisa-d4g12 күн бұрын
Oooooh kwa hio walio mteka mwanji ndio walimfanya mwanji asione
@NurahMummy14 күн бұрын
Tanuu😂😂 uko romantic mwenyewe😂😂
@JaphetKarisa-d4g14 күн бұрын
😂
@JojoSrena13 күн бұрын
Vaito. Mzee wa kulamba😂😂
@vaitomasta13 күн бұрын
😂😂 thanks
@JaphetKarisa-d4g12 күн бұрын
😂😂😂 mzee mshindo mbona unasema amerthi kwa wajombanzake😂😂
*KWENYE HII KAZI MWANJI UMECHEZA KAKA* 🙌 *Kwahakika hii umefanya vema*
@mwanjifilms12314 күн бұрын
Asante sana kk
@DonMooFILMES_Express14 күн бұрын
@mwanjifilms123 🤝🏆🤝 nimefurahisana kuona umetoa kazi yenye ubora. Msiweke uchawi 🙏 ubunifu ni jambo la kuzingatia 🤝🏆🤝
@JaphetKarisa-d4g12 күн бұрын
Mama nyaso jib swali la nyaso😂😂
@RaimamomedSaide2 күн бұрын
Nlijua tu mwasi mnafki 😂😂anamwambia wifi yake hajui kupenda anajali pesa tu chezea mapenzi wewe!😢😢 Me skutaka kuangalia hii movi sababu nayachukia sana mapenzi ktk maisha yangu maana hayana utatuzi nikuumia tu,ila nimmis bro mwanji sana ❤ndio maana nikaangalia,na nakuja namuona anapitia mateso kisa pesa dah 😢😢😢 hongereni sana kazi nzur sana.
@mwanjifilms123Күн бұрын
Asante sana
@GerkisbIronManDj14 күн бұрын
❤❤
@mickychuku644414 күн бұрын
MWANJIIII
@anifamickidard455513 күн бұрын
Kuigiza ni kazi jaman acha niwe mtazamaji uwiiii
@mwanjifilms12313 күн бұрын
🤣🤣🤣
@butuamaginga14 күн бұрын
Saf
@TheophileNiyonkuru-g1s11 күн бұрын
Vaito wangu
@mickychuku644414 күн бұрын
#mwanji
@pacfilm_cboy14 күн бұрын
ata roho yangu mbaya inanisuta nashidwa kujizui kuwapa hongelaa 🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri bro mwanji.nyaso mdada mwenye talent juhudi ni muhimu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
kzbin.info/www/bejne/ZovOmWpqZtitoacsi=2-x1LioodE0lfUJf Hii ni film Kali sana GUSA link apo utazame
@Mangara-qx2gg13 күн бұрын
Duh katika kazi ulizo tengeneza hii ni kali kupita zote ni moto
@mwanjifilms12313 күн бұрын
Asante sn
@barakajoackim-xu3hi14 күн бұрын
Ila mapenzi 😢😢😢😂😂😂
@mwanjifilms12314 күн бұрын
😭😭😭
@aminakatana872114 күн бұрын
Jamani mbona munamufanya hivyo kaka mwanji😢😢😢😢
@AliHassanAli-ou4wh14 күн бұрын
Tanu naona umepiga shart la Dodoma au ulikuwa ukitoka location unawahi hko
@Godfrey_lusekelo14 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@sharifftwaha888213 күн бұрын
Ila musiweke uchawi sasa
@InezaYvonne10 күн бұрын
kazi nzuri lakini huyu salikuwa mama ake mshindo Leo nimke wake iyo imeka aje?😅😅
@AliVonBoy14 күн бұрын
Movies za bongo zinakua kwa kiasi kikubwa kwa sasa kuliko zamani pambaneni mambo yazidi kua bora zaidi ya hapo ❤❤❤
@JaphetKarisa-d4g14 күн бұрын
inshallah
@halemamoon178213 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@rvicent321514 күн бұрын
Nilivoionatu jina ni true love ♥️ nika gusa link, kitu chaupendo twende kazii
@mwanjifilms12314 күн бұрын
👏👏👏
@JaphetKarisa-d4g12 күн бұрын
Kwan mwanji mkewe nyaso baba na mama ni yupi na ilikuawje mpaka akatoka kwa mwanji akaenda kwa tanu ikiwa alikua ameolewa na mwanji?ama n nyinyi kumtoa mwana wenu kwa mwanaume mwenye pesa? Naikiwa nyaso ndie mwenye alie sababishq mwanji asione ilikuaje