Mbona kama anahalalisha rushwa kwa jeshi indirectly😂😂😂
@HamisMberwa32 минут бұрын
Kwani wewe ukikamatwa lazima utoe Rushwa usitoe rushwa Rushwa ni Dhambi hata mtoa Rushwa anamakosa
@ramajuma56202 сағат бұрын
😂😂😂me nakwambia hii uongoz haikufai sahiv comedy wanalipa unapoteza nafasi mzee😅😅😅
@SultaniMlanzi-n5x4 сағат бұрын
Ukweli mtupu maana Askari weng wanaendekeza pombe kuliko maendeleo
@victorcephas36182 сағат бұрын
Tukijua kuwa Kuna maisha baada ya kustaafu na vyeo na kazi ni dhamana turaishi Kwa upendo na kulindana.
@JustoKimei3 сағат бұрын
Mambo ya kujifunza kwenye maisha
@NtamamiloGibson20 минут бұрын
Watawekeza wapi waweze kuishi vizuri wakati tunabifu nao? Fuatilia Polisi wengi huoata shida baada ya kustaafu.
@boboonesmo54313 сағат бұрын
Nakubali sana 😂
@MRPRESIDENT-w4l2 сағат бұрын
Kumbe Hili Lijamaa Lina AKILI eee 😃😃😄🙌
@panduafricangiant490258 минут бұрын
Kinachowatafuna askari wengi wanamtazamo kwamba watu wenye fedha walifanya mambo fulani ya kiharifu ndio maana hata kati yao akianza kujitoa katika umaskini wanaanza kumchunguza na kumuhamisha sehemu alipo ni hayo tu
@MRPRESIDENT-w4l2 сағат бұрын
😃😃😃 kumbe hili lijamaa Lina AKILI ee
@thabitdaudi981520 минут бұрын
Hapo anaona kaongea point kabisa😂😂 mambo ya kuongea mkiwa mnakunyea pombe bar ndy hotuba yake jamaa😂😂😂 tunataka proper speech inayohusu maslah ya umma. Sio ya mtu binafsi ya mtu binafsi atajijua mwenyewe.
@nchembaa2 сағат бұрын
Nimependa hotuba yake.
@EmmanuelNdahya2 сағат бұрын
Za vingunguti
@oneandonly981631 минут бұрын
Chamala ni mtoto wa mkubwa fulani ananachokifanya mdomo tuu mbwa huyu!!