@@christophekabilamusenge1024 Bonjour Mon frere can you use English please ❤❤❤🙏🙏🙏
@rehemamtulo6000 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa somo zr
@KADALAtv255 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@isaacgiteru244011 ай бұрын
Nashukuru kwa hii video kutoka Kenya.
@KADALAtv25511 ай бұрын
🙏🙏🙏share video kwa Wakenya ili wajae hapa kwa Kadala♥️♥️
@JamesKasoni4 ай бұрын
Ahsante mtaalam
@KADALAtv2554 ай бұрын
@@JamesKasoni 🙏🙏❤❤
@zaituniomary80062 ай бұрын
Pole na majukumu huku kwetu aipatkan amintoto ipo neoxychick je inafaa kuchanganya na primafarm
@KADALAtv2552 ай бұрын
@@zaituniomary8006 nipigie
@edwardmwankemwa38777 ай бұрын
Barikiwa sana Kwa darasa
@KADALAtv2557 ай бұрын
@@edwardmwankemwa3877 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
@nisilemwakyula208810 ай бұрын
God bless you
@KADALAtv2558 ай бұрын
🙏🙏God bless you too
@mafundisho816 ай бұрын
Asante nakuelewa san
@KADALAtv2556 ай бұрын
@@mafundisho81 🙏🙏🥰🥰
@aminakassim774111 ай бұрын
Hello Beautiful Kadala leo nimenunua hizi dawa na kesho in shaa Allah napokea vifaranga, Naahidi kukupa mrejesho juu ya dawa hizi kwa broilers .... Shukran Sana and blessed ❤
@KADALAtv25511 ай бұрын
🙏🙏🙏♥️♥️ hizo za vichupa ni chanjo usije ukachanganya mambo kuwa makini tafadhali♥️♥️♥️
@aminakassim774111 ай бұрын
Hiyo chanjo nafahamu kipenzi usihofu😃
@KADALAtv25511 ай бұрын
@@aminakassim7741 🙏🙏🙏♥️♥️
@thomasgachoka93508 ай бұрын
Esther Kadala was my student, Kenya 👉 your namesake 🫢
@KADALAtv2558 ай бұрын
Oo that is good🥰🥰🥰
@rebecachristian520711 ай бұрын
Nabaada ya kumwaga maji ya chanjo je unaweka maji plan au yenye vitamini?
@JacklineKimbawala4 ай бұрын
Naitaji kukiona moro nopateelim vizuri
@KADALAtv2554 ай бұрын
@@JacklineKimbawala sikakuelewa unasema
@JeniMduge Жыл бұрын
Kipimo Cha dawa kwenye maji Lita ngapi kwa kuku 100?
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Sikiliza video zilizotangulia
@josiahkulwa343 ай бұрын
Shukran
@KADALAtv2553 ай бұрын
@@josiahkulwa34 💕💕💕🙏🙏🙏
@TumainiKimaro-f3sАй бұрын
Tunaomba namba yko dada tuwe tunawasiliana
@KADALAtv255Ай бұрын
@@TumainiKimaro-f3s IPO halo juu kwa profile 👆
@JoyceJuma-p4d3 ай бұрын
Sasa hapo kuhsu guruco unaweka na majibama walamba
@KADALAtv2553 ай бұрын
@@JoyceJuma-p4d Sinaelewa lugha gani hiyo
@Grace-og9wl Жыл бұрын
Asante
@KADALAtv255 Жыл бұрын
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
@Juliana-z3q8 ай бұрын
Thanks my dada, nataka kuanza ufungaji wa broilers. Continue being blessed my dada. Love you
@KADALAtv2558 ай бұрын
Worry not karibu🥰🥰
@abdallahkamilagwa9655 Жыл бұрын
Kroiler,saso inaweza kuwauza wakiwa na umri gani? Ili upate faida
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Angalia video zilizotangulia dear♥️
@IsmailMngazija8 ай бұрын
Dadaangu pole na majukumu Mimi kuna jambo lanitatiza kuhusu kuwapa kuku chanjo wengine wanachanja kuku kwa kumchoma sindano kifuani wengine matone jichoni wengine kwenye maji ya kunywa mbona sielewi!! Njia ipi ni sahihi?
@KADALAtv2558 ай бұрын
Fuatilia video zangu sikiliza mwanzo mwisho kisha fanya uamuzi nani umuamini na kufuata maelekezo yake.🥰🥰
@marymiracle2557 ай бұрын
Naomba utuelimishe kuhusu malanda gani yanayofaa kulelea vifaranga maana Mimi nikiwatoa tu kwenye gazeti nakuwaweka kwenye malanda ya mpunga vifaranga wanapata mafua na wengine kufa je tunayapepeta au njia nzuli ni ipi
@KADALAtv2557 ай бұрын
@@IsmailMngazija Nitakuja baada ya muda mfupi usijali
@FrancisOsward-hy8kk5 ай бұрын
Safiii
@KADALAtv2555 ай бұрын
@@FrancisOsward-hy8kk 🙏🙏🙏
@Vailethmduda-x9v7 ай бұрын
Kuku mwenye mafua Nampa dawa gan
@KADALAtv2557 ай бұрын
Nenda dukani
@AgreyFungo-pr7kq7 ай бұрын
Mbona mi walifika tu siku ya pili wakawa na mafua hd znafka wiki tatu
@KADALAtv2557 ай бұрын
Hayo mayai yalishaathirika kutoka kwa kuku waliotaga.🥰🥰
@pasteurmardochemwale9 ай бұрын
Mama Nakupeda sana❤🥰🥰
@KADALAtv2558 ай бұрын
🙏🙏Nakupenda pia🥰🥰🥰
@Idrisapazimwana Жыл бұрын
Vifalanga wadogo wakiwa wanadalili za taifod unaweka dawagani
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Hizo hizo tu♥️♥️
@KhamisMakame-fp9gx7 ай бұрын
Mmy mim kuku wangu wanaharisha niwape dawa gani
@KADALAtv2557 ай бұрын
Nenda dukani
@MbarakaMbulu Жыл бұрын
Shingap hizo dawa
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Duh! My dear nikutajie hadi bei ? Wewe utafanya kazi gani?
@JudithYasco6 ай бұрын
Timafamu amitoto unachanganya pamoja au
@KADALAtv2556 ай бұрын
@@JudithYasco sikiliza video
@susanwangui49896 ай бұрын
God bless you
@sarafelixsanga419511 ай бұрын
Asante
@rebecachristian520711 ай бұрын
Nabaada ya kumwaga maji ya chanjo je unaweka maji plan au yenye vitamini?